Thursday, June 26, 2008

Mafunuo VS Neno la Mungu

Kumekuwa na mwamko wa huduma nyingi sana na watumishi wengi sana hapa nchini.Nyingi zimekuwa zikifanya vizuri sana kwa kweli.Wengi katika watumishi wa huduma hizo wamekuwa wakijikita zaidi katika matumizi na msisitizo wa kutumika kwa kufuata mafunuo zaidi kuliko Neno la Mungu(Maandiko/Biblia).Hivi watumishi wa Mungu hebu tuelimishane hapa..

Mwinjilisti Alfonce Temba anatetea umiss?

Juzi na jana kumekuwepo na mijadala mikali inayoendelea radio wapo fm kuhusu walokole kushiriki kwa namna yeyeote ile mashindano ya umiss.Mwinjilisti Alfonce Temba ambaye ni moja kati ya watumishi wanaochipua kwa kasi sana hapa jijini Dar amekuwa akifundisha na kuhojiwa na wananchi kuhusu kuunga mkono kwake kwa wakristo kushiriki mashidano ya umiss na jinsi anavyounga mkono kwa mtoto wa askofu Deo Lubala anayeitwa Angela Deo Lubala kushiriki mashindano ya umiss Chang'ombe na kushinda huku akiungwa mkono na baba yake na mama yake mzazi ambao ni watumishi wa Mungu wanaoliongoza kanisa la Word Alive lilipo Sinza jijini Dar.
Mlima sayuni tunafanya mkakati wa kufanya mahojiano na Mwinjilisti Alfonce Temba ili kuweza kujua msimamo wake.

PHAUSTIN aendelea kuitangaza Tanzania Ujerumani

Naomba na mimi niiwakilishe kama ilivyo.

BWANA WETU YESU KRISTO ASIFIWE MT!!!!!!!!!

Nihabari njema kutoka kwa Bwana Yesu ameniwezesha Mimi kufanya maajabu huku Ujerumani tena jana katika mashindano ya km 7/6 nilikuwa wa 3 nailikuwa mbio kubwa .NILIMOMBA SANA MUNGU: kwahiyo Mtade jaribu kuitoa habari hii SAYUNI NA UTATU INGAWAJE SIJAPATA PICHA ZAKE.

Naninawashukuru nanyi kwa ushirikiano wenu wa maombi juu yangu ninabuni kusema asante.

nimebakiza mbio moja tu ambayo itakuwa juma pili hii inayokuja baada ya hapo narejea TZ
Wasalimie wote huko DAR nasema tena wewe wasalimie hata kama hawanifahamu
wewe wambie hivi kuna mwanariadha moja wa tanzania anawasalimia
KAOKOKA MWAKA JANA!!!!????PHAUSTIN BAHA SULLE
HALELUYA??????H??
FURAHA MOYONI---Ukiwa na Hekima ya MUNGU dunia haikutesi??

Utukufu kwa YESU KRISTO wa Nazareth na ninaomba wanasayuni wote tulioduniani kote tumwombee mtumishi huyu wa Mungu anaeiwakilisha nchi yetu vyema huko ughaibuni na hivyo jina la Bwana kutukuzwa kupitia mtumishi huyu.

Saturday, June 21, 2008

Shuhuda..! Shuhuda...! Shuhuda..!

Haleluyaa watumishi wa Mungu.

Kwa muda mrefu nimekuwa kimya kidogo kwa kutoonekana mlimani sayuni kwa kuwa nimekuwa nikibanwa na majukumu mbalimbali ikiwemo kuwaombea wapendwa wengi wenu mliokuwa mmetutumia mahitaji yenu. Na sisi kwa kuwa tumeitiwa kuwaombea watu wenye mahitaji BURE kabisa kwa jina la YESU,wengi wamekuwa wakipokea mahitaji yao kupitia blogu yenu hii ya kikristo.Mambo mengine ni ya siri na si vyema sana kuyaanika hapa hadharani bila ruhusa ya wahusika.

Kwa kuliona hili sisi wanasayuni tumeonelea ni vyema sasa tukawa tunapokea shuhuda mbalimbali kutoka kwenu kwa yale mambo ambayo Mungu amekuwa akifanya katika maisha yenu kupitia makanisani kwenu/kwenye huduma zenu au kupitia mlima huu wa sayuni.Tutumie shuhuda motomoto ili wengine wanapozisoma waweze kujengwa kwani shuhuda zinainua imani.

Tutumie shuhuda zako kwa email zetu hizi hapa nasi tutaziweka hapa ili wapendwa wazisome na kutiwa moyo na kumtukuza Mungu pamoja na wewe:

1.Mtade (Dar,Tanzania),Email: miwlc@yahoo.com

2.Maranatha(Oslo,Norway), Email: chalujohn@yahoo.com

3.SavedLema(Arusha,Tanzania), Email: savedlema2@yahoo.com

4.Kalenga(Ottawa,Canada,),Email:hkalenga@mirarco.org

5.Sauti ya Nyika (Dar,Tanzania),Email:jsiulapwa@yahoo.com

Tuma ushuhuda wako wa jambo lolote ambalo Mungu amekufanyia kwenye email yoyote hapo juu nasi tutamtukuza Mungu kwa kuweka hapa juu ya mlima ili watu wote waone na walitukuze juna la Bwana Mungu wetu wa majeshi.

Sunday, June 15, 2008

KANISA LAFANYA KUFURU: MAKASISI WAFUNGA NDOA KANISANI

LONDON — An Anglican church has held a homosexual "wedding" for the first time in a move that will deepen the rift between liberals and traditionalists. A "wedding"-like ceremony between two male priests broke the Church of England's rules, a spokesman for the Anglican body said Saturday.

The two clergymen exchanged rings and vows last month at a ceremony in St. Bartholomew the Great in London, according to The Sunday Telegraph, a preview of which was made available Saturday. The paper said the ceremony included traditional marriage liturgy, hymns and a Eucharist. The ceremony involved the couple, the Rev Peter Cowell, who is a cleric at one of the Queen's churches, and the Rev Dr David Lord. The two had registered their civil partnership before the ceremony.

The ceremony took place in defiance of the Bishop of London, in whose diocese it took place. It is likely to embolden liberal clergy who have been reluctant to offer a full "wedding service" and will open the floodgates to other homosexuals who want a traditional ceremony.

The Rev Martin Dudley conducted the ceremony and said "I believe that marriage is a union between a man and a woman, but I see nothing wrong with blessing a couple who want to make a life-long commitment to one another."

Church of England spokesman Lou Henderson said the service described by the paper violated church guidelines "in just about every respect."

Although civil partnerships between homosexual couples are officially recognized in Britain, the Church of England maintains that marriage should be between a man and a woman and its guidelines ask clergy not to bless such partnerships.
Source: http://www.telegraph.co.uk/, June15, 2008

Saturday, June 14, 2008

Mbunge anaswa akifanya tambiko bungeni Dodoma

Mbunge anaswa akifanya tambiko bungeni Dodoma

*Alisindikizwa na kigogo wa Bunge
*Spika akiri kupokea taarifa hizo


Na Mwandishi Wetu, Dodoma

MBUNGE na Afisa mmoja Mwandamizi wa Bunge wamekutwa ndani ya Ukumbi wa Bunge wakifanya vitu vinavyodhaniwa kuwa ni vya kishirikina.
Taarifa zilizopatikana mwanzoni mwa wiki hii na kuthibitishwa na ofisi za Bunge, inadaiwa mbunge huyo alifanya tambiko hilo Jumatatu, kabla ya mkutano wa Bunge la Bajeti kuanza Jumanne wiki hii.
Shuhuda aliieleza Mwananchi kwamba, mbunge huyo aliingia kwenye ukumbi huo akiwa ameongozana na katibu mmoja wa bunge (jina tunalo) na kuanza kupita kila kiti cha mbunge na hatimaye aliishia kiti cha Spika.
Aliongeza kuwa, watu hao wakiwa wamefuatana walikuwa wakipita kila kiti huku mbunge huyo akinyunyiza vitu vinavyohisiwa kuwa dawa za kienyeji katika viti vya wabunge.
"Alipofika kwenye kiti cha Spika, alisimama muda mrefu akiwa ananyunyizia vitu fulani, lakini sikujua ni nini na wao waliamini kamera zote zilikuwa zimefungwa," alidai shuhuda huyo.
Shuhuda huyo alidai kuwa, mbunge huyo na mtumishi wa bunge walifanya shughuli yao bila kufahamu iwapo walikuwa wakionekana, bila kujua kuwa kulikuwa kuna watu wanafanya majaribio ya kunasa sauti na picha za ukumbini.
"Walianza kwa kusimama nje kwa muda mrefu wakiwa na wabunge wengine, baada ya wabunge kuondoka, mbunge huyo alibaki na katibu na kuingia ukumbini na kuanza kufanya kazi zao," alidai.
Alipoulizwa Spika wa Bunge, Samuel Sitta, iwapo ana taarifa hizo jana, alisema amezipata na kueleza kushangazwa kwake iwapo bado kuna watu wanaoamini mambo ya ushirikina.
"Taarifa ninazo ila siamini, isipokuwa inashangaza kuona kama bado kuna watu wanaamini mambo hayo kwenye dunia ya leo," alisema Sitta.
Sitta alisema baada ya kupata taarifa hizo, Katibu wa Bunge ameanzisha uchunguzi wa suala hilo. Hata hivyo alisema ushirikina hauwezi kusimama badala ya ukweli na haki.
Wakati huo huo, jana alasiri uvumi ulienea mjini hapa kuwa Mbunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe alikuwa amefariki dunia.
Dk Mwakyembe ambaye juzi hali ilibadilika ghafla akiwa bungeni, alieleza Mwananchi kuwa afya yake ilikuwa imeimarika na kushangaa lengo la watu wanaoeneza uvumi huo.
Baada ya Dk Mwakyembe kukimbizwa kliniki juzi, baadhi ya wabunge walianza kuhusisha tukio hilo na 'tambiko' hilo lililofanyika Jumatatu, huku wengine wakiapa kutokubali hali hiyo kuendelea.
"Hawa watu na washindwe kwa Jina la Yesu. Wanataka kutuulia mtu bure na matambiko yao, Mungu yupo atasimama kati, ukweli utashinda," alisema mbunge mmoja wa Chama Cha Mapinduzi(CCM).
Mbunge huyo ndiye aliyeoongoza Kamati ya Bunge ya Kuchunguza Mchakato waUshindi wa Zabuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura kwa Kampuni ya Richmond Development.
Watu mbalimbali nchini walikuwa wakipiga simu mjini Dodoma kuuliza ukweli wa taarifa hizo, lakini wote walikuwa wakijibiwa kwamba hakuna kitu cha aina hiyo.
Kaimu Katibu wa Bunge alikanusha kuhusiana na uvumi wa kifo cha mbunge huyo na akasema Dk Mwakyembe ana afya njema na kwamba jana alizungumza naye akiwa na pamoja Spika wa Bunge Samuel Sitta ambaye aliwaaga jana kwenda safarini Dar es Salaam.
Alisema kuwa ni kweli walipata taarifa za kuzidiwa kiafya hali iliyomfanya akimbizwe kituo cha afya cha karibu ambako alipumzishwa kwa muda kabla ya kuruhusiwa siku hiyo hiyo.
Alisema kuwa hivi sasa afya ya mbunge huyo ni njeama na haina mashaka ya aina yoyote yaliyosababisha watu kadhaa kupata hofu.

Source:Mwananchi.

Wapendwa,TOO MUCH!
hapa ndio tunaona umuhimu wa kuwa na wabunge na viongozi waliookoka.Pia tunaona umuhimu wa kuwaombea wanasiasa na viongozi kwa ujumla.
Tusimwachie shetani nchi, tushike zamu zetu.

Bwana awajaze nguvu.

Frank Lema
http://www.lema.or.tz/


Mbunge anaswa akifanya tambiko bungeni Dodoma!

Bwana Yesu asifiwe sana!
Wapendwa, hapa ndio mtauona umuhimu wake tunapoambiwa tuwaombee wanasiasa,na serikali kwa ujumla. Sasa ndio mtaona umuhimu wa kuwa na viongozi na wanasiasa waliookoka. Someni habari hii ambayo ipo kwenye Mwananchi la leo.

Mbunge anaswa akifanya tambiko bungeni Dodoma!

*Alisindikizwa na kigogo wa Bunge
*Spika akiri kupokea taarifa hizo


Na Mwandishi Wetu, Dodoma

MBUNGE na Afisa mmoja Mwandamizi wa Bunge wamekutwa ndani ya Ukumbi wa Bunge wakifanya vitu vinavyodhaniwa kuwa ni vya kishirikina.


Taarifa zilizopatikana mwanzoni mwa wiki hii na kuthibitishwa na ofisi za Bunge, inadaiwa mbunge huyo alifanya tambiko hilo Jumatatu, kabla ya mkutano wa Bunge la Bajeti kuanza Jumanne wiki hii.


Shuhuda aliieleza Mwananchi kwamba, mbunge huyo aliingia kwenye ukumbi huo akiwa ameongozana na katibu mmoja wa bunge (jina tunalo) na kuanza kupita kila kiti cha mbunge na hatimaye aliishia kiti cha Spika.


Aliongeza kuwa, watu hao wakiwa wamefuatana walikuwa wakipita kila kiti huku mbunge huyo akinyunyiza vitu vinavyohisiwa kuwa dawa za kienyeji katika viti vya wabunge.


"Alipofika kwenye kiti cha Spika, alisimama muda mrefu akiwa ananyunyizia vitu fulani, lakini sikujua ni nini na wao waliamini kamera zote zilikuwa zimefungwa," alidai shuhuda huyo.


Shuhuda huyo alidai kuwa, mbunge huyo na mtumishi wa bunge walifanya shughuli yao bila kufahamu iwapo walikuwa wakionekana, bila kujua kuwa kulikuwa kuna watu wanafanya majaribio ya kunasa sauti na picha za ukumbini.


"Walianza kwa kusimama nje kwa muda mrefu wakiwa na wabunge wengine, baada ya wabunge kuondoka, mbunge huyo alibaki na katibu na kuingia ukumbini na kuanza kufanya kazi zao," alidai.


Alipoulizwa Spika wa Bunge, Samuel Sitta, iwapo ana taarifa hizo jana, alisema amezipata na kueleza kushangazwa kwake iwapo bado kuna watu wanaoamini mambo ya ushirikina.


"Taarifa ninazo ila siamini, isipokuwa inashangaza kuona kama bado kuna watu wanaamini mambo hayo kwenye dunia ya leo," alisema Sitta.


Sitta alisema baada ya kupata taarifa hizo, Katibu wa Bunge ameanzisha uchunguzi wa suala hilo. Hata hivyo alisema ushirikina hauwezi kusimama badala ya ukweli na haki.


Wakati huo huo, jana alasiri uvumi ulienea mjini hapa kuwa Mbunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe alikuwa amefariki dunia.


Dk Mwakyembe ambaye juzi hali ilibadilika ghafla akiwa bungeni, alieleza Mwananchi kuwa afya yake ilikuwa imeimarika na kushangaa lengo la watu wanaoeneza uvumi huo.


Baada ya Dk Mwakyembe kukimbizwa kliniki juzi, baadhi ya wabunge walianza kuhusisha tukio hilo na 'tambiko' hilo lililofanyika Jumatatu, huku wengine wakiapa kutokubali hali hiyo kuendelea.


"Hawa watu na washindwe kwa Jina la Yesu. Wanataka kutuulia mtu bure na matambiko yao, Mungu yupo atasimama kati, ukweli utashinda," alisema mbunge mmoja wa Chama Cha Mapinduzi(CCM).


Mbunge huyo ndiye aliyeoongoza Kamati ya Bunge ya Kuchunguza Mchakato waUshindi wa Zabuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura kwa Kampuni ya Richmond Development.


Watu mbalimbali nchini walikuwa wakipiga simu mjini Dodoma kuuliza ukweli wa taarifa hizo, lakini wote walikuwa wakijibiwa kwamba hakuna kitu cha aina hiyo.


Kaimu Katibu wa Bunge alikanusha kuhusiana na uvumi wa kifo cha mbunge huyo na akasema Dk Mwakyembe ana afya njema na kwamba jana alizungumza naye akiwa na pamoja Spika wa Bunge Samuel Sitta ambaye aliwaaga jana kwenda safarini Dar es Salaam.


Alisema kuwa ni kweli walipata taarifa za kuzidiwa kiafya hali iliyomfanya akimbizwe kituo cha afya cha karibu ambako alipumzishwa kwa muda kabla ya kuruhusiwa siku hiyo hiyo.


Alisema kuwa hivi sasa afya ya mbunge huyo ni njeama na haina mashaka ya aina yoyote yaliyosababisha watu kadhaa kupata hofu.

Source: Mwananchi.

Ndugu zangu, imetosha sasa, nawasihi tushike zamu zetu jamani, hii kitu tunaacha shetani anawapeleka wabunge wake kuzindika bunge haifai mbele za Mungu na hata kwetu. Tubuni wapendwa,tutubu kwa ajili yao.

Bwana, Mwingi wa rehema awajaze nguvu.

Frank Lema
www.lema.or.tz

Thursday, June 12, 2008

Bajeti 2008/2009.Wenye magari wapata ahueni kidogo

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI
MHESHIMIWA MUSTAFA HAIDI MKULO (MB.),
AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2008/2009

Sheria zinazosimamia Kodi za Magari
Mheshimiwa Spika, inapendekezwa kufanya marekebisho yafuatayo katika kodi za magari:-

(i) Kupunguza viwango vya ada ya mwaka ya leseni za magari kama ifuatavyo:-
(a) Kwa magari yenye ujazo wa ingini usiozidi cc500 kutoka shilingi 50,000 hadi shilingi 30,000;

(b) Kwa magari yenye ujazo wa injini unaozidi cc500 lakini hauzidi cc1500 kutoka shilingi 80,000 hadi shilingi 50,000;

(c) Kwa magari yenye ujazo wa injini unaozidi cc1500 lakini hauzidi cc2500 kutoka shilingi 150,000 hadi shilingi 120,000;

(d) Kwa magari yenye ujazo wa injini unaozidi cc2500 lakini hauzidi cc5000 kutoka shilingi 330,000 hadi shilingi 140,000; na

(e) Kwa magari yenye ujazo wa ingini unaozidi cc5000 kutoka shilingi 175,000 hadi shilingi 150,000.

(ii) Kusamehe ada ya mwaka ya leseni za magari kwa matrekta ya kilimo

(iii) Kuongeza viwango vya ada ya usajili wa magari kutoka shilingi 27,000 kwa pikipiki na shilingi 90,000 kwa gari, hadi shilingi 35,000 kwa pikipiki na shilingi 120,000 kwa gari. Ada hii inalipwa mara moja tu na mwenye gari.

Hatua hizi kwa pamoja zitapunguza mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi 2,380 milioni.

PRAY FOR OUR FELLOW CHRISTIANS UNDER PERSECUTION

Dear Sayuni visitors,Praise the Lord!
I got this in my inbox and thought I should share with you so that you will pray for this.It talks about OUR FELLOW Christians facing persecution all over the world. We thank God that we are living peacefully here, but let's use it to pray for others like these loved ones,Amen?

"Be joyful always; pray continually;" (1 Thessalonians 5:16-17)
ALGERIA
Christian Sentenced for Carrying a Bible - Compass Direct NewsOn April 29, a court in Djilfa, south of Algiers, charged a 33-year-old Muslim convert to Christianity with "printing, storing and distributing" illegal religious material. According to Compass Direct News, "An Algerian Christian detained five days for carrying a Bible and personal Bible study books was handed a 300-Euro (US $460) fine and a one-year suspended prison sentence." Compass reported this conviction was the latest in numerous detentions and court cases against Algerian Christians. "Since January, police and provincial officials have ordered the closure of up to half of the country's estimated 50 Protestant congregations," Compass Direct said. The 33-year-old Algerian Christian converted from Islam to Christianity eight years ago. On April 25, he was stopped at a police road block while riding in a shared taxi. Compass Direct added, "Officials took the convert into custody upon finding a Bible and several religious study books in his luggage. Police appear to have previous knowledge of the Christian's connections. Officers refused to let the convert call friends to let them know of his detention, naming a church member in Tiaret whom they claimed he would contact." Pray believers in Algeria will remain faithful despite persecution. Ask God to protect and give courage to this Algerian Christian who is standing for Christ. Psalm 37:28

CHINA & BURMA
Pray for Believers Affected by the Cyclone and Earthquake - VOM SourcesThe Voice of the Martyrs is encouraging believers to pray for those affected by the cyclone in Burma (Myanmar) and the earthquake in China. Pray God will comfort Christians who have been displaced and lost loved ones during these natural disasters. Ask Him to provide for them during this difficult time and for the Holy Spirit to be their comforter.
Isaiah 61: 1-3 WEST BANKPastor's Son Recovering after Bomb Attack - VOM SourcesPraise God! Amiel Ortiz, the teenage son of Messianic Pastor David Ortiz, is recovering after he was seriously injured when a bomb delivered to the family's home in the Jewish settlement went off in his hands. According to The Voice of the Martyrs contacts, Amiel's father reports, "We checked out of the Schneider Children's Hospital last week after a six-week stay, eight days in the ICU and the rest on the children's floor. Ami received excellent care from the doctors and nurses in that hospital, but in response to prayer from the four corners of the earth, Ami has been healing at a rate that is extraordinary The plastic surgeon that worked on Ami said that in his 15 years of experience, he had never seen such extensive wounds. He said he has at least 100 pieces of shrapnel in his body from his head to his feet, which his body is slowly bringing up under the surface of the skin, which will come out by themselves." Pray for Amiel's continued recovery as he has transitioned into a rehabilitation center. Pray specifically for both eardrums to be restored, for him to regain use of his hands and arms, and healing for the burns and scars on his body. Also for the emotional healing for Amiel and his family, and for those responsible for the attack to be brought to justice. Ask God to give this family strength to forgive their attackers. 1 Corinthians 1: 3-5
VIETNAM
Government Officials Confiscate Evangelist's Home - Compass Direct NewsGovernment officials in Vietnam's Lao Cai province have confiscated the land and home of a former opium addict because of his phenomenal success as an evangelist. According to Compass Direct News, "Local Christians report Sua Yinh Siong of Lau Chai village, in Sapa district in the Northwest Mountainous Region, had long been a desperate opium addict, leading to destitution for him and his family. In 2004, after becoming a Christian, Siong broke from his addiction and his animistic past, taking down paraphernalia for ancestor worship and other spirit-related articles and burning them. His joy over his liberation soon spread to others, and eventually more than 200 families also decided to follow Christ." The Compass report added, " Earlier this month, Siong told other Christian leaders that government harassment had reached a crisis point - in April, local and provincial officials had confiscated his land, citing ‘illegal religious activities.' In the first few days of this month, Siong said officials evicted him from his home and threatened to destroy it." Pray for protection for Siong and his family and for their land and home to be returned. Ask God to use his testimony to draw more nonbelievers into fellowship with Him. Philippians 4:13
Will you pray for them? let us know.
The Lord bless you,
Frank Lema
www.lema.or.tz (welcome and join the gospel mailing lists here)

Wednesday, June 11, 2008

A MESSAGE FROM JESUS

Once upon a time, there were two beautiful, smooth, clear, clean rivers that flowed parallel to one another. But I caused these rivers to intersect, to come together and meet, and to become one.

As they flowed together and grew, behold, they came to the edge of a mountain, and these rivers that once were so smooth and beautiful went tumbling over the edge. The river tumbled ever so violently down the mountain, thrashing and beating against the rocks and the boulders. But it was through this very tumbling and thrashing that the water was purified, aerated and cleansed, and it became a beautiful waterfall that many could look upon.

The river's willingness to be thrashed about and beat against the boulders was the very thing that made it magnificent and drew people's attention to it, and caused them to marvel at the beauty before their eyes.

After this time of suffering and purging and thrashing and purifying, behold what is at the bottom of this beautiful waterfall--a deep and gloriously clear pool of cool, refreshing water! These two rivers that have united and have been purged and broken have become a beautiful pool of water.

Many people come to sit beside the pool. They dip their hands into the cool water and are refreshed and strengthened, and their battles are alleviated. They find strength and encouragement and comfort in this pool that is so deep and cool and clear and precious in My sight.

It is this pool that I am forming. This is My goal, to form of these rivers and of this thrashing waterfall a beautiful pool of refreshing water that many will come to and drink from, and there find succor and comfort and encouragement. Therefore be not weary, but hold on.

For though the rivers are beautiful, and though the waterfall is magnificent, and many people look at it and marvel, the pool will be the most beautiful. This is when you shall come to the end of yourselves, and My plan and My purpose shall then be accomplished.


I LOVE YOU.

Monday, June 9, 2008

Mtoto wa Mchungaji awa miss Chang'ombe

Mtoto wa Askofu Mkuu wa kanisa la kipentekoste la Word Alive Mchungaji Deo Lubala, Bi. Angela Deo Lubala, ameshinda taji la Miss Chang’ombe, baada ya kuwashinda wasichana wengine tisa alioshindanishwa nao.
Wakati Angela akivishwa ‘taji’ hilo wiki iliyopita katika ukumbi wa TTC Chang’ombe, Askofu na mama Askofu Clara Lubala walikuwepo ukumbini na walionesha kufurahia ushindi huo.
Walokole wengi wanayaona mashindano hayo kuwa yako kinyume na mpango wa Mungu kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo washiriki wa mashindano hayo kuwa katika mavazi yasiyo na heshima kama vile vimini na zile zinazoonesha maumbile ya washiriki.
……katika mahojiano askofu alisema mtoto wake alitaka kushiriki mashindano hayo ili atumie nafasi ya u-miss kufikisha ujumbe wa Mungu kwa watu wengi zaidi. “Alitumia fungu fulani kutoka katika zaburi sikumbuki vizuri lakini katika kiingereza linasema You were created wonderfully by God” Alisema Askofu. Askofu huyo ambaye pia huchunga kanisa la Word Alive lililoko Sinza Mori, jijini Dar-es-salaam, alisema kuwa, katika utafiti wake aligundua kuwa waandaaji wa mashindano lengo lao ni kutafuta wasichana wenye uwezo wa kuwasiliana “Wanatafuta mtu wa ku-communicate, hata serikali inaweka mkono wake hapo, hakuna ngono kule, watu wana mtizamo mbaya bure mimi mwenyewe sikutegemea kama waandaaji wanaangalia na ucha Mungu” Alisema





Source: Strictly Gospel and globalpublisherstz.com

Sunday, June 8, 2008

Are You Willing To Be Made Willing?

God uses whatever is available, like you & me when we're available. He doesn't create Saints out of thin air, He creates them out of flesh-&-blood, & normal people like you & me who love the Lord & will let Him use us.Most of the greatest saints the World has ever known were little people who just did what they thought should be done--whether others ever heard about it or not! But they were always there when they were needed, always willing to see the need & respond. If we have real love for the Lord & others, we'll do whatever needs to be done! It all depends upon our yieldedness & willingness to be made willing. It depends on our humility, which is synonymous with love, which is the only thing that can make us willing to go anywhere, anytime, to do anything, for anybody, & be nobody, to please Him & help everybody! (Rom.12:1; Phi.2:3,4)

God bless you all!
-www.lema.or.tz

Saturday, June 7, 2008

KAMA HIZI HABARI NI KWELI, BASI NDANI YA WALOKOLE KUNA MBWA MWITU WAKALI SANA!

Mchungaji na wanakwaya kortini!
MCHUNGAJI na wanakwaya wanane wa Kanisa la Assemblies of God la Kimara, Dar es Salaam, wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Arusha kwa mashtaka ya kula njama za kuiibia Benki ya Barclays tawi la hapa Sh milioni 120.
Wakisomewa mashitaka na Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Shami Dunia mbele ya Hakimu Mkazi Mary Mrio wa Mahakama ya Mkoa wa Arusha, ilidaiwa washtakiwa hao kwa pamoja walitenda kosa hilo Februari mosi mwaka huu.
Alidai washtakiwa hao wakiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Bukombe Development Association ya Dar es Salaam na mkazi mmoja wa Arusha, Februari mosi mwaka huu waliidanganya Barclays tawi la Sopa Arusha na kujipatia Sh milioni 120.
Mwendesha mashtaka huyo alimtaja Mchungaji huyo kuwa ni Wiliamson Nsekela (45) mkazi wa Kimara Dar es Salaam, Mkurugenzi wa kampuni ya Bukombe Development Association, Manyala John (33), mkazi wa Dar es Salaam.
Aliwataja wanakwaya hao kuwa ni Lupakisyo Mkumbwa (39), Hawa Chifoto (30), Rehema Mwaifunda (35) na Mariamu Mbunda (34), wote wakazi wa Kimara, Dar es Salaam.
Wengine ni Dennis Mwangomo (24) mkazi wa Mabibo Dar es Salaam, Martin Mwakipesile (30) wa Mwananyamala na mkewe aitwaye Mariam Mwakipesile. Aliwataja wengine kuwa ni Michael Mura (26) mkazi wa Tabata Dar es Salaam na Rashid Hamis (26) ambaye ni mkazi wa Ngarenaro Arusha.
Mwendesha mashtaka alidai Mchungaji Nsekela kwa kushirikiana na Manyala walikula njama kwa kuwaahidi wanakwaya hao kuwapatia kazi katika machimbo ya madini ya tanzanite, Mererani Manyara.
Alidai waliwatengenezea vitambulisho vya kampuni hiyo na kuwataka watoe vitambulisho vya kupigia kura kwa ajili ya kufunguliwa akaunti katika Benki ya Barclays kwamba watakuwa wakichukua mishahara katika benki hiyo.
Dunia alidai Manyala na Nsekela baada ya kupata vitambulisho hivyo kutoka kwa wakwaya na kutengeneza vingine vya kampuni hiyo walikwenda Arusha na kufungua akaunti na kutokana na Benki ya Barclays kutoa mikopo kwa wafanyakazi wa Taasisi za Serikali na nyinginezo, watuhumiwa waliomba mikopo kila mtuhumiwa akiomba Sh milioni 10.
Alidai kwa vile benki hiyo haikuwa na hakika ilifanya uchunguzi na kubaini kuwa kampuni iliyodai inafanya kazi za huduma ndani ya migodi ipo Dar es Salaam na akaunti zimefunguliwa Arusha.
Hakimu wa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Arusha, Mary Mrio aliahirisha kesi hiyo hadi Februari 26 itakapotajwa tena na watuhumiwa walirudishwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kila mtuhumiwa kutoa Sh milioni mbili na mdhamini mmoja.
Polisi pia inamshikilia Meneja Mauzo wa Benki hiyo wa tawi la TFA, Jackline Sandawe na Prosper Kasenega wa Makao Makuu ya benki hiyo, kwa tuhuma za kushirikiana na watuhumiwa kufungua akaunti na kutofuata taratibu.

Source: HabariLeo, J'mosi, June 7, 2008.

Thursday, June 5, 2008

What He's Done For Others, He Can Do For You!

Dear Sayuni visitors,
All through the Bible the Lord miraculously empowered & protected His prophets & apostles.--And the same miracles of power & protection that occurred back in Bible times can happen now! "Jesus Christ is the same yesterday, today & forever!" (Heb.13:8) If Jesus could do those miracles in His day & the Apostles', then He should still be doing them today! God is still the God of miracles, & what He's done before He can do again!--In fact, Jesus said, "The works that I do, shall ye do also.--And even greater works than these shall ye do because I go unto My Father." (Jn.14:12)Jesus also said, "All power is given unto Me in Heaven & in Earth!" (Mat.28:18) So if you have Jesus, you've got all that power! God has not only promised all this power, but He's promised it for right now if you need it & have faith for it! He has promised it for ages & it's been done before! You're not only going to be able to do miracles in the future but you can do them now if you believe God's promises!"It is no secret what God can do!What He's done for others, He'll do for you!With arms wide open, He'll carry you through!It is no secret what God can do!"Think how much good you can do in His Name! Are you exercising your power?--The power of Jesus' name?
Ask and it will given to you.

May God bless you as you bring your friends here too.
-www.lema.or.tz

Wednesday, June 4, 2008

Mtanzania aendelea kutesa riadha ujerumani

Katika hali ya kufurahisha sana,mtanzania anayeishi nchini Ujerumani mtumishi wa Mungu Faustin Baha kwa mara nyingine amefanikiwa kuipatia sifa njema Tanzania kwa kushika namba moja katika mashidano ya riadha yaliyofanyika nchini ujerumani mapema mwezi may mwaka huu.Faustin amekuwa ni balozi wetu mwema sio tu kwa nchi yake ya Tanzania bali zaidi sana katika mwili wa Kristo.Faustin ambaye ameokoka na anampenda na kumwishia Bwana wetu YESU katika maisha yake akiwa nchini ujerumani amewahi kushinda mara kadhaa mashindano mbalimbali nchini humo kwa kushika nafasi ya tatu,ameiambia blogu ya sayuni kuwa anamshukuru sana YESU na kumrudishia utukufu wote kwani mara hii amefanikiwa kushika namba moja kati ya watu 8000 walioshiriki mbio hizo.

Wadau wa mlima sayuni tunampa hongera mtumishi Faustin na kumtakia mafanikio mema katika mashindano ayaendeyao siku zijazo.Biblia imeahidi kuwa sisi ni vichwa na wala sio mkia.

Deuteronomy 28:13 "And the LORD will make you the head and not the tail; you shall be above only, and not be beneath, if you heed the commandments of the LORD your God, which I command you today, and are careful to observe them. "

Utukufu kwa Mungu.

Obama claims win

Barack Obama claimed victory in the Democratic presidential campaign tonight. CNN projects Obama secured enough delegates to make history as the first African-American to lead a U.S. major-party ticket. But Hillary Clinton said she was not yet ready to make a decision on her campaign's future.
In what he called a "defining moment for our nation," Sen. Barack Obama on Tuesday became the first African-American to head the ticket of a major political party.
Sen. Barack Obama on Tuesday told supporters he will be the Democratic nominee.
Obama's steady stream of superdelegate endorsements, combined with the delegates he received from Tuesday's primaries, put him past the 2,118 threshold, CNN projects.
"Tonight we mark the end of one historic journey with the beginning of another -- a journey that will bring a new and better day to America," he said.
"Tonight, I can stand before you and say that I will be the Democratic nominee for president of the United States."
Obama's rally was at the Xcel Energy Center in St. Paul, Minnesota -- the same arena which will house the 2008 Republican National Convention in September.
Speaking in New York, Sen. Hillary Clinton, congratulated Obama for his campaign, but she did not concede the race nor discuss the possibility of running as vice president.
"This has been a long campaign, and I will be making no decisions tonight," she said.
There were reports earlier in the day that she would concede, but her campaign said she was "absolutely not" prepared to do so.
Two New York lawmakers also told CNN on Tuesday that during a conference call Clinton expressed willingness to serve as Obama's running mate in November.
One source told CNN that Clinton told those on the call that if asked by Obama, she would be interested in serving as his running mate.
One of the lawmakers said Clinton's husband, former President Bill Clinton, has been pushing the idea privately for several weeks.
The Clinton campaign maintains the New York senator merely said she would do whatever is in the party's best interest, and that her comments Tuesday are no different than what she has been saying for weeks.
Clinton said she would meet with supporters and party leaders in the *coming days to determine her next steps. She also asked people to go to her Web site to "share your thoughts with me and help in any way that you can."

CNN has projected that Clinton will win the primary in South Dakota and Obama will take Montana. Those states marked the final contests in the primary season.
Obama praised Clinton's campaign. He has been speaking favorably of the New York senator as his focus has turned toward the general election and his battle against John McCain, the presumptive GOP presidential nominee.
"Senator Hillary Clinton has made history in this campaign not just because she's a woman who has done what no woman has done before, but because she's a leader who inspires millions of Americans with her strength, her courage, and her commitment to the causes that brought us here tonight," he said.
Diving into general election mode, Obama turned his attacks to McCain, saying it's "time to turn the page on the policies of the past."
"While John McCain can legitimately tout moments of independence from his party in the past, such independence has not been the hallmark of his presidential campaign," he said.
"It's not change when John McCain decided to stand with George Bush 95 percent of the time, as he did in the Senate last year."
Source: CNN.com

Sunday, June 1, 2008

The CHURCH AND POLITICS!

Dear readers!
After a long quitness, I thought I should share with you this article on the position of the church of God in politics!
In the contemporary state, citizens participate in the government of the country by voting. Most of them belong to political parties, movements, unions, blocs and other suchlike organisations based on various political doctrines and views. These organisations, seeking to order social life according to the political convictions of their members, have as one of their goals to hold or reform power in the state. Exercising powers given to them by popular vote during elections, political organisations can participate in the work of the legislative and executive power structures.

The presence in society of different, sometimes opposing political convictions and discordant interests generates political struggle which is waged by both legitimate and morally justified methods and methods sometimes contradicting the norms of public law and Christian and natural morality.

Work of the church of God:
According to God’s commandment, the church has a task to show concern for the unity of her children and peace and harmony in society and the involvement of all her members in common creative efforts. The Church is called to preach and build peace with outer society:
“If it is possible, as much as lieth in you, live peaceably with all men” (Rom. 12:19);
“Follow peace with all men” (Heb. 12:14).
It is even more important for her, however, to be internally united in faith and love: “I beseech you, brethren, by the name of our Lord Jesus Christ… that there be no divisions among you; but that ye be perfectly joined together in the same mind” (1 Cor. 1:10).
For the Church the highest value is her unity as the mysterious body of Christ (Eph. 1:23) on which the eternal salvation of humanity depends.

In face of political differences, contradictions and struggle, the Church preaches peace and co-operation among people holding various political views. She also acknowledges the presence of various political convictions among her episcopate, clergy and laity, except for such as to lead clearly to actions contradicting the faith and moral norms of the church Tradition.

It is not good for the Church’s Supreme Authorities and for the clergy, to participate in such activities of political organisations and election processes as public support for the running political organisations or particular candidates, election campaigns and so forth. As for me, the clergy should not be allowed to be nominated for elections to any body of representative power at any level. However, nothing should prevent bishops, clergy and laity from participation in the expression of the popular will by voting along with other citizens.

In church history there were not a few cases when the whole Church gave support to various political doctrines, views, organisations and leaders. In some cases, this support was linked with the need for the Church to defend her fundamental interests in the extreme conditions of anti-religious persecution and the destructive and restrictive actions of the non-Christian power. In other cases, this support resulted from the pressure from the state or political structures and usually led to divisions and controversies within the Church and to the falling away of some of her people infirm in their faith.

In participating in government and political processes, it is important that christians base their work on the norms of the gospel’s morality, the unity of justice and mercy (Ps. 85:10), the concern for the spiritual and material welfare of people, the love of the fatherland and the desire to transform the surrounding world according to the word of Christ.

At the same time, the Christian, a politician or a statesmen, should be well aware that in historical reality and, all the more so, in the context of today’s divided and controversial society, most decisions adopted and political actions taken tend to benefit only a part of society, while restricting or infringing upon the interests and wishes of others - majority. Many such decisions and actions are stained with sin or connivance with sin. Precisely for this reason I urge therefore the Christian politician or statesman to be extra sensitive spiritually and morally.

I would urge Christians who work in the sphere of public and political building to seek the gift of special self-sacrifice and special self-denial. They need to be utterly attentive to their own spiritual condition, so that their public or political work may not turn from service into an end in itself that nourishes pride, greed and other vices. It should be remembered that “principalities or powers, all things were created by him, and for him… and by him all things stand” (Col. 1:16-17).
Christians in power get to know that it is with Christ that you command, with Christ that you govern, from Him that you have received the sword. And a true king is he who conquers anger and jealousy and voluptuousness and subjects everything to the laws of God and does not allow the passion for pleasure to prevail in his soul. I would like to see such a man in command of the people, and the throne, and the cities and the provinces, and the troops, because he who subjected the physical passions to reason would easily govern people also according to the divine laws… But he who appears to command people but in fact accommodates himself to wrath and ambition and pleasure, … will not know how to dispose of the power”. Am sure if all our leaders who claim to be christians had exercised the above few principles, today we would not be hearing of "UFISADI or CORRUPTION" in Tanzania and the rest of the world.

Christian politicians, fear the Lord and love justice, you will be blessed!