Friday, May 22, 2009

Obama akutana na Rais Jakaya KIkwete


Awa kiongozi wa kwanza wa Afrika kukutana na Rais huyo wa Marekani. Rais Obama asema kuwa inatokana na uongozi ulitukuka wa kiongozi wa Tanzania. Rais Obama ahaahidi kuendelea kusaidia jitihada za Serikali ya Rais Kikwete kuleta maisha bora kwa Watanzania. Ataka kuja kutembelea Tanzania wakati wowote Rais Kiketwe akiwa tayari kumwalika

SEMINA YA UJASILIAMALI NCHINI

Ile kampuni inayokua kwa kasi kubwa hapa nchini ya DigitalBrain imeandaa semina kubwa ya wajasiliamali hapa nchini itakayofanyika hapa Dar es Salaam siku ya jumamosi ya tarehe 6/June/2009 katika ukumbi wa baraza la maaskofu Tanzania.
Semina hiyo ambayo itakuwa ni ya siku moja kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni itakuwa na lengo la kuwainua wajasiliamali wadogo na wale ambao badi hawajaanza ujasiliamali na wanataka kuingia kwenye ujasiliamali.
Kutakuwa na waalimu mbalimbali ambao ni wajasiliamali kwa vitendo.Kitu cha tofauti katika semina hiyo ni kwamba baadhi ya walimu wake ni watu wasio na elimu kubwa ya darasani lakini wanaelimu kubwa na uzoefu mkubwa wa jinsi ya kufanya ujasiliamali.Ni watu waliofanikiwa sana sana katika biashara na watashiriana na wewe utakaye hudhuria matamu na mahcungu ya ujasiliamali.
Kiingilio katika semina hiyo ni TSh. 20,000/- tu na formu za kujiunga zinapatikana katika ofisi za DigitalBrain pale Samora Avenue, Kelvin House, 2nd Floor, (jirani na ilipokuwa salamander -opposite na duka la simu la sapna).
Unaweza kusikiliza baadhi ya matangazo ya semina hiyo live kutoka WAPO Radio FM kwa kutembelea tovuti ya DigitalBrain ambayo ni www.digitalbraintz.com .
Kwa maelezo zaidi wasiliana na DigitalBrain kwa namba hii 0713-427857 au +255-713-427857 au email info@digitalbraintz.com
DigitalBrain---By the renewing of your mind...

Saturday, May 9, 2009

Waziri Mkuu wa Kenya-Raila Odinga abatizwa

Pastor David Owuor comes across as one of the more colourful and esoteric voices in Kenya’s growing legion of fire-and-brimstone evangelical preachers.

His long dreadlocked beard lends him instant recognition, but there can be nothing that more vividly marks his acceptance into the mainstream than his new standing as the preacher who baptised Prime Minister Raila Odinga.

Having made a career out of constant predictions of earthquakes, Pastor Owuor now has the keys to the corridors of power where his prescriptions to avert doomsday might find sympathetic ears.

Repentance day

Indeed soon after immersing Mr Odinga in water, the preacher announced he would be convening a meeting between himself, the PM and President Kibaki to plan a national day of repentance.

Mr Odinga concurred: “Very soon, the President and I are going to announce the specific date on national repentance in which I will ask all people to observe a day of repentance in seeking God’s intervention and direction,” he said.

It would indeed be a major feat if Pastor Owuor becomes the main preacher on such an occasion, usually the preserve of the Catholic, Anglican, Islamic, Presbyterian and other mainstream denominations.

Pastor Owuor first came to the limelight with his October 2005 predictions of an earthquake that would bring down Nairobi’s tallest buildings. It did not come to pass.

Still, the pastor has not been discouraged from regular prophesies. He also has not been shy to seize upon events, like the earth tremors in 2007, as proof that his prophecies are accurate.

On Monday evening, Pastor Owuor dipped the PM into the water of a swimming pool at a residence on Riverside Drive, Nairobi, and was catapulted to the national limelight.

His future predictions will not be so easy to dismiss henceforth, if he is seen to have the devoted followers amongst the high and mighty.

Followers of his Holiness and Repentance Ministries began trooping into the home at around 11am.

The women wore long dresses and scarves that covered the hair. In the crowd were a few Asian women in saris. The men were in suits and ties and soon, the choir began belting out Gospel tunes as a pianist ran his fingers over an electronic keyboard.

The baptism ceremony was set to begin at 2pm. A tent was set up behind the house, just next to the pool, and decorated with blue and white ribbons and balloons. The pool was a glittering clean, and the breeze formed ripples on the water.

After sodas and cakes, the congregation settled to wait for the PM as journalists began to arrive. It turned out to be a long wait and a few hours later, at 5.35pm, the PM’s motorcade entered the compound.

The ceremony was fulfilment of a promise more than a month earlier, on March 28, when the PM showed up at one of Pastor Owuor’s huge rallies in Nakuru and declared that he was born-again.

On arrival, Mr Odinga greeted the congregation and then went into a private meeting with Pastor Owuor, to emerge having changed from the dark business suit he wore earlier at his meeting with President Kibaki, into a spotless white ankle-length tunic ready for baptism.

Prayers and sermons and a reading from the book of Matthew on the baptism of Jesus Christ by John at the River Jordan followed.
Source:www.nation.co.ke

Monday, May 4, 2009

Azimia baada ya kusikia kishindo cha nyundo-Mbagala

MKAZI wa Mbagala Kuu, Grace Songo jana alianguka chini ghafla na kupoteza fahamu baada ya kusikia kishindo cha nyundo kilichofanana na mlipuko wa mabomu.

Songo alipoteza fahamu baada ya kusikia kishindo cha nyundo wakati mmoja wa waathirika wa mabomu hayo alipokuwa akifanya marekebisho ya nyumba ili apate sehemu ya kuwahifadhi watoto wake baada ya kukosa msaada wa mahema tangu alipokumbwa na maafa hayo.

Hata hivyo saa tatu baadaye Mwananchi ilimfuata mama huyo nyumbani kwake na kuzungumza naye baada ya kupata nafuu alisema "bado tumekumbwa na wasiwasi hasa ukizingatia kwamba wakati mlipuko wa mabomu unatokea nilikuwa hapa nyumbani na nyumba yangu pia imeathirika."

Alisema hali hiyo haimtokei yeye peke yake bali ni watu wengi wanazimia baada ya kusikia mlipuko ama kishindo chochote kinachotokea karibu na maeneo hayo.

Wasiwasi huo umezidi kuwakumba baadhi ya wakazi wa maeneo hayo ikiwa ni siku sita tangu kutokea kwa mlipuko wa mabomu katika kambi ya Jeshi la Wananchi Tanzania kikosi cha 671 na kuteketeza kaya zaidi ya 800 na watu zaidi ya 20 kupoteza maisha.

Kuhusu hali ya msaada Songo alilalamikia utaratibu unaotumika katika kugawa misaada hiyo.

"Tangu tukumbwe na janga hili hatujapata msaada wowote tunalala nje na tunashinda njaa ingawa misaada inatolewa kila siku, lakini baadhi ya watu wanaonufaika si waathirika halisi wa tukio hili,”alisema Songo.

Hata hivyo Mwananchi pia ilishuhudia baadhi ya waathirika wanaoishi mbele ya kituo cha kugawa msaada wakimlalamikia msimamizi wa chama cha msalaba mwekundu, Stella Marealle pamoja na Afisa Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Temeke na mwenyekiti wa ugawaji wa misaada John Bwana kuwa hajapata msaada wowote huku akilala nje na watoto wake.

Mmoja wa waathirika Daniel Kisa ambaye nyumba yake imeharibiwa na mabomu hayo alisema kuwa "tangu nyumba yangu iharibiwe na mabomu ninaishi kwa wasiwasi mkubwa wa bomu kuwepo eneo hili hasa baada ya askari wa JWTZ kuchimbua bomu ambalo halijalipuka nyuma ya nyumba yangu hii inazidi kunipa wasiwasi."

Source: Mwananchi

Tamasha la kuwachangia walemavu wa ngozi lafana Dar es Salaam










Siku ya may mosi tarehe 1/5/2009 katika ukumbi wa Diamond Jubilee hapa jijini Dar kulifanyika tamasha lililofana sana japo lilihudhuriwa na watu wachache sana.Tamasha hilo la uimbaji lililokuwa na lengo la kuunga mkono juhudi za serikali za kupinga mauaji ya ndugu zetu walemavu wa ngozi au maalibino lilipambwa na waimbaji nguli mbalimbali na vikundu vingine maarufu vya uambaji.Waimbaji kama Flora Mbasha aliyeimba kibao chake cha wanawake ni jeshi kubwa katika mahadhi ya vanga na mchiriku,Upendo Nkone aliimba Upendo wa Yesu , Christian Shushu aliiamba kibao kinachoshika chati kwa sasa cha Simama tumsifu Bwana.Boniface Mwaitege yeye alikuja na tazama matendo, Jackson Benti alimtukuza Mungu na kibaho cha Yesu mpenzi kikiwa katika mahadhi ya taarabu.Bila kumsahau Joseph Nyuki aliburudisha vilivyo na vibao vyake.
Tamasha hilo liliongozwa na mc anayechipukia kwa kasi hivi sasa na mtangazaji mwenye kipaji cha kipekee kabisa hapa Tanzania , Rita Chuwalo.Mlima Sayuni unaungana na serikali yetu katika kulaani vikali mauaji ya maalbino hapa nchini na popote pake duniani.