Mzee wa Upako Mchungaji Anthony Lusekelo ametangaza hivi sasa kupitia kituo cha television cha Channel Ten....kuwa mvuo kubwa iliyotangazwa na mamlaka ya hali ya hewa kuwa itanyesha jijini Dar es Salaam kwa siku tatu na kuwa italeta maafa haitaleta; haitaweza kuleta maafa kwa kwa neno lake na yeye kama mtumishi wa Mungu anao uwezo wa kuzuia na kuleta mvua.Akiongea kwa kujuiamini na mamlaka kubwa amesema kuwa anaongea wazi wazi bila kificho kupitia TV usiku huu ili kila mtanzania afahamu na kujua kuwa yeye anaye Mungu aliye hai na ni mtumishi wa Mungu.Amesema kuwa kama mvua hiyo itanyesha na kusabaisha maafa makubwa kama yaliyotokea basi yeye atajiuzuru uchungaji.Ila kama haitanyesha basi watu wasione aibu kukiri kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu....amesema mvuo hiyo itanyesha kwa kawaida tu na haitakuwa na maafa makubwa kama ilivyotarajiwa kwani yeye ameshamuomba Mungu isilete maafa na imeshakuwa hivyo.Akianza kwa kusema kuwa maafa yaliyotokea Dar es Salaam wiki iliyopita ni kwa sababu yeye hakuwepo mjini Dar es Salaam ndio maana ilinyesha ila hii ya sasa haitanyesha....!
Hii ni Blogu ya watu wote...uwe huru kuchangia neno lolote unaloona linafaa kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo
Wednesday, December 28, 2011
BREAKING NEWS....!
Mzee wa Upako Mchungaji Anthony Lusekelo ametangaza hivi sasa kupitia kituo cha television cha Channel Ten....kuwa mvuo kubwa iliyotangazwa na mamlaka ya hali ya hewa kuwa itanyesha jijini Dar es Salaam kwa siku tatu na kuwa italeta maafa haitaleta; haitaweza kuleta maafa kwa kwa neno lake na yeye kama mtumishi wa Mungu anao uwezo wa kuzuia na kuleta mvua.Akiongea kwa kujuiamini na mamlaka kubwa amesema kuwa anaongea wazi wazi bila kificho kupitia TV usiku huu ili kila mtanzania afahamu na kujua kuwa yeye anaye Mungu aliye hai na ni mtumishi wa Mungu.Amesema kuwa kama mvua hiyo itanyesha na kusabaisha maafa makubwa kama yaliyotokea basi yeye atajiuzuru uchungaji.Ila kama haitanyesha basi watu wasione aibu kukiri kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu....amesema mvuo hiyo itanyesha kwa kawaida tu na haitakuwa na maafa makubwa kama ilivyotarajiwa kwani yeye ameshamuomba Mungu isilete maafa na imeshakuwa hivyo.Akianza kwa kusema kuwa maafa yaliyotokea Dar es Salaam wiki iliyopita ni kwa sababu yeye hakuwepo mjini Dar es Salaam ndio maana ilinyesha ila hii ya sasa haitanyesha....!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment