Saturday, March 16, 2013

Pastor Peter Mitimingi

Ni mmoja kati ya wachungaji ninaowafahamu kwa zaidi ya miaka 15 iliyopita ambao Mungu amewainua sana kihuduma,kiupako,kijamii na kifedha.Pichani ni picha za pastor Mitiminig akiwa Marekani kwa shughuli za kihuduma.Hapa akiwa katika ndege ya kukodi kutoka Mexico kwenda Califonia kwa ajili ya kuwahi mikutano mingine ya injili.Kwa jinisi ninavyomfahamu naweza kusema kwa dhati kabisa kuwa hakika Mungu anainua na kubariki watu wake.










No comments: