Lengo na dhumuni la nakala hii ni kusupport mawazo ya ndugu Lema ambaye ameandika nakala ya iliyotangulia;
Unajua kwa nini viongozi wetu wa dini wako kimya? Wako kimya kwa sababu hawatoki tena mbinguni.Wanatoka duniani.Wanaitegemea serikali badala ya serikali kuwategemea wao ,''tumepewa mamlaka'' inaishia madhabahuni
Nimefundishwa kanisani na nimeelewa uhusiano uliopo kati ya Kristo na Kanisa, achilia mbali kufundishwa kwenye mafundisho ya ndoa kwa undani zaidi, lakini kila mchungaji padri,maaskofu makadinali wanayajua haya, kuwa kanisa ni mfano halisi wa mwanamke!
Linatakiwa liwe na sifa zote za mwanamke, ambazo ni pamoja na utii,upendo,kujali,kukusanya kulinda n.k
Pamoja na kuwa tunaweza kuringa tuna roho mtakatifu hata na kuwa na nguvu za kuhamisha milima,kufufua wafu,katu bila upendo unaoendana na matendo halisi ya wakati na mahali husika karama zetu na kazi zetu ni bure,bila kuwa na moyo,hari na uwezo wa kutetea haki hatufai utumishi wetu tutaulizwa,wapentekoste wangapi wanalea yatima?,maskini?,wajane? n.k, ni aibu ya kuwa pengine wamataifa wametuzidi kwa mbali sana.
Kwa sababu tunajiona tumefika mbinguni,upako tulionano pengine umetupofusha? Nitakataa kumbe penye upako au nguvu za Mungu kuna haki kuna ukweli,kuna ujasiri kama wa Stefano akifa bila kumkana Yesu, Kama tunasema Mungu habadiliki ni yule jana leo na hata Milele,tunaambiwa pia Eliya alikuwa mtu wa kawaida sawa na sisi aliamuru Mvua isinyeshe na ikawa,naam zaidi tunaishi pia katika kipindi ambacho Roho mtakatifu ni dhahiri kwa watu walioamini, wakati zamani nguvu hizo zilikuwa kwa wachache na ndio tunaowasoma hata leo. Wako wapi akina Daniel,Shadrack, Meshack na Abedinego,nimesikia kuna manabii wengi zama hizi , wako wapi akina Yohana mbatizaji ambaye alieleza uovu wa kiongozi serikalini!??????
Watu wanaishi kwa taabu nchi hii, maisha Magumu, rushwa kila mahali,ubadhirifu wa fedha za umma uko dhahiri, haki kupindishwa, uonevu mahali mahali, wakati kuwa Kuna baadhi ya viongozi wa dini wanadai waliomba wakajibiwa na kuwa ni majibu ya Mungu kuwa na viongozi tulionao sasa! Nikaamini zama za viongozi kupakwa mafuta kumbe hata sasa zipo japo si za moja kwa moja ‘indirectly’ .Nikaamini basi watatokea akina Samweli na Nathani enzi za mfalme Sauli na Daudi ambao watakosoa utendaji kazi mbovu, baadhi ya mambo yasioyosahihi ya serikali,vyama,taasisi hata zisizo za kiserikali.Mmekaa kimya kama vile sio viongozi wa kanisa.Yesu ni Mfalme wa wafalme, yuko juu ya serikali na mamlaka zote, Yesu huyo mnae tena kila siku mnawaita watu waje kuombewa magonjwa mbalimbali yakiwemo ukimwi ambao nimeona kwa macho yangu watu wanapona hata kama serikali haitaki tuseme,
Kanisa likae kimya juu ya ununuzi wa rada, ndege ya raisi,matumizi mabaya ye serikali,kunyima haki watu, maisha ya taabu na dhiki wanayoishi watanzania,EPA,RICHMOND,? Kama tunaambiwa tuheshimu mamlaka ni pamoja na kuiambia ukweli, si mamlaka zote zinaheshimiwa kwani sidhani kama Mungu anaweza kuweka mamlaka kama za akina madikteta tunaowajua kama hatukutaka wenyewe!
Kanisa ni dhaifu kwa sababu tuna viongozi wa makanisa dhaifu katika kutambua na kuelewa wajibu wao katika jamii si kiroho tu bali hata kimwili.Yale yaliyo katika uwezo wetu kuyafanya mnatakiwa mfanye kwani ninyi ni miungu(Zaburi 82:6, Yohana 10:34) .
Waumini wenu au washirika wenu, wamesalitiwa vyama vinavyojiita vya upinzani vimewasaliti maana havina mpango wa kuungana pamoja kilammoja anataka chake,baadhi ya wasomi wakiwemo maprofesa wamewasaliti, wengine mmewaona juzi wakitoa maamuzi ya kisiasa wakati wao wasomi, Siasa imeingia kwenye elimu ambayo ni dira ya taifa,kodi wanazotoa waumini wenu na nyie maaskofu zinaharibiwa. Yesu alikasirika siku moja alipoingia hekaluni na kukuta minada inaendelea badala ya neno la Mungu,hekalu la sasa ni mtu.Tumaini la watanzania liwe viongozi wao wa kanisani.
Hawa wasomi, viongozi wa serikalini mafisadi ni waumini wenu na mnachukua sadaka zao! Mambo wanayopitia kizazi cha sasa ndio kinaelezea aina ya viongozi ambao tutakuwa nao baadae, aina ya wachungaji ambao tutakuwa nao baadae, hali ya maisha ya sasa inelezea jinsi ambavyo ni vigumu kwa viongozi wa kanisa kukataza rushwa hapo baadae,mmeona jinsi ambavyo mkuu wa mkoa wa DSM akipiga vita wasichana kujiuza mwili, wameacha au wamebadilisha maeneo?, jamani manabii,mitume,walimu,wainjilisti,wachungaji mko wapi? Au kwa sababu zaka na sadaka vinaletwa tu? Lakini hao waumini wenu watafika mbinguni??? hizo sadaka na zaka zinapatikana kihalali?(Fikiria wewe ni mchungaji wa Lowassa mpaka anapata aibu ile si ni aibu ya kanisa!! wewe mchungaji ulikuwa haujui kuwa ana tatizo, la hata inawezekana kweli ulikuwa haujui kwa jinsi ya kibinadamu, je Roho hakukuambia?? kama hakukuambia basi hauombi! na kama hauombi basi haufai kuwa mchungaji!!! na kama ulijua ukaka kimya dhambi hiyo pia ni yako.Timotheo aliambiwa ONYA, KARIPIA maana mchungaji wa kweli aliyejazwa Roho , hekima na mamlaka viongozi wa serikali wanatetemeka maana sio wewe unayeishi bali ni kristo) kuna mtu atasema mchungaji yule wa Lowassa hajaokoka , je ni wachungaji wangapi waliookoka wangeweza kuzuia kama yasimtokee Lowassa kamaLowassa angekuwa muumini wa kanisa lake??
Amkeni maaskofu kondoo wenu wanararuliwa kwani nyie ni viongozi wa mshahara?, Yesu alisema kiongozi mwema yuko tayari kuutoa uhai wake kwa ajili ya wengine.Mna Mungu anayetisha, anayeweza,wa haki muwazi mkweli,hashindwi,haogopi!.Jamani hata sasa tunahitaji kuwaona mashujaa wa Imani za kiroho na kimwili,hata kama hawataandikwa kwenye biblia mbinguni wataandikwa!
Ukiwa na viongozi wa kidini vipofu,wasiosema kitu wala kukaripia serikali kama akina Gamanywa,Kulola n.k ambao kwa nafasi zao walitakiwa wawe wakali na hakika Taifa lingewaogopa na kuwaheshimu si siri na si bure viongozi wa kilokole Tanzania hawaheshimiwi huwezi kufananisha heshima ya Pengo serikalini na Kulola?? Hiyo nguvu isiishie kuombea watu Yohana alimbatiza mpaka Yesu bado akaenda gerezani kwa kusema kuwa mkuu serikali ni mzinzi, je ni ngumu sana kwa mtu kama Gamanywa kukemea uovu nay eye ni mwenyekiti wa makanisa ya kipentecost!! Kalagabaho watu wanafanya biashara zao na wako tayari ku-compromise GOD’s standard by using money!! Sio kwamba simpendi nazungumza kwa nafasi yake na vita ya maisha bora tunayoyalilia.
Urafiki huu na uoga huu tutaletewa sheria ambazo watapitisha waumini wenu ili hali nyie mmekaa kimya.Wabunge wa Afrika kusini waliopitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja, hivi hawa hamna wakristo?, si wana viongozi wao wa kanisa.Basi tunaweza kusema ndiyo wanayofundishwa kanisani? La! sasa wanatoa wapi.Kuchekea na kudharau mambo madogo huzaa makubwa,Kanisa lingekuwa na nguvu hata hiyo hoja ya mahakama ya kadhi wangejiuliza mara mbili kama waizue au wakae kimya , kutokana na udhaifu wa Kanisa linajadiliwa mpaka kuundiwa tume inayolipwa na kodi za waumini wa kanisa! Wameona sisi ni dhaifu tuko kimya kazi kuandaa matamasha na kuwaita viongozi wa serikali wazindue albamu na kugawa tuzo! Tumemwachia kazi hii Mtikila!!
Tusiangamie kwa kukosa maarifa yaliyo katika uwezo wetu kuyafanya tunayafanya,tuna mamlaka,tuna Mungu,tuna Roho tuna elimu,tuna mdomo tuna la kusema,hatujachelewa bado,kumbe kweli mmomonyoko wa maadili,maisha ya taabu ya wananchi kanisa limechangia.Hivi ndio Nionavyo mimi INAWEZEKANA AMKENI!!
‘’Lakini nawasihi, ndugu,mchukuliane na neno hili lenye maonyo maana nimewaandikia kwa maneno machache’’ Waebrania 13:22
Nakala hii pia niliitoa gazeti la nyakati toleo la 335 May 2007, edited to suit now.
Kalenge-Canada
Imanimartini2222@gmail.com
Hii ni Blogu ya watu wote...uwe huru kuchangia neno lolote unaloona linafaa kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo
Saturday, March 8, 2008
Friday, March 7, 2008
UMUHIMU WA KANISA KATIKA SIASA NCHINI TANZANIA
UMUHIMU WA KANISA KATIKA SIASA NCHINI TANZANIA
Ndugu wana-Kanisa la Tanzania, na wana-blog wote wa SAYUNI Amani, Upendo,na Furaha atoavyo Yesu Kristo viongezwe kwenu wote daima.
(*** Hii ni makala ambayo nimeipeleka katika gazeti la Kikristo hapa Tanzania la Nyakati na pia nimeona vyema kuileta hapa katika mlima huu wa Sayuni)
Nimeguswa siku hii ya leo kusema kidogo yale Mungu aliyoyaweka katika moyo wangu kuhusu uhusiano katika ya Kanisa na siasa ya nchi hii. Nimesikia watu wengi wakitoa mawazo yao, na mimi sipo hapa kuwaponda bali natoa na mimi kile Mungu alichoweka ndani ya moyo wangu. Ni maombi yangu pia kuwa nitakachokisema hapa kitakuwa cha kuujenga mwili wa Yesu na si kuuharibu.
Ninajua watu wengi mno wamekuwa WAKISISITIZA kuwa kanisa haliruhusiwi kabisa kuchangamana/kujihusisha/kuhusika katika siasa, lakini mimi ninaamini kabisa kuwa kanisa lina sehemu yake kubwa mno katika siasa.
Ninachoamini moyoni mwangu ni kwamba kanisa lina mchango mkubwa sana katika mwelekeo wa siasa za nchi ikiwemo Tanzania. Naomba tukubaliane kwanza kwamba hali ya kisiasa ya nchi yoyote iwe mbaya au nzuri inawaathiri watu wa nchi ile wote, kanisa likiwa mmojawapo.Hali ya kisiasa ikiwa mbaya katika nchi wote tunafahamu ni nini matokeo yake,na tunajua kuwa athari zake zitalipata na kanisa pia,kama tulivyoona yaliyotokea kwa wenzetu wa Kenya.
Kutokana na hali hiyo niliyoeleza, ina maana kuwa sisi kama Kanisa tusipofanya sehemu yetu katika kushughulikia hali ya kisiasa ya nchi yetu,tutakuwa tunajiwekea makaa ya mawe vichwani mwetu au kukata tawi tulilokalia.
Kwanza kabisa,Ndugu zangu,ninachofahamu mimi ni kuwa Serikali ya nchi hii(na yoyote) inatakiwa kufanya shughuli zake kwa kufuata ushauri wa karibu sana kutoka kwa Kanisa,yaani kwa kuliangalia kanisa namna linavyofanya mambo yake,kanisa likiwa kama mwakilishi wa Mungu hapa duniani.Twaweza kuliona hili tukiangalia kwa undani safari ya wana wa Israeli kule jangwani kuelekea Kanani.Tuangalie pale walipofika katika mto Jordan.(Yoshua3 hadi 4).Tuangalie Yosh3:3;”Wakawaamuru watu wote wakisema,mtakapoliona sanduku la agano la BWANA, Mungu wenu, na makuhani walawi wakilichukua,ndipo mtakapoondoka hapa mlipo na kulifuata” Ninaamini kuwa wengi tunafahamu kuwa sanduku la agano ndani yake kulikuwa na ‘ushuhuda’ yaani Neno la Mungu,kwahiyo kwa sasa maana yake na Neno la Mungu.Halafu wale makuhani walawi kwa sasa ndio watumishi wa Mungu (kanisa),na Roho Mtakatifu ameweka ndani yangu yale maji ya mto Yordani kuwa tafsiri ya Hali muhimu inapopitia nchi yeyote,na kwasasa tukizungumza kuhusu hali ya kisiasa.Tukiutafsiri huo mstari hapo juu ina maanisha kuwa, watanzania(wakiwemo viongozi wa serikali) wanaambiwa kuwa “Mtakapolisikia/Kuliona Neno la Mungu, na Kanisa/watumishi wa Mungu wakilibeba (kulihubiri),ndipo ninyi mtakalifuata hilo Neno wanalolisema kuhusu siasa/uongozi” Na ukiusoma mstari wa Nne kipengele “b” kinasema kuwa “Kwa maana hamjapita njia hii bado”. Ninapenda kusisitiza kuwa inatulazimu sasa kanisa tuifute kabisa ile dhana ya kuiona siasa kama dhambi,kwani inatupeleka sisi wenyewe pabaya.Kanisa linawajibika katika siasa katika njia mbalimbali, si lazima watumishi wote tuhamie kwenye siasa,hapana. Ukiendelea kusoma kitabu hicho cha Joshua sura ya 3 na 4 zote,utaona kuwa wale makuhani waliobeba sanduku la agano walipotia miguu yao katika mto Yordani yale maji,tena mengi ya ule mto yalisimama na wale makuhani waliendelea kusimama pale ndani ya kingo za mto hadi wana wa Israel wakavuka WOTE,Ndipo Yoshua katika Yos 4 anawaamuru kuondoka.Hii ni ishara ya KUHITAJIKA KWA MAOMBI KUELEKEZWA KWA VIONGOZI NA WANASIASA.Maana yake,WOTE tuliookoka tunatakiwa kusimama katika mto Yordani(Yaani kuombea hali ya siasa ya nchi hii) mpaka hapo taifa letu litakapovuka kwa kufanikiwa katika eneo hili la siasa.Nawashauri sana ndugu zangu katika Kristo tuifanye kwa bidii njia hii moja ya kanisa kushiriki katika siasa(kuomba).Haifai kabisa sisi wapendwa kuanza kuwalaumu mafisadi na viongozi wabovu wakati tulikuwa hatuwaombei,it’s not fair,na tusipobadilika tunaweza kujuta siku moja(Ewe Mungu epusha hili)
Njia nyingine (ya pili) ya kanisa/watumishi/waliokoka kuhusika na siasa ni sisi wenyewe kuonesha mfano mzuri wa uongozi unafaa kuigwa na serikali,hiyo ni njia muhimu sana ndio maana kwenye Yoshua3:3 Mungu aliagiza taifa la Israel lifuate Neno la Mungu linalohubiriwa na Makuhani,yaani kanisa.Sisi kama kanisa tunatakiwa tuweke mfano bora,iweje tulaumu kuwa kiongozi amekaa madarakani muda mrefu sana kama kanisani tunao viongozi kama hao pia? Nakumbuka mtumishi mmoja aliwahi kuwauliza watu mahali kama ni watu wangapi makanisa yao yana miradi?Wengi sana walinyoosha mikono.Halafu akauliza, wangapi wameridhishwa na jinsi miradi hiyo inavyoendeshwa?Asilimia kubwa walionyesha kutokuridhishwa kabisa.Sasa ndugu zangu, kama sisi kanisa tutashindwa kuendesha mradi wa shs laki tano, itakuwaje tumlaumu kiongozi aliyeshindwa kutunza mabilioni ya serikali?Je hakuiga kanisani huyu?.Tumeilaumu serikali kuwa haiwajali vijana ipasavyo, je kanisa tunajali vijana, hebu tuangalie namna kanisa linavyoutunza UKWATA na vikundi vingine vya vijana mashuleni na hata makanisani,asilimia ngapi ya bajeti inawalenga vijana? Je serikali haijaiga kwetu? Hatujachelewa sana, we still have time ,let’s make the most of it, tubadilike sasa,tuoneshe mfano bora kwa wanasiasa.
Njia nyingine sasa ni hii ya UONGOZI,Nasisitiza kabisa UONGOZI, watu wamepinga sana watumishi wa Mungu kuingia katika uongozi wa kisiasa, mngejua mimi namwomba Mungu atupe viongozi waliookoka WOTE,Hakuna raha kama hiyo.Tatizo ni kwamba kanisa limejijengea mawazo kuwa siasa ni dhambi,au hata kama si dhambi, sisi watumishi wa Mungu haturuhusiwi kugusa siasa kabisa,ni rahisi kuhisi pia kuwa watu hawa huwa hawawaombei viongozi pia.Mimi ninaamini kuwa wapo watu wengi MNO katika hii nchi ambao Mungu amewapaka mafuta kuwa viongozi,ndiyo maana tukisoma habari za karama 1Wakorintho 12:28:Na Mungu akaweka wengine KATIKA KANISA,wa kwanza mitume.....manabii wa tatu waalimu kisha miujiza,kisha karama za kuponya wagonjwa,masaidiano na MAONGOZI na aina za lugha” Angalieni ndugu zangu Biblia imesema katika Kanisa kuna karama zote hizo,Tena Biblia za kiingereza (AMP) imewaita Administrators,yaani watawala/wasimamizi(viongozi)
Ni kweli kuwa si kila mtumishi amepewa kuwa kiongozi,na pia si wote wamepakwa mafuta ya uongozi wa serikali,wengine ni viongozi wa makanisa na huduma.Sina shaka kabisa kuwa wote tunafahamu Mfalme Daudi alipakwa mafuta kuiongoza Israel tena kwa miaka 40 kama mfalme,kiongozi wa nchi ile,tena tunajua kuwa Mungu alikuwa naye karibu sana akimwongoza namna ya kuiongoza ile nchi,hata katika vita alimwambia nini cha kufanya na wakashinda,na pia mwanawe Solomoni namna alivyomwomba Mungu naye akampa hekima kwa ajili ya kuwaongoza watu wake.Hebu mkumbukeni nabii Musa namna Mungu alivyomteremshia hekiama ya kuwaamua watu wake kupitia kwa mkwe wake Yethro kwenye Kutoka 18:13-26,Hebu mkumbukeni mfalme Yehoshafati wa 2Mambo ya Nyakati20 alichofanya.Alikuwa mfalme,wakavamiwa na adui,akenda kumwabudu Mungu,kisha akamwomba,Mungu akasema naye na kisha Mungu akawapigania taifa zima, hebu mkumbukeni mfalme Hezekia kwenye 2Walme18&19,walitishiwa kuvamiwa,tena kwa barua na ujumbe wa watu maalumu kutoka kwa Senakerib,yeye Hezekiah akawahi kumwonesha Mungu,na Mungu akawapigania na kuwaokoa.
Ninawasihi wale watumishi ambao wanajua Mungu amewapaka mafuta kuongoza nchi hii,wajifanye tayari kushika nafasi hizo.Ninaomba tena kanisa tubadilishe kabisa mtazamo huo,mnafahamu ndugu zangu,Kwa sababu kanisa limekuwa likiona kuwa halina uhusiano na siasa,limekuwa likiwalea wakristo,vijana katika namna ambayo haiwaandai kuwa viongozi wa nchi hii,matokeo yake wale vijana wakikua wanapewa uongozi,lakini kwa sababu kanisa halijawaandaa kuwa viongozi,wanafanya mambo wanayoyafanya halafu walezi wao (kanisa) wanajiunga kuwalaumu,wote si tunafahamu ni viongozi wengi ambao hawaongozi vizuri sasa ni wakristo,na hata kwenye sherehe zetu huwa tunawaalika?
Naamini wengi wetu tumewahi kusikia tetesi za kuhusishwa kwa viongozi wetu na mambo ambayo hayampendezi Mungu,je tungekuwa na viongozi waliookoka haya yangepitia wapi?Nadhani mnaamini kuwa kitendo cha kuvunjwa uhusiano wa kibalozi kati ya nchi yetu na Israel kimetuletea mabaya sana, je tungekuwa na viongozi waliookoka yangetufika haya?Hebu angalieni ile hekima Mungu aliyompa Mfalme Solomoni akaitumia kuamua kesi ya wanawake wale katika 1Wafalme3:16-28, je tungekuwa na viongozi waliookoka katika nchi yetu, ndugu zangu mikataba feki ingepitia wapi,huku tuna viongozi waliokoka na kanisa linawaombea mchana na usiku???Habari ya kuiingiza nchi kwenye IOC ingepitia wapi TUKISHIKA ZAMU ZETU?Jambo la Mahakama ya kadhi lingeanzia wapi?
Narudia kusema tena kuwa mimi simlaumu mtu,maana na mimi mwenyewe nipo ndani ya kanisa,lakini naweka changamoto hii kwa kanisa na wachungaji,wainjilisti na maaskofu wetu,tubadilike sasa,tushike zamu zetu katika siasa,Tuwaombee viongozi na wanasiasa,tuoneshe mfano bora na tuingie katika uongozi wa serikali(kama Mungu amekuita kwa ajili hiyo).Tukiendelea kukaa pembeni na kutazama,shetani atakuja saa tumelala,atawavuruga viongozi na watafanya mambo ambayo yatakuja kutudhuru sisi wenyewe kanisa.Tusikubali kukaa pembeni halafu tumwachie ibilisi aje na kupanda mbegu zake mbaya kwa wanasiasa.Si mnakumbuka kitu ambacho Mordekai alimwonya Nabii Esta kwenye Esta 4:12-14. Nasisitiza pia kanisa litie mkazo katika malezi ya vijana kuanzia ngazi ya chini,kuwalea kwa namna ambayo itawaandaa kuwa viongozi wazuri huko baadaye.
Kwa mfano tusipokuwa na vijana waliookoka wanaosomea sheria, je shetani hatawatumia wengine kutunga na kupitisha sheria ambazo ni kinyume na mapenzi ya Mungu katika nchi hii? Tusipokuwa na vijana waliookoka wanaosomea udaktari tutaweza kuwapata madaktari kama wale wakunga waliokuwa wakiwasaidia wanawake wa ki-Israel kujifungua wakati wa kuzaliwa Nabii Musa?
Lakini njia nyingine ya kanisa kuhusika katika siasa ni sisi watumishi wa Mungu KUWASHAURI viongozi.Ni wajibu wetu sisi kama watu tuliojazwa Roho Mtakatifu wa Mungu,watu tuliopewa kusema na kusikia kutoka kwa Mungu,kuwashauri viongozi wa serikali kile ambacho Mungu anatuambia sisi watumishi wa Mungu.Hiyo ni sehemu yetu na sisi na haifai kuikwepa kabisa.Natumaini wote tunajua kuwa kuongoza serikali si kazi rahisi hata kidogo,ni kazi nzito,hivyo kwa mfano kikitokea kitu kizito/kigumu hapa Tanzania ni lazima sisi makuhani tukae katika zamu zetu,twende kwa Mungu tukamuulize hapa tufanye nini? Atakachosema tuje kuwaambia viongozi wetu,hii ni muhimu.Hebu kumbukeni wakati ule wa Farao wa Misri na Yusufu,wakati Mungu alipomwonesha Yusufu miaka saba ya njaa iliyokuwa mbele ya taifa la Misri (Mwanzo 41:1-57),kisha akamwambia na kitu cha kufanya,(akamwambia waweke akiba kwa miaka saba),kisha Yusufu akamshauri Farao cha kufanya,na Farao akaamua kumteua kuwa waziri mkuu. Naona kama tungekuwa tumeshika zamu zetu vizuri,Mungu angesema nasi kuhusu ule ukame wa mwaka 2006 mapema kabla haujatokea,halafu angetuambia tujiandae vipi kuukabili,na nina uhakika kabisa UFISADI WA RICHMOND USINGETUPATA WATANZANIA,maana tungekuwa tumeshaandaliwa na Mungu mapema. Nawatia moyo tuifanye hii zamu yetu.
Ni wazi kabisa kuwa hali ya kisiasa ya Tanzania inashikiliwa na waombaji,nami nichukue nafasi hii kuwatia moyo katika Jina la Yesu,tukazaneni kutubu na kuomba kwa ajili ya eneo la siasa ,uchumi, amani na mambo mengine kwa ajili ya nchi yetu, Mungu aliyetuumba atatulipa kwa wakati tusipozimia roho.
Kwa moyo wangu wa dhati namrudishia Mungu atawalaye bila mwisho utukufu wote,wote kabisa.
Mungu awajaze nguvu zake kwa kusudi lake.
Frank Lema
www.lema.or.tz
savedlema@yahoo.com
Arusha.
Ndugu wana-Kanisa la Tanzania, na wana-blog wote wa SAYUNI Amani, Upendo,na Furaha atoavyo Yesu Kristo viongezwe kwenu wote daima.
(*** Hii ni makala ambayo nimeipeleka katika gazeti la Kikristo hapa Tanzania la Nyakati na pia nimeona vyema kuileta hapa katika mlima huu wa Sayuni)
Nimeguswa siku hii ya leo kusema kidogo yale Mungu aliyoyaweka katika moyo wangu kuhusu uhusiano katika ya Kanisa na siasa ya nchi hii. Nimesikia watu wengi wakitoa mawazo yao, na mimi sipo hapa kuwaponda bali natoa na mimi kile Mungu alichoweka ndani ya moyo wangu. Ni maombi yangu pia kuwa nitakachokisema hapa kitakuwa cha kuujenga mwili wa Yesu na si kuuharibu.
Ninajua watu wengi mno wamekuwa WAKISISITIZA kuwa kanisa haliruhusiwi kabisa kuchangamana/kujihusisha/kuhusika katika siasa, lakini mimi ninaamini kabisa kuwa kanisa lina sehemu yake kubwa mno katika siasa.
Ninachoamini moyoni mwangu ni kwamba kanisa lina mchango mkubwa sana katika mwelekeo wa siasa za nchi ikiwemo Tanzania. Naomba tukubaliane kwanza kwamba hali ya kisiasa ya nchi yoyote iwe mbaya au nzuri inawaathiri watu wa nchi ile wote, kanisa likiwa mmojawapo.Hali ya kisiasa ikiwa mbaya katika nchi wote tunafahamu ni nini matokeo yake,na tunajua kuwa athari zake zitalipata na kanisa pia,kama tulivyoona yaliyotokea kwa wenzetu wa Kenya.
Kutokana na hali hiyo niliyoeleza, ina maana kuwa sisi kama Kanisa tusipofanya sehemu yetu katika kushughulikia hali ya kisiasa ya nchi yetu,tutakuwa tunajiwekea makaa ya mawe vichwani mwetu au kukata tawi tulilokalia.
Kwanza kabisa,Ndugu zangu,ninachofahamu mimi ni kuwa Serikali ya nchi hii(na yoyote) inatakiwa kufanya shughuli zake kwa kufuata ushauri wa karibu sana kutoka kwa Kanisa,yaani kwa kuliangalia kanisa namna linavyofanya mambo yake,kanisa likiwa kama mwakilishi wa Mungu hapa duniani.Twaweza kuliona hili tukiangalia kwa undani safari ya wana wa Israeli kule jangwani kuelekea Kanani.Tuangalie pale walipofika katika mto Jordan.(Yoshua3 hadi 4).Tuangalie Yosh3:3;”Wakawaamuru watu wote wakisema,mtakapoliona sanduku la agano la BWANA, Mungu wenu, na makuhani walawi wakilichukua,ndipo mtakapoondoka hapa mlipo na kulifuata” Ninaamini kuwa wengi tunafahamu kuwa sanduku la agano ndani yake kulikuwa na ‘ushuhuda’ yaani Neno la Mungu,kwahiyo kwa sasa maana yake na Neno la Mungu.Halafu wale makuhani walawi kwa sasa ndio watumishi wa Mungu (kanisa),na Roho Mtakatifu ameweka ndani yangu yale maji ya mto Yordani kuwa tafsiri ya Hali muhimu inapopitia nchi yeyote,na kwasasa tukizungumza kuhusu hali ya kisiasa.Tukiutafsiri huo mstari hapo juu ina maanisha kuwa, watanzania(wakiwemo viongozi wa serikali) wanaambiwa kuwa “Mtakapolisikia/Kuliona Neno la Mungu, na Kanisa/watumishi wa Mungu wakilibeba (kulihubiri),ndipo ninyi mtakalifuata hilo Neno wanalolisema kuhusu siasa/uongozi” Na ukiusoma mstari wa Nne kipengele “b” kinasema kuwa “Kwa maana hamjapita njia hii bado”. Ninapenda kusisitiza kuwa inatulazimu sasa kanisa tuifute kabisa ile dhana ya kuiona siasa kama dhambi,kwani inatupeleka sisi wenyewe pabaya.Kanisa linawajibika katika siasa katika njia mbalimbali, si lazima watumishi wote tuhamie kwenye siasa,hapana. Ukiendelea kusoma kitabu hicho cha Joshua sura ya 3 na 4 zote,utaona kuwa wale makuhani waliobeba sanduku la agano walipotia miguu yao katika mto Yordani yale maji,tena mengi ya ule mto yalisimama na wale makuhani waliendelea kusimama pale ndani ya kingo za mto hadi wana wa Israel wakavuka WOTE,Ndipo Yoshua katika Yos 4 anawaamuru kuondoka.Hii ni ishara ya KUHITAJIKA KWA MAOMBI KUELEKEZWA KWA VIONGOZI NA WANASIASA.Maana yake,WOTE tuliookoka tunatakiwa kusimama katika mto Yordani(Yaani kuombea hali ya siasa ya nchi hii) mpaka hapo taifa letu litakapovuka kwa kufanikiwa katika eneo hili la siasa.Nawashauri sana ndugu zangu katika Kristo tuifanye kwa bidii njia hii moja ya kanisa kushiriki katika siasa(kuomba).Haifai kabisa sisi wapendwa kuanza kuwalaumu mafisadi na viongozi wabovu wakati tulikuwa hatuwaombei,it’s not fair,na tusipobadilika tunaweza kujuta siku moja(Ewe Mungu epusha hili)
Njia nyingine (ya pili) ya kanisa/watumishi/waliokoka kuhusika na siasa ni sisi wenyewe kuonesha mfano mzuri wa uongozi unafaa kuigwa na serikali,hiyo ni njia muhimu sana ndio maana kwenye Yoshua3:3 Mungu aliagiza taifa la Israel lifuate Neno la Mungu linalohubiriwa na Makuhani,yaani kanisa.Sisi kama kanisa tunatakiwa tuweke mfano bora,iweje tulaumu kuwa kiongozi amekaa madarakani muda mrefu sana kama kanisani tunao viongozi kama hao pia? Nakumbuka mtumishi mmoja aliwahi kuwauliza watu mahali kama ni watu wangapi makanisa yao yana miradi?Wengi sana walinyoosha mikono.Halafu akauliza, wangapi wameridhishwa na jinsi miradi hiyo inavyoendeshwa?Asilimia kubwa walionyesha kutokuridhishwa kabisa.Sasa ndugu zangu, kama sisi kanisa tutashindwa kuendesha mradi wa shs laki tano, itakuwaje tumlaumu kiongozi aliyeshindwa kutunza mabilioni ya serikali?Je hakuiga kanisani huyu?.Tumeilaumu serikali kuwa haiwajali vijana ipasavyo, je kanisa tunajali vijana, hebu tuangalie namna kanisa linavyoutunza UKWATA na vikundi vingine vya vijana mashuleni na hata makanisani,asilimia ngapi ya bajeti inawalenga vijana? Je serikali haijaiga kwetu? Hatujachelewa sana, we still have time ,let’s make the most of it, tubadilike sasa,tuoneshe mfano bora kwa wanasiasa.
Njia nyingine sasa ni hii ya UONGOZI,Nasisitiza kabisa UONGOZI, watu wamepinga sana watumishi wa Mungu kuingia katika uongozi wa kisiasa, mngejua mimi namwomba Mungu atupe viongozi waliookoka WOTE,Hakuna raha kama hiyo.Tatizo ni kwamba kanisa limejijengea mawazo kuwa siasa ni dhambi,au hata kama si dhambi, sisi watumishi wa Mungu haturuhusiwi kugusa siasa kabisa,ni rahisi kuhisi pia kuwa watu hawa huwa hawawaombei viongozi pia.Mimi ninaamini kuwa wapo watu wengi MNO katika hii nchi ambao Mungu amewapaka mafuta kuwa viongozi,ndiyo maana tukisoma habari za karama 1Wakorintho 12:28:Na Mungu akaweka wengine KATIKA KANISA,wa kwanza mitume.....manabii wa tatu waalimu kisha miujiza,kisha karama za kuponya wagonjwa,masaidiano na MAONGOZI na aina za lugha” Angalieni ndugu zangu Biblia imesema katika Kanisa kuna karama zote hizo,Tena Biblia za kiingereza (AMP) imewaita Administrators,yaani watawala/wasimamizi(viongozi)
Ni kweli kuwa si kila mtumishi amepewa kuwa kiongozi,na pia si wote wamepakwa mafuta ya uongozi wa serikali,wengine ni viongozi wa makanisa na huduma.Sina shaka kabisa kuwa wote tunafahamu Mfalme Daudi alipakwa mafuta kuiongoza Israel tena kwa miaka 40 kama mfalme,kiongozi wa nchi ile,tena tunajua kuwa Mungu alikuwa naye karibu sana akimwongoza namna ya kuiongoza ile nchi,hata katika vita alimwambia nini cha kufanya na wakashinda,na pia mwanawe Solomoni namna alivyomwomba Mungu naye akampa hekima kwa ajili ya kuwaongoza watu wake.Hebu mkumbukeni nabii Musa namna Mungu alivyomteremshia hekiama ya kuwaamua watu wake kupitia kwa mkwe wake Yethro kwenye Kutoka 18:13-26,Hebu mkumbukeni mfalme Yehoshafati wa 2Mambo ya Nyakati20 alichofanya.Alikuwa mfalme,wakavamiwa na adui,akenda kumwabudu Mungu,kisha akamwomba,Mungu akasema naye na kisha Mungu akawapigania taifa zima, hebu mkumbukeni mfalme Hezekia kwenye 2Walme18&19,walitishiwa kuvamiwa,tena kwa barua na ujumbe wa watu maalumu kutoka kwa Senakerib,yeye Hezekiah akawahi kumwonesha Mungu,na Mungu akawapigania na kuwaokoa.
Ninawasihi wale watumishi ambao wanajua Mungu amewapaka mafuta kuongoza nchi hii,wajifanye tayari kushika nafasi hizo.Ninaomba tena kanisa tubadilishe kabisa mtazamo huo,mnafahamu ndugu zangu,Kwa sababu kanisa limekuwa likiona kuwa halina uhusiano na siasa,limekuwa likiwalea wakristo,vijana katika namna ambayo haiwaandai kuwa viongozi wa nchi hii,matokeo yake wale vijana wakikua wanapewa uongozi,lakini kwa sababu kanisa halijawaandaa kuwa viongozi,wanafanya mambo wanayoyafanya halafu walezi wao (kanisa) wanajiunga kuwalaumu,wote si tunafahamu ni viongozi wengi ambao hawaongozi vizuri sasa ni wakristo,na hata kwenye sherehe zetu huwa tunawaalika?
Naamini wengi wetu tumewahi kusikia tetesi za kuhusishwa kwa viongozi wetu na mambo ambayo hayampendezi Mungu,je tungekuwa na viongozi waliookoka haya yangepitia wapi?Nadhani mnaamini kuwa kitendo cha kuvunjwa uhusiano wa kibalozi kati ya nchi yetu na Israel kimetuletea mabaya sana, je tungekuwa na viongozi waliookoka yangetufika haya?Hebu angalieni ile hekima Mungu aliyompa Mfalme Solomoni akaitumia kuamua kesi ya wanawake wale katika 1Wafalme3:16-28, je tungekuwa na viongozi waliookoka katika nchi yetu, ndugu zangu mikataba feki ingepitia wapi,huku tuna viongozi waliokoka na kanisa linawaombea mchana na usiku???Habari ya kuiingiza nchi kwenye IOC ingepitia wapi TUKISHIKA ZAMU ZETU?Jambo la Mahakama ya kadhi lingeanzia wapi?
Narudia kusema tena kuwa mimi simlaumu mtu,maana na mimi mwenyewe nipo ndani ya kanisa,lakini naweka changamoto hii kwa kanisa na wachungaji,wainjilisti na maaskofu wetu,tubadilike sasa,tushike zamu zetu katika siasa,Tuwaombee viongozi na wanasiasa,tuoneshe mfano bora na tuingie katika uongozi wa serikali(kama Mungu amekuita kwa ajili hiyo).Tukiendelea kukaa pembeni na kutazama,shetani atakuja saa tumelala,atawavuruga viongozi na watafanya mambo ambayo yatakuja kutudhuru sisi wenyewe kanisa.Tusikubali kukaa pembeni halafu tumwachie ibilisi aje na kupanda mbegu zake mbaya kwa wanasiasa.Si mnakumbuka kitu ambacho Mordekai alimwonya Nabii Esta kwenye Esta 4:12-14. Nasisitiza pia kanisa litie mkazo katika malezi ya vijana kuanzia ngazi ya chini,kuwalea kwa namna ambayo itawaandaa kuwa viongozi wazuri huko baadaye.
Kwa mfano tusipokuwa na vijana waliookoka wanaosomea sheria, je shetani hatawatumia wengine kutunga na kupitisha sheria ambazo ni kinyume na mapenzi ya Mungu katika nchi hii? Tusipokuwa na vijana waliookoka wanaosomea udaktari tutaweza kuwapata madaktari kama wale wakunga waliokuwa wakiwasaidia wanawake wa ki-Israel kujifungua wakati wa kuzaliwa Nabii Musa?
Lakini njia nyingine ya kanisa kuhusika katika siasa ni sisi watumishi wa Mungu KUWASHAURI viongozi.Ni wajibu wetu sisi kama watu tuliojazwa Roho Mtakatifu wa Mungu,watu tuliopewa kusema na kusikia kutoka kwa Mungu,kuwashauri viongozi wa serikali kile ambacho Mungu anatuambia sisi watumishi wa Mungu.Hiyo ni sehemu yetu na sisi na haifai kuikwepa kabisa.Natumaini wote tunajua kuwa kuongoza serikali si kazi rahisi hata kidogo,ni kazi nzito,hivyo kwa mfano kikitokea kitu kizito/kigumu hapa Tanzania ni lazima sisi makuhani tukae katika zamu zetu,twende kwa Mungu tukamuulize hapa tufanye nini? Atakachosema tuje kuwaambia viongozi wetu,hii ni muhimu.Hebu kumbukeni wakati ule wa Farao wa Misri na Yusufu,wakati Mungu alipomwonesha Yusufu miaka saba ya njaa iliyokuwa mbele ya taifa la Misri (Mwanzo 41:1-57),kisha akamwambia na kitu cha kufanya,(akamwambia waweke akiba kwa miaka saba),kisha Yusufu akamshauri Farao cha kufanya,na Farao akaamua kumteua kuwa waziri mkuu. Naona kama tungekuwa tumeshika zamu zetu vizuri,Mungu angesema nasi kuhusu ule ukame wa mwaka 2006 mapema kabla haujatokea,halafu angetuambia tujiandae vipi kuukabili,na nina uhakika kabisa UFISADI WA RICHMOND USINGETUPATA WATANZANIA,maana tungekuwa tumeshaandaliwa na Mungu mapema. Nawatia moyo tuifanye hii zamu yetu.
Ni wazi kabisa kuwa hali ya kisiasa ya Tanzania inashikiliwa na waombaji,nami nichukue nafasi hii kuwatia moyo katika Jina la Yesu,tukazaneni kutubu na kuomba kwa ajili ya eneo la siasa ,uchumi, amani na mambo mengine kwa ajili ya nchi yetu, Mungu aliyetuumba atatulipa kwa wakati tusipozimia roho.
Kwa moyo wangu wa dhati namrudishia Mungu atawalaye bila mwisho utukufu wote,wote kabisa.
Mungu awajaze nguvu zake kwa kusudi lake.
Frank Lema
www.lema.or.tz
savedlema@yahoo.com
Arusha.
Yaliyojiri Kanisani Mwananyamala
Aibu ya mwaka imetokea katika Kanisa la Assemblies of God Kijitonyama, Dar es Salaam baada ya kijana mmoja kuingia ibadani akiwa mtupu.....
Tukio hilo la kustaajabisha lilitokea hivi karibuni ambapo kijana huyo aliyetajwa kwa jina moja la Julius alijitosa kanisani hapo kujiokoa na umati wa watu uliokuwa ukimtuhumu kuwa ni mwizi.Shuhuda wetu aliyekuwa eneo la tukio ambaye pia ni muumini wa kanisa hilo alidai kuwa, wakiwa ibadani walishangaa kumuona Julius aliyedai kuwa ni muumini wa kanisa hilo akiingia na kumfuata madhabahuni mama Mchungaji, Zetumbi aliyekuwa akiongoza ibada.“Kila mtu alipigwa na butwaa, tukafikiri ni ibilisi kaingia kanisani, baada ya muda tukasikia mayowe ya watu wakihimiza atolewe ndani.“Jamaa naye alizidi kumsogelea mama mchungaji na kuomba asaidiwe, waumini nao wakawa wanatawanyika kukwepa aibu hiyo,” alisema muumini huyo aliyejitambulisha kwa jina la Zakayo.Aidha, Julius mwenyewe alikana kuhusika na wizi badala yake alidai kuwa yeye ni mkristo na alikuwa akielekea kanisani asubuhi hiyo.Akijitetea na tuhuma hizo za wizi Julius alidai kuwa, wakati akielekea ibadani alikutana na vibaka ambao walimpora, kumvua nguo kisha kumpigia mayowe ya mwizi.Julius aliongeza kwamba, hakuwa na njia ya kufanya baada ya tukio hilo zaidi ya kuingia kanisani humo akiwa mtupu kujiokoa asitolewe roho.“Nishaibiwa na kusingiziwa kuwa ni mwizi, watu wameanza kunifukuza na kunipiga, nifanyeje, imebidi nijisalimishe kwa Mungu,” alisikika Julius akijitetea.Licha kijana huyo kujitetea, kundi la watu waliokuwa mlangoni walizidi kusisitiza kuwa alikuwa ni kibaka mzoefu na kutaka atolewe ndani ili wamuue.Akielezea tukio hilo Mama Zetumbi ambaye ni Mchungaji wa kanisa hilo alisema, kijana yule alikimbilia kanisani kujiokoa lakini akasema hana ushahidi kama ni mwizi au la!“Sisi ni watu wa Mungu hatukumhukumu, tulimsadia na kumwachia aende polisi, hatuna la zaidi,” alisema Mama Mchungaji.
Tukio hilo la kustaajabisha lilitokea hivi karibuni ambapo kijana huyo aliyetajwa kwa jina moja la Julius alijitosa kanisani hapo kujiokoa na umati wa watu uliokuwa ukimtuhumu kuwa ni mwizi.Shuhuda wetu aliyekuwa eneo la tukio ambaye pia ni muumini wa kanisa hilo alidai kuwa, wakiwa ibadani walishangaa kumuona Julius aliyedai kuwa ni muumini wa kanisa hilo akiingia na kumfuata madhabahuni mama Mchungaji, Zetumbi aliyekuwa akiongoza ibada.“Kila mtu alipigwa na butwaa, tukafikiri ni ibilisi kaingia kanisani, baada ya muda tukasikia mayowe ya watu wakihimiza atolewe ndani.“Jamaa naye alizidi kumsogelea mama mchungaji na kuomba asaidiwe, waumini nao wakawa wanatawanyika kukwepa aibu hiyo,” alisema muumini huyo aliyejitambulisha kwa jina la Zakayo.Aidha, Julius mwenyewe alikana kuhusika na wizi badala yake alidai kuwa yeye ni mkristo na alikuwa akielekea kanisani asubuhi hiyo.Akijitetea na tuhuma hizo za wizi Julius alidai kuwa, wakati akielekea ibadani alikutana na vibaka ambao walimpora, kumvua nguo kisha kumpigia mayowe ya mwizi.Julius aliongeza kwamba, hakuwa na njia ya kufanya baada ya tukio hilo zaidi ya kuingia kanisani humo akiwa mtupu kujiokoa asitolewe roho.“Nishaibiwa na kusingiziwa kuwa ni mwizi, watu wameanza kunifukuza na kunipiga, nifanyeje, imebidi nijisalimishe kwa Mungu,” alisikika Julius akijitetea.Licha kijana huyo kujitetea, kundi la watu waliokuwa mlangoni walizidi kusisitiza kuwa alikuwa ni kibaka mzoefu na kutaka atolewe ndani ili wamuue.Akielezea tukio hilo Mama Zetumbi ambaye ni Mchungaji wa kanisa hilo alisema, kijana yule alikimbilia kanisani kujiokoa lakini akasema hana ushahidi kama ni mwizi au la!“Sisi ni watu wa Mungu hatukumhukumu, tulimsadia na kumwachia aende polisi, hatuna la zaidi,” alisema Mama Mchungaji.
Source : http://www.globalpublisherstz.com/
Lengai Nelson -Mtumishi wa Mungu
UPATES NILIZOZIPATA SASA HIVI ZINASEMA KUWA MWILI WA MAREHEMU LENGAI NELSON UNATAZAMIWA KUAGWA SIKU YA LEO SAA 8 MCHANA PALE NYUMBANI KWAKE KURASINI KARIBU NA STUDIO ZA WAPO RADIO.BAADA YA HAPO MWILI UTASAFIRISHWA HADI ARUSHA MAENEO YA NGARAMTONI ZILIPO STUDIO ZA RADIO HABARI MAALUM.IKUMBUKWE KUWA LENGAI AMEWAHI KUFANYA KAZI KATIKA STUDIO HIZO KABLA YA KUHAMIA PRAISE POWER RADIO NA BAADAYE ALIJIUNGA NA TAASISI YA TAYOMI KUMTUMIKIA MUNGU KABLA YA KUINGIA WAPO RADIO.HADI ANAFARIKI LENGAI ALIKUWA NI MFANYAKAZI WA WAPO RADIO FM.
SAYUNI BADO HAIJAPATA PICHA ZA MATUKIO KWANI MWAKILISHI WETU ALIYEOKO HUKO NYUMBANI BADO HAJATUTUMIA PICHA ZA MATUKIO HAYA.
MUNGU AENDELEE KUMPA UZIMA NA AFYA NJEMA DADA YETU AI.
SAYUNI BADO HAIJAPATA PICHA ZA MATUKIO KWANI MWAKILISHI WETU ALIYEOKO HUKO NYUMBANI BADO HAJATUTUMIA PICHA ZA MATUKIO HAYA.
MUNGU AENDELEE KUMPA UZIMA NA AFYA NJEMA DADA YETU AI.
Thursday, March 6, 2008
Mahakama ya kadhi...kesi ya Mtikila yatupwa
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi la Mchungaji Christopher Mtikila la kupinga kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi.Ombi hilo lilitupiliwa mbali jana kufuatia Mchungaji Mtikila kushindwa kuwasilisha majibu ya pingamizi la awali kutoka kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali la kutaka kesi hiyo ifutwe. Uamuzi huo ulitolewa na jopo la Majaji watatu wa Mahakama Kuu, wakiongozwa na Jaji Salum Masati. Majaji wengine walikuwa ni Robert Makaramba na Aisha Nyerere.
Mchungaji Mtikila aliiomba Mahakama kumpa muda wa kuwasilisha majibu na kwamba alikuwa hana fedha za kuajiri mawakili kwa sababu alihitaji Sh. milioni 40 za kuendeshea kesi hiyo.
Hiyo ni kusema kuwa kwa sasa hakuna kesi ya kupinga uanzishwaji wa mahakama hiyo ambayo imo kwenye ilani ya uchaguzi wa chama cha mapinduzi ya mwaka 2005 na inatakiwa iwe imetekelezwa ifikapo mwaka 2010.
Wapo wapi maaskofu wetu, wachungaji, wainjilisti manabii,mitume na waalimu kulisemea suala hili.Je nafasi ya kanisa katika hili ipo wapi? Maombi ndio silaha yetu kuu katika kurekebisha mambo ambayo hayaendi ipasavyo.Lakini hatua za kisheria za kulinda katiba ya nchi ni vyema zikafuatwa maana katiba inalihusu na kanisa pia.
BREAKING NEWS
BREAKING NEWS....!
NIMEPATA HABARI ZILIZOTHIBITISHWA KWAMBA NDUGU YETU, KAKA YETU, RAFIKI YETU, MTUMISHI MWENZETU NA MWANAHABARI WA SIKU NYINGI KATIKA ULIMWENGU WA HABARI ZA KIKRISTO LENGAI NELSON, MUME WA AI MWANA WA LAIZER (AMBAYE ANATANGAZA PRAISE POWER RADIO FM) AMEFARIKI KWA AJALI YA GARI JUZI JIONI.
INAELEZWA KUWA LENGAI AMBAYE KABLA MAUTI HAYAJAMFIKA ALIKUWA NI MFANYAKAZI WA WAPO RADIO ALIKUWA AKITOKEA HINDUMANDALI HOSPITAL AKIWA NA MKE WAKE.GARI YAO ILIGONGWA NA GARI NYINGINE MAENEO YA POSTA.
HALI ZA MAJERUHI WENGINE ZINAENDELEA VIZURI NA MSIBA UPO NYUMBANI KWAKE KURASINI KARIBU NA STUDIO ZA WAPO RADIO.
INATEGEMEWA MWILI WA MAREHEMU KUSAFIRISHWA KWENDA ARUSHA KWA MAZIKO SIKU YA IJUMAA.
MIMI BINAFSI NITAENDELEA KUMKUMBUKA LENGAI NELSON KWA MUDA MREFU KWANI ALIKUWA NI RAFIKI YANGU NA MARA YA MWISHO TULIONANA NAE PALE TARAKEA RESTAURANT MWENGE MIEZI KAMA 3 HIVI ILIYOPITA.TULIONGEA MAMBO MENGI SANA IKIWA NI PAMOJA NA KUANDAA PROGRAM MBALIMBALI ZA TV KWA AJILI YA MWILI WA KRISTO.
LENGAI NELSON NIMEFANYA NAE KAZI KWA KARIBU SANA KWA MUDA MREFU TUKIWA CHINI YA TANZANIA YOUTH MINISTRIES (TAYOMI) KABLA NA BAADA YA YEYE KUHAMIA WAPO RADIO.
TUTAKUKUMBUKA DAIMA LENGAI NELSON
TUMWOMBE MUNGU AZIDI KUMPA AFYA NJEMA NA KUPONA HARAKA MKE WAKE AI MWANA WA LAIZER.
TUTAZIDI KUWALETEA HABARI ZAIDI NA PICHA ZAIDI ZA MATUKIO.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA,JINA LA BWANA LIBARIKIWE
NIMEPATA HABARI ZILIZOTHIBITISHWA KWAMBA NDUGU YETU, KAKA YETU, RAFIKI YETU, MTUMISHI MWENZETU NA MWANAHABARI WA SIKU NYINGI KATIKA ULIMWENGU WA HABARI ZA KIKRISTO LENGAI NELSON, MUME WA AI MWANA WA LAIZER (AMBAYE ANATANGAZA PRAISE POWER RADIO FM) AMEFARIKI KWA AJALI YA GARI JUZI JIONI.
INAELEZWA KUWA LENGAI AMBAYE KABLA MAUTI HAYAJAMFIKA ALIKUWA NI MFANYAKAZI WA WAPO RADIO ALIKUWA AKITOKEA HINDUMANDALI HOSPITAL AKIWA NA MKE WAKE.GARI YAO ILIGONGWA NA GARI NYINGINE MAENEO YA POSTA.
HALI ZA MAJERUHI WENGINE ZINAENDELEA VIZURI NA MSIBA UPO NYUMBANI KWAKE KURASINI KARIBU NA STUDIO ZA WAPO RADIO.
INATEGEMEWA MWILI WA MAREHEMU KUSAFIRISHWA KWENDA ARUSHA KWA MAZIKO SIKU YA IJUMAA.
MIMI BINAFSI NITAENDELEA KUMKUMBUKA LENGAI NELSON KWA MUDA MREFU KWANI ALIKUWA NI RAFIKI YANGU NA MARA YA MWISHO TULIONANA NAE PALE TARAKEA RESTAURANT MWENGE MIEZI KAMA 3 HIVI ILIYOPITA.TULIONGEA MAMBO MENGI SANA IKIWA NI PAMOJA NA KUANDAA PROGRAM MBALIMBALI ZA TV KWA AJILI YA MWILI WA KRISTO.
LENGAI NELSON NIMEFANYA NAE KAZI KWA KARIBU SANA KWA MUDA MREFU TUKIWA CHINI YA TANZANIA YOUTH MINISTRIES (TAYOMI) KABLA NA BAADA YA YEYE KUHAMIA WAPO RADIO.
TUTAKUKUMBUKA DAIMA LENGAI NELSON
TUMWOMBE MUNGU AZIDI KUMPA AFYA NJEMA NA KUPONA HARAKA MKE WAKE AI MWANA WA LAIZER.
TUTAZIDI KUWALETEA HABARI ZAIDI NA PICHA ZAIDI ZA MATUKIO.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA,JINA LA BWANA LIBARIKIWE
Psychotropic drugs and Prophet Moses (Musa na madawa ya kulevya)
Listen to this professor who used psychotropic drug hundreds of times and came out with his own hallucination about Prophet Moses and the ten commandments!
Hebrew University researcher: Moses was tripping at Mount Sinai!
And all the people perceived the thunderings, and the lightnings, and the voice of the horn, and the mountain smoking." Thus the book of Exodus describes the impressive moment of the giving of the Torah on Mount Sinai.
Hebrew University researcher: Moses was tripping at Mount Sinai!
And all the people perceived the thunderings, and the lightnings, and the voice of the horn, and the mountain smoking." Thus the book of Exodus describes the impressive moment of the giving of the Torah on Mount Sinai.
The "perceiving of the voices" has been interpreted endlessly since these words were first written. When Professor Benny Shanon, professor of cognitive psychology at the Hebrew University of Jerusalem, reads the verse, he recalls a powerful hallucinatory experience he had when he visited the Amazon and drank a potion made from a plant called ayahuasca
"One of the things that happens when you drink the potion is a visual experience created via sounds," he says.
Shanon presents a provocative theory in an article published this week in the philosophy journal Time and Mind. The religious ceremonies of the Israelites included the use of psychotropic materials that can found in the Negev and Sinai, he says.
Shanon presents a provocative theory in an article published this week in the philosophy journal Time and Mind. The religious ceremonies of the Israelites included the use of psychotropic materials that can found in the Negev and Sinai, he says.
"I have no direct proof of this interpretation," and such proof cannot be expected, he says. However, "it seems logical that something was altered in people's consciousness. There are other stories in the Bible that mention the use of plants: for example, the tree of the knowledge of good and evil in the Garden of Eden."
Shanon, former head of the Hebrew University psychology department, said his first experience with ayahuasca was in 1991 when he was invited to a religious ceremony in the northern Amazon in 1991 in Brazil. "I experienced visions that had spiritual-religious connotations," he says.
Since that time, he has used it hundreds of times, and has published a book about the plant. "Hypotheses have been around for 20 years connecting the beginning of religions with psychoactive materials," Shanon says.
He believes the Israelites used two plants in Sinai and the Negev: one of them is wild rue, a hallucinogen used by the Bedoin to this day. However this plant is not identified with any plant mentioned in the Bible. The acacia tree also has psychedelic properties, Shanon says, which the Israelites could have used. The acacia is mentioned frequently in the Bible, and was the type of wood of which the Ark of the Covenant was made.
According to Shanon, he drank a potion prepared from a species of acacia while he was in South America, which caused similar experiences to those produced by the ayahuasca. Shanon also sees signs of a hallucinogenic vision in the story of the burning bush. "Moses 'looked, and, behold, the bush burned with fire, and the bush was not consumed,'" Shanon quotes from Exodus 3:2. Time passes differently when under the influence of the plant, he notes. "That's why Moses thought the bush was not consumed. It should have been burned in the time he thought had passed. And in that time, he heard God speaking to him." "But not everyone who uses a plant like this brings the Torah," Shanon concedes. "For that, you have to be Moses."
Moses and the Ten commandments Video clip
Source: HAARETZ (Wed., March 05, 2008 )
South Africans protest over miniskirt attack!!
Go through the lines below and may I hear your comments. Is wearing a miniskirt a problem or the problem is the motive behind the miniskirt? Church of God what is our stand on this matter?
Hundreds of South African women have marched to a Johannesburg taxi rank, where a woman was sexually assaulted for wearing a miniskirt.
Hundreds of South African women have marched to a Johannesburg taxi rank, where a woman was sexually assaulted for wearing a miniskirt.

Nwabisa Ngcukana, 25, returned to where she was allegedly attacked by a group of taxi-drivers and street hawkers, who said she was indecently dressed.
"I came here to show the guys that I'm not scared of them - to face my demons," she told the BBC.

The taxi drivers shouted insults at the women, some of whom wore miniskirts. Some shouted that South African women were being given too many rights. The leaders of the Noord Street taxi rank had to urge the drivers to show restraint.
Traditional
Police on horseback were on hand to keep the rival groups apart. There were angry scenes on Friday at a similar march, when both women and taxi-drivers removed their clothes.
The case has caused a huge row over women's rights and public decency. Passers-by reportedly laughed and cheered when Ms Ngcukana was assaulted last month.
"What we want to highlight is that women have rights - they have the right to choose what to wear," said Nonhlanhla Mokeona from the People Opposing Women Abuse (Powa) organisation.
She urged men to take part in the protest, to show they supported women's rights. During Friday's march, some of the women exposed their thighs and breasts - a traditional form of protest in Africa amongst those who consider themselves powerless.
A group of taxi-drivers called the protesters "prostitutes" and then some also pulled down their trousers to show their buttocks.
The authorities have appealed to the taxi-drivers' association to help find those who allegedly assaulted Ms Ngcukana and other women in recent weeks. While some South Africans have said it is against local culture for women to wear miniskirts, the National House of Traditional Leaders last week said that women often wore short skirts in traditional ceremonies.
Source: BBC (Tuesday, 4 March 2008)
Wednesday, March 5, 2008
Ukimya wa tume ya kudhibiti imani potofu
Mwishoni mwa mwaka jana tulisikia kwenye vyombo vya habari hapa nchini kuwa baraza la maaskofu wa kipentekoste (PCT) liliamua kuunda tume ya kudhibiti imani potofu zinazodaiwa kuibuka kama uyoga hapa nchini.
Kulikuwa na maoni mbali mbali ya wadau kuhusiana na kuundwa kwa tume hiyo huku wengine wakiiunga mkono na wengine kuipinga, ilimradi kila mtu alikuwa na uhuru wa kujieleza kama katiba ya nchi inavyosema.
Wapo waliosema kuwa kuunda tume hiyo ni makosa kwa kuwa ni kinyume na maandiko matakatifu ya Biblia.Wapo wale walioiunga mkono kuwa tume hiyo imeundwa kikibiblia na kuwa itasaidia kudhibiti kuibuka kwa imani potofu hasa huduma za maombezi zinazoibuka kila kukicha.
Kumekuwepo na maneno ya chini kwa chini yanayoendelea yakizitaja baadhi ya imani hapa nchini kuwa zipo kwenye black list ya tume hiyo.
Wengi tunasubiri majibu ya matokeo ya uchunguzi uliofanywa na tume hiyo.
Blogu yenu ya sayuni bado inafuatilia kwa karibu majibu ya uchunguzi huo na mara tukiyapata tutawatangazia.

Askofu Sylvester Gamanywa ndiye mwenyekiti wa PCT kwa hivi sasa.
Sunday, March 2, 2008
Friday, February 29, 2008
Eeee Mungu epusha uovu huu Tanzania
Dunia imekwisha na inakoelekea ni kubaya kuliko ilipotoka. Sielewi nini maana yake haya tuyaonayo humu duniani ila sauti moja yaniambia, tuyaonapo hayo ujue kwamba ule mwisho umekaribia. Wapendwa kila aaminiye kwamba Yesu ni mwana wa Mungu basi na amshike sana huyo Yesu asimwachilie. 
Uko uovu unaofanyika hapa Norway sehemu iitwayo STORÃ…S pembeni mwa mji mkuu Oslo, ambao kwa kweli Sodoma na Gomora ni afadhali. Huko huwa wana summer parties ambazo watu hutembea uchi kama walivyozaliwa na kusherekea hali hiyo pasipo haya. Kwa hali kama hii, kwa nini hasira ya Mungu isiwake juu ya uso wa dunia? Eee Mungu iepushe Tanzania na uovu huu!


Uko uovu unaofanyika hapa Norway sehemu iitwayo STORÃ…S pembeni mwa mji mkuu Oslo, ambao kwa kweli Sodoma na Gomora ni afadhali. Huko huwa wana summer parties ambazo watu hutembea uchi kama walivyozaliwa na kusherekea hali hiyo pasipo haya. Kwa hali kama hii, kwa nini hasira ya Mungu isiwake juu ya uso wa dunia? Eee Mungu iepushe Tanzania na uovu huu!

Angalia picha hizo na kisha shuhudia hii video clip hapa chini. (Ipo kwa kinorway lakini - mtangazaji anamuhoji huyo jamaa anajisikiaje kuwa hivyo na wanafanya nini hapo? Jibu la jamaa ni kwamba wako wana-enjoy na kufurahia hali hiyo na karibu kila mwaka yupo hapo kwake hii ni mara ya tatu. Hapo ilikua ni saa tano asubuhi)
Thursday, February 28, 2008
FUNGUA BARUA YAKO HII
Kwako mwanangu .....................
Yawezekana ya kuwa hunijui lakini najua kila kitu juu yako. Zaburi 139:1
Najua kukaa kwako na kuondoka kwako. Zaburi 139:1
Nazifahamu njia zako zote. Zaburi 139:3
Hata nywele za kichwa chako najua hesabu yake. Mathayo 10:29-31
Kwa sababu uliumbwa kwa mfano wangu. Mwanzo 1:27
Ndani yangu unaishi na kutembea. Matendo 17:28
Kwa sababu wewe ni uzao wangu. Matendo 17:28-1
Nalikujua kabla sijakuumba. Yeremia 1:4-5
Nalikuchagua wewe nilipopanga kuumba ulimwengu. Waefeso 1:10-12
Hakuna makosa kwa sababu hata siku zako zimeandikwa katika kitabu changu. Zaburi 139:15-16
juu ya kuzaliwa kwako na mahali utakapokaa. Matendo 17:26
Wewe uliumbwa kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Zaburi 139:14
Nalikuunga pamoja katika tumbo la mamako. Zaburi 139:13
Nikakutoa tumboni mwa mama siku uliyozaliwa. Zaburi 71:6
Nimekosa kujulikana na kuwakilishwa nao wasionijua. Yohana 8:41-44 Sijakasirika lakini upendo wangu umekamilika. 1 Yohana 4:16
Na ni mapenzi yangu kukuonyesha upendo wangu kwako. 1 Yohana 3:1
Hii ni kwa sababu wewe ni mwanangu na mimi ni babako. 1 Yohana 3:1 Nimekupa mambo ambayo babako wa duniani hawezi kukupatia. Mathayo 7:11 Kwa sababu mimi ni baba mkamilifu. Mathayo 5:48
Kila kipawa kizuri hutoka mikononi mwangu. Yakobo 1:17
sababu mimi nakupa mahitaji yako yote. Mathayo 6:31-33
Mipango yangu kwa ajili yako ni kwa sababu nakupenda kwa upendo wa milele. Yeremia 31:3
Mawazo yangu kwako hayawezi kuhesabika ni kama mchanga wa baharini. Zaburi 139:17-18
Najifurahisha na vipaji vyako. Sefania 3:17
Sitaacha kukutendea mema. Yeremia 32:40
Kwa sababu wewe ni mali yangu ya thamani. Kutoka 19:5
Napenda kukupanda katika nchi kwa moyo wangu na nia yangu. Yeremia 32:41 Napenda kukuonyesha mambo makuu usiyoyajua. Yeremia 33:3
Ukinitafuta kwa moyo wako wote utanipata. Kumbukumbu 4:29
Nitegemee mimi nami nitakupa haja za moyo wako. Zaburi 37:4
Kwa sababu ni mimi ambaye huwapa watu haja za moyo wao. Zaburi 37:4 Maana ni mimi ninayekupa hayo mahitaji yako. Zaburi 2:13
Ninao uwezo wa kufanya makuu kuliko uyawazayo. Waefeso 3:20
Kwa sababu mimi ndiye niwezaye kukuimarisha. 2 Wathesalonike 2:16-17
Tena mimi ndiye ninayewapa wanaohitaji mahitaji yao. Zaburi 2:13
Ninao uwezo wa kukutendea makuu kuliko unayofikiria. Waefeso 3:20
Kwa sababu mimi ndiye ninayekupa nguvu. 2 Wathesalonike 2:16-17
Tena mimi ni baba anayekufariji wakati wa shida yako. 2 Wakorintho 1:3-4 Wakati moyo wako umevunjika niko karibu kukufariji. Zaburi 34:18
Kama mchungaji anavyomchukua mwanakondoo nimekuchukua ndani ya moyo wangu. Isaya 40:11
Nitayafuta machozi katika macho yako. Ufunuo 21:3-4
Na maumivu yako uliyoyapata hapa duniani nitayaondoa. Ufunuo 21:3-4
Mimi ni babako na ninakupenda kama nimpendavyo mwanangu Yesu Kristo. Yohana 17:23
Kwa sababu ndani ya Yesu upendo wangu huonekana. Yohana 17:26
Yeye huniwakilisha kuweko kwangu. Waebrania 1:3
Alikuja kuonyesha kuwa mimi niko upande wako si kinyume chako. Warumi 8:31
Na kukuambia ya kuwa sitakuhesabia makosa yako. 2 Wakorintho 5:18-19
Yesu alikufa ili mimi na wewe tuunganishwe pamoja. 2 Wakorintho 5:18-19 Kifo chake kilionyesha upendo wangu kwako. Yohana 4:10
Nilitoa yote ninayopenda ili nipate wewe na upendo wako. Warumi 8:32 Ukipokea zawadi ya mwana wangu ndipo unanipokea mimi.1 Yohana 2:23
Hakuna chochote kitakachoweza kukutenganisha na upendo wangu. Warumi 8:38-39
Karibu nyumbani na nitaandaa karamu ambayo haijaonekana huku mbinguni. Luka 15:7
Nimekuwa baba yako na nitaendelea kuwa baba yako milele. Waefeso 3:14-15 Swali langu kwako, je, utakubali kuwa mwanangu? Yohana 1:12-13
Nakungojea wewe. Luka 15:11-32
NAKUPENDA HUYU NI BABAKO WA MILELE-ISAYA 9:6
Muhuri(Roho mtakatifu)
NDIMI NIKO AMBAYE NIKO Kutoka 3:14
Imeletwa na Yesu-(neno la Mungu-Yohana 1:1)
Kalenge
Yawezekana ya kuwa hunijui lakini najua kila kitu juu yako. Zaburi 139:1
Najua kukaa kwako na kuondoka kwako. Zaburi 139:1
Nazifahamu njia zako zote. Zaburi 139:3
Hata nywele za kichwa chako najua hesabu yake. Mathayo 10:29-31
Kwa sababu uliumbwa kwa mfano wangu. Mwanzo 1:27
Ndani yangu unaishi na kutembea. Matendo 17:28
Kwa sababu wewe ni uzao wangu. Matendo 17:28-1
Nalikujua kabla sijakuumba. Yeremia 1:4-5
Nalikuchagua wewe nilipopanga kuumba ulimwengu. Waefeso 1:10-12
Hakuna makosa kwa sababu hata siku zako zimeandikwa katika kitabu changu. Zaburi 139:15-16
juu ya kuzaliwa kwako na mahali utakapokaa. Matendo 17:26
Wewe uliumbwa kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Zaburi 139:14
Nalikuunga pamoja katika tumbo la mamako. Zaburi 139:13
Nikakutoa tumboni mwa mama siku uliyozaliwa. Zaburi 71:6
Nimekosa kujulikana na kuwakilishwa nao wasionijua. Yohana 8:41-44 Sijakasirika lakini upendo wangu umekamilika. 1 Yohana 4:16
Na ni mapenzi yangu kukuonyesha upendo wangu kwako. 1 Yohana 3:1
Hii ni kwa sababu wewe ni mwanangu na mimi ni babako. 1 Yohana 3:1 Nimekupa mambo ambayo babako wa duniani hawezi kukupatia. Mathayo 7:11 Kwa sababu mimi ni baba mkamilifu. Mathayo 5:48
Kila kipawa kizuri hutoka mikononi mwangu. Yakobo 1:17
sababu mimi nakupa mahitaji yako yote. Mathayo 6:31-33
Mipango yangu kwa ajili yako ni kwa sababu nakupenda kwa upendo wa milele. Yeremia 31:3
Mawazo yangu kwako hayawezi kuhesabika ni kama mchanga wa baharini. Zaburi 139:17-18
Najifurahisha na vipaji vyako. Sefania 3:17
Sitaacha kukutendea mema. Yeremia 32:40
Kwa sababu wewe ni mali yangu ya thamani. Kutoka 19:5
Napenda kukupanda katika nchi kwa moyo wangu na nia yangu. Yeremia 32:41 Napenda kukuonyesha mambo makuu usiyoyajua. Yeremia 33:3
Ukinitafuta kwa moyo wako wote utanipata. Kumbukumbu 4:29
Nitegemee mimi nami nitakupa haja za moyo wako. Zaburi 37:4
Kwa sababu ni mimi ambaye huwapa watu haja za moyo wao. Zaburi 37:4 Maana ni mimi ninayekupa hayo mahitaji yako. Zaburi 2:13
Ninao uwezo wa kufanya makuu kuliko uyawazayo. Waefeso 3:20
Kwa sababu mimi ndiye niwezaye kukuimarisha. 2 Wathesalonike 2:16-17
Tena mimi ndiye ninayewapa wanaohitaji mahitaji yao. Zaburi 2:13
Ninao uwezo wa kukutendea makuu kuliko unayofikiria. Waefeso 3:20
Kwa sababu mimi ndiye ninayekupa nguvu. 2 Wathesalonike 2:16-17
Tena mimi ni baba anayekufariji wakati wa shida yako. 2 Wakorintho 1:3-4 Wakati moyo wako umevunjika niko karibu kukufariji. Zaburi 34:18
Kama mchungaji anavyomchukua mwanakondoo nimekuchukua ndani ya moyo wangu. Isaya 40:11
Nitayafuta machozi katika macho yako. Ufunuo 21:3-4
Na maumivu yako uliyoyapata hapa duniani nitayaondoa. Ufunuo 21:3-4
Mimi ni babako na ninakupenda kama nimpendavyo mwanangu Yesu Kristo. Yohana 17:23
Kwa sababu ndani ya Yesu upendo wangu huonekana. Yohana 17:26
Yeye huniwakilisha kuweko kwangu. Waebrania 1:3
Alikuja kuonyesha kuwa mimi niko upande wako si kinyume chako. Warumi 8:31
Na kukuambia ya kuwa sitakuhesabia makosa yako. 2 Wakorintho 5:18-19
Yesu alikufa ili mimi na wewe tuunganishwe pamoja. 2 Wakorintho 5:18-19 Kifo chake kilionyesha upendo wangu kwako. Yohana 4:10
Nilitoa yote ninayopenda ili nipate wewe na upendo wako. Warumi 8:32 Ukipokea zawadi ya mwana wangu ndipo unanipokea mimi.1 Yohana 2:23
Hakuna chochote kitakachoweza kukutenganisha na upendo wangu. Warumi 8:38-39
Karibu nyumbani na nitaandaa karamu ambayo haijaonekana huku mbinguni. Luka 15:7
Nimekuwa baba yako na nitaendelea kuwa baba yako milele. Waefeso 3:14-15 Swali langu kwako, je, utakubali kuwa mwanangu? Yohana 1:12-13
Nakungojea wewe. Luka 15:11-32
NAKUPENDA HUYU NI BABAKO WA MILELE-ISAYA 9:6
Muhuri(Roho mtakatifu)
NDIMI NIKO AMBAYE NIKO Kutoka 3:14
Imeletwa na Yesu-(neno la Mungu-Yohana 1:1)
Kalenge
Prayers for February 26, 2008 From The Voice of the Martyrs
CHINA 21 House Church Leaders Simultaneously Sentenced to Labor Camp - China Aid AssociationChina Aid Association (CAA)
reports 21 senior house church leaders were recently simultaneously sentenced to a labor camp by the Linyi City Re-education Through Labor Commission. According to CAA, "The leaders were detained on December 7, 2007 when they gathered for leadership training with 249 other leaders in Hedong district, Linyi city, Shandong province. After paying fines and finishing detention ranging from a few days to a few weeks, 249 leaders were released. The 21 most senior leaders were sentenced to three years to one year and three months." The Public Security Bureau has accused and labeled the house church leaders as "evil cult" members. Of the 21 leaders sent to the labor camp, 12 are men and four are women. Pray for these believers and their families during this difficult time. Ask God to protect and encourage them. Pray they will be a good witness of Christ's love to other prisoners and their captors. Psalm 27:1
SRI LANKA Pastor Killed, Wife in Seriously Injured in Attack -
National Christian Evangelical Alliance of Sri LankaOn February 17, Pastor Neil Edirisinghe, of the House Church Foundation, was gunned down by two assailants outside his home in Ampara, Sri Lanka. According to a report by the National Christian Evangelical Alliance of Sri Lanka (NCEASL), "Pastor Edirisinghe was engaged in the Lord's ministry in Ampara for many years. The attackers also shot his wife in the stomach. At last report, she was in the hospital in critical condition. Their two-year-old son who received a minor injury in the attack is also suffering from trauma." NCEASL added the motive for the attacks was believed to be in response to Pastor Edirisinghe's ministry. The Voice of the Martyrs is assisting the family during this difficult time. Pray for peace and comfort for Pastor Edirisinghe's family. Pray for a speedy recovery for his wife and child and for them to rely on the great Comforter, the Holy Spirit. Isaiah 40:31, Psalm 107:2
GAZA YMCA Library Bombed - VOM SourcesOn February 16,
unidentified assailants bombed the library of the Young Men's Christian Association (YMCA) compound in the Shajaiyeh neighborhood of Gaza city. According to VOM sources, shortly after midnight, at least 12 gunmen entered the YMCA compound and kidnapped two guards at gunpoint after asking them why they worked for "infidels." The men stormed the building and detonated two homemade explosive devices inside the library. All 8,000 books in the library were destroyed and the floor, walls and ceiling were damaged. The attackers stole computers and other equipment from other YMCA offices. No one has claimed responsibility for the attack. . However, sources in Gaza reportedly believe that the perpetrators were Muslim militants acting in response to the reproduction of cartoons "ridiculing" Muhammad in a number of Danish newspapers last week. Praise God no one was injured in this attack. Ask God to protect and give wisdom to believers in Gaza. Pray the attackers will come into contact with the grace and love of Jesus Christ. Joshua 1:9
ETHIOPIA Christian Couple Beaten and Chased From Mosque - VOM Sources
On February 10, Muslin Christian converts, Jemmal Abdo and his wife, were beaten and chased out from a mosque where they both worked in the capital city of Addis Ababa. According to The Voice of the Martyrs contacts, "Jemmal and his wife accepted Christ two months ago. Soon after their conversion Jemmal's friend saw him talking with Christians and told the imam of the mosque. Jemmal and his wife were interrogated in the mosque during a meeting called by Muslim leaders in an attempt to persuade the couple to recant their faith. The couple refused to do so, even after the leaders offered them higher positions and salaries if they denied Christ. The couple was beaten and dragged out of the mosque." Jemmal and his wife were able to flee to a new location for safety. Pray for the speedy recovery for Jemmal and his wife, who were injured in the attack. Ask God to strengthen them and provide for them as they stand strong in their new found faith in Jesus Christ. Isaiah 54:17
reports 21 senior house church leaders were recently simultaneously sentenced to a labor camp by the Linyi City Re-education Through Labor Commission. According to CAA, "The leaders were detained on December 7, 2007 when they gathered for leadership training with 249 other leaders in Hedong district, Linyi city, Shandong province. After paying fines and finishing detention ranging from a few days to a few weeks, 249 leaders were released. The 21 most senior leaders were sentenced to three years to one year and three months." The Public Security Bureau has accused and labeled the house church leaders as "evil cult" members. Of the 21 leaders sent to the labor camp, 12 are men and four are women. Pray for these believers and their families during this difficult time. Ask God to protect and encourage them. Pray they will be a good witness of Christ's love to other prisoners and their captors. Psalm 27:1
SRI LANKA Pastor Killed, Wife in Seriously Injured in Attack -
National Christian Evangelical Alliance of Sri LankaOn February 17, Pastor Neil Edirisinghe, of the House Church Foundation, was gunned down by two assailants outside his home in Ampara, Sri Lanka. According to a report by the National Christian Evangelical Alliance of Sri Lanka (NCEASL), "Pastor Edirisinghe was engaged in the Lord's ministry in Ampara for many years. The attackers also shot his wife in the stomach. At last report, she was in the hospital in critical condition. Their two-year-old son who received a minor injury in the attack is also suffering from trauma." NCEASL added the motive for the attacks was believed to be in response to Pastor Edirisinghe's ministry. The Voice of the Martyrs is assisting the family during this difficult time. Pray for peace and comfort for Pastor Edirisinghe's family. Pray for a speedy recovery for his wife and child and for them to rely on the great Comforter, the Holy Spirit. Isaiah 40:31, Psalm 107:2
GAZA YMCA Library Bombed - VOM SourcesOn February 16,
unidentified assailants bombed the library of the Young Men's Christian Association (YMCA) compound in the Shajaiyeh neighborhood of Gaza city. According to VOM sources, shortly after midnight, at least 12 gunmen entered the YMCA compound and kidnapped two guards at gunpoint after asking them why they worked for "infidels." The men stormed the building and detonated two homemade explosive devices inside the library. All 8,000 books in the library were destroyed and the floor, walls and ceiling were damaged. The attackers stole computers and other equipment from other YMCA offices. No one has claimed responsibility for the attack. . However, sources in Gaza reportedly believe that the perpetrators were Muslim militants acting in response to the reproduction of cartoons "ridiculing" Muhammad in a number of Danish newspapers last week. Praise God no one was injured in this attack. Ask God to protect and give wisdom to believers in Gaza. Pray the attackers will come into contact with the grace and love of Jesus Christ. Joshua 1:9
ETHIOPIA Christian Couple Beaten and Chased From Mosque - VOM Sources
On February 10, Muslin Christian converts, Jemmal Abdo and his wife, were beaten and chased out from a mosque where they both worked in the capital city of Addis Ababa. According to The Voice of the Martyrs contacts, "Jemmal and his wife accepted Christ two months ago. Soon after their conversion Jemmal's friend saw him talking with Christians and told the imam of the mosque. Jemmal and his wife were interrogated in the mosque during a meeting called by Muslim leaders in an attempt to persuade the couple to recant their faith. The couple refused to do so, even after the leaders offered them higher positions and salaries if they denied Christ. The couple was beaten and dragged out of the mosque." Jemmal and his wife were able to flee to a new location for safety. Pray for the speedy recovery for Jemmal and his wife, who were injured in the attack. Ask God to strengthen them and provide for them as they stand strong in their new found faith in Jesus Christ. Isaiah 54:17
Je! Ni Sahihi kwa Mkristo Kujihusiha na Mazoezi ya Viungo au Kushiriki Michezo?
Shalom watu wa Mungu!Kwa sababu ni fani yangu, nimeonelea leo niwashirikishe umuhimu wa mazoezi ya viungo kwa mwili wa binadamu. Naandika haya kwa makusudi kamili nikijua kwamba wengi hasa wa jamii ya waaminio wa ki-Tanzania huona ni kama kupoa kiroho kwa mpendwa kushiriki katika mazoezi ya viungo, kucheza mpira, riadha, kuogelea, na michezo mingineyo inayohusisha mjongeo wa viungo vya mwili (body movements). Biblia inaeleza katika kitabu cha 1Timotheo 4:8 "... Kwa maana kujizoeza kupata nguvu za mwili kwafaa kidogo, lakini utauwa hufaa kwa mambo yote..." Huo mstari unaweka bayana kwamba mazoezi yanafaa japo ni kwa kiwango fulani-HAUKATAZI mazoezi ya mwili.Kwa kuonesha kwamba mazoezi ni muhimu na hata wakati fulani kushiriki kwenye mashindano ya michezo, Paul anasisitiza kwa kutolea mfano 1 Wakorintho 9:24-27 "... Je! Hamjui ya kuwa wale washindanao kwa kupiga mbio, hupiga mbio wote, lakini apokeaye tuzo ni mmoja?..." Na kila ashindanaye katika michezo hujizuia katika yote ........" Paul anajiringanisha kama mwanariadha mahali hapo." Anaonesha pia kwamba katika michezo zipo sheria zake na kanuni za kufuata ili kuweza kufikia lengo (2 Timothy 2:5). Kana kwamba haitoshi, Paul anaonesha pia hata michezo ya kukabiliana ana kwa ana (combat sports) kwamba nae yupo katika kupiga ngumi na si kama apigaye hewa (2 Timothy 4:7).
Kwa vielelezo hivyo ni dhahiri kabisa hakuna dhambi ndani yake kwa mtu wa Mungu kushiriki kwenye michezo au mazoezi ya mwili cha msingi ni kuwa na dhamiri na nia njema ya kwa nini unafanya hivyo. Ni agizo la Mungu kwamba hekalu lake litunzwe hii sio kiroho tu hata katika utu wa nje ni muhimu pia (1 Corinthians 6:19-20). Efeso 5:29 - yazungumzia juu ya matunzo ya mwili, pia Biblia inakataza ulafi naam hata inafikia hatua ya kusema ujitie kisu kooni kama wewe ni mlafi Mithali 23:2, kuwa makini hapa!!! Kwa ujumla twaweza sema biblia inakazia juu ya suala la mtu kuitunza afya ya mwili wake.
Kwa mtazamo huo hapo juu, nikirejea kwenye umuhimu wa michezo au mazoezi ya mwili, ziko faida lukuki ndani yake. Tafiti nyingi zimefanyika na karibu zote zinaonesha mtazamo chanya juu ya umuhimu wa michezo na mazoezi kwa mwili wa mwanadamu. Michezo au mazoezi ya mwili yana faida zifuatazo:
1. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na magonja ya moyo na kifo kutokana na magonja hayo.
2. Hupunguza uwezekano wa kupata shinikizo la damu
3. Hupunguza mafuta yaliyo hatari kwa mwili wako katika damu (blood cholesterol and triglycerides) na kuachilia yale yaliyo salama tu (HDL - or good cholesterol).
4. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na mgandamizo mkubwa wa damu (HBP) na kushusha kwa wale walio nao tayari (hypertension)
5. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na ugonjwa wa kisukari (Diabetes mellitus type 2DM)
6. Inapunguza uwezekano wa kupata kansa ya utumbo mpana
7. Husaidia katika kufikia na kutunza kiwango cha uzito maridhawa wa mwili.
8. Hupunguza hisia za mtindio wa mawazo na tashwishwi
9. Huimarisha hali njema ya kisaikolojia na kupunguza hisia za msongo
10. Hujenga na kuimarisha mifupa, viungo na misuli za mwili
11. Hupunguza na ama kuondoa tatizo la unene (Obesity)
12. Kwa wazee huwafanya kuwa imara na uwezo wa kudhibiti miili yao kutokana na kuanguka au kuchoka kwa haraka.
Kwa faida hizo na nyingine nyingi ambazo sijazitaja upo uwezekano kabisa wa mtu wa Mungu kuongeza siku zako za kuishi hapa duniani ambayo kwa hakika ni ahadi ya Mungu, na hakuwa mjinga anaposema "...siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na bwana Mungu wako..." (Kutoka 20:12). Wengi wetu kwa kutokushiriki katika mazoezi japo kidogo tumeiharibu miili yetu na kuwa na vitambi visivyokuwa na sababu na miili ambayo ni goigoi ambayo hata imekua kizingiti kwa kazi ya Mungu. Ni kweli yapo magonjwa lakini si yote ni shetani, mengine ni uzembe wetu tu wenyewe (Hosea 4:6).
Kanisa ambalo kimsingi ni eneo la kuwajenga watu kiimani na kuwasogeza kwa Mungu limesahau na kuiweka nyuma habari ya mafundisho ya mazoezi ya miili kwa washirika wake. Eneo hili likitumika vema, laweza hata kuwa ni eneo la injili ya kuwaleta watu kwa Yesu! Fikiria umeanzisha timu ya mpira iko daraja la kwanza, na slogan au moto wenu unakuwa Yesu Ni Mwokozi kila muingiapo uwanjani, unafikiri ni watu wangapi watakuwa wamefikiwa na ujumbe huu kwa msimu mmoja tu wa ligi? au kanisa likiwa na ukumbi wa kufanyia mazoezi Gymn au likianzisha aerobic fitness centre ni watu wangapi watakuwa wakihudumiwa hapo kwa mazoezi hayo na pia kuipata injili kwani hazitapigwa nyimbo za duniani bali ni nyimbo za kumtukuza Yesu na hata ikibidi kabla na baada ya mazoezi mwaweza weka utaratibu wa kuwa na maombi. Yote haya ni katika kuujenga mwili na ufalme wa Mungu! Yatosha kwa leo!!!!!
Mbarikiwe na Yesu!
Chalukulu John Bilinzozi, Norwegian School Of Sport Science And Physical Education - Oslo, Norway. E-mail: chalu.john@gmail.com
Wednesday, February 27, 2008
ILIWEZEKANAJE YONA KUKAA TUMBONI MWA SAMAKI KWA SIKU TATU?
Yawezekana kabisa ukawa una maswali mengi juu ya uwezekano kwamba Yona yule aliyetumwa kuhubiri Ninawi aliweza wezaje kukaa ndani ya tumbo la samaki pasipo kumeng’enywa kama vyakula vingine kwa siku tatu? Wanasayansi wanajaribu kufafanua namna ambavyo jambo hilo linawezekana na hivyo kuthibitisha kwamba Mungu wetu yu hai na anaweza kufanya mambo makubwa na ya ajabu.
Ukiaacha ya Yona zipo hadithi nyingi za watu waliomezwa na nyangumi na kisha kutoka wakiwa hai. Hizi sio hadithi za yule nondo mla watu wa ziwa Jipe bali ni kweli. Samaki mkubwa aitwaye "Sea Dog" (Carcharodon carcharias), anayepatikana kwenye maji ya bahari yenye mkondo joto huweza fikia urefu wa futi 40. Kunako miaka ya 1758 mvuvi mmoja bahari ya Mediterania aliwahi kuangukia baharini na kumezwa na samaki wa aina hii. Nahodha wa meli hiyo aliamuru bomu lipigwe kumlenga yule samaki. Matokeo yake ni kwamba yule samaki alimtapika mvuvi akiwa hai pasipo madhara yeyote. Maka 1891, James Bartley- mvuvi mwingine nae alimezwa na nyangumi katika visiwa vya Falkland na alikaa ndani ya nyangumi huyo kwa zaidi ya masaa 48 mpaka samaki huyo alipovuliwa na kupasuliwa. Ilimchukua wiki mbili kuweza kurejea katika hali yake ya kawaida lakini alipona. Wako watu wengi tu ambao wanatajwa kumezwa na kisha kutapikwa na nyangumi wakiwa hai.
Wataalamu wa mambo ya kale wanaandika kwamba Babeli ilikuwa na utamaduni wa kuamini Samaki Mtu (Nguva). Wanasema kunako mwanzoni mwa ustaarabu (civilization) Ukaldayo na Babeli uliamini sana maongozi ya mtu ambaye alikuwa nusu mtu nusu samaki aliyetoka majini. Katika siku za Yona, Ninawi nayo pia ilikuwa katika mfumo huo wa kiimani na waliamini katika roho iliyoleta ujumbe kupitia mtu aliyetokea/kuibuka kutoka majini/baharini kama nusu mtu, nusu samaki. Kwa maana hiyo basi hatushangai kuona hata ujumbe wa Yona ulipata kukubaliwa kwa haraka sana na watu wa Ninawi hata kutubu na kuziacha dhambi zao, na pia twasoma katika biblia kwamba Mungu aliusamehe mji wa Ninawi.
Tunaposoma leo katika biblia juu ya habari za Ninawi ni kama hadithi lakini ni mji uliokuwapo na wanasayani wanathibisha masalia yake kama yalivyochimbuliwa huko Babeli yajulikanayo kama "Neby Yunas," . Katika masalia hayo kuna kumbukumbu za jina la YONA (Yunas) jambo linalothibitisha hadithi hiyo ya Yona na pia waliweza kugundua masalia yaliyoharibika ya kasri ya mfalme wa Ninawi.
Imefasiriwa na kufupishwa na:
Chalukulu John Bilinzozi – Oslo
E-mail: chalu.john@gmail.com
(This is not official translated version, the english version remains authentic) - http://www.grmi.org/renewal/Richard_Riss/evidences/8jonah.html
(This is not official translated version, the english version remains authentic) - http://www.grmi.org/renewal/Richard_Riss/evidences/8jonah.html
Kwa ufahamu zaidi juu ya habari za Yona soma kitabu cha Yona katika biblia – Agano la Kale.
Sunday, February 24, 2008
EAGT wafukuza wachungaji 32
Week hii kuna habari kuwa kanisa la Evengelist Assemblisies of God (EAGT) jimbo la kaskazini limewafukuza wachungaji wake 32 kwa kutotii maamuzi ya uongozi wa kanisa hilo ya kuwataka wachungaji wake wote kwenda Bible school wakasomee uchungaji.
Akizingumza kwa masikitiko makubwa mmoja wa wachungaji hao 32 waliofukuzwa kazi hiyo ya kulisha kondoo alisema kuwa anashangaa kuwa baada ya kulitumikia kanisa hilo kwa muda mrefu na kuisimamisha kazi ya Mungu kwa taabu na shida nyingi tangia kipindi cha migororo ya kanisa hilo na TAG, hivi sasa wao wanaonekana hawafai kumtumikia Mungu kwa sababu hawana elimu ya Bible school.
Kanisa la TAG(Tanzania Assembilies of God) lilikuwa na mgogoro wa muda mrefu tangia mwanzoni mwa miaka ya 80 hadi 90 katikati.
Kuanzia kipindi hicho kanisa la EAGT limekuwa likiwatumia wachungaji ambao hawajaenda Bible school huku likionyesha mafanikio makubwa sana kwa kuwa miongoni mwa makanisa yanayokuwa kwa kasi sana.
Hata hivyo uongozi wa juu wa kanisa la EAGT nchini umekuwa ukiwataka wachungaji wake waote wasioenda Bible school wahakikishe wanapata elimu hiyo ya Biblia na kutoa taarifa kuwa wasiokubali uamuzi huo watalazimika wataondolewa kwenye nafasi zao za uchungaji.
Akizingumza kwa masikitiko makubwa mmoja wa wachungaji hao 32 waliofukuzwa kazi hiyo ya kulisha kondoo alisema kuwa anashangaa kuwa baada ya kulitumikia kanisa hilo kwa muda mrefu na kuisimamisha kazi ya Mungu kwa taabu na shida nyingi tangia kipindi cha migororo ya kanisa hilo na TAG, hivi sasa wao wanaonekana hawafai kumtumikia Mungu kwa sababu hawana elimu ya Bible school.
Kanisa la TAG(Tanzania Assembilies of God) lilikuwa na mgogoro wa muda mrefu tangia mwanzoni mwa miaka ya 80 hadi 90 katikati.
Kuanzia kipindi hicho kanisa la EAGT limekuwa likiwatumia wachungaji ambao hawajaenda Bible school huku likionyesha mafanikio makubwa sana kwa kuwa miongoni mwa makanisa yanayokuwa kwa kasi sana.
Hata hivyo uongozi wa juu wa kanisa la EAGT nchini umekuwa ukiwataka wachungaji wake waote wasioenda Bible school wahakikishe wanapata elimu hiyo ya Biblia na kutoa taarifa kuwa wasiokubali uamuzi huo watalazimika wataondolewa kwenye nafasi zao za uchungaji.
Wednesday, February 20, 2008
New World Order (N.W.O)
The financial world is becoming "One". Money (paper currency and coin) is slowly beginning to disappear. What is replacing it is digitized money that will be accepted worldwide. Currency can be automatically "exchanged" in the microchip embedded in your smart card. With your smart money you will be able to pay for everything from a Slurpee to library fines. You will pay your bills (they're never going anywhere!) by transferring funds through your on-line banking. When all of your money is computerized in "the system" (and it will be), Anti-Christ will control it and you. What good will money be hidden under your mattress or in a coffee can in the back yard if no one will take it anymore in its current form? Smart technology will centralize and consolidate everything. For your convenience of course!mwisho wa yote tutakuwa na kila kitu “smart”.mfano kwa sasa hivi inawezekana kabisa kununua gari from Japan bila kutoka kwenda popote,unaletewa hadi mlangoni.Hivi sasa tuna daftari la kupiga kura ambayo ni database inayoweza kutumia biometry for authentication.Passport za Tanzania kwa sasa zimewekewa special electronics chip ambayo inaweza kusomwa na computer.niseme nini juu ya tembo card ya crdb, posta nao wamezindua uhuru card last week.na kuna project nyingi zinaendelea za kuglobalize hizi atm card zinazofanywa na mabenk mengi sana duniani na hapa nchini.
This will bring the world into the new world order (N.W.O)
New World Order (N.W.O):
"And he causes all, both great and small, rich and poor, free and bond, to receive a mark in their right hand, or in their foreheads: And no man might buy or sell, save he that had the mark" (Rev.13:16-1...and the Bible tells us that he who receives the "mark" will go to Hell (Rev.14:9-11).

The goals of the "Anti-Christ" is "to control" everything: Religion, jobs, economics, politics, education, government, police, military, banks, communications, entertainment... to have a "cashless society" controlled by the Antichrist...
... And all of this at a local level, but aiming at a "New World Order" to control a universal monetary system, a universal government, and a unified religion under the Antichrist.
Freemasonry actually aims to these goals: We have commented mostly the "religious aspect" of Freemasonry... but its goals are much wider, aiming, like any Union, to the betterment of the whole life of the member... and, as modern speculative Freemasonry, "to control" jobs, economics, politics, education, government, police, military, banks, communications, entertainment... to have a "cahsless society" controlled by the government...
... And all of this at a local level, but aiming at a "New World Order" to control a universal monetary system, a universal government, and a unified religion under the doctrines of Masonry.
These goals reminds us the "Anti-Christ" of the Bible: "They worshiped the beast... there was given unto him a mouth speaking great things and blasphemies... and he causes all, both great and small, rich and poor, free and bond, to receive a mark in their right hand, or in their foreheads: And no man might buy or sell, save he that had the mark" (Rev.13:4-5, 16-17)... and the Bible tells us that he who receives the "mark" will go to Hell (Rev.14:9-11).
- Today's technology is controlling the movements of millions of animals using microchips the size of 1/20 of a rice grain, implanted in the skin with a small needle, holding information equivalent to 20,000 pages: Canada has approved it for cattle. The European Community requires all livestock be implanted with micro chips. In Colorado Springs and other cities of America micro chips are replacing dog and cat tags.
- In a world where cash is eliminated and every financial transaction is done electronically, not only the credit cards can be used, but also your micro chip number, retinal readers, voice recognition systems, signature dynamics...

- Freemasonry is in decay today, but it may be one of the agents to do all of this for 42 months... it is coming!, warns us the Bible... but Christ is more powerful than 1,000 Anti-Christs!... don't you ever get the "mark" of the beast... with Jesus in your heart you have to be afraid of nothing, even the cashless society will keep on making you free and happy on earth, and you will eventually end up in eternal Heaven.
So there is great possibility that the anti-christ will use this new technology of smart card and micro chip electronics to make his mark(the Mark of the Beast) which is 666 (asomaye na afahamu).
And he causes all, both great and small, rich and poor, free and bond, to receive a mark in their right hand, or in their foreheads: And no man might buy or sell, save he that had the mark" (Rev.13:16- ).
I don’t mean that you should stop using your bank card(ATM card) since I myself am an expert in this online operations thru internet which is used much with this new technology(i.e. e-commerce, e-banking,e-business,e-government,e-election,e-hospital, etc) but use them with this knowledge that we are approaching the rapture more that we think.
May GOD bless u as u read this article and give it to somebody who can convey this message..!
Friday, February 15, 2008
Thursday, February 14, 2008
Obama Says He's Christian, Not Muslim
Democratic presidential candidate Barack Obama is stepping up his effort to correct the misconception that he's a Muslim.Obama tried to set the record straight at a rally to kick off a weeklong campaign for the South Carolina primary coming up on Saturday.
Obama says he's been going to the same Christian church for almost 20 years. He says he was sworn into office using the family Bible. He says he repeats the pledge of allegiance to the United States flag in the Senate.
Obama is referring to a chain e-mail that suggests he's hiding his Islamic roots and may be a terrorist. It says he was sworn into the Senate on the Quran and turns his back on the flag during the pledge.

Obama's campaign blanketed South Carolina churches yesterday with literature that touted Obama's Christian faith.
On Sunday, Obama spoke at the Atlanta church where Martin Luther King Junior launched the civil rights movement, Democratic presidential hopeful Barack Obama today called for unity to overcome America's "moral deficit."
In a visit steeped in symbolism -- coming a day before the King holiday -- Obama evoked the civil rights leader's legacy to a packed house of 2,000 mostly black worshippers.
Obama also used the pulpit at the Ebenezer Baptist Church to take blacks to task for failing to embrace gays, immigrants and Jews.
The congregation rose to its feet as Obama harkened back to the civil rights struggle that he said had made his campaign possible.
The Illinois senator offered what has become a familiar campaign message centering on hope. And he drew raucous applause as he referred to his own modest upbringing.
Obama said South Carolina's primary will be absolutely critical to his campaign.

In a radio interview with the Reverend Jesse Jackson, the Illinois senator was quick to point out that he won the majority of Nevada's Democratic delegates. Senator Hillary Rodham Clinton edged him out in the popular vote in Nevada's caucuses.
Obama said immigration, education and the economy will be important issues in South Carolina. The Democratic primary here is Saturday.
Tuesday, February 12, 2008
JK atangaza baraza jipya la mawaziri
KABLA HAJATANGAZA JK KASEMA VIONGOZI WA MUDA MREFU WAMEOMBA KUPUMZIKA AMBAO NI:
1. JOSEPH MUNGAI
2. KINGUNGE NGOMBALE MWIRUBARAZA LENYEWE NI:
1. OFISI YA RAIS (UTAWALA BORA SOFIA) SIMBA
2.OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI YA UMMA) HAWA GHASIA
3. SHUGHULI ZA MUUNGANO MOHAMED SEIF KHATIB
4. UTALII NA MAZINGIRA DK. BATILDA BURIANI
5. WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS (SERA NA URATIBU WA BUNGE) PHILIP MARMO
6. WIZARA YA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA STEVEN WASIRA
7. WIZARA YA FEDHA MH. MKURO NA MANAIBU NI JEREMIH SUMARI NA OMARI YUSUF MZEE
8. WIZARA YA AFYA PROFESA DAVID MWAKYUSA NAIBU NI AISHA KIGODA
9. WIZARA YA ARDHI JOHN CHILIGATI10. ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI PROFESA JUMANNE MAGHEMBE NAIBU GAUDENSIA KABKA
11. SAYANSI SHUKURU KAWAMBA NAIBU NI DK. MAUA DAFTRI
12. MIUNDO MBINU ANDREW CHENGE NA DK. MAKONGORE MAHANGA
14. UTAMADUNI NA MICHEZO GEORGE MKUCHIKA NAIBU JOEL BENDERA
15. KAZI NA AJIRA POFESA JUMA KAPUYA NA HEZEKIEA CHIBULUNJE
16. WIZARA YA MAJI PROFESA MARK MWANDOSYA NAIBU CHIZA17. WIZARA YA KILIMO NA CHAKULA MATHAYO DAVID MATHAYO
18. WIZARA YA MENDELO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MARGARETH SITTA NAIBU NI MAMA NKYA
19. WIZARA YA UVUVI NA MIFUGO POMBE MAGHUFULI NA MANAIBU NI SHASMSA MWANGUGA NA EZEKIEL MAIGE
20. WIZARA YA MAMBO YA NDANI MH. MASHA NAIBU NI HAMISI KAGASHEKI
21. WIZARA YA MAMBO YA NJE MEMBE NAIBU SEIF ALI IDDI22. WILLIAM NGELEJA NAIBU ADAM MALIMA
23. WIZARA YA SHERIA MH. CHIKAWE
24. ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA DK. HUSSEIN MWINYI NA NCHINI
25. WIZARA YA AFRIKA MASHARIKI DK. E. KAMALA
26. WIZARA YA BISHARA DK. MARY NAGU NAIBU CYRIL CHAMI
1. JOSEPH MUNGAI
2. KINGUNGE NGOMBALE MWIRUBARAZA LENYEWE NI:
1. OFISI YA RAIS (UTAWALA BORA SOFIA) SIMBA
2.OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI YA UMMA) HAWA GHASIA
3. SHUGHULI ZA MUUNGANO MOHAMED SEIF KHATIB
4. UTALII NA MAZINGIRA DK. BATILDA BURIANI
5. WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS (SERA NA URATIBU WA BUNGE) PHILIP MARMO
6. WIZARA YA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA STEVEN WASIRA
7. WIZARA YA FEDHA MH. MKURO NA MANAIBU NI JEREMIH SUMARI NA OMARI YUSUF MZEE
8. WIZARA YA AFYA PROFESA DAVID MWAKYUSA NAIBU NI AISHA KIGODA
9. WIZARA YA ARDHI JOHN CHILIGATI10. ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI PROFESA JUMANNE MAGHEMBE NAIBU GAUDENSIA KABKA
11. SAYANSI SHUKURU KAWAMBA NAIBU NI DK. MAUA DAFTRI
12. MIUNDO MBINU ANDREW CHENGE NA DK. MAKONGORE MAHANGA
14. UTAMADUNI NA MICHEZO GEORGE MKUCHIKA NAIBU JOEL BENDERA
15. KAZI NA AJIRA POFESA JUMA KAPUYA NA HEZEKIEA CHIBULUNJE
16. WIZARA YA MAJI PROFESA MARK MWANDOSYA NAIBU CHIZA17. WIZARA YA KILIMO NA CHAKULA MATHAYO DAVID MATHAYO
18. WIZARA YA MENDELO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MARGARETH SITTA NAIBU NI MAMA NKYA
19. WIZARA YA UVUVI NA MIFUGO POMBE MAGHUFULI NA MANAIBU NI SHASMSA MWANGUGA NA EZEKIEL MAIGE
20. WIZARA YA MAMBO YA NDANI MH. MASHA NAIBU NI HAMISI KAGASHEKI
21. WIZARA YA MAMBO YA NJE MEMBE NAIBU SEIF ALI IDDI22. WILLIAM NGELEJA NAIBU ADAM MALIMA
23. WIZARA YA SHERIA MH. CHIKAWE
24. ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA DK. HUSSEIN MWINYI NA NCHINI
25. WIZARA YA AFRIKA MASHARIKI DK. E. KAMALA
26. WIZARA YA BISHARA DK. MARY NAGU NAIBU CYRIL CHAMI
Monday, February 11, 2008
Mchungaji Getrude Rwakatare akabidhi kanisa TAG?
Habari zilizotufikia zinasema kuwa mch. Getrude Rwakatare amemwandikia barua askofu mkuu wa TAG , Mwenisongole kumjulisha nia yake ya kulikabidhi kanisa hilo kwa TAG kwa kipindi chote ambacho yeye atakuwa mbunge ila kwa sharti kwamba atampendekeza yeye mchungaji atakaye simamia kanisa kwa kipindi hicho chote.Katiba ya TAG hairuhusu mchungaji yeyote kuwa mwanasiasa hali inayoonekana kuwa ngumu kwa Mch. Rwakatare.
Hata hivyo Jumapili iliyopita Mch. Rwakatare amekaririwa akikanusha vikali habari hizi kuwa amelikabidhi kanisa kwa TAG wakati akihubiri katika ibada ya kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa mbunge iliyofanyika kanisani hapo mikocheni "B" Assemblies of God.
Baadhi wa washirika wa kanisa hilo wamesema kuwa kuna mgawanyiko umeanza kujitokeza miongoni mwa washirika na baraza la wazee hasa kwa wale wanaounga mkono uamuzi wake wa kujiingiza katika siasa na wale wanaompinga.
Sayuni blog itawaletea habari zaidi kadri tutakavyopata habari kutoka katika vyanzo vyetu.
Mizengo Pinda : Waziri mkuu mpya wa Tanzania
Rais Jakaya Kikwete amemtea na kumwapisha mh. Mizengo Pinda kuwa waziri mkuu jumamosi hii kuchukua nafasi ya Edward Lowasa aliyejiuzulu kutokana na kashfa ya Richmond maarufu kwa jina la "richmoduli". Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Waziri mkuu mpya wa Tanzania mh. Mizengo Pinda aliyeshikilia Biblia Takatifu akila kiapo.
Leo hii rais Kikwete anatarajiwa kutangaza
baraza jipya la mawaziri baada ya kulivunja baraza lote lilikuwa chini ya waziri mkuu wa zamani Lowasa.
baraza jipya la mawaziri baada ya kulivunja baraza lote lilikuwa chini ya waziri mkuu wa zamani Lowasa.Waziri mkuu mh. Mizengo Pinda akikumbatiana na Waziri mkuu aliyejiuzulu mh. Edward Lowasa
Friday, February 8, 2008
Kikwete avunja baraza lote la mawaziri
President Jakaya Kikwete has accepted resignation of Prime Minister Edward Lowassa tendered yesterday morning, and has dissolved the cabinet, according to a press statement issued by State House last night from Dodoma.State House sources said that the President is expected to announce a new cabinet anytime from now.
Political observers are considering front runners for the post of the Prime Minister the current Foreign Minister, Mr Bernard Membe, and the Minister for Local Governments, Mizengo Pinda.
However, they did not rule out President Kikwete picking completely an outsider to oversee the government's affairs
Karamagi na Msabaha nao waachia ngazi

Ibrahim Msabaha

Naziri Karamagi

Edward Lowasa
Waziri wa nishati na madini ndg Naziri Karamagi na waziri wa uhusiano wa east africa wametangaza kujiuzulu jana jioni wakiungana na uamuzi wa waziri mkuu Edward Lowasa.
Wabunge wengi wa upinzani na CCM wameonyesha kuguswa sana hali ya ufisadi uliojitokeza katika serikali yetu.
Umuhimu wa Mch. Rwakatare waanza kuonekana bungeni
Ile dhana kuwa siasa na dini haviwezi kuchangamana imeanza kuonekana kukosa msingi baada ya suala la richmond na kutuhumiwa kwa waziri mkuu E. Lowasa,waziri wa nishati na madini N. Karamagi na waziri wa east africa I. Msabaha kuingiza hisia za watu kumcha Mungu kwa kiwango kikubwa.Nadhani jana tarehe 7/2/2008 ni siku pekee ambayo Mungu na watu kumwofu Mungu kumetajwa sana bungeni kuliko siku yeyote.Watu wengi wameanza kuona umuhimu wa mch. Rwakatare bungeni.
Shime watu wa Mungu tunahitaji wacha Mungu wengi sana waingie bungeni ili kuondoa kila aina ya ufisadi katika nchi yetu.
Thursday, February 7, 2008
Waziri mkuu Edward Lowasa atangaza kujiuzulu
Friday, February 1, 2008
Pentecost bishop murder his pastor?
Police probe into murder of Mwanza clergyman
Mwanza Police in Mwanza Region have launched an investigation against a bishop (name withheld), in connection with the brutal murder of pastor Claude Clevance Ishengoma of Highway Holiness Church at Igoma suburb in the lake side city last Saturday. The bishop who runs a church for born-again Christians is believed to have hired hit men to finish off pastor Ishengoma after they were embroiled in a feud. "We are investigating the bishop along with other suspects following tips-offs from various sources," Mwanza regional police commander Zelothe Stephen said yesterday. He said: "Some people believe that a clergyman in the church had contracted the assailants while others say the two men of the cloth were indulged in a quarrel over their lover they shared. We are investigating the matter." The commander said police are interrogating seven other suspects over the murder of the pastor. Two of the suspects are reported to have been found in possession of a laptop and two wireless microphones belonging to the murdered pastor. The two were arrested at an Internet café ¡t the city centre while testing the laptop. On November 23 at 8.30p.m, unidentified assailants stormed into pastor Ishengoma's residence and hacked him to death.
Source The Citizen.
Mwanza Police in Mwanza Region have launched an investigation against a bishop (name withheld), in connection with the brutal murder of pastor Claude Clevance Ishengoma of Highway Holiness Church at Igoma suburb in the lake side city last Saturday. The bishop who runs a church for born-again Christians is believed to have hired hit men to finish off pastor Ishengoma after they were embroiled in a feud. "We are investigating the bishop along with other suspects following tips-offs from various sources," Mwanza regional police commander Zelothe Stephen said yesterday. He said: "Some people believe that a clergyman in the church had contracted the assailants while others say the two men of the cloth were indulged in a quarrel over their lover they shared. We are investigating the matter." The commander said police are interrogating seven other suspects over the murder of the pastor. Two of the suspects are reported to have been found in possession of a laptop and two wireless microphones belonging to the murdered pastor. The two were arrested at an Internet café ¡t the city centre while testing the laptop. On November 23 at 8.30p.m, unidentified assailants stormed into pastor Ishengoma's residence and hacked him to death.
Source The Citizen.
Wednesday, January 30, 2008
Wadau wa blogu ya Sayuni.
Napenda kuwajulisha wadau ulimwenguni kote kuwa kuanzia sasa tutakuwa tunapokea picha zikiambatana na salama mbali mbali kutoka kwenu wapendwa katika Bwana.
Unachotakiwa kufanya ni kutuma picha yako yoyote unayoona inafaa kuonyeshwa hapa ikiambatana na maelezo mafupi na sisi tutairusha hapa hewani bure kabisa.
waweza kutumia email address hii hapa: miwlc@yahoo.com
Kwa kuanzia tutaanza na picha ya mtoto Chinyemi Mbutho Chibwaye anayeishi mbezi beach jijini dar es salaam.
Yesu alisema "waacheni watoto wadogo waje kwangu msiwazuie.Maana ufalme wa mbinguni ni wao".
Mtoto Chinyemi Mbutho Chibwaye sasa amefikisha umri wa miezi 3 na week 3 na siku 3.Picha hapo juu anaonekana akiwa na miezi 3.
Anapenda kuwapa salamu wadau wote wa sayuni waliotawanyika dunia nzima.
Anapenda kuwapa mstari wa kukumbuka kutoka kitabu cha Isaya 63:7
Unachotakiwa kufanya ni kutuma picha yako yoyote unayoona inafaa kuonyeshwa hapa ikiambatana na maelezo mafupi na sisi tutairusha hapa hewani bure kabisa.
waweza kutumia email address hii hapa: miwlc@yahoo.com

Kwa kuanzia tutaanza na picha ya mtoto Chinyemi Mbutho Chibwaye anayeishi mbezi beach jijini dar es salaam.
Yesu alisema "waacheni watoto wadogo waje kwangu msiwazuie.Maana ufalme wa mbinguni ni wao".
Mtoto Chinyemi Mbutho Chibwaye sasa amefikisha umri wa miezi 3 na week 3 na siku 3.Picha hapo juu anaonekana akiwa na miezi 3.
Anapenda kuwapa salamu wadau wote wa sayuni waliotawanyika dunia nzima.
Anapenda kuwapa mstari wa kukumbuka kutoka kitabu cha Isaya 63:7
Renee Lamira ameokoka
Unamfahamu huyu mwanamuziki wa bongo fleva?aliwahi kuwika sana kwenye muziki huo unaopendwa sana na watu wengi hapa Tanzania.hata sasa baadhi ya nyimbo zake zingali kuwika sana. Anaitwa Renee Lamira.Inasemekana kwa sasa ameokoka na kumpa Yesu maisha yake.Niliambiwa anasali pale makuti kawe kwa Apostle Ndegi.
Mchungaji Getrude Rwakatare aapishwa bungeni dodoma
Mchungaji Getrude Rwekatare leo asubuhi ameapishwa rasmi kuwa Mbunge wa CCM wa Viti Maalum, nafasi aliyopata baada ya kifo cha aliyekuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mheshimiwa Salome Mbatia. Mama Rwakatare amewasili kwenye viwanja vya Bunge mishale ya saa 2:04 asubuhi kwa kutumia gari lake la kijani huku akiwa amevalia suti yake ya pinki, akisindikizwa na wapambe wake zaidi ya mia moja. Hata hivyo idadi kubwa ya wapambe hao wakiwemo akinamama waliovalia viremba vikubwa kichwani wamekomea nje ya uzio wa Bunge na Mchungaji Rwakatare akajitoma ndani akiwa na wapambe wanne tu. Miongoni mwa wapambe waliomsindikizwa Mama Rwakatare walikuwa wanaume kadhaa ambao pia wamevalia suti za sare. Baada ya kuwasili Mchungaji Rwakatare alichukuliwa na watumishi wa Bunge moja kwa moja mpaka ukumbini kwa ajili ya liheso ya shughuli ya kuapishwa. Saa 3:00 asubuhi, Bunge lilianza shughuli zake ambapo kwa mara ya kwanza Bunge limeanza kwa kuimba wimbo wa Taifa, kisha ikafuata dua ya kuliombea Bunge.
Dua hiyo maalum kwa ajili ya Bunge ilifuatiwa na kiapo cha Mchungaji Rwakatare ambaye alitembea kwa mbwembwe kuelekea mbele ya ukumbi akisindikizwa na Waziri wa Mipango, Uchumi na Uwezeshaji Profesa Juma Ngasongwa, Mbunge wa Peramiho Bi. Jenesta Mhagama na wabunge wengine wa CCM. Baada ya kula kiapo, Mheshimiwa Rwakatare alipeana mkono na na Spika wa Bunge Mheshimiwa Samwel Sitta, ambaye alimkabidhi papo hapo kitabu cha muongozo wa Bunge. Mchungaji Rwakatare alipotoka kwa Spika akaelekea kwa Waziri Mkuu Mheshimiwa Edward Lowassa kisha kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge) Bi. Batilda Burian kabla ya kuibua shangwe pale alipokata kona na kuelekea kwa wabunge wa kambi ya upinzani na kumpa mkono Mbunge wa Bariadi Mheshimiwa John Cheyo.
Alipotoka kwenye kambi ya upinzani, Mhe. Rwakatare akasindikizwa na wapambe wake mpaka kwenye kiti chake alichoandaliwa. Baada ya Mchungaji Rwakatare kuketi, Spika aliwaomba wabunge wasimame kwa dakika moja kumwombea mbunge wa Kiteto Marehemu Benedict Lusurutia, na kisha bunge likaendelea na kazi zake.
SOURCE: Alasiri
SOURCE: Alasiri
Wednesday, January 2, 2008
Assemblies of GOD church burnt in Kenya,50 killed
NAIROBI, Kenya - A mob torched Assemblies of GOD church where hundreds had sought refuge Tuesday, and witnesses said dozens of people — including children — were burned alive or hacked to death with machetes in ethnic violence that followed Kenya’s disputed election.The killing of up to 50 ethnic Kikuyus in the Rift Valley city of Eldoret brought the death toll from four days of rioting to more than 275, raising fears of further unrest in what has been one of Africa’s most stable democracies.
The latest violence recalled scenes from the genocide in Rwanda in 1994, when more than a half-million people were killed. The question facing Kenya is whether the politicians will lose control of the mobs, triggering a civil war
President Mwai Kibaki, who was swiftly inaugurated for a second term Sunday after a vote that critics said was rigged, called for a meeting with his political opponents — a significant softening of tone for a man who rarely speaks to the press and who vowed to crack down on rioters.But opposition candidate Raila Odinga refused, saying he would meet Kibaki only “if he announces that he was not elected.” Odinga accused the government of stoking the chaos, telling The Associated Press in an interview that Kibaki’s administration “is guilty, directly, of genocide.”
The violence — from the sh
antytowns of Nairobi to resort towns on the sweltering coast — has exposed long-festering tribal resentment. 
The people killed in Eldoret, about 185 miles northwest of Nairobi, were members of Kibaki’s Kikuyu tribe. They had fled to the Assemblies of God Church on Monday night, seeking refuge after mobs torched homes. Video from a helicopter chartered by the Red Cross showed many homes in flames and the horizon obscured by smoke. Groups of people were seen seeking sanctuary at schools and the airport, while others moved into the forest.
2,000 attacked churchOn Tuesday morning, a mob of about 2,000 arrived at the church, said George Karanja, whose family had sought refuge there.

“They started burning the church,” Karanja said, his voice catching with emotion as he described the scene. “The mattresses that people were sleeping on caught fire. There was a stampede, and people fell on one another.”
Karanja, 37, helped pull out at least 10 people, but added, “I could not manage to pull out my sister’s son. He was screaming ’Uncle, uncle!’ ... He died.” The boy was 11.
Up to 50 people were killed in the attack, said a Red Cross official who spoke on condition of anonymity because her name would identify her tribe, and she feared reprisal. Even first aid workers were stopped by vigilantes who demanded their identity.
Karanja said his two children raised their hands as they left the church and they were beaten with a cane, but not killed. His 90-year-old father was attacked with a machete, but survived, he said.“The worst part is that they were hacking people and then setting them on fire,” he added.
The attackers saw Karanja saving people and began stoning him, he said. Karanja said he ran and hid — submerging himself in a pit latrine outside the church property. He stayed there about 30 minutes until he heard people speaking Kikuyu.
The Kikuyu, Kenya’s largest ethnic group, are accused of turning their dominance of politics and business to the detriment of others. Odinga is from the Luo tribe, a smaller but still major tribe that says it has been marginalized.
There are more than 40 tribes in Kenya, and political leaders have often used unemployed and uneducated young men to intimidate opponents. While Kibaki and Odinga have support from across the tribal spectrum, the youth responsible for the violence tend to see politics in strictly ethnic terms.
In Nairobi’s slums, which are often divided along tribal lines, rival groups have been fighting each other with machetes and sticks as police use tear gas and bullets to keep them from pouring into the city center. The capital has been a ghost town for days, with residents stocking up on food and water and staying in their homes.Parents in the capital’s slums — home to a third of its population — searched for food, with many shops closed because of looting.
Anne Njoki, a 28-year-old Kikuyu, said she fled her home in a shantytown after she saw Kikuyus being attacked and their homes looted. She was camped near a military base with her sister, 3-year-old nephew and 7-year-old niece.
“They have taken our beds, blankets, even spoons,” she said of the looters.
In the Mathare slum, Odinga supporters torched a minibus and attacked Kikuyu travelers, witnesses said.
“The car had 14 people in it, but they only slashed Kikuyus,” said witness Boniface Mwangi. Five were attacked by the machete-wielding gang, he said.
Thursday protest march plannedThe prospect of even more violence is ahead. Odinga insisted he would go ahead with plans to lead a protest march in the capital Thursday. The government banned the demonstration, but Odinga said: “It doesn’t matter what they say.”
The widespread violence and gathering international pressure could lead Kibaki to seek a compromise with the opposition.
The European Union and the United States have refused to congratulate Kibaki, and the EU and four top Kenyan election officials have called for an independent inquiry. In Britain, Kenya’s former colonial ruler, Prime Minister Gordon Brown urged Kibaki and Odinga to hold talks.
Election commission chairman Samuel Kivuitu said Tuesday he had been pressed by both an opposition party and Kibaki’s Party of National Unity to release the results of the vote. Western ambassadors “wanted me to delay announcing the results, even if it is for a week,” to allow the commission to investigate alleged irregularities, he said.
Kibaki, 76, won by a landslide in 2002, ending 24 years of rule by Daniel arap Moi. Kibaki is praised for turning the country into an east African economic powerhouse with an average growth rate of 5 percent, but his anti-graft campaign has been seen as a failure, and the country still struggles with tribalism and poverty.
Odinga, 62, cast himself as a champion of the poor. His main constituency is the Kibera slum, where some 700,000 people live in poverty, but he has been accused of failing to do enough to help them in 15 years as a member of parliament.
Kenya’s tourism industry, which brings in some $900 million and attracts more than 1 million visitors a year, is sure to suffer from the violence. The United States has warned tourists against all but essential travel to Kenya, and Britain has advised against travel in some areas.
Stuart Dickson, a Canadian who was vacationing in Nairobi, said he was cutting short his visit.
“We are leaving early because of the riots and how dangerous it is to be out on the streets,” he said. “With shops being closed and everything, it is not the best place for a tourist or traveler to be right now.”
In the Mathare slum, Odinga supporters torched a minibus and attacked Kikuyu travelers, witnesses said.
“The car had 14 people in it, but they only slashed Kikuyus,” said witness Boniface Mwangi. Five were attacked by the machete-wielding gang, he said.
Thursday protest march plannedThe prospect of even more violence is ahead. Odinga insisted he would go ahead with plans to lead a protest march in the capital Thursday. The government banned the demonstration, but Odinga said: “It doesn’t matter what they say.”
The widespread violence and gathering international pressure could lead Kibaki to seek a compromise with the opposition.
The European Union and the United States have refused to congratulate Kibaki, and the EU and four top Kenyan election officials have called for an independent inquiry. In Britain, Kenya’s former colonial ruler, Prime Minister Gordon Brown urged Kibaki and Odinga to hold talks.
Election commission chairman Samuel Kivuitu said Tuesday he had been pressed by both an opposition party and Kibaki’s Party of National Unity to release the results of the vote. Western ambassadors “wanted me to delay announcing the results, even if it is for a week,” to allow the commission to investigate alleged irregularities, he said.
Kibaki, 76, won by a landslide in 2002, ending 24 years of rule by Daniel arap Moi. Kibaki is praised for turning the country into an east African economic powerhouse with an average growth rate of 5 percent, but his anti-graft campaign has been seen as a failure, and the country still struggles with tribalism and poverty.
Odinga, 62, cast himself as a champion of the poor. His main constituency is the Kibera slum, where some 700,000 people live in poverty, but he has been accused of failing to do enough to help them in 15 years as a member of parliament.
Kenya’s tourism industry, which brings in some $900 million and attracts more than 1 million visitors a year, is sure to suffer from the violence. The United States has warned tourists against all but essential travel to Kenya, and Britain has advised against travel in some areas.
Stuart Dickson, a Canadian who was vacationing in Nairobi, said he was cutting short his visit.
“We are leaving early because of the riots and how dangerous it is to be out on the streets,” he said. “With shops being closed and everything, it is not the best place for a tourist or traveler to be right now.”
Subscribe to:
Posts (Atom)




