+Gaudance+Kayombo+(kati+kati)+akisisitiza+jambo+katika+Semina+ya+Wajasiriamali+iliyoandaliwa+na+Digital+Brain.+Kushoto+ni+mkewe+Leah+Kayombo,+kulia+ni+Mkurugenz.jpg)
Katika kongomano hilo ambalo wajasiliamali takribani ya 120 walihudhuria na kupewa mafunzo ya kina kabisa jinsi ya kufanikiwa kibiashara na kubadirishwa mtazamo wao kutoka ule wa "utumwa" wa kuajiriwa na kuwa na ule wa "kifalme" wa kujiajiri na kumiliki biashara.

Walimu mbalimbali walifundisha masomo yapatayo 8 na kuwafanya wahudhuriaji kutaka DigitalBrain waandae kongomano jingine kama hilo mapema iwezekanavyo.
Wahudhuriaji wengi walitoka hapa Dar,Kibaha,Arusha,DRC-Congo na hata Ufaransa.
Habari zaidi zitafuata hapo baadaye.
No comments:
Post a Comment