Wednesday, January 30, 2008

Wadau wa blogu ya Sayuni.

Napenda kuwajulisha wadau ulimwenguni kote kuwa kuanzia sasa tutakuwa tunapokea picha zikiambatana na salama mbali mbali kutoka kwenu wapendwa katika Bwana.
Unachotakiwa kufanya ni kutuma picha yako yoyote unayoona inafaa kuonyeshwa hapa ikiambatana na maelezo mafupi na sisi tutairusha hapa hewani bure kabisa.
waweza kutumia email address hii hapa:
miwlc@yahoo.com

Kwa kuanzia tutaanza na picha ya mtoto Chinyemi Mbutho Chibwaye anayeishi mbezi beach jijini dar es salaam.
Yesu alisema "waacheni watoto wadogo waje kwangu msiwazuie.Maana ufalme wa mbinguni ni wao".

Mtoto Chinyemi Mbutho Chibwaye sasa amefikisha umri wa miezi 3 na week 3 na siku 3.Picha hapo juu anaonekana akiwa na miezi 3.
Anapenda kuwapa salamu wadau wote wa sayuni waliotawanyika dunia nzima.

Anapenda kuwapa mstari wa kukumbuka kutoka kitabu cha Isaya 63:7

Renee Lamira ameokoka

Unamfahamu huyu mwanamuziki wa bongo fleva?aliwahi kuwika sana kwenye muziki huo unaopendwa sana na watu wengi hapa Tanzania.hata sasa baadhi ya nyimbo zake zingali kuwika sana. Anaitwa Renee Lamira.
Inasemekana kwa sasa ameokoka na kumpa Yesu maisha yake.Niliambiwa anasali pale makuti kawe kwa Apostle Ndegi.

Mchungaji Getrude Rwakatare aapishwa bungeni dodoma

Mchungaji Getrude Rwekatare leo asubuhi ameapishwa rasmi kuwa Mbunge wa CCM wa Viti Maalum, nafasi aliyopata baada ya kifo cha aliyekuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mheshimiwa Salome Mbatia. Mama Rwakatare amewasili kwenye viwanja vya Bunge mishale ya saa 2:04 asubuhi kwa kutumia gari lake la kijani huku akiwa amevalia suti yake ya pinki, akisindikizwa na wapambe wake zaidi ya mia moja. Hata hivyo idadi kubwa ya wapambe hao wakiwemo akinamama waliovalia viremba vikubwa kichwani wamekomea nje ya uzio wa Bunge na Mchungaji Rwakatare akajitoma ndani akiwa na wapambe wanne tu. Miongoni mwa wapambe waliomsindikizwa Mama Rwakatare walikuwa wanaume kadhaa ambao pia wamevalia suti za sare. Baada ya kuwasili Mchungaji Rwakatare alichukuliwa na watumishi wa Bunge moja kwa moja mpaka ukumbini kwa ajili ya liheso ya shughuli ya kuapishwa. Saa 3:00 asubuhi, Bunge lilianza shughuli zake ambapo kwa mara ya kwanza Bunge limeanza kwa kuimba wimbo wa Taifa, kisha ikafuata dua ya kuliombea Bunge. Dua hiyo maalum kwa ajili ya Bunge ilifuatiwa na kiapo cha Mchungaji Rwakatare ambaye alitembea kwa mbwembwe kuelekea mbele ya ukumbi akisindikizwa na Waziri wa Mipango, Uchumi na Uwezeshaji Profesa Juma Ngasongwa, Mbunge wa Peramiho Bi. Jenesta Mhagama na wabunge wengine wa CCM. Baada ya kula kiapo, Mheshimiwa Rwakatare alipeana mkono na na Spika wa Bunge Mheshimiwa Samwel Sitta, ambaye alimkabidhi papo hapo kitabu cha muongozo wa Bunge. Mchungaji Rwakatare alipotoka kwa Spika akaelekea kwa Waziri Mkuu Mheshimiwa Edward Lowassa kisha kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge) Bi. Batilda Burian kabla ya kuibua shangwe pale alipokata kona na kuelekea kwa wabunge wa kambi ya upinzani na kumpa mkono Mbunge wa Bariadi Mheshimiwa John Cheyo.
Alipotoka kwenye kambi ya upinzani, Mhe. Rwakatare akasindikizwa na wapambe wake mpaka kwenye kiti chake alichoandaliwa. Baada ya Mchungaji Rwakatare kuketi, Spika aliwaomba wabunge wasimame kwa dakika moja kumwombea mbunge wa Kiteto Marehemu Benedict Lusurutia, na kisha bunge likaendelea na kazi zake.
SOURCE: Alasiri

Wednesday, January 2, 2008

Assemblies of GOD church burnt in Kenya,50 killed

NAIROBI, Kenya - A mob torched Assemblies of GOD church where hundreds had sought refuge Tuesday, and witnesses said dozens of people — including children — were burned alive or hacked to death with machetes in ethnic violence that followed Kenya’s disputed election.
The killing of up to 50 ethnic Kikuyus in the Rift Valley city of Eldoret brought the death toll from four days of rioting to more than 275, raising fears of further unrest in what has been one of Africa’s most stable democracies.
The latest violence recalled scenes from the genocide in Rwanda in 1994, when more than a half-million people were killed. The question facing Kenya is whether the politicians will lose control of the mobs, triggering a civil war
President Mwai Kibaki, who was swiftly inaugurated for a second term Sunday after a vote that critics said was rigged, called for a meeting with his political opponents — a significant softening of tone for a man who rarely speaks to the press and who vowed to crack down on rioters.
But opposition candidate Raila Odinga refused, saying he would meet Kibaki only “if he announces that he was not elected.” Odinga accused the government of stoking the chaos, telling The Associated Press in an interview that Kibaki’s administration “is guilty, directly, of genocide.”
The violence — from the shantytowns of Nairobi to resort towns on the sweltering coast — has exposed long-festering tribal resentment.
The people killed in Eldoret, about 185 miles northwest of Nairobi, were members of Kibaki’s Kikuyu tribe. They had fled to the Assemblies of God Church on Monday night, seeking refuge after mobs torched homes. Video from a helicopter chartered by the Red Cross showed many homes in flames and the horizon obscured by smoke. Groups of people were seen seeking sanctuary at schools and the airport, while others moved into the forest.
2,000 attacked churchOn Tuesday morning, a mob of about 2,000 arrived at the church, said George Karanja, whose family had sought refuge there.
“They started burning the church,” Karanja said, his voice catching with emotion as he described the scene. “The mattresses that people were sleeping on caught fire. There was a stampede, and people fell on one another.”
Karanja, 37, helped pull out at least 10 people, but added, “I could not manage to pull out my sister’s son. He was screaming ’Uncle, uncle!’ ... He died.” The boy was 11.
Up to 50 people were killed in the attack, said a Red Cross official who spoke on condition of anonymity because her name would identify her tribe, and she feared reprisal. Even first aid workers were stopped by vigilantes who demanded their identity.
Karanja said his two children raised their hands as they left the church and they were beaten with a cane, but not killed. His 90-year-old father was attacked with a machete, but survived, he said.
“The worst part is that they were hacking people and then setting them on fire,” he added.
The attackers saw Karanja saving people and began stoning him, he said. Karanja said he ran and hid — submerging himself in a pit latrine outside the church property. He stayed there about 30 minutes until he heard people speaking Kikuyu.
The Kikuyu, Kenya’s largest ethnic group, are accused of turning their dominance of politics and business to the detriment of others. Odinga is from the Luo tribe, a smaller but still major tribe that says it has been marginalized.
There are more than 40 tribes in Kenya, and political leaders have often used unemployed and uneducated young men to intimidate opponents. While Kibaki and Odinga have support from across the tribal spectrum, the youth responsible for the violence tend to see politics in strictly ethnic terms.
In Nairobi’s slums, which are often divided along tribal lines, rival groups have been fighting each other with machetes and sticks as police use tear gas and bullets to keep them from pouring into the city center. The capital has been a ghost town for days, with residents stocking up on food and water and staying in their homes.
Parents in the capital’s slums — home to a third of its population — searched for food, with many shops closed because of looting.
Anne Njoki, a 28-year-old Kikuyu, said she fled her home in a shantytown after she saw Kikuyus being attacked and their homes looted. She was camped near a military base with her sister, 3-year-old nephew and 7-year-old niece.
“They have taken our beds, blankets, even spoons,” she said of the looters.
In the Mathare slum, Odinga supporters torched a minibus and attacked Kikuyu travelers, witnesses said.
“The car had 14 people in it, but they only slashed Kikuyus,” said witness Boniface Mwangi. Five were attacked by the machete-wielding gang, he said.
Thursday protest march plannedThe prospect of even more violence is ahead. Odinga insisted he would go ahead with plans to lead a protest march in the capital Thursday. The government banned the demonstration, but Odinga said: “It doesn’t matter what they say.”
The widespread violence and gathering international pressure could lead Kibaki to seek a compromise with the opposition.
The European Union and the United States have refused to congratulate Kibaki, and the EU and four top Kenyan election officials have called for an independent inquiry. In Britain, Kenya’s former colonial ruler, Prime Minister Gordon Brown urged Kibaki and Odinga to hold talks.
Election commission chairman Samuel Kivuitu said Tuesday he had been pressed by both an opposition party and Kibaki’s Party of National Unity to release the results of the vote. Western ambassadors “wanted me to delay announcing the results, even if it is for a week,” to allow the commission to investigate alleged irregularities, he said.
Kibaki, 76, won by a landslide in 2002, ending 24 years of rule by Daniel arap Moi. Kibaki is praised for turning the country into an east African economic powerhouse with an average growth rate of 5 percent, but his anti-graft campaign has been seen as a failure, and the country still struggles with tribalism and poverty.
Odinga, 62, cast himself as a champion of the poor. His main constituency is the Kibera slum, where some 700,000 people live in poverty, but he has been accused of failing to do enough to help them in 15 years as a member of parliament.
Kenya’s tourism industry, which brings in some $900 million and attracts more than 1 million visitors a year, is sure to suffer from the violence. The United States has warned tourists against all but essential travel to Kenya, and Britain has advised against travel in some areas.
Stuart Dickson, a Canadian who was vacationing in Nairobi, said he was cutting short his visit.
“We are leaving early because of the riots and how dangerous it is to be out on the streets,” he said. “With shops being closed and everything, it is not the best place for a tourist or traveler to be right now.”