Thursday, January 31, 2013

Wednesday, January 30, 2013

MCHUNGAJI AFIKISHWA MAHAKAMANI AKITUHUMIWA KUBAKA NA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI MBEYA

Mchungaji wa Kanisa la EAGT la Iwambi Jijini Mbeya Daniel Mwasumbi anaetuhumiwa kwa kubaka na kumpa mimba mwanafunzi akitoka mahakamani baada ya kudhaminiwa
Hapa akiwa anatoka mahakamani baada ya kusomewa mashtaka yake
 Mchungaji wa Kanisa la EAGT la Iwambi Jijini Mbeya Daniel Mwasumbi (57), Jana alipandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya Gilbert Ndeuluwo akituhumiwa  kumbaka na kumpa Mimba mwanafunzi.
Akisoma mashtaka hayo Mwendesha mashtaka wa Serilkali Archiles Mulisa alidai mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo kati ya Mwezi Januari 2008 ambapo alimbaka na kumpa ujauzito Neema Boni (17) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya Sekondari Itende.
 
Mulisa alidai mahakamani hapo kuwa kosa hilo ni kinyume cha kanuni ya elimu ya 5 ya gazeti la Serikali namba 265 ya mwaka 2003 na chini ya Sheria ya elimu namba 25 ya mwaka 1978 ambapo mshtakiwa anatuhumiwa kutenda makosa mawili ikiwemo kubaka na kusababisha ujauzito. 

Aliongeza kuwa kosa la kubaka ni kinyume cha kanuni ya adhabu kifungu cha 130(1),(2)(e) na cha 131(1) kama kilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.
 
Hata hivyo mshtakiwa huyo alikana mashtaka yote ambapo  aliachiwa kwa dhamana ya Shilingi Milioni Mbili na mdhamini mmoja mwenye barua kutoka taasisi inayotambulika, kesi hiyo iliahirishwa hadi Januari 30 itakapoanza kusikilizwa.

MCHUNGAJI AACHANA NA MKEWE KWA KUMTUHUMU NI MCHAWI MBEYA

MCHUNGAJI AACHANA NA MKEWE KWA KUMTUHUMU NI MCHAWI MBEYA

Mchungaji wa kanisa linalojulikana kwa jina la Calnel Centre Mchungaji Elia Ambakisye Jongo alijikuta katika mzozo mkali na aliyedai kuwa ni mke wake baada ya kumtuhumu kuwa ni mchawi.
Sabina Lameck mke wa mchungaji anaedaiwa kuwachwa sababu ya uchawi 
Katikati mama mzazi wa mchungaji Elia Jongo wakiwa katika kikao hicho
Baadhi ya wazee wa kanisa wakiwa makini kusikiliza kisa hicho
“ Ninachotaka ni huyu mwanamke kurudisha nguo zangu kwa sababu alizichukua ili apeleke kwa mganga kwa nia ya kunisaidia mimi nirudiane na mchungaji lakini badala yake naona dawa hizo zimemsaidia mwenyewe hadi anataka kuolewa yeye,” alisema Mwanamke huyo. ambaye alikuwa mke wa mchungaji Elia
Huyu ndiye muumini wa kanisa hilo anayedaiwa kutaka kuolewa na mchungaji Elia pia muumini huyu ni mzee wa kanisa hilo
Mchungaji elia na dada yake wakiwa makini kumsikiliza mchawi wake
“ Huyu mwanamke ni mshirikina maana tangu tutengane alianza kunivurugia huduma ambapo waumini walianza kupungua kanisani nayeye kwenda kwa waganga wa kienyeji kwa lengo la kunivurugia huduma” alisema mchungaji huyo kwa hasira.
Askofu wa kanisha hilo aliyejulikana kwa jina moja la Pasta Lugito 
 Hili ndilo kanisa la Calnel Centre mbeya lipo katibu na kiwanja cha ndege mwanjelwa
 Mchungaji wa kanisa linalojulikana kwa jina la Calnel Centre Mchungaji Elia Ambakisye Jongo alijikuta katika mzozo mkali na aliyedai kuwa ni mke wake baada ya kumtuhumu kuwa ni mchawi.

Tukio hilo la aina yake lilitokea juzi katika kanisa hilo lililopo Airport Jijijini Mbeya baada ya Mchungaji huyo kupokea ujumbe mfupi katika simu yake ya mkononi kutoka kwa Mwanamke anayedai alikutwa mke wake ambaye waliachana miaka mine iliyopita.

Mchungaji huyo akiwa mbele ya wazee wa kanisa, Familia yake, waumini pamoja na wanahabari alisema sababu ya kuwakusanya watu hao kumetokana na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la Sabina Lameck akitaka kutubu kwa mabaya aliyomtendea mumewe.

Hata hivyo baada ya mwanamke huyo kupewa nafasi ya kuanza kujieleza alianza kumtuhumu muumini wa kanisa hilo kuwa anauhusiano na mchungaji ambaye ni mumewe wa ndoa ambapo pia alidai kuwa mwanamke huyo alichukua nguo za mchngaji na mkewe kwa madai ya kupeleka kwa mganga ili kusudi awasaidie warudiane.

“ Ninachotaka ni huyu mwanamke kurudisha nguo zangu kwa sababu alizichukua ili apeleke kwa mganga kwa nia ya kunisaidia mimi nirudiane na mchungaji lakini badala yake naona dawa hizo zimemsaidia mwenyewe hadi anataka kuolewa yeye,” alisema Mwanamke huyo.

Kwa upande wake mchungaji Jongo alimtuhumu mwanamke huyo kuwa ni mshirikina na kwamba sababu ya kutengana naye ni kutokana na mwanamke huyo kuzaa na mwanaume mwingine nje ya ndoa hali aliyosema alidhalilishwa kama mchungaji.

“ Huyu mwanamke ni mshirikina maana tangu tutengane alianza kunivurugia huduma ambapo waumini walianza kupungua kanisani nayeye kwenda kwa waganga wa kienyeji kwa lengo la kunivurugia huduma” alisema mchungaji huyo na kuongeza.

“ amekuja leo hapa baada ya kusikia mimi nataka kuoa muumini wangu ambapo yeye ameanza kumzushia kuwa ni mshirikiana kitu ambacho si cha kweli lakini kama kuna ukweli wowote utajulikana kwa sababu Mungu yupo,” alisisitiza Mchungaji huyo.

Hata hivyo usuluhishi huo haukufika mwafaka baada ya kuibuka kwa malumbano hali iliyomlazimu msimamizi wa usuluhisho huo Askofu wa kanisha hilo laiyejulikana kwa jina moja la Pasta Lugito kuahilsha mazungumzo hayo huku wakimpiga marufuku mwanamke huyo kukanyaga katika makazi ya mchungaji.
Source:http://eddymoblaze.blogspot.com/2013/01/mchungaji-aachana-na-mkewe-kwa.html?zx=f963f3ff79b788d9

Polisi Dar wazuia ibada ya Kanisa Moravian Tabata


Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi  wa Ilala, Duwani Nyanda akizungumza na viongozi  wa Kanisa la Moravian Jimbo la Misheni Mashariki ambapo polisi walizuia ibada kufanyika jana katika  Kanisa la Moravian Ushirika wa Tabata jijini Dar es Salaam kwa madai kuwa ingehatarisha  amani kwa waumini hao.

POLISI Mkoa wa Kipolisi Ilala, Dar es Salaam jana ulizuia kufanyika kwa ibada kwenye kanisa la Moravian Jimbo la Misheni ya Mashariki Tabata ili kuepusha uvunjifu wa amani.
Kikosi cha polisi kiliongozwa na maofisa wa polisi akiwamo Mkuu wa upelelezi wa kanda hiyo, Duwani Nyanda.
Hatua hiyo ilichukuliwa kutokana na kuwapo kwa mgogoro ambao kwa siku ya jana ungesababisha vurugu kutokana na upande mmoja wa uongozi wa kanisa hilo kutaka kusimikwa kwa nguvu huku upande mwingine ukikataa.
Wakati huohuo Umoja wa Kanisa la Moravian duniani umeukana uongozi mpya uliotangazwa na Mchungaji Clement Fumbo aliyesimamishwa kuwa Mwenyekiti wa Jimbo la Misheni Mashariki kwa madai kuwa umekiuka sheria na katiba za kanisa hilo.
Awali Mchungaji Fumbo alikuwa akipita katika makanisa akitangaza kuwa Umoja wa Kanisa Duniani (Unity Board) unamtambua na kwamba umemruhusu yeye aendelee na uongozi ikiwa ni pamoja na kuchagua halmashauri mpya jambo ambalo ni kinyume na sheria.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam wakati akitoa maelekezo kwa wachungaji, Mwenyekiti wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini, Clement Mwaitebele alisema amepokea barua kutoka kwa Mchungaji Dk Jorgen Boytler ikikataa kitendo cha Mchungaji Fumbo kujitwalia madaraka kinyume na katiba.
“Baada ya Mchungaji Fumbo kujichagulia halmashauri yake niliamua kuutaarifu uongozi wa ngazi za juu za kanisa duniani ili kuomba ushauri, ambao nao ulimkana kwa madai kuwa kanisa hilo linaendeshwa kwa kanuni na katiba,” alisema Mchungaji Mwaitebele.
Aliongeza kuwa sehemu ya barua hiyo kutoka kwa Boytler ilisema “Nimepata taarifa kuwa ndugu zetu wa Dar es Salaam wamechagua uongozi mpya wakieleza kuwa ndiyo Halmashauri Kuu mpya ya Jimbo la Misheni Mashariki,  uamuzi huu ni wazi kuwa umekiuka katiba na miongozo yote ya majimbo yetu,” ilisema.
Naye Katibu Mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania, Conrad Nguvumali alikemea vikali hatua hiyo ya Mchungaji Fumbo akisema kuwa ni uasi na usaliti wa hali ya juu na kwamba lazima wachungaji waheshimu uamuzi wa Sinodi.
Source:Mwananchi.co.tz

Wednesday, January 23, 2013

Tuesday, January 15, 2013

Unamkumbuka Mwinjilisti Roy Durman


Benny Hinn -vs Prophet Manasseh


Prophet Uebert Angel vs Power of God


Nabii Tito vs Pombe


Prophet Geordavie


Nabii GB Malisa


Apostle Peter Nyaga vs Polisi

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa

JESHI la Polisi  Ilala, jijini Dar es Salaam  walilazimika  kuwapiga mabomu  waumini na mchungaji wao waliokuwa wamekusanyika katika mkutano wa Injili uliokuwa ukifanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Liwiti, Tabata Januari 6, mwaka huu .
Mchungaji Peter Nyaga akihubiri Neno la Mungu Tabata Liwiti.
Imeelezwa na baadhi ya mashuhuda kwamba, askari polisi walilazimika kutumia mabomu kuwatawanya watu waliohudhuria mkutano huo kwa madai kwamba muda wao wa kufanya mkutano…
Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
JESHI la Polisi  Ilala, jijini Dar es Salaam  walilazimika  kuwapiga mabomu  waumini na mchungaji wao waliokuwa wamekusanyika katika mkutano wa Injili uliokuwa ukifanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Liwiti, Tabata Januari 6, mwaka huu .
Mchungaji Peter Nyaga akihubiri Neno la Mungu Tabata Liwiti.
Imeelezwa na baadhi ya mashuhuda kwamba, askari polisi walilazimika kutumia mabomu kuwatawanya watu waliohudhuria mkutano huo kwa madai kwamba muda wao wa kufanya mkutano ulikuwa umeisha, hivyo walitakiwa kutawanyika.
Mkutano huo ambao ulianza Desemba 29, mwaka jana na hitimisho lake lilikuwa siku hiyo waliyopigwa mabomu, ulikuwa ukiongozwa na Mchungaji Peter Nyaga wa Kanisa la GRS.
 Kati ya waumini waliopata madhara ya mabomu hayo ni baadhi ya wasanii akiwemo Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ambaye alijitahidi kuwasihi polisi kuacha kuwapiga mabomu waumini bila mafanikio.
Katika mkutano huo kulikuwepo pia wana kwaya kutoka nje ya nchi na wasanii wengine wa Tanzania waliotumbuiza kama vile Christina Shusho na Upendo Nkone.
Vyanzo vyetu vya habari vilieleza kwamba mara baada ya polisi kufika katika viwanja hivyo saa 11;55, walimwamuru Mchungaji Nyaga ambaye wakati huo alikuwa akiombea taifa na viongozi wake kushuka kutoka jukwaani na kuondoka, jambo ambalo alilitekeleza lakini liliwachukiza waumini.
 ‘’Sijui ni kitu gani kiliwafanya polisi kutoa amri ya kutawanyika hata kabla ya saa 12;00, wakati siku zote walikuwa wakitulinda hadi mkutano unapoisha kati ya saa 12;15 hadi saa 12;30,” alisema Thomas John mmoja wa wahudhuriaji.
Mchungaji Nyaga alipohojiwa alisema: “Ingawa nilikuwa na kibali kutoka serikalini na uongozi wa shule juu ya mkutano huo lakini sikupenda kupingana na polisi, nilitii amri yao japokuwa ilikuwa  saa 11;55.”
Akaongeza: “Mikutano ya kiroho ni tofauti na ya kisiasa kwani wakati fulani watu unaowaombea wanaweza kupandwa na mapepo sasa huwezi kukatisha maombi eti kwa kuwa muda umekwisha wakati mapepo hayajaondoka, nawashauri (polisi) wawe wanaangalia mambo kama hayo hasa inapofanyika mikutano ya kidini.”
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Liwiti, Veronica Mbalamwezi ambaye viwanja hivyo vipo katika eneo lake, alikiri kutoa kibali cha mkutano huo wa Injili  wa siku tisa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, ACP Marietha Minangi alipoulizwa sababu ya polisi kutumia mabomu  katika mkutano huo alisema kwamba mkutano huo haukuwa na kibali cha polisi bali walitumia kibali cha serikali ya mtaa kitu ambacho ni kuvunja sheria, hivyo taratibu hazikukamilishwa.
Kamanda huyo amewataka watu wote wanapotaka kufanya mikutano iwe ya kidini au siasa wajue kuwa wenye mamlaka ya kutoa kibali kwa ajili ya ulinzi na usalama wa eneo husika ni polisi  na siyo serikali ya mtaa.

Source: GlobalPublishers

Saturday, January 12, 2013

Azusa Street with Bishop William J.Seymour

Azusa Street with Bishop William J.Seymour

Bishop William J. Seymour
Pastor of the Apostolic Faith Mission
312 Azusa Street - Los Angeles, California
William Joseph Seymour was born May 2, 1870 in Centerville, St. Mary's Parish, Louisiana. His parents, Simon Seymour (also known as Simon Simon) and Phillis Salabar were both former slaves. Phillis was born and reared on the Adilard Carlin plantation near Centerville .
When President Abraham Lincoln signed the Emancipation Proclamation ending slavery in the rebel states, Simon enlisted in the Northern Army and served until the end of the Civil War. While with the United States Colored Troops he marched across the southern gulf states of Louisiana, Mississippi, Alabama and Florida. During his service, he became ill and was hospitalized in New Orleans. From the descriptions, it seems he may have contracted malaria or another tropical disease in the southern swamps. Simon never fully recovered.
William Seymour, the oldest in a large family, lived his early years in abject poverty. In 1896 the family's possessions were listed as "one old bedstead, one old chair and one old mattress." All of his mother's personal property was valued at fifty-five cents.
Seymour also suffered the injustice and prejudice of the reconstruction south. Violence against freedman was common and groups like the Ku Klux Klan terrorized southern Louisiana.
The young Seymour was exposed to various Christian traditions. His parents were married by a Methodist preacher; the infant William was baptized in the Roman Catholic Church in Franklin, Louisiana; and, Simon and Phillis were buried at a Baptist Church.

Many accounts of Seymour's life say he was illiterate. This is not true. He attended a freedman school in Centerville and learned to read and write. In fact, his signature shows a good penmanship.
Fleeing the poverty and oppression of life in southern Louisiana, Seymour left his home in early adulthood. He traveled and worked in Indiana, Ohio, Illinois, and other states possibly including Missouri and Tennessee. He often worked as a waiter in big city hotels.
In Indianapolis, Seymour was converted in a Methodist Church. Soon, however, he joined the Church of God Reformation movement in Anderson, Indiana. At the time, the group was called "The Evening Light Saints." While with this conservative Holiness group, Seymour was sanctified and called to preach.
In Cincinnati, Ohio after a near fatal bout with smallpox, Seymour yielded to the call to ministry. The illness left him blind in one eye and scarred his face. For the rest of his life he wore a beard to hide the scars.
In 1905, Seymour was in Houston, Texas where he heard the Pentecostal message for the first time. He attended a Bible school conducted by Charles F. Parham. Parham was the founder of the Apostolic Faith Movement, and is the father of the modern Pentecostal/Charismatic revival. At a Bible school in Topeka, Kansas, his followers had received a baptism in the Holy Spirit with the biblical evidence of speaking in tongues.
Because of the strict segregation laws of the times, Seymour was forced to sit outside the class room in the hall way. The humble servant of God bore the injustice with grace. Seymour must have been a man of keen intellect. In just a few weeks, he became familiar enough with Parham's teaching that he could teach it himself. Seymour, however, did not receive the Holy Spirit baptism with the evidence of speaking in tongues.
Parham and Seymour held joint meetings in Houston, with Seymour preaching to black audiences and Parham speaking to the white groups. Parham hoped to use Seymour to spread the Apostolic Faith message to the African-Americans in Texas.
Neely Terry, a guest from Los Angeles met Seymour while he was preaching at a small church regularly pastored by Lucy Farrar (also spelled Farrow). Farrar was also an employee of Parham and was serving his family in Kansas.
When Terry returned to Los Angeles, she persuaded the small Holiness church she attended to call Seymour to Los Angeles for a meeting. Her pastor, Julia Hutchinson, extended the invitation.

Seymour arrived in Los Angeles in February 1906. His early efforts to preach the Pentecostal message were rebuffed and he was locked out of the church. The leadership were suspicious of Seymour's doctrine, but were especially concerned that he was preaching an experience that he had not received.
Moving into the home of Edward Lee, a janitor at a local bank, Bishop Seymour began ministry with a prayer group that had been meeting regularly at the home of Richard and Ruth Asbery, at 214 North Bonnie Brae. Asbery was also employed as a janitor. Most of the worshippers were African-American, with occasional visits from whites. As the group sought God for revival, their hunger intensified.
Finally, on April 9, Lee was baptized in the Holy Spirit with the evidence of speaking in other tongues. When the news of his baptism was shared with the true believers at Bonnie Brae, a powerful outpouring followed. Many received the Holy Spirit baptism as Pentecostal revival arrived on the West Coast. That evening would be hard to describe. People fell to the floor as if unconscious, others shouted adn ran through the house. One neighbor, Jennie Evans Moore played the piano, something she did not have the ability to do before.
Over the next few days of continuous outpouring, hundreds gathered. The streets were filled and Seymour preached from the Asbery's porch. On April 12, three days after the initial outpouring, Seymour received his baptism of power.
Quickly outgrowing the Asbery home, the faithful searched for a home for a new church. They found their building at 312 Azusa Street. The mission had been built as an African Methodist Episcopal Church, but when the former tenets vacated, the upstairs sanctuary had been converted into apartments. A fire destroyed the pitched roof and it was replaced with a flat roof giving the 40 X 60 feet building the appearance of a square box. The unfinished downstairs with a low ceiling and dirt floor was used as a storage building and stable. This downstairs became the home of the Apostolic Faith Mission. Mix matched chairs and wooden planks were collected for seats and a prayer altar and two wooden crates covered by a cheap cloth became the pulpit.
From this humble location, the Pentecostal truth was spread around the world. Visitors came from locations both far and near to be part of the great revival at the Apostolic Faith Mission at 312 Azusa Street in Los Angeles.
On April 17, The Los Angeles Daily Times sent a reporter to the revival. In his article the next day, he baffooned the meeting and the pastor, calling the worshippers "a new sect of fanatics" and Seymour "an old exhorter." He mocked their glossolalia as "weird babel of tongues." More important than the critical opinions expressed by the reporter was the providential timing of his visit. The article was published on the same day as the great earthquake in San Fransciso. Southern Californians, already gripped with fear, learned of a revival where doomsday prophecies were common.
Immediately, Frank Bartleman, an itenerate evangelist and Azusa Street participant published a tract about the earthquake. Thousands of the tracts, filled with end-time prophecies, were distributed. Soon, multitudes gathered at Azusa Street. One attendee said more than a thousand at a time would crowd onto the property. Hundreds would fill the little building; others would watch from the boardwalk; and, more would overflow into the dirt street.
With the help of a stenographer and editor the mission began to publish a newspaper, The Aposotlic Faith. Seymour's sermons were transcribed and printed, along with news of the meetings and the many missionaries that were being sent forth. The papers literally spread the Pentecostal message across the globe. Circulation for the little paper passed 50,000. Services at the mission were conducted three times each day at 10 AM, noon and 7 PM. They often ran together until the entire day became one worship service. This schedule was continued seven days a week for more than three years.
It was common for the lost to be saved, sick healed, demonized delivered, and seekers to be baptized in the Spirit in almost every meeting. Many of the early leaders of the Pentecostal movement received their Holy Ghost baptism or worshipped at the Azusa "plank" altar.
In 1906 when there were more lynchings of black men then in any other year of America’s history, Seymour led an interracial worship service. At Azusa Street there were no preferences for age, gender, or race. One worshipper said, "The blood of Jesus washed the color line away."
Despite all of the success, the revival faced opposition from without and within. Charles Parham, insulted by the racial compositon of the meetings and emotionalism brought the first major split. Many others followed. When Seymour married Miss Jeanne Evans Moore on May 13, 1908 another group left the mission. Two ladies in the disscenters took the main mailing lists crippling The Apostolic Faith newspaper.
Denominational churches were vicious in their attacks.Not many years after the revival began only a skeleton crew, mostly black and mostly the Bonnie Brae group, kept the fire burning in the old mission.
Bishop Seymour continued to pastor the church until his death. Yet, his work was not limited to Los Angeles. He traveled extensively, establishing churches and preaching the good news. He even wrote and edited a book, The Doctrines and Discipline of the Apostolic Faith Mission to help govern the churches he had helped to birth .On September 28, 1922, Seymour experienced chest pains and shortness of breath. Although a doctor was called, the pilgrim passed to the Cellestial City.
Some say he died from a "broken heart." Faithful to the end, his last words were "I love my Jesus so." Seymour was laid to rest in Los Angeles' Evergreen Cemetery. His gravestone reads simply, "Our Pastor."
After his passing, his loving wife, Jennie, followed him as minister at the mission. Eventually, the mission was torn down by the city of Los Angeles and the property was lost, but what happened there will never be forgotten.
For many years the pivotal role of Seymour was almost ignored by church historians. Partially, no doubt, because he was an African American. This shameful neglect, however is finally ending as more and more students of Pentecostal history learn of the importance of William J. Seymour’s role in the formation of the Pentecostal movement.
One of the first significant church historians to recognize Seymour's importance was Sidney Ahlstrom, of Yale University. In 1972, he said that Seymour was "the most influential black leader in American religious history." The Assemblies of God Theological Seminary dedicated their new chapel to Seymour's memory in 1998. As the twentieth century closed, the Religion Newswriters Association named the Azusa Street Revival as one of the top ten events of the past millennium; Life Magazine listed Azusa Street as one of the top one hundred events of the millennium; and, Christian History magazine named William J. Seymour one of the top ten Christians of the 20th century.
To learn more about Bishop Seymour and the Azusa Street revival read The Life and Ministry of William J. Seymour by Larry Martin, available from our online bookstore. With 350 pages and over 100 illustrations, this is the most comprehensive book ever written on the great outpouring.

Unakumbuka hizi picha?

Unakumbuka hizi picha?




Siku Mzee Moses Kulola (Askofu mkuu wa EAGT) alipokumbatiana na Mzee Emmanuel Lazaro wa TAG pale kanisani Full Gospel kwa Askofu Kakobe.
Siku hii ilikuwa ni siku maalum ya kupatana kwa maaskofu wetu hawa wawili baada ya utengano wa muda mrefu wa kanisa la TAG na EAGT.Japokuwa siku hii watumishi hawa wa Mungu walisema hawakuwa kuwa na ugomvi wowote kati yao ila watu ndio walikuwa wakiwazushia.Walikumbatiana kwa furaha sana na hao wawili ni wake zao wakikumbatiana pia kwa furaha.

Picha hii hapa chini ni Mwimbaji wa injili wa siku nyingi Mtanzania anayeishi Kenya Faustin Munishi akiwa na Mchungaji Mwasota wakipiga picha na Askofu Moses Kulola enzi hizi injili ilikuwa si ya mzaha kama ilivyo sasa kuna wasanii wengi wamejiingiza makanisani.Picha hii ilipigwa miaka ya mwishoni mwa sabini au mwanzoni mwa themani.Mchungaji mwosota pia alikuwa ni mwimbaji maarufu hasa kwenye mikutano ya mzee kulola.Hata leo hii wote wawili Munishi na Mwasota bado wanaimba na niwachungaji.

Thursday, January 10, 2013

Bishop Zachary Kakobe

Bishop Zachary Kakobe is the International Revivalist, and Founder of Bishop Zachary Kakobe International Ministries (BZKIM), a faith based non-profit organization, registered in the USA. He is also the Founder and the General Overseer of the Full Gospel Bible Fellowship Church, which is registered in Tanzania. He pastors a megachurch in Dar-Es-Salaam City, Tanzania; which is the mother Church; and from there, he oversees more than 400 branch churches (daughter churches), which he planted scatteredly across all the regions and districts of Tanzania mainland.
Bishop Zachary Kakobe is a Tanzanian national; born on Monday, June 6, 1955; in Kibondo, Tanzania. His spiritual journey began on Easter Sunday, April 6, 1980; when he was born again at a Miracle Healing Indoor Crusade, which was conducted by a renowned National Evangelist in Tanzania, Bishop Moses Kulola, at the Tanzania Assemblies of God Church, Ilala, Dar-Es-Salaam, pastored by Pastor Titus Mukama. In that evening, the Gospel message that was preached by Bishop Moses Kulola, made Zachary Kakobe to go forward to the pulpit, for salvation. He went forward to the pulpit, weeping bitterly in public, and repented his sins; with a real intention from the depths of his heart, to turn away from all sins, and deceitful pleasures; and accepted Jesus in his heart to be his personal Lord and Saviour. From that day on, his life was completely transformed. His wife and his friends who knew him before, testified that his life was changed. He was born again. He was a new creature, in Christ. Shortly after, he made Tanzania Assemblies of God church, Temeke, Dar-Es-Salaam; his local church home. For a number of years after his conversion, he was a faithful member of this church, and his Pastor was the late Callist Masalu, who was a renowned Servant of God in Tanzania, for more than four decades.
Bishop Zachary Kakobe's call to ministry was paranormal, or to put it in simple terms, it came through a supernatural experience. In 1982, Jesus Christ came personally to his living room, on two different occasions, to deliver His message of calling him into ministry. On all occasions, Jesus came to the room in early hours of the night, long before bedtime when normal business was going on in the living room. In the first instance, Jesus knocked on the securely locked door, and before the door could be opened, he passed through that door without opening it. When he entered the room, the living room lights went off, without being turned off by anyone; and His glory illuminated the room. He then took a seat and started saying, "Fear not, I'm Jesus." Then He said that he was sending Kakobe to preach his Word.
He continued to say that, Kakobe, will be a Shepherd of a large flock of sheep, and he will tend and feed thousands of sheep and lambs; and moreover, he will oversee many other flocks of sheep. At the same time, he will preach the Gospel to multitudes; beginning in his Nation; and in the latter years, to great multitudes, in many Nations around the world; with mighty signs and wonders following him wherever he goes to preach His Word. He spoke a lot of other things pertaining to God's plan for Kakobe's life and ministry; and finished by urging him repeatedly, to be faithful to him, till the end; so that he could see all these things come to pass, in his ministry. After the concluding remarks, He did not give any room for discussion. Then He departed through the same door, in the same manner; and immediately, the lights of the room were automatically turned on again.
Surprisingly after receiving this message, Kakobe responded negatively to the call of Jesus Christ. In a heart to heart discussion with his wife Hellen, Kakobe told her, "I'm sorry, I can't be a Crusade preacher or a Pastor. I'm not interested at all in this kind of ministry. I'm only interested in becoming a big businessman, and use my money to further the Gospel of Jesus Christ. Nothing more, nothing less!" At this particular time, Kakobe was involved in the ministry of helps in his Church, the Tanzania Assemblies of God. He helped the National Evangelist, Bishop Moses Kulola, to start a tape ministry and was using his electronic equipment to record his Gospel messages and distribute the sermon tapes to a wider audience; at his own costs and expenses. He had a burden to spread the Word through the sermon tapes of Bishop Kulola.
He was also a partner in Bishop Kulola's ministry. He was burdened to give his all, to the Gospel of the Kingdom. He absolutely had no interest in becoming a Crusade preacher. At his Assemblies of God Church home, he didn't have any preaching or teaching assignment. He was just an ordinary member of the Church. He told his wife, "If Jesus gives me a chance to respond to His call, my answer will be, I'm not interested in becoming a Pastor or a Crusade Preacher; and I will ask Him to give me power to get wealth; so that I can offer a lot of support to the Preachers of the Gospel."
A couple of months later, that same year; Jesus came again to Kakobe's residence, in more or less, the same way. On this occasion of His second visit, He took a shorter time elaborating on God's plan for Kakobe's life and ministry; but this time with greater emphasis; and then He concluded by saying that it will take a much longer time for Him to come again in this manner, and thereafter He departed.
Did this second visit of the Lord bring positive developments in Kakobe's response to the call? Not at all! Kakobe continued with the same stand for a number of years, without relenting. Then came the year 1987, in November, when the Internationally renowned Evangelist, with the heart for Africa, Reinhard Bonnke, held an evangelistic Crusade in Dar-Es-Salaam, Tanzania. That Crusade attracted multitudes of people, coming from all over the Nation. Kakobe was one of the ushers of that Crusade. On the last day of the Crusade, there was a great move of the Spirit of God. Thousands of people decided for Christ, and many miracles occurred. As the preacher was winding up with words of farewell, Kakobe took a little time to think about the masses of people, the numerous decisions for Christ and the miracles that occurred, which had greatly glorified Jesus in the City and the nation at large. While he was thinking about these things, the two visits of Jesus in his living room, five years back, came fresh in his mind, and suddenly, he heard a small still voice speaking in his heart saying, "Son, the preacher is now saying farewell to the multitudes, who then, will continue to glorify My Name, after his departure?" After this voice, what happened? In his own words, Kakobe tells the story, "This voice broke my heart within me, and all my bones shook. I was helpless. When the multitudes sang joyfully songs of praise in conclusion of the crusade, I couldn't sing with them, but instead, I wept bitterly and cried at the top of my voice. I repented my stubborn disobedience to the call of my Lord, thanked Him for being patient with me and surrendered my will to His will, and said, Here am I Lord, use me as You will. Then the Spirit of the Lord came mightily upon me, and I was suddenly filled with the Holy Ghost power; boldness, faith and an inward intense desire to preach the Word and pray for the sick and the needy. I just couldn't wait another single day to preach His Word in Miracle Healing Crusades!"
After the necessary spiritual preparations, then the day came. That was August 3, 1988; when Kakobe started his preaching journey. With his evangelistic team, the Gospel Evangelistic Team (GET), he went upcountry to start a series of Miracle Healing Crusades, on the invitation from various Pentecostal churches. He conducted a total of ten Open air Crusades in Tanga, Kilimanjaro, Tabora, Mbeya, Coast and Dar-Es-Salaam regions; in Tanzania. Commenting on the success of these Crusades, one Senior Pastor said, "These first ten Crusades in his ministry have confirmed his calling." In all these Crusades, the attendance was far above average. Hundreds of people decided for Christ, in each Crusade; and phenomenal miracles occurred.
Speaking on the remarkable miracles, which occurred in his first ten Crusades which he can't forget; Bishop Zachary Kakobe had this to say, "I can't forget two remarkable miracles. The first one is a remarkable miracle which the Lord performed in the Crusade I conducted at Hedaru Village market ground, in Kilimanjaro Region; from Saturday, August 13 to Monday, August 15, 1988. This Crusade was sponsored by Swedish Free Mission Church. On the first day of the Crusade, the villagers were reluctant to come close to the Crusade grounds because they didn't believe in miracles; then suddenly, I was filled with an abnormal kind of faith which prompted me to speak to the people who were afar, and tell them to bring any lame person who is known to all the villagers, and immediately after prayer the lame person will stand up and walk.
Just on nearby premises, there was a lady who was more than 40 years old; she had been lame from her mother's womb. All the villagers knew this lady. They carried her wherever she wanted to go because she couldn't crawl or creep, let alone stand and walk! They hurriedly brought her near me, and they said, "Preacher, if this lady will rise and walk, then we are going to believe your preaching." Then I said, "Something extraordinary is about to happen, right here, right now! I'm just waiting for all those people who are standing afar off. Please come close, and see this miracle with your own eyes." Shortly after, the Crusade ground was jammed with hundreds of people who were full of anxiety. Then I said boldly, "This lady is going to stand and walk right now." After saying these words, fear came to me; I trembled, and all my bones were shaking. This kind of ministry was very new to me! I was learning a lesson of how to operate in the gifts of the Holy Spirit; in the School of the Holy Spirit. Then I heard a voice within me saying, "Today, you will be put to shame because you said something that is absolutely impossible. Your ministry is going to be ruined right away."
Shortly afterwards, I saw one of my teammates, who was playing the accordion, before I took the pulpit to preach; slowly leaving the area to hide himself. Then I heard a small still voice within me saying, "Fear not, my servant, for I am with you. Just say a word of prayer and I will do the rest." The latter voice made me ignore the former one, but I decided to close my eyes while praying, so that I couldn't see what was happening around me. Then I said a word of prayer. When I finished praying, I decided to keep my eyes closed, so that I couldn't see the rest. Then followed a dead silence, and thereafter, ululations; a loud shrill scream - a peculiar high-pitched trill used commonly by women in Africa and in other cultures, as a sign of joy - which made me open my eyes! And guess what! The lady stood on her feet for the first time in her life and started to walk. The audience was electrified with shouts of joy and shouts of Hallelujah! The news of the miracle spread so fast by word of mouth that people flocked in from all directions, and even the accordionist came out from his hiding place! Everybody wanted to see the miracle with their own eyes! Jesus was alive and real to every villager, and thereafter the villagers believed every Word that was preached. The amazing miracle continued to be the talk of the village for a number of years after the Crusade. Moreover, the miracle ignited my faith also and made me preach Jesus in the next Crusades with deep conviction in my heart, as never before.
The second miracle occurred at a Crusade I held at Chalinze Village, Coast Region, late January 1989; which was sponsored by Elim Pentecostal Church. Here, too the villagers were reluctant to enter the Crusade because they didn't believe in miracles. On the first day of the Crusade, there were very few people in attendance. Most of the attendees came together in a group, bringing with them a lady who had a unique kind of muteness. Not only was she unable to speak even a word for three years; but also during the entire period, she crowed like a rooster every three to four hours. Every villager knew the lady because of her unique kind of dumbness. Medical science couldn't explain why a human being could crow like a rooster! The people told me, "Preacher, if prayer in the Name of Jesus can make this lady speak, and stop crowing, then we are going to believe your preaching and follow your Jesus."
I told them, "Go to the streets and invite as many people as you can, to come and see this miracle. After a short prayer, she will talk normally, and crowing will let her alone." They went to the streets and in no time at all, the grounds were filled with hundreds of people who were anxious to see the miracle. Guess what! After a short prayer, the lady spoke normally, and crowing was no more. Four hours elapsed, and there was no sign of crowing. They observed her again for the whole night and to everyone's surprise, crowing was history! The following day, almost the whole village, was attracted to the Crusade grounds, and hundreds of people gave their lives to Christ. This continued daily, until the last day of the Crusade; and this miracle also became the talk of the village for a number of years after the Crusade.
Kakobe's last Crusade, among the ten; was done at Kijitonyama Pentecostal Church grounds in Dar-Es-Salaam. That was late February 1989. After this Crusade, he took some time to communicate with all the host Pastors of the ten Crusades, in order to find out, if serious intensive follow up on the new converts who decided for Christ, in these Crusades, had been done thoroughly after the Crusades. His interest, right from the start, was not only to bring forth fruit in the Crusades, but to make sure his fruit remained; because he had conviction in his heart that this is the will of the Father (John 15:16; 1 Thessalonians 3:5,8). In the assessment of the work done, he found to his dismay, that most of the host Pastors hadn't taken a keen interest in doing follow-up on the new converts. They somewhat considered Miracle Healing Crusades, more or less, as mere entertainment. In fact, some of them took their holidays immediately after the Crusades. This evaluation made Kakobe to seek the face of God seriously, and inquire of Him whether he should continue in that direction, or otherwise. After praying for about one month and a half, the Lord clearly directed him to start a Church, the Full Gospel Bible Fellowship; so that he could go and bring forth fruit, and see to it that the fruit remains.
In mid April 1989, he gathered 13 young converts and camped in his residential house at Kijitonyama, Dar-Es-Salaam; for an intensive two-week Bible Study course. Thereafter, on Sunday, April 30, 1989, he started his Church services with 13 faithfuls, at Jamhuri Primary School at Mnazi Mmoja area, Dar-Es-Salaam. So the Word of the Lord spoken to Kakobe, was fulfilled. Kakobe was now a Pastor, and more was yet to come! Having also in mind the training of Pastors, a few months later, he started Bible classes towards the cause.
mainbuilding

Full Gospel Bible Fellowship Church (F.G.B.F), Dar es Salaam, Tanzania.

From this humble beginning, to date, Kakobe pastors a megachurch in Dar-Es-Salaam, which is the mother church and has personally trained and sent out into the Lord's fields, more than 700 Pastors. On Sunday, March 7, 1993; he ordained the first batch of 28 Pastors (19 Pastors and 9 Assistant Pastors); and commissioned them to open up the first 19 branch Churches (or daughter Churches), in all the then 19 regional headquarter towns in Tanzania mainland; and by February 2000, Kakobe had already planted more than 400 branch Churches (or daughter Churches), scattered across all the regions and districts of Tanzania mainland.
choir side

Full Gospel Bible Fellowship Church (F.G.B.F), Dar es Salaam; Sunday Worship Service.

What is the secret behind this admirable work? Signs and wonders in Kakobe's ministry, have definitely played a major role in pulling down strongholds and casting down every high thing that exalts itself against the knowledge of God, in Tanzania; a land with a good percentage of Muslims. In his own words, Bishop Kakobe explains, "A soul winner, is a fisher of men (Matthew 4:18-19). We are fishers of men. In fishing, a fisherman will use a bait, to cover up the barbs and the sharp point of a fish hook. Fishermen use nightcrawlers, insects or small fish, as fishing bait, which will attract fish. As the fish is lured into biting the bait, it impales itself on the hook which is attached to the line of the fishing pole, and therefore it is caught by the fisherman. A fisherman cannot use a plain fish hook without bait and expect encouraging results. The fish will run away from a plain fish hook. In the same manner, the Gospel is sharper than a two edged sword. It is like a fish hook. A fisher of men can catch men easier if he uses "fish baits" or "men baits", if you like, on the "evangelistic hook", which is the Gospel. The signs and wonders in this case are used as "fish baits" or "men baits" to attract unbelievers to hear and believe the Gospel.
mens side

Full Gospel Bible Fellowship Church (F.G.B.F), Dar es Salaam; Sunday Worship Service.

Based on these grounds, Kakobe has conducted hundreds of Indoor and Open air Miracle Healing Crusades in his country since he founded his Church; and these Crusades have contributed immensely to the success of the Church Planting. For example, in 2007 alone, he did a total of 211 Open air Miracle Healing Crusades in 211 different towns and villages; scattered across all the regions and districts of Tanzania mainland, in a period of 256 days only; starting from January 5, 2007 at Mlali Village, in Morogoro Rural; and ending on September 17, 2007 at Ngerengere Village, in Morogoro Rural. In some of these days, he did three Crusades per day, in three different towns or villages; one Crusade in the morning, the following in the afternoon, and the last one in the evening; and in some days he did two Crusades in two different towns or villages, each day.
All in all, within this period of 256 days, he did three Crusades each day for 10 days; two Crusades each day for 53 days and one Crusade daily for 75 days. So the total number of "Crusade days", if you like; were 138 only and the remaining days were used in moving from one area to the other, and also pastoring the mother church, in Dar-Es-Salaam. He did these Crusades not only in big towns and cities, but also in the remotest villages across the country where no Crusade had ever been held before. From Mahurunga Village in Mtwara Rural District in the South East, near the Tanzania Mozambique border (July 28, 2007), to Wampembe Village in Nkasi District in the South West, on the shores of Lake Tanganyika (May 28, 2007); and from Bwisya, Ukara Island in the North West (May 12, 2007); to the Duga Maforoni Village in the North East, near the Horohoro, Tanzania Kenya border (August 16, 2007) and from Kabanga Village in the West at the Tanzania Burundi border (May 16, 2007); to Kilindoni, Mafia Island in the East (June 28, 2007), and from Njani Marikanda village in Arumeru District (March 26, 2007) and Loliondo (March 30, 2007), both in the North; to Mpwayungu village in Chamwino District, in the Central area (March 12, 2007); and to Tunduru, in the South (July 30, 2007).
After unveiling the secret behind Kakobe's Church Planting Ministry, let us now go a step further. After ordaining the last batch of Pastors, on Sunday, January 30, 2000; Kakobe was saturated with a great desire to open up daughter Churches in other Nations of the world. However, before proceeding, he decided to inquire of the Lord if his desire was in line with The Lord's will for his ministry at that particular time.

After thorough prayer, the Lord clearly directed him not to do so. He reminded him of his call to preach the Gospel to great multitudes, in many Nations around the world, with mighty signs and wonders. He was also reminded that, as he was foretold in 1982, that assignment was to be fulfilled in the "later years" of his ministry. The Lord also gave him a plan for the implementation of the assignment. He said that, when he would go to preach to the Nations, he would be working in partnership with the Global Body of Christ; empowering, equipping and supporting the local churches to fulfill their mission. Even so, the Lord said that he was to go through intensive training till the later years; when he would be released full scale into that kind of ministry. He told him that before that time, he would continue to be released occasionally into International ministry, and then back to training; until the appointed time. The Lord concluded by urging him to always remember that, it is required in stewards, that one be found faithful.
This answer to his prayers, made Kakobe recall what happened a few years back, that is, in 1996 after his first International Miracle Healing Crusade in the City of Pune, India; and then shortly before this answer to prayer, that is, in 1999, after his Miracle Healing Crusades in the City of Kandy, Sri Lanka; and in Mathare slums in the City of Nairobi, Kenya. The great number of decisions for Christ and the countless genuine amazing signs and wonders in those Crusades, left a mark on the history of Miracle Healing Crusades in those Cities. As a result, each one of these Crusades opened lots of doors for International ministry, but as Kakobe inquired of the Lord for the go ahead; the Spirit did not permit him (Acts 16:6-7). It was now vividly clear that, the appointed time, had not yet come. Kakobe was still in a wilderness of obscurity, being molded and trained by God, in his native country, Tanzania; and even the occasionally permitted International Miracle Healing Crusades, were themselves, part of the training.
Since the year 2000, when Bishop Kakobe received from the Lord, guidelines for his International ministry, God has continued to release him very occasionally to minister internationally, but the impact of his International Miracle Healing Crusades, has been phenomenal. In 2006; his Miracle Healing Crusades in Korea were a complete surprise to the Crusade organizers, the Korea Revival Mission. They said, "We have never seen anything like this, before!" In 2008; for only six days, his ministry shook the whole country of Burundi; and everywhere, the conversation was about Jesus Christ! Likewise, in May 2010, his four-day historical Miracle Healing Crusade in the City of Lubumbashi, Democratic Republic of Congo, gripped the whole City and nearby towns, and Jesus Christ was alive and real to the skeptics. Similarly, in August 2010, his five day Miracle Healing Crusade in Lusaka, Zambia; also made Jesus Christ to be the talk of the City and the whole country at large.


bishop mama 1

Bishop Kakobe and his wife, Hellen

And now, at last! The long awaited comforting news is here! The appointed time is here at last! It all started in 2010, by the leading of the Holy Spirit, when Bishop Zachary Kakobe International Ministries was registered in the USA. Then after a long prayer retreat on April 16, 2012; thirty (30) years after his paranormal call to ministry, Bishop Kakobe finally declared, "By the Grace of God, Today, I'm full-scale released by the Holy Spirit into International Ministry. The latter years have now arrived!" Yes! Bishop Zachary Kakobe is here, ready to serve the Lord of Harvest as His vessel for revival to the Nations. His great desire is to come to your City for only one assignment; to lift the Name of Jesus higher, and much higher! To God, and our Father, to whom be glory forever and ever. Amen. (Galatians 1:4-5). Bishop Zachary Kakobe is the husband of one wife, Hellen. They got married on December 11, 1979; and together they have four children.

Tuombe kwa Jina la Yesu

Tuombe kwa Jina la Yesu (6)
Sadaka yako na Maombi yako.
"Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu." (Mdo 10:4)
Bwana Yesu Asifiwe!

Ninaamini kuwa ujumbe huu umekukuta hujambo kabisa na unauona na kuufurahia ukuu wa Mungu katika maisha yako wewe na ya wale wanaokuzunguka, kwa maana maandiko yasema kuwa "Furaha ya Bwana ndiyo nguvu zetu". Mimi binafsi ninapenda kumshukuru Mungu kwa kuwa mwema sana kwangu na kunitendea mambo kwa fadhili kuu mno.

Kwa majuma kadhaa sasa tumekuwa tukijifunza somo hili lenye kichwa "Tuombe kwa Jina la Yesu", lengo la somo hili lilikuwa na kujenga msingi imara wa maombi kwa watu wote wanaotamani kujenga zaidi maisha yao ya maombi mbele za Mungu wetu mwema. Kwa wale mliojiunga na Huduma  hii hivi karibuni, tazama mwisho kabisa wa email hii utaona sehemu ya  kusoma masomo ya siku za nyuma. Pia tembelea www.thekingdomnews.org kwa maelezo zaidi. Leo tunaendelea na sehemu ya tano ya somo hili, Roho Mtakatifu wa Mungu akufundishe upata kulifahamu Neno la Mungu.

Sadaka yako na Maombi yako.
Leo tutajifunza uhusiano kati ya maombi yetu kwa Mungu na sadaka zetu kwa Mungu Baba. Kwa ajili ya kujifunza vyema somo hili, hebu ifikirie mistari hii ya Biblia; "Nalo neno la BWANA likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi. Akamleta nje, akasema, Tazama sasa mbinguni, kazihesabu nyota, kama ukiweza kuzihesabu. Akamwambia, Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.  Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki. Kisha akamwambia, Mimi ni BWANA, niliyekuleta kutoka Uru wa Wakaldayo nikupe nchi hii ili uirithi."(Mwanzo 15:4-7).

Katika maandiko ya mistari hiyo, tunaona Mungu akimpa Ibrahimu (baba yetu wa imani) ahadi kubwa sana katika maisha yake. Alimwahidi kuwa watoto wake watakuwa kama nyota za mbinguni. Na ahadi hii imetimia hata sasa yaonekana. Nami nataka tutazame Ibarahimu alifanya nini baada ya kusikia ahadi hii kwa Mungu? Kitendo cha Ibrahimu kupewa ahadi hiyo na Mungu, ni sawa kabisa na wewe kusoma Biblia na Roho Mtakatifu wa Mungu kukuonesha Neno ambalo lina ahadi fulani kwa ajili yako.

Ibrahimu aliposikia Mungu akimpa ahadi hiyo, alitaka uthibitisho kutoka kwa Mungu kuonesha kwamba kweli ahadi hiyo Mungu aliyoisema itatokea kwake. Tunaona katika mstari wa nane Ibrahimu akimwambia Mungu: "Akasema, Ee Bwana MUNGU, nipateje kujua ya kwamba nitairithi? " (Mwanzo 15:8), kwa swali hilo, Ibarahimu alimtaka Mungu athibitishe kama anachokisema ni kweli kitatokea kwa Ibrahimu ambaye alikuwa hana hata mtoto mmoja kwa wakati huo. Naye Mungu akamjibu na kumwambia "Akamwambia, Unipatie ndama wa miaka mitatu, na mbuzi mke wa miaka mitatu, na kondoo mume wa miaka mitatu, na hua, na mwana njiwa. (Mwanzo 15:9). Katika mistari hiyo, tunaona kuwa Ibrahimu alitaka uthibitisho juu ya Neno la Mungu kutukia katika maisha yake, na Mungu akamwambia amtolee sadaka (mstari wa 9), na katika mistari inayofuata ya sura hii ya Mwanzo 15, tunaona kuwa Ibrahimu alimtolea Mungu sadaka zake na Mungu alizikubali sadaka hizo, na kweli kile Mungu alichomwahidi Ibrahimu kimetokea, kwa sababu hata wewe kama umeokoka basi wewe ni wa uzao wa Ibrahimu kwa imani.

Mfano mwingine wa mtu aliyeunganisha maombi yake na sadaka zake ni askari aliyeitwa Kornelio, ambaye tunasoma habari zake katika Matendo 10:3-4 "Akaona katika maono waziwazi, kama saa tisa ya mchana, malaika wa Mungu, akimjia na kumwambia, Kornelio! Akamtazama sana, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu." Na ukisoma zaidi utaona kuwa Mungu alimpelekea msaada yeye na familia yake yote.

Habari hiyo tuliyoisoma inatufundisha kwa uwazi kabisa kuwa kuna nafasi/sehemu ya sadaka katika maombi yetu tunayoyapeleka kwa Mungu. Kwamba unapopata Neno katika Biblia au Mungu amekwambia Neno fulani kwa njia yoyote, ikiwa unatamani Neno hilo litimie katika maisha yako, basi fanya kama alivyofanya Ibrahimu. Chukua sadaka yako, nenda nayo kwa Mungu na uzungumze naye ukimweleza kuwa kama Ibrahimu alivyomtolea sadaka katika Mwanzo 15, na wewe pia unamtolea Mungu sadaka yako ili hili jambo ambalo unaamini amekuahidi lipate kutimia. Lakini ni muhiimu kujua kuwa sadaka/pesa hainunui majibu ya maombi yako kwa Mungu.

Hivyo basi, ni vyema ukapanga mkakati wako wa maombi, kwa mfano unaweza ukapanga kuwa na maombi fulani kwa muda wa wiki nzima. Andika maombi yako kwenye karatasi na weka ndani ya bahasha. Humo mwenye bahasha pia weka sadaka yako ambayo unapenda moyoni mwako kuambatanisha pamoja na mahitaji yako. Kisha, kila siku unapomwomba Mungu unakuwa umeshika ile bahasha yenye maombi na sadaka yako, huku ukiomba kwa bidii na kumwambia Mungu kuwa pia unaambatanisha maombi yako hayo na sadaka yako kwake.

Namwomba Roho Mtakatifu aendelee kulipanua hili somo moyoni mwako kwa utukufu wa Mungu Baba. Na kama somo hili limekusaidia ninaamini uta-forward kwa rafiki zako pia ili nao wabarikiwe, na usisite kuwakaribisha kwenye Kanisa la Mtandaoni.

Tuombe....

"Mungu Baba, ninakuja kwako kwa Damu ya Yesu Kristo. Ninaomba unisamehe kila nilipokukosea, na unipe Roho wako Mtakatifu anisaidie nibadilike. Baba, asante kwa Neno lako litialo uzima, asante kwa kunifundisha namna ya kuambatanisha maombi yangu na sadaka yangu kwako. Ninaomba unisaidie niweze kuliweka somo hili katika matendo. Asante kwa ajili ya mtumishi wako na Huduma hii, ninaomba mapenzi yako yaendelee kufanyika zaidi. Nimeomba haya kwa Jina la Yesu Kristo, Amen"


Tuzidi kuombeana ili kazi hii ya Injili isonge mbele na Mungu atukuzwe kwa ajili ya hiyo.

Mungu karibu ufanye makao yako Tanzania;
Frank Lema,
Kanisa la Mtandaoni,
The Kingdom News,
www.thekingdomnews.org
thekingdomnews@yahoo.com
August 22, 2012
Arusha, Tanzania.

Don Moen asababisha Mtade na Frank Lema kukutana live DAR

Don Moen asababisha Mtade na Frank Lema kukutana live DAR

Mtade na Frank Lema wamekutana live jana katika viwanja vya jangwani katika tamasha la Injili lililokuwa na waimbaji mahiri kama Don Moen na Nicole Mullen.Mtade na Lema hawajawahi kukutana kwa miaka zaidi ya sita tangu wafahamiane na kufanya kazi pamoja katika mtandao huu wa sayuni.


WAFAHAMU AMISH

WAFAHAMU AMISH
HISTORIA YAO
Kikundi cha Amish kiliundwa huko ulaya na Jacob Amman mnamo miaka ya 1644-1720 kikiwa ni sehemu ya kanisa la Mennonite lililogawanyika. Dhamira ya kikundi hiki ilikuwa ni kujaribu kurudisha tamaduni, mila na desturi za mwanzo za kanisa la Mennonite ambazo zilionekana kutaka kupotea.  Mpaka sasa hakuna mwafaka uliofikiwa kuhusu kikundi hiki na kwamba kipo katika mrengo upi katika imani ya wakristo.  Baadhi ya watu wanawachukulia kama waprotestant wa kihafidhina (wasiopenda mabadiliko).  Wengine wanawafananisha na baadhi ya makanisa huru ya ulaya yanayofanana na kanisa la Mennonite.
Mila, desturi na tamaduni za kikundi hiki ziliandikwa na mwanzilishi wake Menno Simons (1496-1561) na kufikia mwaka 1632 imani ya Amish ilikuwa imeshaandikwa.  Amish wengi waliogawanyika kutoka kanisa la Mennonite waliishi kusini mwa jimbo la Rhine huko Switzerland. Katika karne ya 17 kundi hili liligawanyika tena kutokana na kile kinachoaminiwa ni kukosekana kwa nidhamu miongoni mwao.
Jinsi Amish wanavyotumia magari ya kukokotwa na farasi katika kusafiri
Kutokana na kugawanyika huko baadhi yao walihamia nchini Marekani katika jimbo la Pennsylvania, New York, Illinois, Indiana, Iowa, Missouri Ohio, pamoja na majimbo mengine mwanzoni mwa Karne ya kumi na nane (18). Kundi hili lilijaribu sana kutunza chembechembe za imani iliyokuwepo nchi za ulaya katika karne ya kumi na saba (17).  Walijaribu kuzuia maendeleo ya kisasa yaliyokuwa yameanza kujitokeza kwa kuanzisha mila, tamaduni na desturi zilizojitenga na zile za Marekani zilizokuwa zinakua kwa kasi.
Baadhi ya wachambuzi wa mambo kama James Hoorman wanasema, Nchini marekani Amish wana litrujia moja kubwa lakini kadri miaka inavyozaidi kwenda mbele litrujia hiyo inazidi kubadilika miongoni mwao.  Kwasasa Amish wamegawanyika katika makundi makubwa manne, ambayo ni; Swartzengruber, Old Order, Andy Weaver, na New Order Amish. Makundi haya yote yanafanya kazi tofauti huku yakitofautiana kwa namana wanavyoishi kulingana na imani yao.  The Swartzengruber Amish ni wahafidhina (Wasiopenda mabadiliko) wakubwa katika imani hiyo huku wakifuatiwa na Old Order Amish ambalo ndilo kundi maarufu. The Andy Weaver wameendela kwa namna fulani lakini New Order Amish ndiyo waliondelea zaidi kupita wote.
IMANI YAO

Amish ni kikundi cha watu wanaofuata mafundisho ya Jacob Ammann (Mwanzilishi wa kikundi hiki), raia wa Switzerland aliyeishi katika karne ya kumi na saba (17).  Ni moja kati ya madhehebu ya wakristo wa kiprotestant likifanana sana na kanisa na Mennonite.   KWwasasa wengi wao wanaishi nchini Marekani wakifuata tamaduni za kawaida zinazojumuisha kukataa kula kiapo mahakamani ama sehemu nyingine ile itakayokulazimu kula kiapo, kutokupiga kura ama kufanya shughuli za kijeshi.  Hawakubaliani kabisa na technolojia mpya na ya kisasa zinazotumika katika maisha ya kila siku ya mwanaadamu.  Usafiri unaotumiwa na watu hawa ni magari ya kukokotwa na farasi.
Mavazi ya mwanamke wa Amesh. Hayaruhusiwi kuwa na urembo ni lazima yawe plain

Moja kati mstari wa maandiko unaoaminiwa sana na Amish katika imani yao ni kitabu cha Yakobo 1:27 (
Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa).  Kwa tafsiri yao kujilinda na dunia pasipo mawaa ni kukaa mbali kabisa na vitu ambavyo ulimwengu unafanya  kwa mfano  kuendesha magari, kuangalia runinga, kwenda kwenye majumba ya sinema, kujipamba kwa kuvaa hereni na mapambo yafananayo na hayo. Mbali na hayo watu hawa hawakai katika nyumba za umeme na wala hawatumii simu.  Mambo haya yote na mengineyo yafananayo na hayo kwa tafsiri yao ni mambo ya kidunia yanayokatazwa katika andiko hilo la kitabu cha Yakobo.
Ili kupata nguvu ya kuendesha vifaa mbalimbali vinavyohitaji nguvu ya ziada ili viweze kufanya kazi watu hawa hutumia majenerator pamoja na magari ya farasi kama mbadala wa matreka kwa kazi za mashambani.   Upo utaratibu wa namna ya kuvaa kwa wanawake na wanaume, mavazi yao wanatengeneza wenyewe na wanaume hawanyoi nywele wala ndevu.  Askofu ndiye kiongozi wa kanisa lililogawanyika katika makundi yanayoitwa district, utaratibu wa namna ya kufanya ibada huwekwa na kiongozi huyo.  Ibada hufanywa kila jumapili kama makanisa mengine, lakini wao hawana makanisa kwa maana ya jengo bali ibada hizo hufanyika katika nyumba zao.
Namna ya farasi wanavyotumika katika shughuli za kilimo na Amish
Yapo baadhi ya matatizo katika kundi hili kama yalivyo madhehebu mengine ya dini lakini mara zote matatizo hutatuliwa ndani ya kundi pasipo kuruhusu kutoka nje. Kwa Marekani watoto wa kundi hili wanaruhusiwa kwenda shule za kawaida mpaka pale wanapotimiza umri wa miaka kumi na mitano tu. Vijana wanapokuwa wadogo wanapewa fursa ya kuishi maisha ya kawaida kama watu wengine ili waamue kama wataambatana na imani hii ama la. Kutokana na hilo vijana wengi wa Amish wamejikuta wakijihusisha na utumiaji wa madawa  ya kulevya, matumizi ya pombe, mahusiano ya kingono na mambo mengine mengi yanayofanywa na vijana katika umri huu huku wakiruhusiwa kuendesha magari, baadae wengi wao huamua kuachana na maisha hayo ya kidunia na kujiunga na kanisa.
Ukitazama katika maisha yao ya kiroho, Amish ni sawa kabisa na Wayahudi wa asili ambao mpaka leo wanafuata mafundisho ya sheria za agano la kale.  Katika hili wana listi ndefu ya mambo wanayoruhusiwa kuyafanya na yale wasioruhusiwa kuyafanya.  Kwa ujumla endapo utashindwa kufuata sheria na taratibu hizo basi utakuwa katika hatari ya kuadhibiwa na kanisa kwa namna ya kutengwa kanisani.
Namna Amish wanavyotumia magari yanayokokotwa na farasi kwa shughuli za kilimo
Amish wanaami kwamba YESU KRISTO ni mwana wa Mungu, ambaye alikufa kwa dhambi zetu, na YEYE ndiye njia ya wokovu. Kila wanachokifanya katika maisha yao ni lazima kiwe na uhusiano na Mungu. Wanaiona kazi yao kuwa ni njema na ni upendeleo wa pekee kutoka kwa BWANA.  Ikiwa kazi yao njema itaweza kufunika na kutowesha mambo mabaya basi wanaamini kwamba BWANA atawapa uzima wa milele mbinguni.  Kwa ajumla watu hawa ni wazuri, wachapa kazi wanaohakikisha wanasimama katika njia sawa ya Mungu ili baadae wapate taji la uzima wa milele.  Wanaamini kwamba Amish ni namana ya kuishi na sio dini. Wamechagua kuishi maisha ya kawaida ili watumie muda mwingi nyumbani na familia zao, badala ya kwenda kwenye mambo yaliyoendea na yanayotumia technolojia ya kisasa.
Hivi ndivyo wanaume wanavyovaa na hawaruhusiwi kunyoa nywele wala kukata ndevu
Kama kundi watu hawa hawaamini katika ulinzi wa wokovu, wanaamini mtu anaweza  kupoteza wokovu wake ikiwa mtu huyo atajitenga na Mungu kwa kufanya mambo yaliyo kinyume NAYE.  Hawaamini katika ubatizo wa watoto wadogo lakini pia hawaamini ubatizo wa maji mengi.  Baadhi yao wanaamini kwamba YESU KRISTO alilipa deni la dhambi zetu  na hivyo wamepokea neema ya wokovu.  Lakini wengine wanaamini kwamba wokovu wao unatokana na matendo yao kwa kujiweka pembeni na mambo ya ulimwengu. 
Ukitazama kwa undani maisha wanayoishi watu hawa ni namna wanavyojaribu kujitenga kabisa na ulimwengu huu. Lakini ni vyema tukafahamu kwamba hatuwezi kujitenga na watu wengine kwakuwa maandiko matakatifu yanatuagiza kwenda kuhubiri injili ulimwenguni; ‘’ Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari’’ (Matayo 28:19-20). Hatuwezi kujitenga na ulimwengu kwasababu tumeitwa kuhubiri neno ulimwenguni.  Ni vyema tukatambua na kuamini kwamba tumeokolewa kwa neema na si kwa matendo yetu; ‘’Lakini wema wake Mwokozi wetu Mungu, na upendo wake kwa wanadamu, ulipofunuliwa, alituokoa; si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake, kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa pili na kufanywa upya na Roho Mtakatifu’’ (Tito 3:4-5)Haya ni baadhi tu ya mambo machache sana niliyoweza kuyaeleza kwa leo juu ya imani hii. Yapo mengi sana ambayo nitayaeleza siku za mbeleni kwa lengo la kukuza ufahamu wetu zaidi.