Thursday, January 10, 2013

Don Moen asababisha Mtade na Frank Lema kukutana live DAR

Don Moen asababisha Mtade na Frank Lema kukutana live DAR

Mtade na Frank Lema wamekutana live jana katika viwanja vya jangwani katika tamasha la Injili lililokuwa na waimbaji mahiri kama Don Moen na Nicole Mullen.Mtade na Lema hawajawahi kukutana kwa miaka zaidi ya sita tangu wafahamiane na kufanya kazi pamoja katika mtandao huu wa sayuni.


No comments: