Monday, December 21, 2009

UMEJIANDAA KUINGIA MWAKA 2010?

Bwana Yesu asifiwe!
Ninamshukuru Mungu kwa kuwa kwetu sisi "Yeye ni mwema na fadhili zake zadumu hata milele (Zab 106:1). Tumeuanza mwaka 2009, wengine waliishia njiani lakini sisi tumefika hapa na kwa mapenzi yake tutasonga mbele. Tunajua wazi kuwa hakuna jema tulilofanya ambalo ndilo linampa Mungu sababu ya kuendelea kutuweka hai, NI NEEMA yake na MAKUSUDI yake kwetu, na tuseme wote "Asante Baba Mungu"
Katika ratiba ambayo niliitoa hapo awali (kwa waliokuwa wamejiunga hadi mwezi wa saba) ya kutuongoza kusoma Agano Jipya lote ndani ya 2009, ratiba yetu ilionesha kuwa tungemaliza kusoma tarehe 6 December. Na ratiba inaonesha kuwa sasa ni wakati wa kujiandaa kwenda mwaka 2010.
Sote tunafahamu kuwa ukiingia kwenye jambo wakati hujajiandaa kuingia katika jambo hilo, unaweza usifanye vyema katika jambo hili kama uwezo Mungu aliokupa nao, kwa sababu hakuna malengo uliyojiwekea, na Biblia imesema wazi kuwa "Pasipo maono(mipango,mikakati,malengo) watu huacha kujizuia. Mfano rahisi ni pale mtu atakapopata hela nyingi wakati hajajiandaa kuzitumia hizo pesa, atatumia hizo pesa kwa namna anavyofikiri ni vyema, lakini zikiisha ndiyo atagundua kuwa hakutoa hata fungu la kumi na hakufanya mambo mengi ambayo ni ya msingi kuliko aliyoyafanya. Nini tatizo? Hakuweka malengo kabla.
Tunapoelekea kuingia mwaka 2010 kwa neema za Mungu. Ni muhimu sana uanze kumwomba Mungu ("Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana akiomba kwa bidii") kwa ajili ya mwaka ujao. Mungu anakupenda sana, na ukimwomba ataweka moyoni mwako mambo mengi sana kuhusu mwaka ujao, hadi utashangaa.
Hatua ya kwanza, mshukuru Mungu kwa mwaka 2009, unajua mambo Mungu aliyokufanyia, hivyo mshukuru sana.
Ni mambo gani ulipanga kuyafanya 2009 na hukufanikiwa, au umefanikiwa kwa sehemu tuu? Tafakari kilichokufanya usifanikiwe kama ulivyotamani na ujifuze somo hapo kuhusu mipango ya mwaka ujao.
Weka Mipango yako:
Kisha anza kumwomba akupe mwongozo kuhusu mwaka 2010, muulize habari za huo mwaka. Muulize katika maombi, anataka ufanye kipi na vipi kwa mwaka huo? Kumbuka Mungu huwa anajibu maombi ya watu wake, ukiwemo wewe.
Kisha baada ya hapo, anza kusikiliza moyoni mwako Mungu amekuwekea mawazo gani kuhusu 2010. Kisha, soma Habakuki 2:2-3 "Iandike ndoto hiyo..."
Ili kurahisisha maendeleo yako ndani ya 2010, ni vyema ukajipangia mambo gani unayotaka kuyatimiza kwa mwaka huo mzima. Hii itakusaidia sana katika utekelezaji na pia namna ya kumwomba Mungu.
Chukua kalamu na karatasi (kama una familia ni vyema kushirikiana na mwenzi wako) na uanze kuandika mipango yako kwa mwaka mzima wa 2010, andika yote ambayo unaona Mungu ameweka moyoni mwako na unatamani kuyatimiza kwa kipindi cha 2010. Andika yote.
Kisha, muombe Mungu na ufikiri, mipango uliyojiwekea inahitaji ufanye nini ili kuifikia? (what strategies?) Mipango mingine inaweza ikakulazimu kubadilisha namna unavyoishi maisha yako (lifesyles), mingine inaweza ikakulazimu kubadilisha ratiba zako, mingina itakulazimu uanze kuweka akiba ya fedha ili kuitimiza. Kwa kila mpango ulioandika, andika utafanya nini ili kuutimiza.
Omba Neno la kukuongoza 2010
Hili ni eneo lingine ambalo nakusihi usipuuzie kabisa. Biblia inasema "Neno lako ni taa ya miguu yangu na mwanga wa njia zangu"- Zaburi 119:105. Ni muhimu sana, mwombe Mungu pia akupe mstari wa Biblia wa kukuongoza kwa mwaka mzima wa 2010. Ninamshukuru Mungu kuna ndugu mmoja ameniandikia na kunieleza kuwa ameshamwomba Mungu na Mungu ameshampa mstari wa kumwongoza yeye na familia yake kwa mwaka mzima wa 2010. Mwombe Mungu akupe Neno hilo, na utakapokaa na kutafakari, Roho Mtakatifu atauleta huo mstari ndani ya moyo wako, inawezekana ni mstari ambao unaufahamu lakini utaona tuu kuwa huo mstari fulani unakujiajia sana mawazoni mwako, huyo ni Roho Mtakatifu anakuletea hilo Neno (na siyo mawazo yako tuu!). Ukishapewa mstari huo, utafakari kwa kina na utakusaidia kujua Mungu anataka uishi vipi na ufanye nini kwa mwaka ujao, sawa?
Siku ya Kuaga na kupokea mwaka.
Hii ni siku maalumu kwako. Tumia siku hizi kumshukuru Mungu na kumwomba Mungu kuhusu 2010. Mweleze Yeye mikakati yako yote uliyoipanga na umwombe akufanikishe katika hiyo. Omba kama Mungu atakavyokuongoza. Katika mkesha wa mwaka mpya nia muhimu ukitumia wakati huo kumweleza Mungu mambo hayo yote,(pamoja na familia yako kama unayo), imba nyimbo za sifa, tenzi za rohoni na mwombe Mungu.
Toa Sadaka yako
Unapomweleza Mungu haja yako kwa mwaka 2010, ni vyema kuambatanisha sadaka na maombi yako hayo. Andaa sadaka yako kuanzia sasa, kiasi chochote Roho wa Mungu atakachokuongoza, iweke kwenye bahasha na kuanzia sasa, kila umwombapo Mungu kuhusu 2010 uwe na sadaka yako mkononi, fanya hivyo hadi ile siku ya mwaka mpya, na kisha ipeleke hiyo sadaka yako mahali popote Roho Mtakatifu atakapokuongoza, kwa mfano kanisani kwako.
Ni matumaini yangu kuwa mipango yako itakuwa sawasawa na Neno la Mungu na kwamba itamweka Mungu mbele daima.
"Ninakutakia baraka tele za Mungu, furaha, raha, mafanikio na afya njema katika mwaka 2010. Mungu akubariki na kukutunza, akuangazie nuru ya uso wake na akupe neema yake na kukupa amani kwa mwaka mzima wa 2010, Amen"
Tuombe...
"Mungu Baba, ninakuja mbele zako saa hii kwa Damu ya Yesu Kristo. Ninakiri kuwa mimi ni mkosaji na ninaomba unisamehe na kunitakasa nafsi,mwili na roho yangu kwa Damu ya Mwana wako mpendwa, Yesu Kristo. Mungu ninakushukuru kwa kuwa nami na kunilinda kwa mwaka mzima wa 2009. Asante kwa kuniepusha na mambo mabaya na kunipatia mema tele. Baba ninakuomba uniongoze ninapoingia mwaka 2010, ninaomba unipe Neno la kuniongoza kwa mwaka mzima. Ninaomba uniambie ni mambo gani unataka niyafanye kwa mwaka 2010 na unipe mikakati ya kuyatimiza yote kwa wakati. Ninaomba uibariki huduma hii ya Neno lako, na mtumishi wako, umbariki na kumpa afya njema, hekima, maarifa na bidii nyingi, ili kwa mwaka ujao, mapenzi yako yatimizwe zaidi na zaidi. Nimeomba haya yote na kuamini kwa Jina la Yesu Kristo, Amen."
Katika mwaka 2010,"Utafute kwanza Ufalme wake, na haki yake na hayo (mambo mengine) yote utazidishiwa" Mathayo 6:33.
Happy and Blessed New 2010 Year!
Ili Kristo apendwe;Frank Lemasavedlema2@yahoo.comwww.lema.or.tzDecember 18th, 2009.

Thursday, December 17, 2009

White Americans' majority to end by mid-century

WASHINGTON – The estimated time when whites will no longer make up the majority of Americans has been pushed back eight years — to 2050 — because the recession and stricter immigration policies have slowed the flow of foreigners into the U.S.
Census Bureau figures released Wednesday update last year's prediction that white children would become a minority in 2023 and the overall white population would follow in 2042. The earlier estimate did not take into account a drop in the number of people moving into the U.S. because of the economic crisis and the immigration policies imposed after the Sept. 11, 2001, terror attacks.
The 2050 estimate is one of four projections released that is based on rates for births and deaths and a scenario in which immigration continues its more recent, slower pace of adding nearly 1 million new foreigners each year. Demographers said that scenario offers the best look for now at the future demographic makeup based on current conditions, rather than other models which assume higher rates of immigration.
The United States has 308 million people today; two-thirds are non-Hispanic whites.
The total population should climb to 399 million by 2050, under the new projection, with whites making up 49.9 percent of the population. Blacks will make up 12.2 percent, virtually unchanged from today. Hispanics, currently 15 percent of the population, will rise to 28 percent in 2050.
Asians are expected to increase from 4.4 percent of the population to 6 percent.
The point when minority children become the majority is expected to have a similar delay of roughly eight years, moving from 2023 to 2031.
The population 85 and older is projected to more than triple by 2050, to 18.6 million.
The actual shift in demographics will be influenced by a host of factors that can't be accurately forecast — the pace of the economic recovery, cultural changes, natural or manmade disasters, as well as an overhaul of immigration law, which may be debated in Congress as early as next year.
As a result, the Census Bureau said the projections should be used mostly as a guide.
The agency also released numbers showing projections based on "high" rates of immigration — more likely if more-flexible government policies and a booming U.S. economy attract large numbers of foreigners — as well as "low" immigration, a possible scenario if U.S. policies don't change much while the economy substantially improves.
_With high immigration, the minority "tipping point" is moved up to 2040, two years earlier than the previous estimate. At that time, Asians would have a much larger share, at 8 percent, since their population growth is more dependent on immigration than birth rates.
_With low immigration, the "tipping point" arrives by 2045.
Under a purely theoretical "zero immigration" scenario in which the U.S. effectively does not take in any immigrants, whites would remain the majority in 2050, making up a solid 58 percent of the U.S. population. In such a case, the share of Hispanics would increase to 21 percent because of high fertility rates and a younger population.
Under a "zero immigration" model, the 65 and older population also grows substantially faster, comprising nearly 1 in 4 Americans.
"These projections show that immigration will serve to replenish our labor force as baby boomers age into retirement and make our population younger without overburdening our schools and other community resources," said William H. Frey, a demographer at Brookings Institution.
___
On the Net:
Census Bureau: http://www.census.gov/

Sunday, December 6, 2009

AN ANTICHRIST CENTRAL WORLD GOVERNMENT IS COMING

AN ANTICHRIST CENTRAL WORLD GOVERNMENT IS COMING

The dream for a world government is found throughout world history. Follow the progression up to today. After the Flood in Noah’s day, the people united to become one people, and began to build the Tower of Babel. They were erecting the Tower of Babel for the purpose of living free from God and His rules so they would not die if God sent another flood.
Here, in the land that would be known as Assyria with its great city of Babylon, is where they developed their pagan Babylonian religion. God saw that if mankind unified, that there was nothing man couldn’t do.
This was the reason God confused the languages at Babel. Uniting together and building the Tower of Babel was an act of war of mankind against God to escape Him. After the language was confused, people left Babylon and scattered going to the ends of the earth, but with them they took their Babylonian religion and their dream of uniting and coming under one government. That dream of uniting and centrally governing the world was resurrected by Nebuchadnezzar in Assyria, the country now known as Iraq, the very same place where the dream of world unification originated.

ATLANTIS
The Babylonian religion of Baal and the dream of a world government was imported to Egypt from Babylon. The Egyptians were looking towards the lost continent of Atlantis that had disappeared under the ocean, as the model of the society it wanted to become. The legend of Atlantis is that the gods destroyed it by water because the people angered them. Atlantis was said to be a pure democracy. It was said to be a completely secular society void of religion; where there were no absolutes and no moral restraint. Interestingly enough, the timing of Atlantis being destroyed by water coincides with the biblical account of the flood in Noah’s day. According to the Bible, God destroyed the earth by a flood because they were so wicked. (Book: The New World Order) Gen 6:5-7 “And GOD saw that the wickedness of man was great in the earth, and that everyimagination of the thoughts of his heart was only evil continually. And it repented the LORD that he had made man on the earth, and it grieved him at his heart.
And the LORD said, I will destroy man whom I have created from the face of the earth; both man, and beast, and the creeping thing, and the fowls of the air; for it repenteth me that I have made them.” KJV Gen 6:11-12 “The earth also was corrupt before God, and the earth was filled with violence. And God looked upon the earth, and, behold, it was corrupt; for all flesh had corrupted his way upon the earth.” KJV

THE MASONS
The Masons are steeped in Egyptology. The foundation of Egyptology is the religion of Egypt. The Egyptians religion was Baal, which was the enemy of Jehovah, the God of Israel. God forbid Israel to be involved in the Baal religion in any form.The Masons use their religion and their symbols, which are all based on their religion, as the foundation of their Masonic philosophy. The Masons proliferated during the Middle Ages in Europe and Great Britain. The Masons, picked up the dream of a world government from the Egyptians. The Masons, like the Egyptians, were also looking to Atlantis as their model for their vision of this coming new world. When America, the New World was discovered, visionaries from Mecca, Delhi as well as the Masons in Europe and Great Britain, envisioned that America would become the New Atlantis, the perfect secular democracy, free of religion and moral restraints. At the time America was becoming a nation, the Masons were looked on as being involved in occult because of their ties to Egyptology and were opposed. Many of the Masons who immigrated to America were wealthy intellectuals from Europe. Most of the founders of America were Masons: George Washington, Thomas Jefferson, Benjamin Franklin, and many others. To become accepted, most of them went to Christian churches and carried Bibles, but at the same time belonged to the secret Masonic society. In fact, many pastors and church deacons were Masons. Of course there were many true Christian immigrants who came to America in those early years, but the Masons became dominant in founding America’s government and big business, and setting America’s long range agenda. This is one reason why you see many of the monuments in Washington D.C. that are replicas of those in Egypt; i.e.: the Washington Monument, which is an obelisk, an Egyptian idol to the sun god. Much of Washington D.C. is laid out according to the Zodiac.

THE HISTORY OF THE QUEST TO RULE THE WORLD
There are many who have tried to conquer the world and set up a world government: Nebuchadnezzar; the Roman Empire, Alexander the Great, Napoleon, The British Empire, Hitler, Communism, the Roman Catholic Church, and Islam. All of these if they could, would take away freedom from the earth and be dictatorships. They tried to rule the world by the sword, but all of them failed. But now, a new tactic is being used to govern and rule the world.

THE UNITED NATIONS

The vision of the Masons and those from the Old World was for the new world to unite the states and come under one federal central government known as the United States. That plan of course succeeded. The next stage of their bigger vision was to unite not just the states but the nations of the whole world and become the United Nations which would be under one central world government. The concept of an institution like the United Nations for the purpose of a helping resolve conflicts between nations by dialogue instead of going to waris a good idea. It is also good for developed nations to help undeveloped nations that are having famines to share their bounty with those who are distressed. It is a good to for advanced nations to help less fortunate nations medically who are suffering with diseases like HIV. It is true because of the advent of jet travel, the internet, etc., it is a much smaller world. There are many dangers threatening the world: Iran and N. Korea’s nuclear ambitions; Islamic Jihad; HIV; world food supply; oil shortages; the global economy. But in the name of ‘Save the Planet’, the United Nations is now going too far.

THE 2000 MILLENNIUM CONFERENCE CALLED FOR THE UN TO BECOME A CENTRAL WORLD GOVERNMENT.
(www.crossroads.to/articles2/TwoSummits.htm)
This plan was approved by Bill Clinton of the United States; Putin of Russia; Chirac of France; Tony Blair of Great Britain; and Zeming of China. It reality, this would make the UN the final say on all disputes and make it a dictatorial government with no recourse. This would give the UN central control over all the earths resources. It would take away the sovereignty of nations. There would be only one army in the world, the U.N.’s. Using the Gun Control issue, everyone will be disarmed, and there would be no militias that could stand against a tyrannical government. This is the same thing that happened in China and the Soviet Union where millions of their citizens died in bloody purges. There would be a world court, which would be based on international law that would reflect the universal mores set down by the U.N. This would be a global socialistic government which embodies all the tenets of the socialism of Karl Marx. Class distinction, the divide between the rich and the poor, will have to be done away with for the sake of World Peace. The U.N. would be an inclusive government that will operate by consensus, the will of the majority. The way the U.N. envisions its government would in all practicality set aside the rights of the minority. If one’s religious or political beliefs disagrees with the consensus of the majority, he has no choice but to comply with the will of the majority. And of course, the majority of the delegates to the U.N. do not believe in the divinity of Christ nor the Bible. Under this U.N. central world government there would be no room for independent thinkers; freedom of speech; freedom to bear arms; freedom of religion or individualism. For the sake of peace we would have to accept that we are all interdependent and ‘give up our individual agenda for the communities agenda’. These things have already been set down by UNESCO and Rick Warren’s Purpose Driven Life book. (www.crossroads.,to/articles2?05?peace-un-2.htm)

THE INTERIM STEPS TO IMPLEMENT A WORLD GOVERNMENT, REGIONALIZATION. THE EUROPEAN UNION
has united the nations of Europe into one government; the AFRICAN UNION is being promoted by Gadaffi of Libya, to unite Africa into one government; the North American Union uniting Canada, the U.S.A.; and now the UNION OF SOUTH AMERICAN NATIONS called Unasur is being promoted as a regional version o is being formed to create a regional version of the European Union which is being promoted by Hugo Cavez, President of Venzuela. It is not just coincidental that this is happening. After the world has been regionalized then it will be easy to be unite it under one central government.

ISSUES BEING USED TO PUSH US TO ACCEPT A WORLD GOVERNMENTGLOBAL WARMING is being trumpeted over and over again, despite many contradictory findings by many scientists. The motivation behind this repeated global call to ‘SAVE THE PLANET; i.e.: Global Warming, is using fear tactics to intimidate everyone into accepting a central world government. We must care for the environment, but we must not lose our precious freedom that so many have died for, and naively fall into slavery under tyrannical despots that our forefathers lived under. (See the Article on “Global Warming and Bible Prophecy” on lorendavis.com) OVERPOPULATION is being talked about incessantly saying the world’s resources cannot feed many more people and we will all die from the lack of food unless we unite and centralize control over the n earth’s resources. The truth is that they would like to use abortion for population control like socialist Communist China does.
NO BORDER CONTROL
is a problem not only in the U.S. but Europe and the rest of the world. Muslims are now taking over Europe. The issue of not being able to control the borders is not accidental, it is what the U.N. wants. For there to be truly a one world first there must be an assimilation of all the cultures, races and religions. Without the great influx of immigrants poured into the nation, nationalization will always take priority over globalization. With the different cultures, races and religions mixed; the religions, cultures and nationalistic passions will be neutralized as they see themselves as “world citizens” who are secularists. A UNIVERSAL EDUCATION is one of the main tenets of the U.N.’s Peace Plan. This is necessary to subdue religious and cultural mores so people can become ‘world citizens’. This is the reason so many scholarships to get a university education are given to third world nations to go to the U.S. and Europe Why? The educational institutions of the U.S. and Europe are completely secular and against the Bible. They teach: evolution; abortion, atheism; anti-Bible; pro-homosexuality and are openly against Jesus Christ. When foreign students return to their countries, if they do, they are more ‘global citizens’ than citizens of their nation, and most have had their faith destroyed in the Bible and in Christ. Education is a good thing regarding skills, but their main objective is programming the students to make the universal robot person, puppets of the state. LOSS OF PRIVACY has now been rationalized in the name of security against terrorism. Of course there is validity in the argument. Cell phone conversations can be retrieved in investigations. One’s location can also be traced by his cell phone. E-mails can be traced by a computer’s i.p.d. code which can be traced and identifies the owner of the computer. In America, major streets and most street lights have a video camera on them tracking the movements of people. One can get a ticket sent to his house as a result of an infraction being filmed. Ones’ business activities and movements can be traced by banking transactions. These technologies have their benefits, but at the same time causes one to lose his privacy. What if a dictator comes into power? Wouldn’t Hitler, Stalin or Mao Tsu Tung have loved to have had this technology to flush out their enemies to use in their bloody purges. Without a doubt a world government would use this technology to spy on its ‘world’ citizens and purge those who would not get in step with it. With this technology a dictatorship would have absolute control. One would have no freedom of choice. CELL PHONES are now owned by billions of people and have proliferated communication. THE INTERNET is a major contributor to global communication. SATELLITES AND THE GPS makes is it possible to track globally. Late model vehicles have the Onstar Satellite system where they can be located and even the cars can be unlocked by remote control from an unknown location. Now plans are to chip everyone for the person of identification and replacing money, credit and ATM cards. When everyone is chipped, there will be no place to hide. Freedom will be finished. INTERNATIONAL TRAVEL AND TOURISM are making people more globally minded. THE INTERNATIONAL SPACE STATION which is a co-op project of the major nations of the earth. AIDS/HIV. The message is that we must unite to stamp out Aids to save mankind. This is an important issue that must be dealt with, but the reality is many world leaders are using the Aids issue not so much because they care about Aids victims, but to advance their global political agenda. GLOBAL ECONOMY. They say this is the only way to help the undeveloped countries find parity, which is another way of saying socialism. Global business is now becoming a common thing, when businessmen are no longer looking to business just in their own country, but looking to markets in China and the rest of the world. Financially we are constantly being told that all people of the earth are ‘interdependent’. Banking is becoming more centralized and one can handle his banking from any place that has an internet and retrieve his money from anyplace that has an ATM machine, which can be found in most of the cities of the world. What is coming quickly is that people will have to have a chip in their hand or forehead for identification and to do business locally and globally. This has already begun in some places. (See the article: Could the Verichip Be the Mark of the Beast?” www.lorendavis.com) GLOBAL NEWS television networks like CNN, BBC, and Al Jazeera are major engines behind globalization. They are presenting news from different nations around the world and are promoting Global Warming; socialism and everything that has to do with bringing the world together. GLOBALIZATION. THE GLOBAL VILLAGE. ONE WORLD. This concept is being hammered incessantly day and night on television, radio, politicians, etc. This is pushing for nations to give up their sovereignty to the U.N. with the ominous threat that if we don’t we will all die. INTERFAITH meetings are being sponsored by the U.N. for the purpose of uniting the different faiths into one. The U.N., which is atheistic, wants to neutralize all religions, especially Christianity. The U.N. believes religion is the main cause of wars and must be pacified and join in the peace process. THE GLOBAL PEACE MOVEMENT is being promoted by the New Age, Rick Warren and the U.N. The Baptist pastor Rick Warren, whose ‘Purpose Driven Life’ book has sold over 22 million, is working with the U.N. even joining with the U.N.’s Interfaith Prayer Meeting and having the U.N.’s representatives speak at his church. (www.crossroad.to/articles2/05/peace-un-2.htm#prayer). The U.N. knows that Christianity must be changed from an opponent to its global agenda to becoming a partner. It appears Rick PURPOSE is to pacify Christianity and remove it as an obstruction to the U.N.’s agenda for World Peace. Rick Warren’s Peace Plan virtually the same as the peace plans of the U.N. and The New Age. Peter Drucker was Rick Warren’s mentor and architect behind his Purpose Driven Life book. Peter Drucker was in involved in German mysticism and Zen Buddhism. Peter Drucker also is the one who developed the model the U.N. is using to bring about ‘world governance’. (www.crossroad.to/articles2/05/peace-un-2.htm Also see google: Rick Warren Peter Drucker and Peter Drucker U.N.; also see lorendavis.com the article: The Purpose Driven Life uses Marxist Ideology and Language) THE ISRAELI-PALESTINIANS ISSUE is something that the U.N. and major nations are constantly dealing with and trying to mediate. They realize that if this issue is not resolved peacefully it can bring about a World War between the superpowers. The U.N. is looking for a Peace Plan to permanently resolve this issue.
THE AGE OF AQUARIUSThis New World is what the New Age leaders and the mystic seers and soothsayers of the past said was coming. They called it THE DAWNING OF THE AGE OF AQUARIUS. Philosophically, The Age of Aquarius is exactly the same as the ancient civilization of Atlantis. (See google: The Age of Aquarius)

GLOBALIZATION IS NOT AN ACCIDENT
This is a plan that was conceived centuries ago. It started when Lucifer tried to overthrow God and was thrown out of heaven and came to earth. Lk. 10:18, Isa. 14:12-16. From that day forth, he has tried to deceive man and take away man and the earth from God). Ps. 23:1. It is not new that someone has tried to conquer and rule the world. Ge. 3:1, 2 Co. 4:4. What is happening now is the a grand coalition of the Masons, the U.N., the New Age, and the new politically correct Christianity, the Great Whore church of the book of Revelation that committed fornication with the kings of the earth. Rev. 17. This is the coalition from hell. What they are saying is trust us. We will save you!
SCRIPTURES ABOUT THE COMING ANTICHRIST CENTRAL WORLD GOVERNMENT
Rev 13:7-8 “And it was given unto him (the Antichrist) TO MAKE WAR WITH THE SAINTS, and to overcome them: and POWER WAS GIVEN HIM OVER ALL KINDREDS, AND TONGUES, AND NATIONS. AND ALL THAT DWELL UPON THE EARTH shall worship him, whose names are not written in the book of life of the Lamb slain from the foundation of the world.” KJV Rev 13:4-5 “And they worshipped the dragon which gave power unto the beast (the Antichrist): and they worshipped the beast (Antichrist), saying, Who is like unto the beast? who is able to make war with him? And there was given unto him a mouth speaking great things and blasphemies; and power was given unto him to continue forty and two months.” KJV Rev 12:9 “And the great dragon was cast out, that old serpent, called the Devil, and Satan, which DECEIVETH THE WHOLE WORLD: he was cast out into the earth, and his angels were cast out with him.” KJV Christians known as’ Dominionists’ and ‘Kingdom Now’, believe they are going to conquer the economies and governments of the world, and then Christ will return and sit on the throne in the Temple in Jerusalem bringing will bring about world peace. This type of Christian will believe that the Man of Peace sitting on the throne is the Second Coming of Christ and that this peace he is bringing is the beginning of the Millenneum. This type of Christian, according to the Bible, will be deceived and be damned. 2 Thess. 2:1-12.

THE ANTICHRIST, A RUTHLESS WORLD DICTATORSHIP
Under this world dictatorship the Bible foretold was coming, there will be no freedom of speech; no individualism and no freedom of religion. It will be the ultimate dictatorship. The state will be god, holding the power of life and death in its hands. This world government will be taken over by the ‘Man of Peace’ who will be the Antichrist in disguise. It will have 100% control of the military; food supplies; oil, and the global economy. It will be war against true Bible believing Christians who will be marked as the ultimate enemy of the state. Freedom will be dead and hell on the scale like the world has never known will cover the world. Famine, plagues and war will take the lives of billions. (7 Seals, 7 Vials, 7 Trumpets, 7 Thunders of the Book of Revelation. “He that hath an ear, let him hear”. Rev. 3:22.

THE DEATH PENALTY FOR ALL WHO DO NOT COMPLY AND SUBMIT

New Age leaders have made grave threats to anyone who will not join the New Age. (ReinventingJesusChrist.com) Rev 20:4 “And I saw thrones, and they sat upon them, and judgment was given unto them: and I saw the souls of them that WERE BEHEADED for the witness of Jesus, and for the word of God, and which had not worshipped the beast, neither his image, neither had received his mark upon their foreheads, or in their hands; and they lived and reigned with Christ a thousand years.” KJV

THE DOWNFALL OF THE WORLD GOVERNMENT AND WORLD DICTATORSHIP
This tells of a GREAT IMAGE WHO HEAD WAS MADE OF GOLD. Parts of this image represents four world kingdoms. THE FOURTH KINGDOM prophesied is the that of the World Government and the world dictator, the Antichrist. Dan. 2:31-44 tells about this Great Image. Here is how it describes it. Dan 2:40-45 “And the fourth kingdom shall be strong as iron: forasmuch as iron breaketh in pieces and subdueth all things: and as iron that breaketh all these, shall it break in pieces and bruise. And whereas thou sawest the feet and toes, PART OF POTTERS' CLAY, AND PART OF IRON, the kingdom shall be divided; but there shall be in it of the strength of the iron, forasmuch as thou sawest the iron mixed with miry clay. And as the toes of the feet were part of iron, and part of clay, so the kingdom shall be partly strong, and partly broken.

THE MYSTERY OF THE TOES OF IRON MIXED WITH CLAY. WHAT DOES THAT MEAN?And whereas thou sawest iron mixed with miry clay, they shall MINGLE THEMSELVES WITH THE SEED OF MEN: BUT THEY SHALL NOT CLEAVE ONE TO ANOTHER, even as iron is not mixed with clay. The U.N. is promoting the different races, cultures and religions to mingle and live together for the purpose of unifying mankind, a literal reviving of ancient Babylon. The problem is that the different races and tribes are polarizing with one another and not clinging or uniting with other races. (They live together, but their ethnicity dominates all other issues, including their religion. (The only glue that will make the different races cleave to one another is if they are truly born again spiritual believers in Jesus Christ). The U.N.’s plan of mixing and assimilating peoples, cultures and religions will backfire according to Dan. 2:45 This is the iron mixed with clay that Dan. 2:45 talks about. Iron and clay do not cleave together. An example of this was the chaos that happened in Kenya in 2008. The people by and large, didn’t even care if other tribes were of the same religion. The Luos, Kalenjins, and Kikuyus fought and killed each other solely because they were of different tribes. People were not judged on individual merit, only on tribal ethniity. Ethnicity was the cause of the conflict that brought about the genocide in Rwanda when the Hutus and Tutsis killed each other. This same type of racial hatred and ethnic polarization will be the cause of the toes breaking up and the Image, and the Fourth Kingdom, the central world government of the Antichrist falling apart. CHRIST WILL DESTROY THE ANTICHRIST’S WORLD GOVERNMENT AND SET UP HIS OWN KINGDOM ON EARTH. THIS WILL BE TRUE WORLD PEACE, AND THE TRUE MILLENNEUM. Rev. 20:6. Dan. 2:44 “And in the days of these kings shall the GOD OF HEAVEN SET UP A KINGDOM, WHICH SHALL NEVER BE DESTROYED: and the kingdom shall not be left to other people, but it shall break in pieces and consume all these kingdoms, AND IT SHALL STAND FOR EVER. 45 Forasmuch as thou sawest that THE STONE WAS CUT OUT OF THE MOUNTAIN WITHOUT HANDS (CHRIST ACTS 4:11), AND THAT IT BRAKE IN PIECES THE IRON, THE BRASS, THE CLAY, THE SILVER, AND THE GOLD; the great God hath made known to the king what shall come to pass hereafter: and THE DREAM IS CERTAIN, AND THE INTERPRETATION THEREOF SURE.” KJV

Source:http://www.lorendavis.com/news_articles_centralgov.html

Tuesday, November 24, 2009

"DISCOVER TO RECOVER and GET INSPIRED BEFORE YOU EXPIRE SEMINAR"

"DISCOVER TO RECOVER and GET INSPIRED BEFORE YOU EXPIRE SEMINAR"

Date:28/11/2009 at 8:30AM to 12:00PM Fee: TSh. 20,000/-

Place: Mnazi Mmoja, near Ushirika and Sukita Building.Opposite Hekima Bus Stand

Topics:

1. Vision & Goals for leaders,business owners,NGOs founders,Pastors etc
2. 11 Forgotten Laws that must change direction of your life

3. How to create your own network of success
4. The Power of Body Language 5. Public Speaking Skills

>>>You will get a golden chance to network with other peers during and after the seminars than can influence the sphere of your life.<<<<


Call : 0713 427857
Email: info@digitalbraintz.com

OMBI MAALUM

SALAMU WATUMISHI WA MUNGU POPOTE DUNIANI JINA LANGU NAITWA THOBIASI NICHOLAUSI MOSHA NI MTUMISHI MTENDA KAZI KATIKA KANISA LA ASSEMBLIES OF GOD MPONDA TEMEKE DAR ES SALAAM NAOMBA MUNIKUMMBUKE KATIKA MAOMBI KWANI NIMEANDAA TIMU YA VIJANA KWA AJILI YA KUSHUHUDIA NYUMBA KWA NYUMBA NA MTU KWA MTU KWA SIKU TATU NI MATUMAINI YANGU KUWA MUNGU AHUSIKE NA WATU WA KIJIJI CHA MPONDA --ROHO YA TOBA IWE NDANI YAO-HOFU YA MUNGU ITAWALW WAKATI WA HUDUMA -NGUVU ZA MUNGU ZITEMBEE NA WATENDAKAZI WAKATI WOTE -KAZI ZA SHETANI ZIHARIBIWE-KRISTO AJIPATIE MATEKAMUNGU AWABARIKI KWA MAOMBI YENUMIMI THOBIASI SIMU 0776 341971

Tuesday, September 29, 2009

Maelfu wajitokeza kumuaga Mchungaji Masalu

Maelefu ya wakazi wa jijini Dar es Salaam, jana walijitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa mchungaji wa Temeke EAGT , Karisti Masalu aliyefariki dunia na kutangulia mbele za Bwana YESU alhamisi iliyopita saa 3 na nusu usiku hapa jijini Dar es Salaam.

Umati wa Maaskofu,wachungaji,mitume na watumishi mbalimbali wa Mungu pamoja na wananchi mbalimbali walijitokeza kwa wingi jana tangu asubuhi na jioni kabisa kuhudhuria ibada hiyo iliyokuwa imejaa furaha na simanzi kwa pamoja.

Muongozaji wa ibada hiyo mchungaji Mwanjala wa Sinza EAGT kabla ya kusoma wasifu wa marehemu aliwakaribisha maaskofu na wachungaji mbalimbali maarufu walimfahamu na kuzaliwa chini ya huduma ya mtumishi wa Mungu Masalu ili waweza kutoa wosia.

Baadhi ya waliotoa nasaha kuhusu marehemu alikuwa ni Askofu Zakary Kakobe,Mtume Dustan Maboya,Mch. Anthony Lusekelo,Askofu Kameta,Askofu Shemsanga,Makamu wa Askofu mkuu wa EAGT mzee Mwakisyala aliyehubiri na wengine wengi wengi.Wote hao walieleza jinsi walivyozaliwa kihuduma kutokana na huduma ya Mch. Masalu.


Wengi walikiri kuwa kanisa la Temeke ndilo hasa kiini cha upentekoste hapa jijini Dar es Salaam.

Huduma nyingi kubwa hapa jijini Dar zimetokana na huduma ya mtumishi huyu wa Mungu.

Pastor Masalu atakumbukwa kwa moyo wake wa kujitolea na unyenyekevu wa hali ya juu kiasi kwamba hakuna anayebisha kuwa mtu huyu alikuwa ni mtu wa Mungu.Hakuwa na makuu wala makundi.Unyenyekevu wa Mch. Huyu uliwapa changamoto wengi waliofika kanisani hapo.

Mlima sayuni ulikuwepo eneo la tukio na kufanikiwa kuchukua picha kazaa za matukio ya msiba huo.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa ,jina la Bwana libarikiwe





Thursday, September 24, 2009

World First: HIV Vaccination

BANGKOK – For the first time, an experimental vaccine has prevented infection with the AIDS virus, a watershed event in the deadly epidemic and a surprising result. Recent failures led many scientists to think such a vaccine might never be possible.

The vaccine cut the risk of becoming infected with HIV by more than 31 percent in the world's largest AIDS vaccine trial of more than 16,000 volunteers in Thailand, researchers announced Thursday in Bangkok.

Even though the benefit is modest, "it's the first evidence that we could have a safe and effective preventive vaccine," Col. Jerome Kim said in a telephone interview. He helped lead the study for the U.S. Army, which sponsored it with the National Institute of Allergy and Infectious Diseases.

The institute's director, Dr. Anthony Fauci, warned that this is "not the end of the road," but said he was surprised and very pleased by the outcome.

"It gives me cautious optimism about the possibility of improving this result" and developing a more effective AIDS vaccine, Fauci said in a telephone interview. "This is something that we can do."

Even a marginally helpful vaccine could have a big impact. Every day, 7,500 people worldwide are newly infected with HIV; 2 million died of AIDS in 2007, the U.N. agency UNAIDS estimates.

"Today marks an historic milestone," said Mitchell Warren, executive director of the AIDS Vaccine Advocacy Coalition, an international group that has worked toward developing a vaccine.

"It will take time and resources to fully analyze and understand the data, but there is little doubt that this finding will energize and redirect the AIDS vaccine field," he said in a statement.

The Thailand Ministry of Public Health conducted the study, which used strains of HIV common in Thailand. Whether such a vaccine would work against other strains in the U.S., Africa or elsewhere in the world is unknown, scientists stressed.

"This is a scientific breakthrough," Thai Health Minister Witthaya Kaewparadai told a news conference in Bangkok. "For the first time ever there is evidence that HIV vaccine has preventative efficacy."

The study actually tested a two-vaccine combo in a "prime-boost" approach, where the first one primes the immune system to attack HIV and the second one strengthens the response.

They are ALVAC, from Sanofi Pasteur, the vaccine division of French drugmaker Sanofi-Aventis; and AIDSVAX, originally developed by VaxGen Inc. and now held by Global Solutions for Infectious Diseases, a nonprofit founded by some former VaxGen employees.

ALVAC uses canarypox, a bird virus altered so it can't cause human disease, to ferry synthetic versions of three HIV genes into the body. AIDSVAX contains a genetically engineered version of a protein on HIV's surface. The vaccines are not made from whole virus — dead or alive — and cannot cause HIV.

Neither vaccine in the study prevented HIV infection when tested individually in earlier trials, and dozens of scientists had called the new one futile when it began in 2003.

"I really didn't have high hopes at all that we would see a positive result," Fauci confessed.

The results proved the skeptics wrong.

"The combination is stronger than each of the individual members," said the Army's Kim, a physician who manages the Army's HIV vaccine program.

The study tested the combo in HIV-negative Thai men and women ages 18 to 30 at average risk of becoming infected. Half received four "priming" doses of ALVAC and two "boost" doses of AIDSVAX over six months. The others received dummy shots. No one knew who got what until the study ended.

All were given condoms, counseling and treatment for any sexually transmitted infections, and were tested every six months for HIV. Any who became infected were given free treatment with antiviral medicines.

Participants were followed for three years after vaccination ended.

Results: New infections occurred in 51 of the 8,197 given vaccine and in 74 of the 8,198 who received dummy shots. That worked out to a 31 percent lower risk of infection for the vaccine group.

The vaccine had no effect on levels of HIV in the blood of those who did become infected. That had been another goal of the study — seeing whether the vaccine could limit damage to the immune system and help keep infected people from developing full-blown AIDS.

That result is "one of the most important and intriguing findings of this trial," Fauci said. It suggests that the signs scientists have been using to gauge whether a vaccine was actually giving protection may not be valid.

"It is conceivable that we haven't even identified yet" what really shows immunity, which is both "important and humbling" after decades of vaccine research, Fauci said.

Details of the $105 million study will be given at a vaccine conference in Paris in October.

This is the third big vaccine trial since 1983, when HIV was identified as the cause of AIDS. In 2007, Merck & Co. stopped a study of its experimental vaccine after seeing it did not prevent HIV infection. Later analysis suggested the vaccine might even raise the risk of infection in certain men. The vaccine itself did not cause infection.

In 2003, AIDSVAX flunked two large trials — the first late-stage tests of any AIDS vaccine at the time.

It is unclear whether vaccine makers will seek to license the two-vaccine combo in Thailand. Before the trial began, the U.S. Food and Drug Administration said other studies would be needed before the vaccine could be considered for U.S. licensing.

Also unclear is whether Thai volunteers who received dummy shots will now be offered the vaccine. Researchers had said they would do so if the vaccine showed clear benefit — defined as reducing the risk of infection by at least 50 percent.

Those issues, plus how to proceed with future studies, will be discussed among the governments, study sponsors and companies involved in the trial, Kim said. Scientists want to know how long will protection last, whether booster shots will be needed, and whether the vaccine helps prevent infection in gay men and injection drug users, since it was tested mostly in heterosexuals in the Thai trial.

The study was done in Thailand because U.S. Army scientists did pivotal research in that country when the AIDS epidemic emerged there, isolating virus strains and providing genetic information on them to vaccine makers. The Thai government also strongly supported the idea of doing the study.

___

Associated Press Medical Writer Marilynn Marchione reported from Minneapolis.

___

On the Net:

Study information: http://www.hivresearch.org/phase3/factsheet.html

Vaccine coalition: http://www.avac.org/

Friday, September 4, 2009

Kakobe VS Pengo --More back story

SIKU moja baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zacharia Kakobe kuupinga Waraka wa Kanisa Katoliki na Mwongozo wa Waislamu, Kanisa Katoliki limemgeuzia kibao kiongozi huyo wa kiroho na kumweleza kuwa ni kigeugeu na anajikomba kwa watawala.
Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Askofu wa Jimbo Katoliki la Mbeya, Mhashamu Evaristo Chengula, alisema endapo serikali inalipangia kanisa lake jambo gani la kuandikwa na kuhubiriwa, basi aendelee kufanya hivyo na si Kanisa Katoliki.
“Mambo ya dini hatuwezi kwenda kuiuliza serikali, lakini kama yeye anaomba kupangiwa mahubiri, afanye hivyo,” alisema Mhashamu Chengula.
Alisema Askofu Kakobe ana tabia ya kujipendekeza kwa watawala kiasi cha kushindwa kujua mahitaji ya wafuasi wake kiroho na kimwili.
Alisisitiza kuwa, kamwe Kanisa Katoliki haliwezi kupangiwa na serikali mambo ya kuhubiri na kuongeza kuwa, kama kanisa lake linafanyiwa hivyo, basi atekeleze hayo kanisani mwake.
Kwa upande wake, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Walei, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Joseph Selasini alisema, Askofu Kakobe hana budi kutambua kuwa Kanisa Katoliki halijipendekezi kwa watawala, bali linazingatia maslahi ya umma.
“Kanisa halijipendekezi wala kutafuta Cheap Popularity (umaarufu kirahisi) kama Kakobe, hivyo kusema maaskofu wamekosa nidhamu, ni kuonyesha upeo mdogo wa kazi yake ya uaskofu anayoifanya,” alisema Selasini.
Alihoji: “Kakobe huyo anayesema nidhamu, aliwahi kuipigia kampeni TLP alipoona haikuingia madarakani, akahamia CCM, sasa anatapatapa, mara CCM mara TLP. Hiyo ndiyo nidhamu anayopaswa kuwa nayo mtu anayejiita Askofu Mkuu?”
Selasini alimtaka Askofu Kakobe kuachana na mambo hayo kwa sasa ili akomae kiimani kwanza kabla ya kufanya jaribio la kujilinganisha na Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo, ambaye ni Askofu Mkuu Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
“Kakobe asijilinganishe na Kardinali Pengo kwa kuwa uaskofu wao ni kama mlima na kichuguu, hivyo asitumie heshima wanayompa waandishi kumsikiliza kwa kuchanganya watu, maana uaskofu wake ni kigeugeu wa kutafuta maslahi ya kidunia,” alisema.
Naye mmoja wa waamini wa Askofu Kakobe ambaye jina lake limehifadhiwa, alisema hakutegemea kuona kiongozi huyo wa kiroho akipinga msimamo wa viongozi wa dini kutochaguliwa mambo ya kuhubiri.
Kwa upande mwingine, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Shura ya Maimamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, alisema hata kama Rais Jakaya Kikwete ataliingilia suala hilo kama alivyoshauri Askofu Kakobe juzi, hakuna litakalosaidia kwa sasa.
Akizungumza kwa ufupi na waandishi wa habari jana, jijini Dar es Salaam mara baada ya kutoka msikitini, Sheikh Ponda alisema sababu ya kusema hivyo ni kwamba, waraka uliotolewa na Kanisa Katoliki ndiyo umelenga kuwagawa Watanzania na si ule wa Waislamu.
Sheikh Ponda alimgeuzia kibao askofu huyo kwa kumtaka akausome vizuri mwongozo wa Shura ya Maimamu anayoiongoza, na endapo hatauelewa, basi arudi kwa Waislamu wamweleweshe.
Aliusifu mwongozo wa Waislamu kwa kusema kuwa ndiyo pekee unaofaa kwa mustakabali wa taifa na kwamba, tofauti na ule wa Wakatoliki, wa kwao waliuandaa wakiwa wamejiamini.
Nao baadhi ya viongozi wa makanisa ya uamsho wa kiroho jijini Dar es Salaam, wamemjia juu Askofu Kakobe kwa kuushambulia waraka wa Kanisa Katoliki na kumtuhumu kuwa, anatumiwa na mafisadi.
Wachungaji hao pia walishangazwa na hatua ya askofu huyo kumshambulia Kardinali Pengo, na kusema lengo la kiongozi huyo ni kutaka kulitangaza kanisa lake upya baada ya kubaini kuwa limepoteza mwelekeo.
Wakizungumza na gazeti hili, wachungaji hao walitetea kauli ya hivi karibuni ya Askofu Pengo, aliyoitoa mbele ya Rais Kikwete katika ibada ya mazishi ya aliyekuwa Askofu wa Jimbo la Mwanza, Anthony Mayalla, na kusema kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki hakuwa na nia ya kumdhalilisha kiongozi huyo wa nchi.
“Tunavyoona sisi katika suala hili ni kwamba, Askofu Pengo hakuwa na nia ya kumdhalilisha Rais Jakaya Kikwete, bali alikuwa akitoa mawazo yake na kumweleza rais kilicho ndani ya moyo wake kulingana na maandiko ya Kitume,” alisema Mchungaji Huruma Choya wa Kanisa la Living God la Mwenge.
Mchungaji huyo alieleza kusikitishwa kwake na kauli hiyo aliyoiita isiyo na baraka za Mungu, ikitolewa na kiongozi huyo wa kanisa, anayeheshimika nchini na kubashiri mwisho wa kanisa lake umekaribia.
Mchungaji wa Kanisa la Glory Tample la Kimara lililopo jijini Dar es Salaam, Andrea Kwayu alisema kilichofanywa na Askofu Kakobe kuchukua hatua hiyo ni chuki dhidi ya Kanisa Katoliki na kwamba anatafuta huruma ya Ikulu kwa maslahi yake binafsi.
Aliongeza kuwa, mazingira ya sasa yanaonyesha wazi kuwa suala la ufisadi na kukosekana kwa uadilifu katika serikali ni matokeo ya kupatikana kwa viongozi wabovu ambao huchaguliwa katika uchaguzi unaoshirikisha wananchi walio wengi.
“Kimsingi Kakobe miaka yote amekuwa na chuki binafsi na Kanisa Katoliki, sasa ameamua kusema hovyo mambo ambayo ni kama analazimisha wananchi waanze kulichukia kanisa hilo,” alisema Mchungaji Kwayu.
Kwa mujibu wa Kwayu, jamii imeanza kutambua uongo na ukweli bila kujali jambo analosema kiongozi yeyote yule, ikiwa ni pamoja na wa dini, mwanasiasa ama msomi.
Mchungaji William Mwamalanga wa Kanisa la Pentekoste lenye makao yake makuu mkoani Mbeya, alieleza kusikitishwa kwake na kitendo cha Kakobe kuungana na viongozi wa Shura ya Maimamu katika kuendeleza chuki dhidi ya kanisa hilo la Katoliki.
“Kama kiongozi wa kanisa, alipaswa kutoa msimamo au maoni yake kuhusu waraka wa kanisa na si kuonyesha chuki za wazi kwa Pengo, na kwa kweli ameamua kutumia vibaya sakata la waraka huu, na si kuchangia maoni,” alisema Mchungaji Mwamalanga.
Wakati huohuo, Shirika lisilo la Kiserikali la Peace Building and Human Development (PHD), limemtahadharisha Askofu Kakobe kuepuka njama za kutumiwa na mafisadi kwa lengo la kuupinga waraka wa Kanisa Katoliki.
Mkurugenzi wa PHD, Philoteus Lissanga alisema, amesikitikishwa kuona hata wananchi wakifuatilia maelezo yake, kwani kwa kufanya hivyo watu waovu katika jamii nao wanapata wafuasi wa kuwaunga mkono.

Source: www.freemedia.co.tz

Bifu mpya ya Kakobe vs Pengo

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zacharia Kakobe, amewacharukia viongozi wenzake wa dini akipinga uamuzi wao wa kuandika nyaraka, ilani na mwongozo. Ameiomba pia serikali iitishe mkutano wa pamoja na viongozi wote wa dini nchini, kujadili hatima ya nyaraka na miongozo waliyoitoa na kuwakemea.
Akinukuu maneno ya Biblia ya 2Timotheo 2:1-3 unaotaka watu watii mamlaka ya nchi kwa kuwa yanatoka kwa Mungu, amesema baadhi ya viongozi wa dini ni wababe hasa kutokana na kitendo cha hivi karibuni cha kiongozi mwenye cheo na dhamana kubwa nchini, kuisema vibaya serikali mbele ya Rais, jambo linaloashiria utovu wa nidhamu, ubabe na kujiamini.
Ingawa hakumtaja jina, lakini hivi karibuni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo mbele ya Rais Jakaya Kikwete, katika maziko ya aliyekuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mwanza, Anthony Mayala, alisema serikali inaelekea kubaya kwa kuzitaka taasisi za dini kupeleka nyaraka zake kuchunguzwa, kabla ya kuwafikia waumini na kusema Kanisa haliko tayari kulitekeleza hilo, kwani kufanya hivyo ni kuingilia kazi za kichungaji.
Kakobe alikuwa akizungumza na waandishi wa habari jana, Dar es Salaam, kuhusu Waraka na Ilani ya Kanisa Katoliki pamoja na Mwongozo wa Shura ya Maimamu wa Kiislamu, vilivyotolewa hivi karibuni na kuzua mijadala katika jamii. Askofu huyo ambaye mwaka 2000 alijiingiza katika siasa kumpigia kampeni aliyekuwa mgombea wa TLP, Augustine Mrema na jana kukiri kuwa ‘alichemka’ kufanya hivyo, alisema si kazi ya viongozi wa dini kutoa nyaraka na miongozo yenye mwelekeo wa kisiasa.
Alisema kufanya hivyo ni kudhihirisha udhaifu wa wazi kuwa wameshindwa kuhubiri kulingana na imani zao, ili mafisadi wabadilike, maana wapo katika makanisa na misikiti yao pia. “Viongozi wa dini (yeye akijitoa katika hilo) ndiyo chanzo kikuu cha ufisadi katika nchi hii, wanaotajwa katika ufisadi ni waumini wao, wajiulize wamefanya nini kukemea na kufanya waumini wao wasiwe mafisadi,” alisema Kakobe ambaye alilisifu kanisa lake kuwa halina mafisadi na wakiingia katika kanisa hilo basi watakiona cha moto.
Alisema serikali inapaswa kukemea vikali nyaraka hizo, tena bila kuchelewa, kwa kuwa wasiwasi wake ni kwamba bila kujua, viongozi hao wanaweza kuwa wanatumiwa na mataifa tajiri yenye kutengeneza silaha, kuibua vurugu zitakazosababisha vita ili wauze silaha na hatua hiyo inachochewa na wanasiasa wanaoshabikia nyaraka hizo.
Kakobe ambaye alimsifu Rais Jakaya Kikwete kuwa ni mpole, alisema upole huo umekithiri na haupaswi kuwa katika suala lolote lenye kuhatarisha amani ya nchi kama hilo na kumtaka yeye (Kikwete) na marais wastaafu waliopita, kutoa kauli kuhusu suala hilo na waepuke kufanya kazi kwa kumfurahisha kila mtu. “Waasisi wetu (akimtaja Nyerere) walitutengenezea mazingira mazuri sana hadi kuitwa kisiwa cha amani, kuna watu wanataka kuliharibu hilo, hivi sasa nchi majirani zetu zilizokuwa na vita, zinaanza kurejesha amani, sisi hatujui vita, ndiyo maana wanataka tuanze kupigana, tukiruhusu vita, Watanzania tutakufa kama panzi,” alisema.

Source: Habarileo

Kakobe VS Pengo

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe amemhisi Rais Jakaya Kikwete, kuvunja ukimya na kuzima mijadala kuhusu nyaraka za kidini, inaoendelea nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana, Askofu Kakobe alisema nyaraka hizo zinaelekea kuwagawa watu na hatua zisipochukuliwa, zinaweza kusababisha vita ambavyo havitakwisha.
“Rais wetu ni mpole sana, mcheshi na ni mtu wa watu, hilo si tatizo kubwa kwake, lakini ukiwa na rais mpole sana ni tatizo, hata ukiwa mkali sana ni tatizo pia, namhisi hili aliingilie kati,” alisema Kakobe.
Kakobe alisema baadhi ya viongozi wa kisiasa, wamekuwa wakiogopa kukemea vitendo vinavyofanywa na viongozi wa dini kwa sababu tu wanawaogopa.
“Napenda kusema kuwa, viongozi wa kisiasa kunyamazia maovu yanayofanywa na viongozi wa dini kwa sababu tu kuwaogopa, kunaweza kuwaingiza watu wote kwenye uovu,” alionya Kakobe.
Mbali na hayo Kakobe amepinga vikali tamko la kiongozi mmoja wa kanisa aliyejibu hoja ya kiongozi mmoja wa kisiasa aliposema wanasiasa hawawezi kuwafundisha kazi maaskofu.
“Nichukue nafasi hii kukemea vikali tamko la kiongozi mmoja wa dini, ambaye alitamka rais akiwa jukwaani kwamba wanasiasa hawapaswi kutufundisha wachungaji. Alitamka maneno hayo kwa jeuri, kuonesha kabisa ana msimamo usioyumba na hataki kushauriwa,”alisema Kakobe.
“Kama tunasema maadili ya viongozi wa serikali yamemomonyoka wa kwanza kukemewa ni viongozi wa dini kwa sababu wao ndio chanzo kikubwa,” alisisitiza.
Pia Kakobe alimpongeza mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwiru, kwa hatua yake ya kuupinga hadharani, waraka wa Kanisa Katoliki na kwamba kiongozi huyo, anaona mbali.
Alisema kwa huyo hiyo, mzee Kingunge amedhihirika kuwa hata watu wasio na dini, wanaweza kuongoza vizuri.

Source: Mwanachi

Thursday, September 3, 2009

Christians attacked in Pakistan; VOM staff providing help

Christians attacked in Pakistan; VOM staff providing help


The Voice of the Martyrs



Christians were forced to flee for their livesDear VOM Friends:

It was just a rumor. But among the radical Muslims in Pakistan's Gojra village, a rumor was enough of an excuse to kill.

When the rumor was broadcast from the loudspeakers on the minarets of local mosques, it became fact. As part of a wedding ceremony, the loudspeaker shouted, Christians tore pages from a Quran. Then they compounded the disrespect by walking on the shredded pages.

"Defend Islam!" The loudspeaker called. Muslims answered, rampaging through a Christian section of Gojra on Aug. 1. Eight Christians were killed, including women and children. More than 100 Christian homes were burned by a mob. The mob, which was estimated to be more than 20,000 people, also burned a church.

Five Hours Without Help

Emergency personnel did not reach Gojra for more than five hours. Christians were forced to use vegetable carts to move their dead and wounded to the hospital.

Responding to an international outcry, Pakistani government officials have now said no Quran was desecrated. The government promised to help rebuild the burned homes of Christian families.

Even before the government acted, contacts of The Voice of the Martyrs were in Gojra, offering comfort to the wounded and praying with the families of the dead. They continue to aid the village, including helping with some medical expenses, offering encouragement and pressing for a forceful government response.

Among the items burned in the attack were Bibles and other Christian materialsPray Blasphemy Laws Are Overturned

Christians in Pakistan hope these attacks can be a turning point. They are praying to God and pressing their government to overturn unjust blasphemy laws that are often a pretext to attack Christians.

They are also asking us to pray with them. Pray for Christians in Pakistan to be bold witnesses for Christ, despite threats. Pray for those wounded and left homeless by the brutal Gojra attacks. Pray for Muslims to come to know Jesus Christ in a personal way.


Please pray today for our Christian brothers and sisters in Pakistan. For the latest news on persecution of Christians in Pakistan and other restricted nations, visit VOM's online newsroom.

Thursday, August 27, 2009

Kardinali Pengo akemea wanasiasa kufundisha kazi maaskofu

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema maaskofu wasifundishwe namna ya kufikisha kazi ya Mungu na kufikisha ujumbe wao kwa waumini.
Kauli hiyo ya Pengo ambayo aliitoa mbele ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa, pasipo kutaja waraka, imetolewa baada ya waraka uliotolewa na kanisa hilo kuzua mjadala mkali nchini, ukihusisha watu wa kada mbalimbali. Mjadala wa hoja hiyo pia ulifika katika Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM ambako ulijadiliwa na kutolewa maazimo.
Katika maazimio hayo, NEC iliwataka viongozi wa Serikali na Kanisa Katoliki kukutana, ili kupata ufumbuzi wa mzozo wa waraka huo ambao unataka wananchi wachague viongozi waadilifu wakati wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwakani.
Mbali na NEC, wakati akijibu mwaswali ya papo kwa papo bungeni hivi karibuni, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema ni vema uongozi wa kanisa hilo ukapeleka waraka huo serikalini, ili iweze kusambaza kwa wananchi, badala ya utaratibu wa sasa unaotoa mwanya kwa kila dhehebu kujiandikia na kusambaza nyaraka.
Akiendesha misa ya ibada takatifu ya kumuombea marehemu Askofu Mkuu Anthony Mayalla wa Jimbo Kuu la Mwanza, kwenye viwanja vya Kawekamo, Pengo alisisitiza, hawatakiwi kufundishwa namna ya kuandika barua kwenda kwa waumini wao, kwa sababu kufanya hivyo ni kuwafanya maaskofu hao washindwe kufikisha neno la Mungu kwa waumini
wao.
“Katu kanisa halitaruhusu maaskofu kuandika Barua na kuipeleka kwanza serikalini ikajadiliwe ndipo iruhusiwe kwenda kwa waumini. Kama itakuwa hivyo ni heri maaskofu hao wakaacha kabisa kufanya chochote,” alisisitiza.
Pengo alisisitiza kuwa suala la kuambiwa wanapotaka kuwasiliana na waumini wao kuwasiliana na chama (CCM) na serikali kwanza ni kuwapeleka waumini sehemu isiyostahili, hivyo kanisa haliko tayari kukubaliana na suala hilo.
Kadinali Pengo alisema maaskofu waachwe wafanye kazi yao pasipo kuingiliwa na mtu yoyote na kwamba, kanisa haliko tayari kuwaruhusu maaskofu kuandika barua kwa waumini na kuipeleka kwanza serikalini ama kwenye chama kwa ajili ya kujadiliwa.
Mjadala wa Waraka wa Kanisa Katoliki ulichochewa zaidi na mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, katika Bunge la Bajeti mwaka huu baada ya kutaka kanisa hilo liuondoe kwa waumini kwasababu umejaa uchochezi wa kidini.
Kingunge baada ya kujibiwa na maaskofu, aliibuka tena akitaka kuombwa radhi kwa madai kuwa alishushiwa heshima kwa kumlinganisha na mafisadi.
Katika hatua nyingine Kadinali Pengo aliwaonya watu wanaopiga

Source: mwanachi

Mwakasege in Arusha

Mwakasege live in Star TV
kuanzia saa 10 jioni.

Mbarikiwe

Waislamu kuzindua mwongozo wa uchaguzi Alhamisi

SHURA ya Maimamu wa Tanzania, kesho inatarajia kuzindua rasmi mwongozo kwa Waislamu kuhusu uchaguzi mkuu wa 2010 na moto wa siasa za ukombozi.
Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, kuanzia saa 8:00 mchana.
Akizungumza na waandishi wa habari Kinondoni jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa kamati kuu ya siasa ya taasisi hiyo, Sheikh Ponda Issa Ponda, alisema uzinduzi huo utahudhuriwa na zaidi ya masheikh 100 kutoka katika mikoa 22 ya Tanzania Bara.
Alisema mwongozo huo utagusia masuala mbalimbali ya kitaifa yakiwemo ya kijamii, kisiasa na kiuchumi.
“Mwongozo unahusisha masuala ya elimu, afya, uchumi, demokrasia, siasa na kilimo. Mambo mengi zaidi tutayaeleza katika uzinduzi ,” alisema Sheikh Ponda.
Alisema kila mkoa utatoa masheikh watano ambao watawawakilisha Waislamu wa mikoa yao na baadaye kuwarejeshea salamu za pamoja za Waislaam kwa serikali ya CCM.
Alisema mWongozo huo utakuwa na salamu na ujumbe maalum kwa serikali kufuatia kitendo chake cha kukaa kimya wakati Kanisa Katoliki, lilipotoa waraka ambao kimsingi unahatarisha amani, usalama na umoja wa kitaifa.
“Ndani ya mwongozo wetu kuna ujumbe maalum kwa serikali ya CCM kwa kule kakaa kimya kwake kimya baada ya Kanisa Katoliki kutoa waraka ambao kimsingi jamii na serikali zinajua kabisa kwamba unahatarisha umoja wa kitaifa,” alisema Sheikh
Ponda.
Alisema huko nyuma, viongozi wa madhehebu ya Kiislamu walijaribu kutoa elimu ya uraia, lakini serikali iliwakamata na kuwawe ndani kwa madai ya uchochezi.
"Je waraka na ilani ya Wakatoliki hazileti uchochezi,” alihoji Ponda.
Alisema mwongozo huo utaweka mwelekeo na msimamo wa pamoja wa Waislamu kuelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu na uchaguzi mkuu wa urais, ubunge na udiwani utakaofanyika mwakani

Source: Mwananchi

Monday, August 24, 2009

This Week's Sermon.

Ephesians: Lessons In Grace

Submit To One Another

One of the hardest things to do in life is what Paul asked the Ephesians to do in Ephesians chapter 5. Paul wrote:

“Submit to one another out of reverence for Christ” (Ephesians 5:21).

It may not sound that hard. In fact, it probably sounds quite reasonable. It’s like listening to Jesus, and nodding in agreement, when He says, “Love one another” (John 13:34). Of course we should love one another. That’s the most reasonable thing in the world to do. But it took on a whole new meaning when Jesus defined what it meant to “love one another.” Jesus said:

“Greater love has no one than this, that he lay down his life for his friends” (John 15:13).

When your life is at stake, it’s no longer quite as simple or convenient to “love one another.” It’s especially hard when the other person you’re supposed to be loving just happens to be a jerk. But Jesus went beyond just loving his friends. The Bible says that Jesus laid down His life even for those who were sinning against Him. Paul wrote:

“Now, most people would not be willing to die for an upright person, though someone might perhaps be willing to die for a person who is especially good. But God showed His great love for us by sending Christ to die for us while we were still sinners” (Romans 5:7-8, NLT).

It’s the same thing with submission. It might sound easy enough to “submit to one another.” But the truth is, none of us want to submit to anyone! It goes against human nature. It goes against “free will.” It goes against the “rugged individualism” that many people think made our country so great.

But by submitting to one another, by surrendering your will to someone else’s, you’re demonstrating your love to them in one of the greatest ways possible. While it may be one of the most difficult things to do in life, it’s also one of the most gracious. And it can turn your relationships around in a heartbeat.

I got a call one night from a couple who was having a knockdown, drag- out fight. I had only recently met them, and the wife said she was trying to decide if she should call me or call the police. When I got to their door and heard them fighting inside, I was wondering myself if she should have called the police instead!

But when we all sat down to talk, it turned out that the husband truly loved his wife, and the wife truly loved her husband. But their lives were so busy that when the husband wanted to spend more time with his wife, he expressed it in anger and frustration at their schedule, and she gave it right back to him with frustrations of her own. It quickly became a battle of the wills, and the fighting escalated from there.

I asked the wife if she believed her husband truly loved her, and if she could see that his anger grew out of an honest desire to spend more time with her, and she said, “Yes.” I asked the husband if his wife were in danger, would he willingly give up his life for her, and he said, “Yes.”

Then I shared with them the next words that Paul wrote to the Ephesians:

Wives, submit to your husbands as to the Lord....Husbands, love your wives, just as Christ loved the church and gave Himself up for her...” (Ephesians 5:22, 25).

That truth helped them through another night. I’m thankful to say it’s now been over fifteen years since that night, and they’re still together and serving the Lord. It’s hard work to submitting to one another, surrendering your will to someone else’s. But the benefits to you, to others, and to the Lord far outweigh the work involved.

Submit to one another out of reverence for Christ. Lay down your life for those you love--and even for those who are sinning against you. As you do, I pray that God’s love and grace will flow from you to them--just as it flowed from Christ to you.

Let’s pray...

Father, thank You for challenging me to submit to one another out of reverence for Your Son. Lord, even though I know it’s hard, I pray that You would give me Your Spirit to help me to do it, for I want to be as gracious and loving as I can be, and I want to honor You in all I do. In Jesus’ name, Amen.

God bless you so much, you are always welcome at Sayuni e-House.

Thursday, August 20, 2009

Wapinga tamko la CCM kuhusu Mahakama ya Kadhi

Baadhi ya Waislamu jijini Dar es Salaam wamepinga kauli ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kutaka Mahakama ya Kadhi ianzishwe nje ya mfumo wa serikali.
Aidha, hatua ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuagiza Serikali kukutana na viongozi wa dini, kufanya mazungumzo ili kusafisha kile ilichodai hali ya hewa imeelezwa kutokana na chama hicho kukosa ujasiri na kukumbatia ufisadi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa kutetea haki za Waislamu Tanzania Issa Ponda alisema, kufanya hivyo ni kutaka kuwaundia Waislamu mahakama wasioiahidi tofauti na walivyoahidi kupitia ilani yao ya uchaguzi ya mwaka 2005.
"Kusema kwamba Mahakama ya Kadhi ianzishwe nje ya mfumo wa serikali ni kutaka kututengenezea mahakama ambayo hawakuiahidi, kwa sababu ilani ya CCM haukusema hivyo," alisema Ponda.
Ponda aliongeza kuwa, "Kabla ya Mahamakama ya Kadhi haijavunjwa nchini ilikuwa ikiendeshwa na serikali, na CCM walipotamka kuwa watairejesha walikusudia kuirejesha ile ya zamani, sasa kukiuka hayo ni usanii."
Ameitaka serikali iingize mahakama ya kadhi katika mamlaka yake ili itambulike kisheria na iiendeshe kama vile ilivyosaini mkataba wa kuyahudumia makanisa kupiia "Memorandum of Understand".
Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema Dk, Willibrod Slaa alisema kuwa mbali na CCM kukosa ujasiri hatua hiyo ni sehemu ya rushwa. Alisema iwapo viongozi wa dini watakubali kukutana na kuongea kwa siri na serikali watakuwa wamenunuliwa.
"CCM kutaka serikali ikutane na viongozi wa dini kwa mazungumzo ya siri ni kitendo kisicho cha ujasiri, ni sehemu ya rushwa," alisema Dk. Slaa na kuongeza; Nitawashangaa viongozi wa dini watakaokubali kukaa na Waziri Mkuu kwa siri na kunywa naye chai kwa mazungumzo hayo."
Akizungumzia hatua ya CCM kupinga waraka uliotolewa na Kanisa Katoliki huku mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru akishika bendera, Dk Slaa alisema hatua hiyo haina tofauti na kuunga mkono ufisadi.
Alisema inashanga kuona watu wanapinga waraka ambao unaelekeza namna ya kupata kiongozi muadilifu, asiye fisadi, mla rushwa au mbinafsi anayeweza kupatikana katika imani yoyote ya dini.
"Yeyote anayetaka kupinga waraka wa Wakatoliki ni fisadi kwa sababu unazungumzia maadili mema ya kiongozi bila kuelekeza atoke dini gani: Kwenye wapagani kuna waadilifu, Uislamu kuna asiye fisadi hata dini nyingine wapo wasiokula rushwa. Yeyote anayekataa hilo sina jingine ni fisadi tu."
Kwa Kingunge sishangai, kupinga waraka ule kwani hata majina ya mafisadi pale Mwembe Yanga alikuwa wa kwanza kuyapinga akisema wapinzani ni waongo, sasa Kiko wapi?," alihoji Dk Slaa na kuongeza: Kama unamkataa asiye fisadi basi wewe ni fisadi, sisi tunawombea Mungu CCM waendelee kupingana na wapinga ufisadi." Alisema CCM imefika mwisho wake na haifai tena mbele ya jamii kwa kuwa inakumbatia ufisadi tena bila kificho.
Akizungumzia tamko la CCM kuitaka serikali ikutane na viongozi wa dini ili kusafisha hali ya hewa iliyochafuliwa na waraka wa Waraka wa Kanisa Katoliki , Ponda alisema njia itakayoweka hali hiyo kuwa nzuri ni Waislamu kuandaa waraka wao ambao alisema watautangaza mwishoni mwa mwezi Agosti mwaka huu.
"Hakuna njia itakayorejesha hali nzuri zaidi ya sisi nasi kutoa waraka wetu.Tuko katika hatua za mwisho kuukamilisha na ifikapo mwishini mwa mwezi huu(Agosti) tutautangaza"alitangaza Ponda.
Aidha Ponda alimshutumu Katibu wa NEC (Itikadi na Uenezi) John Chiligati kwa kuiamuria Kamati Kuu kwani kikao cha kujadili hayo hakijafanyika wala kutoa maamuzi juu ya hilo.
Chiligati juzi akiwa kwenye kikao cha NEC aliagiza serikali kukutana na viongozi wa dini ili kufanya mazungumzo ya kusafisha hali ya hewa iliyochafuliwa na waraka wa Wakatoliki na pia kuitaka serikali ianzishe mahakama ya kadhi nje ya mfumo wa dola.

Source: Mwananchi

Askofu Mayalla afariki dunia

ASKOFU mkuu wa jimbo kuu la Mwanza, kanisa Katoliki Mhashamu Anthony Petro Mayalla (69) amefariki dunia jana mchana kutokana na maradhi ya moyo baada ya kuugua ghafla akiwa ofisini kwake.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na mkurungenzi wa mawasiliano wa baraza la Maaskofu (TEC) kanisa katoliki, Padri Revocatus.Makonge Askofu huyo amefariki baada ya madaktari wa Hospitali ya rufaa ya Bugando kuhangaika kumpatia matibabu bila ya mafanikio.Alisema kuwa marehemu aliamuka salama jana na kuendelea na shughuli zake za kila siku ofisini kwake mpaka majira ya saa 4:00 asubuhi ambapo alizidiwa ghafla na kukimbizwa Hospitali ya rufaa ya Bugando.Habari kutoka katika ofisi ya aksofu huyo, zimeeleza kuwa alipatwa na maradhi hayo wakati akiwa katika maandalizi ya ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Vatican ambaye alikuwa akitarajiwa kufanya ziara jimboni kwake Oktoba 5 mwaka huu kwa ajili ya kufungua ujenzi wa hospitali ya watoto.“Baada ya kufikisha hospitalini hapo madaktari waliahangaika kuokoa maisha yake lakini nahati mbaya lifariki dunia majira ya saa 8;30 mchana,” alieleza Padri Revocatus Makonge.Askofu Mayalla alizaliwa Aprili 23 mwaka 1940 katika katika kijiji cha Nera wilayani Kwimba na kupata elimu yake ya msingi katika wilaya hiyo na masomo ya sekondari.Askofu Mayalla alikuwa amehitimu shahada ya kwanza ya elimu aliyopita katika chuo kikuu cha Loyola huko Chicago Marekani mwaka 1973 hadi 1975. Frederick Katulanda, Mwanza.

Ukizaliwa mara moja utakufa mara mbili, ukizaliwa mara mbili utakufa mara moja tuu!

Ukizaliwa mara moja utakufa mara mbili, ukizaliwa mara mbili utakufa mara moja tuu!

Bwana Yesu Asifiwe!

Daima namshukuru Mungu kwa neema zake na upendo wake mkuu kwetu sote (ni vyema kumshukuru Mungu kwa baraka zake kwetu, tunazoziona na tusizoziona) ile tuu kuweza kusoma ujumbe huu ni neema yake.

Karibu tena tushirikiane Neno la Mungu litakalotuongoza katika maisha yetu yote. Leo tutatafakari ujumbe huu unaosema “Kama umezaliwa mara moja tuu utakufa mara mbili, na kama umezaliwa mara mbili, utakufa mara moja”.Ndiyo, hii ina maana kuwa kuna kuzaliwa mara mbili na pia kuna kufa mara mbili.

Hebu tafakari mstari huu wa Yohana 3:3 “Yesu akamwambia, "Amen nakwambia, mtu asipozaliwa upya hataweza kuuona ufalme wa Mungu." Maneno haya Bwana Yesu alikuwa akimwambia kiongozi wa kikundi cha Mafarisayo aitwaye Nikodemo. Nikodemo alikuwa hajafahamu bado ni nini maana yake kuzaliwa mara ya pili, na ndipo Bwana Yesu akamfunulia zaidi: “Yesu akamjibu, "Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa kwa maji na Roho, hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu.” [Yohana 3:5]. Na pia “Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili, na kilichozaliwa kwa Roho ni Roho. Usishangae basi ninapokwambia, ni lazima uzaliwe mara ya pili” [Yohana 3:6-7]
Bwana Yesu hapo kwenye mistari hiyo anaonesha kuwa kuna kuzaliwa mara ya kwanza na kuna kuzaliwa mara ya pili pia. Na anaendelea kwa kuweka wazi kuwa kuzaliwa mara ya kwanza hakutufanyi sisi tuoone ufalme wa Mungu (ndio maana kuna waliobatizwa wengi hawataingia mbinguni kwa sababu hawajaokoka), bali ni kuzaliwa mara ya pili (kuookoka) ndiyo kunatupa sisi neema ya kuuona ufalme wa Mungu [Yohana3:3].

Ni vyema kujiuliza, kuzaliwa mara ya kwanza na kuzaliwa mara ya pili ni kupi? Yule ndugu aitwaye Nikodomo aliposikia kuhusu kuzaliwa mara ya pili, lilikuwa ni jambo jipya kwake, hivyo akamuuliza Bwana Yesu:
“Nikodemo akamwuliza, "Mtu mzima awezaje kuzaliwa tena? Hawezi kuingia tumboni mwa mama yake na kuzaliwa mara ya pili! "[Yohana 3:4] ni wazi kuwa Nikodemo hakuwa amemwelewa Bwana Yesu, ndipo Bwana Yesu akamjibu katika mstari huo hapo juu akimwambia, “Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho {Roho Mtakatifu} hawezi kamwe kuuona ufalme wa Mungu.” Hapa sasa tunaelewa kuwa ‘kuzaliwa mara ya kwanza’ kunamaanisha ubatizo wa maji, na ‘kuzaliwa mara ya pili’ kuna maanisha kuzaliwa kwa Roho Mtakatifu, yaani kuokoka.

Kwa hiyo sasa tunaona kuwa ni kwa lugha ya sasa hivi mstari ule wa Yohana 3:3 tunaweza tukautafsiri hivi “Yesu akamwambia, "Amen nakwambia, mtu asipookoka hataweza kuuona ufalme wa Mungu.” Ndiyo ujumbe wetu wa leo, mtu asipookoka hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu.

Je, ni nini kitatokea kwa waliokokoka na wale wasiokokoka?

Ninaamini unafahamu vyema kuwa ile siku ya mwisho, siku ya hukumu itakapofika, kama Biblia inavyosema, watu wote wa nyakati zote watakusanyika mbele za Mungu na hapo hukumu itatolewa. Kila mtu anapookoka, jina lake linaandikwa kwenye kitabu kule mbinguni sekunde ile ile anapoisema sala ya kuokoka. Kwa hiyo, itakapofika ile siku ya mwisho, watu wote waliokuwa wameokoka wakiwa hapa duniani majina yao yatakuwa kwenye kile Kitabu. Hivyo majina yatasomwa, na wale ambao majina yao yameandikwa humo wataingia katika ule mji wa Yerusalem mpya ulio tayari hata sasa. Wale ambao majina yao hayaandikwa kwenye kile Kitabu hao watatupwa katika lile ziwa la moto, liitwalo jehanamu pamoja na ibilisi na malaika zake waovu. Ni vyema kuyafahamu mambo haya kama yalivyoandikwa kwenye Biblia katika mistari ifuatayo:

Ufunuo 20:13-15: “Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake.Kisha kifo na kuzimu vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili.Mtu yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto.”

Ufunuo 21:27: “Lakini hakuna chochote kilicho najisi kitakachoingia humo; wala mtu yeyote atendaye mambo ya kuchukiza au ya uongo hataingia humo. Ni wale tu walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo ndio watakaoingia ndani.”

Tumeshaona ni nini maana ya kuzaliwa mara mbili, sasa tuone ni nini maana ya kufa mara mbili?. Kufa kwa mara ya kwanza ni kifo kile tutakachokufa hapa duniani wakati wa Bwana unapofika, yaani kifo cha mwili huu wa nje tunaotembea ndani yake. Kifo cha pili ni kile kilichoelezwa katika Biblia, Ufunuo 20:14 “Kisha mauti na kuzimu vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili.” Naam, Biblia inasema kuwa, kutupwa katika ziwa lile la moto ndiyo kufa mara ya pili. Kwa hiyo wale wote ambao watakuwa hawajaokoka [yaani walizaliwa mara moja tuu kwa kubatizwa], watakufa hapa duniani na pia siku ya hukumu watahukumiwa kifo cha pili {yaani ziwa la moto}, kwa hiyo hawa watakufa mara mbili. Lakini wale wote watakaokuwa wamekubali kuokoka [yaani kuzaliwa mara mbili, kubatizwa na kuokoka], watakufa hapa duniani lakini baada ya hapo hawatakufa tena, bali tutaishi milele, kwahiyo, waliookoka wote watakufa mara moja tuu. Na hiyo ndiyo maana ya ujumbe wetu wa leo, “Ukizaliwa mara moja utakufa mara mbili na ukizaliwa mara mbili utakufa mara moja tuu”

Je, wewe umeokoka?

Ni swali lako binafsi. Je, wewe umeokoka (kuzaliwa mara ya pili)? Kuokoka siyo dini wala dhehebu jipya. Ni wazi kuwa hatujamsikia Bwana Yesu katika Biblia akiwaambia watu waingie dhehebu fulani ili wauone ufalme wa Mungu, Yeye alisema tuu ni lazima kuzaliwa mara ya pili, yaani kuokoka. Kuokoka ni uhusiano wako binafsi na Bwana Yesu Kristo.

Kama umeokoka, basi huu ni ujumbe wa kukutia moyo, songa mbele katika wokovu maisha yako yote. Kama hujaokoka na umeupata ujumbe huu, basi ninakupa shauri ufanye kama Bwana Yesu alivyoagiza, yaani uokoke. Ukiokoka Bwana Yesu atakusamehe dhambi zako zote kama ilivyoandikwa 1Yohana 1:7 “Lakini tukiishi katika mwanga, kama naye alivyo katika mwanga, basi tutakuwa na umoja sisi kwa sisi, na Damu yake Yesu Kristo, Mwanae, inatutakasa dhambi zote.”

Kama unataka kuokoka sasa
bonyeza hapa.

Ubarikiwe na Mungu aliye juu mbinguni, tuzidi kuombeana.

Katika utumishi Wake,

Frank Lema
www.lema.or.tz
savedlema2@yahoo.com

Arusha, Tanzania.
Aug 13th, 2009.

Wednesday, August 19, 2009

CCM yatoa tamko kuhusu Waraka wa Wakatoliki, Mahakama ya Kadhi

HALMASHAURI Kuu ya CCM imeiagiza serikali kukutana na viongozi wa dini ili kufanya mazungumzo yatakayosafisha hali ya hewa iliyochafuliwa na waraka wa Kanisa Katoliki (RC), kuhusu uchaguzi, huku ikiridhia kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi nje ya mfumo wa dola.
Waraka wa Kanisa Katoliki umekuwa ni gumzo kubwa katika miezi ya karibuni kutokana na kuzungumzia jinsi ya kuchagua viongozi bora kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, huku wanaoupinga wakidai kuwa, utawagawa wananchi katika misingi ya kidini.
Chiligati aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa, Nec imeagiza viongozi wakuu wa nchi kukutana na viongozi wa dini ili kufanya mazungumzo kwa lengo la kusafisha hali ya hewa na kujenga umoja na utengamano katika jamii.
RC imekuwa ikiwataka wanaoupinga waraka huo kueleza udhaifu wake badala ya kutoa maoni ya kiujumla kuwa haufai, kama ambavyo mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombale Mwiru amekuwa akiupinga.
Kuhusu Mahakama ya Kadhi, CCM imesema inaunga mkono msimamo wa serikali kutaka suala hilo lianzishwe nje ya mfumo wa dola.
Katika ilani yake ya uchaguzi wa mwaka 2005, CCM iliahidi kulipatia ufumbuzi suala la Mahakama ya Kadhi, lakini katika miezi ya karibuni Waislamu wamekuwa wakishinikiza kutaka kuanzishwa kwa chombo hicho wakidai kuwa, CCM iliwahadaa kwa kuahidi kuwaundia chombo hicho.
“Halmashauri Kuu imesisitiza kuwa iwapo Waislamu wanaona haki zao hazikamiliki bila ya kuwa na chombo cha aina hiyo, wasizuiwe, alisema Chiligati.
“Waruhusiwe kuanzisha Mahakama ya Kadhi wao wenyewe na serikali isijihusishe kuiendesha mahakama hiyo kwani kwa kufanya hivyo itakuwa imejiingiza katika shughuli za kidini.”
Kwa mujibu wa Chiligati, mahakama hiyo haitajihusisha na kesi za jinai wala madai badala yake itakuwa ikishughulikia masuala ya ndoa, talaka na mirathi.
Katika mkutano huo wa Nec, Jasson Rweikiza alichaguliwa kuziba nafasi ya ujumbe wa chombo hicho kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa Mbeya Vijijini, Richard Nyaulawa.
Rweikiza alipata kura 88 na kumbwaga kwa tofauti ya kura tatu mpinzani wake wa karibu, Ramadhani Maneno ambaye alipata kura 85 huku mwanamke pekee katika kinyang'anyiro hicho, Sifa Swai akiambulia kura 46.
Jambo lingine lililojiri ndani ya kikao hicho kikubwa ni pamoja na uteuzi wa makatibu wa mikoa. Katika uteuzi huo, Sauda Mpembalyoto, ambaye alikuwa katibu wa wilaya ya Hai na kapteni mstaafu wa jeshi, Frarten Kiwango ambaye alikuwa katibu wa wilaya ya Kibaha Mjini, waliteuliwa kuwa makatibu lakini vituo watapangiwa baadaye.
Source: Mwananchi