Tuesday, October 30, 2007

Mahakama ya kadhi Tanzania imeanza kutumika- by Mtikila


MCHUNGAJI Christopher Mtikila, amedai kuwa sheria za Mahakama ya Kadhi zimeshaanza kufanya kazi nchini kutokana na Sheikh Ponda Issa Ponda kutangaza katika Msikiti wa Mtambani kuwa yeye (Mtikila) ni kafiri na anastahili kukatwa kichwa.
Mtikila, alitoa kali hiyo jana baada ya kuelezwa na wanachama wake kuhusu suala hilo, baada ya kulisikia msikitini.
Alisema Oktoba 26 mwaka huu, wanachama wake watatu waliokuwepo katika msikiti huo ndio waliompelekea taarifa hizo.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake jana, Mchungaji Mtikila, alisema matamshi hayo ya kutaka kukatwa kichwa ni lazima ayatumie kama ushahidi katika kesi yake.
"Kama mimi nikikatwa kichwa kwa kuwa tu nimesema kuwa Mahakama ya Kadhi ni ugaidi, basi Sheikh Khalifa Khamisi, Sheikh Yahya Hussein na Sheikh Issa Ponda wao ndio watakuwa wa kwanza kukatwa vichwa vyao, kwa kuwa wao ndio wanaokula fedha za Waislamu.
"Wananchi waelewe ugaidi umeanza hata kabla ya Mahakama ya Kadhi…..je, mahakama ingekuwepo si balaa….. watu wanatumia redio kusema kichwa cha mtu kikatwe, sasa huu ni utawala gani?" alihoji Mtikila.
Kutokana na hilo, Mtikila alisema amepekea taarifa ya suala hilo Kituo Kikuu cha Polisi, lakini hakuonana na Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Alfred Tibaigana, na kuahidi kwenda tena.
Mtikila aliwataka wananchi waungane naye na ikibidi wafanye maandamano kwa kuipinga seikali, kwa kunyamazia suala hilo ambalo ni hatari kwa taifa.

Thursday, October 25, 2007

Waislamu wamjia juu Mchungaji Mtikila

Kamati ya Kuokoa Mali za Waislamu Tanzania, imetoa siku tano kwa Kiongozi wa Kanisa la Wokovu Kamili, Mchungaji Christopher Mtikila kuwaomba radhi Waislamu kwa kuidhalilisha, kuitusi na kuikejeli dini yao. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa kamati hiyo, Sheikh Khalifa Khamis alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Sheikh Khalifa alisema iwapo Mchungaji Mtikila atashindwa kuwaomba radhi watajua nini cha kumfanyia. Aidha wamemtaka Mchungaji Mtikila kutamka hadharani kuwa Uislamu si dini ya kigaidi wala si ya kinyama, na badala yake ni dini ya amani na mapenzi kwa wanadamu wote. ``Tunamtaka Mchungaji Mtikila hadi kufikia Ijumaa ijayo, awe ametekeleza masharti yetu, asipofanya hivyo tutajua cha kumfanyia,`` alisema. Aliongeza kuwa, pamoja na hayo, kamati hiyo imeviomba vyombo vya dola kumchukulia hatua za kisheria Mchungaji Mtikila kwa matamshi yake ya kuudhalilisha Uislamu. Mchungaji Mtikila amefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam kupinga kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi. Kwa mujibu wa kamati hiyo, sababu anazotoa Mchungaji Mtikila ni kuwa ameamua kufungua kesi hiyo ili kupinga ugaidi yaani Uislamu kwa kuwa Tanzania si nchi ya Kiislamu. Pia kuanzishwa kwa mahakama hiyo alisema kutaleta matabaka, kuchochea ugaidi, kuleta vurugu na kuharibu utawala wa kisheria au kuwagawa watu katika misingi ya kidini. ``Nchi yetu ni ya amani, tunaishi kwa kuheshimiana na kushirikiana katika shughuli zote za kijamii kama misiba, ndoa bila kubaguana,`` alisema. Aliongeza kuwa, endepo serikali itakaa kimya na kumwacha Mtikila kuendeleza matusi na kebehi dhidi ya Waislamu, serikali itabeba dhamana ya matokeo ya uchochezi huo. ``Tunayo mifano mingi ya Waislamu kubambikizwa kesi kuwa wamekashifu dini ya Kikristo, japo mashtaka wanayosomewa ni dhahiri yanatokana na misingi ya imani yao,`` alisema. Aliongeza kuwa, ili kulinda amani na utulivu ambao umedumu kwa muda mrefu, kamati hiyo haitaielewa Serikali endapo haitachukua hatua yo yote dhidi ya Mchungaji Mtikila. Sheikh Khalifa alisema Uislamu siyo dini ya kigaidi kama ambavyo Mchungaji Mtikila amedai katika kupinga kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi. ``Maaskofu wameshapinga kuanzishwa kwa kadhi lakini hawajatoa matamshi ya kashfa na kejeli kama ya Mtikila,`` alisema. Aliongeza ``Lakini tunashangaa kuona makanisa yanataka kujiweka katika nafasi ya kuamua hatma na maslahi ya umma wa Waislamu kana kwamba wao ndiyo raia bora wenye haki ya kutuamulia wengine kile kisichostahili.

Monday, October 22, 2007

Mahakama ya kadhi Tanzania

Mtikila kuandamana kupinga mahakama ya kadhi
Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, ametangaza kuandaa maandamano nchini nzima kupinga uundwaji wa Mahakama ya Kadhi nchini. Mbali na kuandaa maandamano hayo, Mchungaji Mtikila ametishia kukiburuza mahakamani kituo cha Redio Quraan cha jijijini Dar es Salaam na kuhakikisha kuwa kinafungwa baada ya kutishia kumuua kwa kumkata kichwa. Kauli hiyo ya Bw. Mtikila imekuja siku chache baada ya Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa kutoa msimamo wa serikali juu ya uundwaji wa mahakama hiyo hapa nchini kwamba suala hilo halijafikishwa serikalini rasmi. Mahakama ya Kadhi inashughulia masuala ya kutatua migogoro kama ndoa na mirathi kwa Waislamu. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Bw. Mtikila alidai kwamba kauli hiyo ya Waziri Mkuu inaashiria kuwa serikali inataka kuingilia kazi ya mahakama na kusema wataandamana ili kushinikiza isianzishwe. `Tumepanga kufanya maandamano nchi nzima kupinga suala hili maana ninaamini kabisa kuwa, kuna Watanzania ambao hawana dini na wanaohitaji ulinzi na utetezi wa sheria ambayo haifungwi na dini yoyote,` alisema. Hata hivyo hakueleza siku ya maandamano hayo wala mkoa yatakapoanzia. Aliendelea kusema kuwa waziri Mkuu anapaswa kuwaomba radhi wananchi waliomweka madarakani kwa kukiuka katiba ya nchi inayokataza utetezi wa kikundi kimoja cha dini. Aliongeza kuwa, ibara ya 20 ya katiba kifungu cha 2(a) na kifungu kidogo (i) inaeleza na kukataza suala hilo. Kuhusu kuishitaki na kuifunga Redio Quraan, Mwenyekiti wa DP alisema ataifungulia kesi ya kuchochea vurugu na kuhatarisha maisha yake katika vipindi inavyorusha hewani. `Jumamosi radio hiyo ilisema ninastahili kukatwa kichwa na maneno hayo nimeyasikia na kuyarekodi? hivyo nitaifikisha mbele ya sheria,` alidai. Mwanasiasa huyo hodari wa kufungua kesi, pia alipinga kauli ya Papa kuisifu Tanzania kwamba ina uvumilivu wa kidini. `Hatuna uvumilivu wowote ndiyo maana tunasikia makanisa yamechomwa moto na mikutano ya Injili kuvurugwa tena wakati mwingine polisi wamehusika,` alidai. Kwa mujibu wa Bw. Mtikila makanisa 16 yamechomwa moto na mikutano zaidi 36 ya Injili kuvamiwa na kuvurugwa bila hatua zozote za kisheria kuchukuliwa kwa wahusika. Wiki iliyopita Mchungaji Christopher Mtikila alifungua kesi Mahakama Kuu kupinga kuanzishwa kwa mahakama hiyo.

Tuesday, October 16, 2007

Paula White and Her husband seek Divorce

Wapendwa hii story niliipata muda mrefu,ilitoka august 24 mwaka huu, but niliamua kuifanyia uchunguzi na nimeamua kuiweka hapa baada ya watumishi wengi kuniandikia email kutaka maelezo zaidi baada ya kuona ya talaka ya juanita bynum.

TAMPA — Megachurch pastors Randy and Paula White stood before their congregation Thursday night and made the announcement that many in their flock feared had been coming for months.
They are divorcing.
"It is the most difficult decision that I have had to make in my entire life," said the Rev. Randy White, 49. "I take full responsibility for a failed marriage -100 percent. I don't blame Paula, and I don't blame other parties. But as the man of the house, I take full responsibility for that."
He praised his wife, calling her an exceptional woman and a great preacher and wife.
Standing by his side and appearing to fight back tears, the Rev. Paula White called the decision to divorce "one of the most painful of our lives."
"But God always comes to you in the dark places of life," White said, standing beside her husband in the pulpit.
White, 41, also offered a note of optimism.
"It's not the end of the story for Randy or Paula or maybe even Randy and Paula," she said.
The couple, who have both been married and divorced before, did not say what caused their breakup. They also did not detail if they had filed for divorce. They have grown children from previous relationships but none together.
Word about trouble in the couple's marriage has circulated for months. The Whites' disparate ministry paths have fueled much of the concern. Randy White, a bishop at Without Walls International Church, has been spending time in Malibu, Calif., in hopes of establishing a ministry on the West Coast. Paula White, the church's senior pastor and a sought-after televangelist, keeps an apartment in New York City, where she recently opened a new ministry and self-help center in July.
The couple, arguably the most prominent evangelical partners in the state, said they made their announcement at Thursday night's service to tell their church "family" before word of their separation appears in the local and national media.
The Whites' split calls into question the future of the 22,000 member megachurch, which the couple founded as South Tampa Christian Center in 1991. During their announcement, which came just before the sermon, the Whites sought to put those concerns to rest.
Randy White said he would continue to lead Without Walls and would focus on being a "great pastor" and a "great dad."
Paula White said she would also continue to preach at Without Walls when invited by her husband. She also said Paula White Ministries would continue to be based in Tampa.
Several hundred Without Walls members were in the audience for the announcement. As the Whites spoke, some people in the crowd cried. Others appeared stunned, noticeable by the audible gasps in the cavernous sanctuary.
Warming herself outside the church, one woman said "God knows best," before being told by another member to avoid talking to the media. At least one Without Walls member said the church was hurting and lashed out at a reporter for being on site to witness the announcement.
The church broadcasts its services via the Internet at www.streamingfaith.com. But last night's announcement was not aired. The video of the broadcast was interrupted without explanation and resumed after the announcement.
Inside the church, the preacher for the evening, the Rev. Tim Storey, sought to offer direction to a stunned congregation.
"How many of you feel sorrow tonight," Storey asked the crowd.
Hands shot up around the sanctuary.
"We should. But God is still good."

Monday, October 1, 2007

Juanita Bynum beaten by her husband


ATLANTA, Sept. 19 — The attack in a hotel parking lot here last month was remarkable not only because the victim, Juanita Bynum, is the most prominent black female television evangelist in the country, who is pals with Oprah, admired by Aretha, and who recently signed on to campaign for Obama.


Chris Rank for the New York Times
Mr. Weeks held a news briefing to respond to assault charges.
It was shocking, especially to legions of women who had latched onto her message that only chastity and self-respect would bring true love, because the attacker who choked, stomped and kicked her, Ms. Bynum said, was her husband.
The episode has led to debate about domestic violence and how churches, particularly black churches, respond to it.
But it has also raised questions about the trajectory of Ms. Bynum’s career as a woman who called herself a prophetess, and while condemning promiscuity spoke openly about her lust and longing, in what has been called one of the most significant contemporary American sermons. Her struggle struck a chord in many black communities, where marriage rates are notoriously low, and it seemed to culminate in the form of an earthly reward: a televised, million-dollar 2003 wedding to a fellow Pentecostal preacher, Bishop Thomas W. Weeks III, followed by what seemed to be a model marriage.
Since the attack, Ms. Bynum, 48, has tried to reinvent herself once more, announcing that she is “the new face of domestic violence.” But Tom Joyner, the syndicated radio talk show host, did not let her off the hook so easily: “If you’re a prophet,” Mr. Joyner asked, “didn’t you see this coming?”
In a telephone interview, Ms. Bynum said the public had overly romanticized the union. “What happened to me was reality,” she said. “I made a right decision that went bad. If you choose a Cadillac, if two years later someone runs into you and tears it up, it wasn’t a bad decision to buy the car.”
Mr. Weeks, who according to the police report was pulled off his wife by a hotel bellhop, pleaded not guilty to charges of aggravated assault and making terroristic threats. Ms. Bynum has filed for divorce.
Conservative critics among the evangelical clergy have accused her of exploiting the attack for publicity, calling her “loud,” “angry,” “aggressive” and “out of control,” while a group of black and Hispanic churches has demanded Mr. Weeks’s resignation. Fans responded with shock.
“It just hit me like a wake-up call, that even the strongest can be victims,” said Elizabeth Alexander, a student at Spelman College, a historically black women’s school here, which held a forum to discuss the issue.
Ms. Bynum, a former flight attendant and hair stylist, rose to fame in the late 1990s with the help of the powerful Bishop T. D. Jakes of Dallas, who supplied an audience of thousands for her frank sermon about sex and the single woman called “No More Sheets.” The sermon is said to have sold more than a million copies on video and profoundly affected many black women.
Ms. Bynum’s sermon admonished women looking for love to stop sleeping around and prepare for a lifetime commitment, but also dwelt on the difficulty of being Christian and single.
“I find it very difficult to listen to anybody preach to me about being single when they’ve got a pair of thighs in their bed every night,” she said that night. “You’re telling me, ‘Hold on, honey, sanctify yourself,’ and you’re going home to biceps and triceps, and big old muscles and thighs.”
She went on, her voice husky and anguished: “I want to hear ‘Hold on’ from somebody who is really holding on. I want to hear ‘Hold on’ from somebody who knows my struggle.” She used bed sheets borrowed from a hotel maid to signify her past promiscuity.
Ms. Bynum’s confessional approach, including of an abusive first marriage, made her a sought-after speaker and a popular host on the Trinity Broadcasting Network, although she did not lead a church of her own. She wrote books that ranked among Publishers Weekly’s top 10 religion best sellers, and her gospel album “A Piece of My Passion” went gold. Women across the country held “No More Sheets” parties to watch and discuss the sermon.
“She’s a powerful trailblazer,” said Shayne Lee, a sociologist of religion at Tulane University who closely follows what has become known as the neo-Pentecostal movement, which emphasizes self-improvement and prosperity over social issues like poverty and crime. “She resonated with so many people because sex is out there in a way that I don’t think any other preacher, or any other black preacher, has tapped into on a grand scale.”
The assault, Dr. Lee said, is a challenge to Ms. Bynum’s credibility: “Maybe she’s been living a lie all these years.”