Monday, March 4, 2013

Mtazamo wangu--The local church is the hope of the world...!

Mtazamo wangu wa leo...!

Kanisa la mahali pamoja ni tumaini la ulimwengu.Kama kanisa likipoteza tumaini ,linakuwa limepoteza ladha yake na watu hawawezi kufeel kuwepo kanisani.Kanisa haliwezi kuwa community organization.Kanisa sio sehemu ambayo watu wanakuja wakiwa wana magomvi mioyoni mwao. kuwepo kanisani huku watu hata hawasalimiani lakini wananena kwa lugha hadi wanalia.Hali hii inafanya kanisa liwe community organization tu na sio tumaini la ulimwengu unaotuzunguka.Kanisa la mahali pamoja likishindwa kuwafanya watu waishi kwa upendo na amani na kuthaminiana basi tumaini linakuwa limepotea na hapo kanisa linakosa mvuto kwa watu,matokeo yake linakuwa ni community organization ya watu kukutana.Mungu alisaidie kanisa la Tanzania....kwa jina la YESU KRISTO....amen...!

No comments: