Thursday, April 30, 2009

Mbiu ya maombi

Bwana asifiwe sana,
Mlima sayuni unaomba kuwatangazia wanasayuni wote kuwa mtumishi na mtendakazi mwenzenu,mtu wa Mungu na askari hodari ndani ya jeshi la Kristo Yesu Bwana wetu mtumishi Frank Lema yu katika hali ya ugonjwa kwa muda wa wiki kadhaa.Bwana amemponya na sasa anaendelea vyema na matibabu na Mungu ameanza kumponya.Kwani alikuwa hawezi lakini sasa anaendelea vyema sana.
Mlima Sayuni bado unawaomba wanasayuni wote kumkumbuka mtenda kazi huyu asiyezimia katika maombi yenu.
Isaya 53 :1-6 I".... kwa kupigwa kwake sisi tumepona.."
Mungu awabariki sana.

No comments: