Tuesday, April 28, 2009

Shalom

Wanasayuni.
habari za muda mrefu,imekuwa ni kipindi kirefu cha kama mwezi mzima tumekuwa hatupo hewani kwa kuwa tumekuwa katika matengenezo makubwa ya mtandao wetu wa sayuni.
Mungu ametuwezesha kusajili www.sayuni.com na muda si mrefu itakuwa hewani kwa mambo mazuri kabisa ya kupendeza.tunahitaji maombi yenu ili tuweze kufanya yote haya kwa utukufu wa Mungu.
Ndani ya sayuni.com utaweza kuchati na wapendwa sehemu mbali mbali duniani, kusikia radio za kikristo za hapa nyumbani Tanzania , mahubiri mbali mbali ya wahubiri wa hapa nyumbani na mambo mengine mengi mengi ya kujenga na kuburudisha.

Blogu yenu ya sayuni itaendelea kama kawaida kwa utukufu wa Mungu.

1 comment:

Subi Nukta said...

Nasubiri kwa hamu kubwa sana section ya Redio : WAPO, Praise Power nk