Saturday, March 12, 2011

Yanayojiri sayuni

Anonymous DORAH said...

NILIKUWA muumini wa kanisa la EAGT MNAZI MMOJA..CHINI YA MCHUNGAJI andrew.naomba nifahamishwe kanisa hilo limehamia wapi..nikija TANZANIA NAHANGAIKA KUTAFUTA SEHEMU YA KUABUDU..NAOMBA TAARIFA.

March 10, 2011 12:48 AM

Delete
Blogger Mtade said...

Mtumishi Dora, Kanisa la Pastor Andrew kwa sasa lipo mnazi mmoja kati ya jengo la ushirika lumumba na ilipokuwa sukita zamani.Kuna jengo jeupe la ghorofa saba.karibu kabisa na mabasi ya hekima au sumry yanayotokea mbeya.Ukifika hapo pandisha ghorofa ya tatu utakuwa umefika.Kanisa linaitwa faith word church.Kwa maelezo zaidi ukifika piga namba hii utafika 0713-427857

Barikiwa

March 12, 2011 4:07 PM

No comments: