Monday, July 30, 2007

Mchungaji ashinda kesi ya kumbaka muumini wake

MCHUNGAJI wa Kanisa la Pentecoste Tanzania (KLPT) Kibaha Maili Moja, Fredrick Makulala (48) ameachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwandamizi mkoani Pwani Bi. Pelegia Khodai, baada ya kuthibitika kuwa madai dhidi yake ya kumbaka Bi. Consolata Ngonyani (25) si ya kweli.
Katika hukumu iliyotolewa hivi karibuni katika mahakama hiyo, Hakimu Khodai, amesema kuwa ameridhishwa na vielelezo vyote villivyotolewa na daktari na mashahidi wa mlalamikiwa kuwa hapakuwa na ushahidi wowote wa kuthibitisha kuwa Bi. Consolata alikuwa amebakwa.
"Mahakama inakuachia huru baada ya kuthibitika kuwa madai (ya madai) hayakuwa na vielelezo (vya kutosha) kukutia hatiani kuwa umebaka". Hakimu Khodai ameandika katika taarifa ya hukumu yake.
Akisoma maelezo ya mlalamikaji, Hakimu Khodai alisema kuwa mnamo Desemba 4, 1997 saa 5.00 asubuhi huko nyumbani kwa Bi. Consolata Kibaha Maili Moja, Mchungaji alikuja kwa nia ya kusuluhisha ugomvi waliokuwa nao na mumewe Samwell Bandeke.
Taarifa ya Hakimu inaseama mshtakiwa alidai kuwa Mchungaji alipofika nyumbani kwa mlalalmikaji alimuulizia mumewe na alipojibiwa kuwa hakuwepo, waliongea naye mazungumzo ya kuwaida kuhusiana na ugomvi wao kwa muda, lakini baadaye alimvuta chumbani na kumbaka. Naye Mchungaji Makulala akitoa utetezi wake alisema yeye alifika nyumbani kwa mlalalmikaji akiwa pamoja na Mjumbe wa Shina Bw. Omari kwa ajili ya kusuluhisha ugomvi wao, ambao Bi. Consolata aliuleta kwake.
Taarifa ya hukumu inasema Bi. Consolata alileta ugomvi huo kwa Mchungaji kwa kuwa hao wanokorofishana ni waumini wake yaani Bi. Consolata na Bw. Samweli.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo Bw. Omari aliitwa kutoa utetezi wake na yeye alikiri kuwa Mchungaji hakuwa amembaka kwa vile muda huo walifika wote nyumbani kwa mlalamikaji.
Shahidi wa pili wa Mchungaji alidai kuwa yeye aliwasikia watu waliokuwa na chuki na Mchungaji huyo wakipanga njama za kumdhalilisha.
Shahidi huyo alisema kuwa alimsikia Bw.Bandeke, akimshurutisha mkewe Bi. Consolata aende
polisi kushitaki kuwa Mchungaji amembaka, na asingefanya hivyo Bw. Bandeke angempiga vibaya.
Naye shahidi wa tatu na wa mwisho wa Mchungaji ambaye ni mkewe aliiambia mahakama kuwa Bi. Consolata, alifika nyumbani kwake na kumlalamikia kuwa mumewe ‘anamfosi’ aende polisi kushtaki kuwa mchungaji amembaka, na asingefanya hivyo angepigwa vibaya.
Bi. Consolata na mumewe Samwel ambao wana ugomvi wa muda mrefu unaosemekana kuwa unatokana na wivu, sasa hivi wametoroka na hawajulikani walipo, na mara baada ya kutoa ushahidi wao wakawa hawahudhurii mahakamani mpaka hukumu ilipotolewa.
Mwandishi wa habari hizi allipozungumza na mchungaji Makulala nyumbani kwake maili moja, kuwa ni kwa nini kuna kikundi cha waumini wanaompinga kanisani kwake, alisema waumini hao ni vibaraka tu wanaotumiwa na uongozi wa juu kumsakama.
Amesema mara baada ya taarifa za kuwa amebaka zilipofikishwa polisi viongozi wa juu wa kanisa hilo walifika kanisani hapo Desemba 7 mwaka 1997 toka Der Es Salaam.
Aliwataja viongozi hao kuwa ni makamu wa Askofu Nkhandda, katibu mkuu wa KLPT, Bw, Aron Mabondo na katibu mtendaji Bw,Shekihiyo.Anasema walipokuja aliwaeleza hali halisi ya mambo yalivyokuwa, wakati wanaendelea na kikao hicho ndipo alipokuja huyo jirani yake ambaye ndiye aliyekuwa shahidi wake wa jadi na kueleza mbele yao kuwa ‘’twendeni mukamuone bi. Consolata na mumewe pamoja na kikundi chao.

Monday, July 23, 2007

EAGT na tiba za sumaku





Jana nimesoma habari za kunishangaza sana kwenye gazeti la nyakati..eti kanisa moja lililo chini ya la EAGT hapa dar karibu na fire linatumia pete,mikufu,bangili na hellen zenye nguvu za ajabu za sumaku kuponya waumini wake...??

hii habari imenishtua sana ...najiuliza kanisa la Kristo linaelekea wapi sasa...maana hii na hatari sana kwa kanisa la Kristo..na kuna mdau mmoja kaniambia kuwa kuna watu wanaponywa na nguvu za ajabu anazotumia mchungaji wa kanisa hilo..

nasikia akivaaa mkufu huo wa jabu basi kama kuma mtu anahitaji muujiza wowote anapokea uponuaji....eti wapendwa kuna mtu yeyeto anataarifa zaidi za jambo hili....

Friday, July 20, 2007

Madhehebu yetu

A man is walking across a bridge, when he sees another guy about to jump off.
"Hey, man" he says, "you don't have to do that."
"Why not?" the other guy says, "I've got nothing to live for. I lost my job, I'm bankrupt, my wife left me and took the kids, my car threw a rod, and my dog just died. My life totally sucks."
"But God still loves you," the man says, "you believe in God, don't you?"
"Well, I guess so," the guy says.
"Tell me, are you a Christian?"
"Yes" the guy answers.
"Well, so am I!" the man says. "Catholic or Protestant?"
"I'm Protestant"
"Well, so am I!" "Methodist, or Baptist, or Presbyterian?"
"I'm Baptist."
Well, so am I!" "Northern or Southern Baptist?"
"Northern Baptist."
"Well so am I!" "Northern fundamentalist, liberal, or reformed?"
"Northern fundamentalist."
"Well, so am I!" "Northern fundamentalist eastern region, or Great Lakes region?"
"Northern fundamentalist, eastern region."
"Well, so am I!" "Northern fundamentalist, eastern region conference of 1898, or conference of 1912?"
"Northern fundamentalist, eastern region, conference of 1912."
"Die, heretic!" the man says, and pushes him off the bridge.

Wednesday, July 18, 2007

Utoaji wa mimba kwa wapendwa

Kuna mdau kaniuliza hivi...na mimi naiweka kama ilivyo..
Hi, I hope were are all doing fine,nina swali moja Je ni halali kwa wapendwa kutoa mimba ama sio halali, kwa vinginevyo ni dhambi kutoa mimba ama sio dhambi ?

Tuesday, July 17, 2007

Usanii makanisani...



Jamani kuna mdau kanitumia hii kutoka uganda....eti makinisa ya wapendwa uganda kuna usanii huu.....jisomee mwenyewe hapo chini....
Uganda pastor denies miracle scam

The machine gives people an electric charge, which they can pass on (Pic: Uganda Monitor)
A Uganda-based preacher has denied charges he tried to import an electric shock machine to make people believe he could pass on the Holy Spirit.
"This is a toy. It was sent for my daughters' birthday," Ghanaian Kojo Nana Obiri-Yeboah told the BBC.

The machine was seized at Entebbe airport and police are investigating.

There has been a massive growth in churches set up by charismatic preachers in Africa in recent years, amid fears some could be fraudsters.

The pastor told the BBC that during his prayers, members of the congregation "act as the spirit comes in them".

The website of the company Yigal Mesika, which makes the "Electric Touch" machine, among other magic tricks, says: "Charge a spoon, keys or coins and watch as it shocks a volunteer!

"They will believe you have supernatural powers!"

Police report

The person doing the trick wears the machine and gets an electric charge, which they can transfer to people or objects.


Kojo Nana Obiri-Yeboah denies trying to con his congregation (Pic: Uganda Monitor)

Uganda's Ethics and Integrity Minister James Nsaba Buturo has asked police for a report into the activities of churches, such as Mr Obiri-Yeboah's We Are One ministry, following several charges of impropriety.

"We feel there is a need for a policy on religion," he told the BBC's Network Africa programme.

He denied the government was interfering in people's private lives.

"When matters go to impinging on the stability of the country, I think the government gets interested."

When the machine was seized, some thought the machine was a piece of bomb-making equipment.

Some fear that some preachers are taking advantage of poor, illiterate people, by asking them for financial contributions in the belief that in return, they would be blessed and become rich.

They rarely have any formal religious training - usually they set up a church and say they have been touched by God.

But Mr Buturo said that most of the new churches, known in Uganda as "balokole" were "contributing to the stability of our country".

Wanawake kuvaa Suruali Kanisani


Hivi mnalionaje watumishi swala la kinadada kuvaa suruali na vimini makanisani...
ni kwenda na wakati au ni kuifuta dunia ...?
naomba mawazo yenu tafadhali...

Monday, July 16, 2007


No one falls in love by choice,
it is by CHANCE.
No one stays in love by chance,
it is by WORK.
And no one falls out of love by chance,
it is by CHOICE

If you love this man please forward to 10 people.

He did something for you, now do something for him.
Spread his word, and you'll be rewarded.
How will you be rewarded?
Matthew 10:32 "Whoever acknowledges Me before men, I will acknowledge him before My Father in heaven. But whoever disowns Me before men, I will disown him before My Father in heaven

rose mhando


siku alipochukua tuzo za kili music award....
wadau mnasemaje kuhusu hili..

Karibuni wapendwa

Karibuni mahala hapa kwa masuala yote yanayohusu kumtumikia Mungu, mijadala ya kibiblia,masulaya ya kiroho,kurekebishana na kuonyana,kupongezena na hata kusaidia kiroho..hapa utapata burudani mbalimbali za muziki wa injili na shuhuda mbalimbali za matendo makuu ya Mungu anayowafanyia watu wake..