Friday, February 6, 2009

Kikwete na UDOM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametangaza kuwa amefanya uamuzi kuwa makao makuu ya Serikali mjini Dodoma sasa yatajengwa katika eneo la Chamwino, baada ya eneo lililokuwa limetengwa awali kwa ujenzi huo katika eneo la Chimwaga, kutolewa kwa ajili ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), chuo kikubwa zaidi cha umma nchini.
Rais Kikwete pia ameutaka uongozi wa chuo hicho cha UDOM kuelekeza nguvu zaidi katika kufundisha wataalam zaidi wa shahada kubwa zaidi za Uzamili na Uzamivu, badala ya kushikilia kufundisha watu kwa ajili ya kupata shahada la kwanza tu.
Rais Kikwete ameelekeza hayo wakati alipotembelea UDOM, ili kujionea maendeleo ya wa chuo hicho, ikiwa ni mara yake ya kwanza kutembelea chuo hicho tokea alipokwenda kukagua ujenzi wa chuo hicho Agosti 2, 2007.Akizungumza na jumuia ya wanachuo baada kumaliza kutembelea chuo hicho na kukagua ujenzi wake, Rais Kikwete amesema kuwa ameamua kuwa sasa makao makuu ya Serikali yatajengwa katika eneo linalozunguka Ikulu Ndogo ya Chamwino, baada ya kuwa ametoa eneo la awali la ujenzi wa makao makuu hayo kwa ujenzi wa UDOM.
“Kuna sababu mbili za kufanya hivyo. Moja ni kwamba eneo hili sasa tumelitokea kwa ajili ya ujenzi wa chuo hiki maridadi na cha kupendekeza kabisa. Hata kabla ya ujenzi kumalizika, nyie mnajionea kinachovutia,” amesema Rais Kikwete na kuongeza:
“ Pili ni kwamba Rais hawezi kufanya kazi ya kusafiri mwendo mrefu kiasi hiki kati ya makazi yake ya Chamwino na ofisi yake kwenye eneo hilo la Chimwaga,” Rais Kikwete amewaambia wanajumuia hao.
Inakisiwa kuwa kuna umbali wa kiasi cha kilomita 35 kutoka Chamwino kwenda mjini Dodoma. Hivyo, safari ya kutoka Chamwino kwenda Chimwaga na kurudi ni kiasi cha kilomita 70.
Rais Kikwete amewaambia wanajumuia hao wa UDOM kuwa ameshangazwa kweli kweli na hatua ya ujenzi wa Chuo hiki. “Nimepata faraja kubwa moyoni mwangu. Naamini kuwa baada ya ujenzi, eneo hili litakuwa moja ya maeneo ya kuvutia zaidi nchini, na wala sisemi maeneo ya vyuo viku, bali majengo yote.”
Rais Kikwete pia amewaelezea wanajumuia hiyo jinsi wazo la kuanzisha chuo hicho lilivyozaliwa, kwa sababu uamuzi wa kuanzisha chuo hicho ulikuwa uamuzi binafsi wa Rais Kikwete, na wala hilo halikuwa sehemu ya Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa CCM, mwaka 2005.
Amesema kuwa aliamua kuanzia chuo hicho kwenye Jengo la Chimwaga lililokuwa mali ya Chama cha Mapinduzi kwa sababu jengo lilikuwa halitumiki ipasavyo. “Unajua tulikuwa tunalitumia jengo hili mara moja ama mara mbili kwa miaka mitano. Kama mkikumbuka hili jengo ndilo lilikuwa limetumike kwa ajili ya Bunge. Ni jengo kubwa sana hili na lilifaa kabisa kuanzia chuo hiki.”Rais Kikwete ametumia zaidi ya saa mbili kutembelea ujenzi wa chuo hicho ambacho kikikamilika kitakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi kiasi cha 40,000 kwa wakati mmoja.
Akipata maelekezo kuhusu maendeleo ya ujenzi na masomo katika Chuo hicho ambacho tayari kina wanafunzi wapatao 7,000 kutoka kwa Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Kikura, Rais Kikwete ameutaka uongozi wa chuo hicho kubadilisha fikra na kuelekeza nguvu kubwa zaidi katika kukifanya chuo hicho Kituo cha Ubunifu kwa kutoa wasomi wengi zaidi wa shahaha za Uzamili na Uzamivu.
“Kwa kuchukua wanafunzi wachache wa shahada hizo za juu, na wakati mwingine kwa kuongozwa tu na hisia zetu, tunaweza kabisa kuwa tunadumaza maendeleo ya taifa,” amesema Rais Kikwete, akitolewa mfano wa uzoefu wake katika Chuo cha Kenyatta cha Nairobi, ambacho mwishoni mwa mwaka uliopita, kilimtunukia shahada ya heshima za Uzamivu.

4 comments:

Anonymous said...

[u][b]Xrumer[/b][/u]

[b]Xrumer SEO Professionals

As Xrumer experts, we secure been using [url=http://www.xrumer-seo.com]Xrumer[/url] for a sustained time now and recollect how to harness the titanic power of Xrumer and turn it into a Cash machine.

We also provide the cheapest prices on the market. Assorted competitors devise charge 2x or consistent 3x and a destiny of the time 5x what we debt you. But we believe in providing prominent accommodation at a small affordable rate. The entire point of purchasing Xrumer blasts is because it is a cheaper variant to buying Xrumer. So we plan to stifle that bit in cognizant and afford you with the cheapest rate possible.

Not just do we take the greatest prices but our turnaround occasion for your Xrumer posting is super fast. We intention take your posting done to come you distinguish it.

We also produce you with a roundish log of well-heeled posts on different forums. So that you can notice also in behalf of yourself the power of Xrumer and how we get harnessed it to benefit your site.[/b]


[b]Search Engine Optimization

Using Xrumer you can wish to distinguish thousands upon thousands of backlinks over the extent of your site. Many of the forums that your Place you force be posted on have acute PageRank. Having your tie-in on these sites can really mitigate found up some cover grade endorse links and really riding-boot your Alexa Rating and Google PageRank rating via the roof.

This is making your site more and more popular. And with this better in celebrity as familiarly as PageRank you can envisage to witness your area absolutely rank high in those Search Mechanism Results.
Conveyance

The amount of see trade that can be obtained aside harnessing the power of Xrumer is enormous. You are publishing your plat to tens of thousands of forums. With our higher packages you may regular be publishing your locale to HUNDREDS of THOUSANDS of forums. Imagine 1 brief on a stylish forum disposition inveterately get 1000 or so views, with communicate 100 of those people visiting your site. Now assume tens of thousands of posts on fashionable forums all getting 1000 views each. Your freight liking go at the end of one's tether with the roof.

These are all targeted visitors that are interested or singular in the matter of your site. Assume how divers sales or leads you can succeed in with this considerable figure up of targeted visitors. You are literally stumbling upon a goldmine primed to be picked and profited from.

Keep in mind, Shipping is Money.
[/b]

BECOME ENTHUSIASTIC ABOUT YOUR CHEAP BURST TODAY:


http://www.xrumer-seo.com

Anonymous said...

[B]NZBsRus.com[/B]
Forget Slow Downloads With NZB Downloads You Can Rapidly Search Movies, Games, Music, Software & Download Them at Accelerated Speeds

[URL=http://www.nzbsrus.com][B]Usenet[/B][/URL]

Anonymous said...

Predilection casinos? paparazzi self-confident of this unsophisticated [url=http://www.realcazinoz.com]casino[/url] counsel and grab up online casino games like slots, blackjack, roulette, baccarat and more at www.realcazinoz.com .
you can also discontinuance our redesigned [url=http://freecasinogames2010.webs.com]casino[/url] tamper with at http://freecasinogames2010.webs.com and seize valid folding transform !
another latest [url=http://www.ttittancasino.com]casino spiele[/url] viewpoint is www.ttittancasino.com , allot towards german gamblers, seize resting with someone abandon well-wishing online casino bonus.

Anonymous said...

Someone deleted several links from yourfilehost and depositfiles servers.

From now, we will use www.tinyurlalternative.com as our main [url=http://www.tinyurlalternative.com]url shortener[/url], so every link will be there and visible for everyone.

You can pick out from several great [url=http://kfc.ms]short url[/url] address like:

kfc.ms easysharelink.info jumpme.info megauploadlink.info megavideolink.info mygamelink.info myrapidsharelink.info mytorrentlink.info myurlshortener.com mywarezlink.info urlredirect.info urlshrinker.info weblinkshortener.com youtubelink.info and many others.

They have above 60 other ready domains and the [url=http://myurlshortener.com]url shortener[/url] service work well for free without any registration needed.

So we assume it is good idea and suggest you to use [url=http://urlredirect.info]url redirect[/url] service too!

Thank you.