Friday, February 8, 2008

Karamagi na Msabaha nao waachia ngazi







Ibrahim Msabaha








Naziri Karamagi




















Edward Lowasa


Waziri wa nishati na madini ndg Naziri Karamagi na waziri wa uhusiano wa east africa wametangaza kujiuzulu jana jioni wakiungana na uamuzi wa waziri mkuu Edward Lowasa.




Wabunge wengi wa upinzani na CCM wameonyesha kuguswa sana hali ya ufisadi uliojitokeza katika serikali yetu.

No comments: