Saturday, September 13, 2008

Tiba ya mitishamba kwa watu waliokoka ni kibiblia?

Week hii nimekutana na challenge nyingi sana kuhusu tiba za mitishamba kwa watu waliokoka..
Je..ni salama na ni kibiblia au ni kinyume na Biblia takatifu?
Kuna mtu akaniuliza kama nyumbani kwake amepanda mti wa muarobaini na akienda kuchuma majani yake na kujitibu malaria au ugonjwa wowote je hiyo ni dhambi? je kuna tofauti gani na tabibu anayetumia mitishamba kutibu watu na akiwa ameokoka?
Najua kuna majibu tofauti kuhusu hili ila naomba majibu yote yatoke katika maandiko matakatifu au yawe na support ya maandika matakatifu..

No comments: