Friday, February 29, 2008

Eeee Mungu epusha uovu huu Tanzania

Dunia imekwisha na inakoelekea ni kubaya kuliko ilipotoka. Sielewi nini maana yake haya tuyaonayo humu duniani ila sauti moja yaniambia, tuyaonapo hayo ujue kwamba ule mwisho umekaribia. Wapendwa kila aaminiye kwamba Yesu ni mwana wa Mungu basi na amshike sana huyo Yesu asimwachilie.
Uko uovu unaofanyika hapa Norway sehemu iitwayo STORÅS pembeni mwa mji mkuu Oslo, ambao kwa kweli Sodoma na Gomora ni afadhali. Huko huwa wana summer parties ambazo watu hutembea uchi kama walivyozaliwa na kusherekea hali hiyo pasipo haya. Kwa hali kama hii, kwa nini hasira ya Mungu isiwake juu ya uso wa dunia? Eee Mungu iepushe Tanzania na uovu huu!

Angalia picha hizo na kisha shuhudia hii video clip hapa chini. (Ipo kwa kinorway lakini - mtangazaji anamuhoji huyo jamaa anajisikiaje kuwa hivyo na wanafanya nini hapo? Jibu la jamaa ni kwamba wako wana-enjoy na kufurahia hali hiyo na karibu kila mwaka yupo hapo kwake hii ni mara ya tatu. Hapo ilikua ni saa tano asubuhi)

Thursday, February 28, 2008

FUNGUA BARUA YAKO HII

Kwako mwanangu .....................
Yawezekana ya kuwa hunijui lakini najua kila kitu juu yako. Zaburi 139:1
Najua kukaa kwako na kuondoka kwako. Zaburi 139:1
Nazifahamu njia zako zote. Zaburi 139:3
Hata nywele za kichwa chako najua hesabu yake. Mathayo 10:29-31
Kwa sababu uliumbwa kwa mfano wangu. Mwanzo 1:27
Ndani yangu unaishi na kutembea. Matendo 17:28
Kwa sababu wewe ni uzao wangu. Matendo 17:28-1
Nalikujua kabla sijakuumba. Yeremia 1:4-5
Nalikuchagua wewe nilipopanga kuumba ulimwengu. Waefeso 1:10-12
Hakuna makosa kwa sababu hata siku zako zimeandikwa katika kitabu changu. Zaburi 139:15-16
juu ya kuzaliwa kwako na mahali utakapokaa. Matendo 17:26
Wewe uliumbwa kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Zaburi 139:14
Nalikuunga pamoja katika tumbo la mamako. Zaburi 139:13
Nikakutoa tumboni mwa mama siku uliyozaliwa. Zaburi 71:6
Nimekosa kujulikana na kuwakilishwa nao wasionijua. Yohana 8:41-44 Sijakasirika lakini upendo wangu umekamilika. 1 Yohana 4:16
Na ni mapenzi yangu kukuonyesha upendo wangu kwako. 1 Yohana 3:1
Hii ni kwa sababu wewe ni mwanangu na mimi ni babako. 1 Yohana 3:1 Nimekupa mambo ambayo babako wa duniani hawezi kukupatia. Mathayo 7:11 Kwa sababu mimi ni baba mkamilifu. Mathayo 5:48
Kila kipawa kizuri hutoka mikononi mwangu. Yakobo 1:17
sababu mimi nakupa mahitaji yako yote. Mathayo 6:31-33
Mipango yangu kwa ajili yako ni kwa sababu nakupenda kwa upendo wa milele. Yeremia 31:3
Mawazo yangu kwako hayawezi kuhesabika ni kama mchanga wa baharini. Zaburi 139:17-18
Najifurahisha na vipaji vyako. Sefania 3:17
Sitaacha kukutendea mema. Yeremia 32:40
Kwa sababu wewe ni mali yangu ya thamani. Kutoka 19:5
Napenda kukupanda katika nchi kwa moyo wangu na nia yangu. Yeremia 32:41 Napenda kukuonyesha mambo makuu usiyoyajua. Yeremia 33:3
Ukinitafuta kwa moyo wako wote utanipata. Kumbukumbu 4:29
Nitegemee mimi nami nitakupa haja za moyo wako. Zaburi 37:4
Kwa sababu ni mimi ambaye huwapa watu haja za moyo wao. Zaburi 37:4 Maana ni mimi ninayekupa hayo mahitaji yako. Zaburi 2:13
Ninao uwezo wa kufanya makuu kuliko uyawazayo. Waefeso 3:20
Kwa sababu mimi ndiye niwezaye kukuimarisha. 2 Wathesalonike 2:16-17
Tena mimi ndiye ninayewapa wanaohitaji mahitaji yao. Zaburi 2:13
Ninao uwezo wa kukutendea makuu kuliko unayofikiria. Waefeso 3:20
Kwa sababu mimi ndiye ninayekupa nguvu. 2 Wathesalonike 2:16-17
Tena mimi ni baba anayekufariji wakati wa shida yako. 2 Wakorintho 1:3-4 Wakati moyo wako umevunjika niko karibu kukufariji. Zaburi 34:18
Kama mchungaji anavyomchukua mwanakondoo nimekuchukua ndani ya moyo wangu. Isaya 40:11
Nitayafuta machozi katika macho yako. Ufunuo 21:3-4
Na maumivu yako uliyoyapata hapa duniani nitayaondoa. Ufunuo 21:3-4
Mimi ni babako na ninakupenda kama nimpendavyo mwanangu Yesu Kristo. Yohana 17:23
Kwa sababu ndani ya Yesu upendo wangu huonekana. Yohana 17:26
Yeye huniwakilisha kuweko kwangu. Waebrania 1:3
Alikuja kuonyesha kuwa mimi niko upande wako si kinyume chako. Warumi 8:31
Na kukuambia ya kuwa sitakuhesabia makosa yako. 2 Wakorintho 5:18-19
Yesu alikufa ili mimi na wewe tuunganishwe pamoja. 2 Wakorintho 5:18-19 Kifo chake kilionyesha upendo wangu kwako. Yohana 4:10
Nilitoa yote ninayopenda ili nipate wewe na upendo wako. Warumi 8:32 Ukipokea zawadi ya mwana wangu ndipo unanipokea mimi.1 Yohana 2:23
Hakuna chochote kitakachoweza kukutenganisha na upendo wangu. Warumi 8:38-39
Karibu nyumbani na nitaandaa karamu ambayo haijaonekana huku mbinguni. Luka 15:7
Nimekuwa baba yako na nitaendelea kuwa baba yako milele. Waefeso 3:14-15 Swali langu kwako, je, utakubali kuwa mwanangu? Yohana 1:12-13
Nakungojea wewe. Luka 15:11-32
NAKUPENDA HUYU NI BABAKO WA MILELE-ISAYA 9:6

Muhuri(Roho mtakatifu)

NDIMI NIKO AMBAYE NIKO Kutoka 3:14

Imeletwa na Yesu-(neno la Mungu-Yohana 1:1)


Kalenge

Prayers for February 26, 2008 From The Voice of the Martyrs

CHINA 21 House Church Leaders Simultaneously Sentenced to Labor Camp - China Aid AssociationChina Aid Association (CAA)
reports 21 senior house church leaders were recently simultaneously sentenced to a labor camp by the Linyi City Re-education Through Labor Commission. According to CAA, "The leaders were detained on December 7, 2007 when they gathered for leadership training with 249 other leaders in Hedong district, Linyi city, Shandong province. After paying fines and finishing detention ranging from a few days to a few weeks, 249 leaders were released. The 21 most senior leaders were sentenced to three years to one year and three months." The Public Security Bureau has accused and labeled the house church leaders as "evil cult" members. Of the 21 leaders sent to the labor camp, 12 are men and four are women. Pray for these believers and their families during this difficult time. Ask God to protect and encourage them. Pray they will be a good witness of Christ's love to other prisoners and their captors. Psalm 27:1

SRI LANKA Pastor Killed, Wife in Seriously Injured in Attack -
National Christian Evangelical Alliance of Sri LankaOn February 17, Pastor Neil Edirisinghe, of the House Church Foundation, was gunned down by two assailants outside his home in Ampara, Sri Lanka. According to a report by the National Christian Evangelical Alliance of Sri Lanka (NCEASL), "Pastor Edirisinghe was engaged in the Lord's ministry in Ampara for many years. The attackers also shot his wife in the stomach. At last report, she was in the hospital in critical condition. Their two-year-old son who received a minor injury in the attack is also suffering from trauma." NCEASL added the motive for the attacks was believed to be in response to Pastor Edirisinghe's ministry. The Voice of the Martyrs is assisting the family during this difficult time. Pray for peace and comfort for Pastor Edirisinghe's family. Pray for a speedy recovery for his wife and child and for them to rely on the great Comforter, the Holy Spirit. Isaiah 40:31, Psalm 107:2

GAZA YMCA Library Bombed - VOM SourcesOn February 16,
unidentified assailants bombed the library of the Young Men's Christian Association (YMCA) compound in the Shajaiyeh neighborhood of Gaza city. According to VOM sources, shortly after midnight, at least 12 gunmen entered the YMCA compound and kidnapped two guards at gunpoint after asking them why they worked for "infidels." The men stormed the building and detonated two homemade explosive devices inside the library. All 8,000 books in the library were destroyed and the floor, walls and ceiling were damaged. The attackers stole computers and other equipment from other YMCA offices. No one has claimed responsibility for the attack. . However, sources in Gaza reportedly believe that the perpetrators were Muslim militants acting in response to the reproduction of cartoons "ridiculing" Muhammad in a number of Danish newspapers last week. Praise God no one was injured in this attack. Ask God to protect and give wisdom to believers in Gaza. Pray the attackers will come into contact with the grace and love of Jesus Christ. Joshua 1:9

ETHIOPIA Christian Couple Beaten and Chased From Mosque - VOM Sources
On February 10, Muslin Christian converts, Jemmal Abdo and his wife, were beaten and chased out from a mosque where they both worked in the capital city of Addis Ababa. According to The Voice of the Martyrs contacts, "Jemmal and his wife accepted Christ two months ago. Soon after their conversion Jemmal's friend saw him talking with Christians and told the imam of the mosque. Jemmal and his wife were interrogated in the mosque during a meeting called by Muslim leaders in an attempt to persuade the couple to recant their faith. The couple refused to do so, even after the leaders offered them higher positions and salaries if they denied Christ. The couple was beaten and dragged out of the mosque." Jemmal and his wife were able to flee to a new location for safety. Pray for the speedy recovery for Jemmal and his wife, who were injured in the attack. Ask God to strengthen them and provide for them as they stand strong in their new found faith in Jesus Christ. Isaiah 54:17

Je! Ni Sahihi kwa Mkristo Kujihusiha na Mazoezi ya Viungo au Kushiriki Michezo?

Shalom watu wa Mungu!

Kwa sababu ni fani yangu, nimeonelea leo niwashirikishe umuhimu wa mazoezi ya viungo kwa mwili wa binadamu. Naandika haya kwa makusudi kamili nikijua kwamba wengi hasa wa jamii ya waaminio wa ki-Tanzania huona ni kama kupoa kiroho kwa mpendwa kushiriki katika mazoezi ya viungo, kucheza mpira, riadha, kuogelea, na michezo mingineyo inayohusisha mjongeo wa viungo vya mwili (body movements). Biblia inaeleza katika kitabu cha 1Timotheo 4:8 "... Kwa maana kujizoeza kupata nguvu za mwili kwafaa kidogo, lakini utauwa hufaa kwa mambo yote..." Huo mstari unaweka bayana kwamba mazoezi yanafaa japo ni kwa kiwango fulani-HAUKATAZI mazoezi ya mwili.Kwa kuonesha kwamba mazoezi ni muhimu na hata wakati fulani kushiriki kwenye mashindano ya michezo, Paul anasisitiza kwa kutolea mfano 1 Wakorintho 9:24-27 "... Je! Hamjui ya kuwa wale washindanao kwa kupiga mbio, hupiga mbio wote, lakini apokeaye tuzo ni mmoja?..." Na kila ashindanaye katika michezo hujizuia katika yote ........" Paul anajiringanisha kama mwanariadha mahali hapo." Anaonesha pia kwamba katika michezo zipo sheria zake na kanuni za kufuata ili kuweza kufikia lengo (2 Timothy 2:5). Kana kwamba haitoshi, Paul anaonesha pia hata michezo ya kukabiliana ana kwa ana (combat sports) kwamba nae yupo katika kupiga ngumi na si kama apigaye hewa (2 Timothy 4:7).


Kwa vielelezo hivyo ni dhahiri kabisa hakuna dhambi ndani yake kwa mtu wa Mungu kushiriki kwenye michezo au mazoezi ya mwili cha msingi ni kuwa na dhamiri na nia njema ya kwa nini unafanya hivyo. Ni agizo la Mungu kwamba hekalu lake litunzwe hii sio kiroho tu hata katika utu wa nje ni muhimu pia (1 Corinthians 6:19-20). Efeso 5:29 - yazungumzia juu ya matunzo ya mwili, pia Biblia inakataza ulafi naam hata inafikia hatua ya kusema ujitie kisu kooni kama wewe ni mlafi Mithali 23:2, kuwa makini hapa!!! Kwa ujumla twaweza sema biblia inakazia juu ya suala la mtu kuitunza afya ya mwili wake.


Kwa mtazamo huo hapo juu, nikirejea kwenye umuhimu wa michezo au mazoezi ya mwili, ziko faida lukuki ndani yake. Tafiti nyingi zimefanyika na karibu zote zinaonesha mtazamo chanya juu ya umuhimu wa michezo na mazoezi kwa mwili wa mwanadamu. Michezo au mazoezi ya mwili yana faida zifuatazo:


1. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na magonja ya moyo na kifo kutokana na magonja hayo.

2. Hupunguza uwezekano wa kupata shinikizo la damu

3. Hupunguza mafuta yaliyo hatari kwa mwili wako katika damu (blood cholesterol and triglycerides) na kuachilia yale yaliyo salama tu (HDL - or good cholesterol).

4. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na mgandamizo mkubwa wa damu (HBP) na kushusha kwa wale walio nao tayari (hypertension)

5. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na ugonjwa wa kisukari (Diabetes mellitus type 2DM)

6. Inapunguza uwezekano wa kupata kansa ya utumbo mpana

7. Husaidia katika kufikia na kutunza kiwango cha uzito maridhawa wa mwili.

8. Hupunguza hisia za mtindio wa mawazo na tashwishwi

9. Huimarisha hali njema ya kisaikolojia na kupunguza hisia za msongo

10. Hujenga na kuimarisha mifupa, viungo na misuli za mwili

11. Hupunguza na ama kuondoa tatizo la unene (Obesity)

12. Kwa wazee huwafanya kuwa imara na uwezo wa kudhibiti miili yao kutokana na kuanguka au kuchoka kwa haraka.


Kwa faida hizo na nyingine nyingi ambazo sijazitaja upo uwezekano kabisa wa mtu wa Mungu kuongeza siku zako za kuishi hapa duniani ambayo kwa hakika ni ahadi ya Mungu, na hakuwa mjinga anaposema "...siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na bwana Mungu wako..." (Kutoka 20:12). Wengi wetu kwa kutokushiriki katika mazoezi japo kidogo tumeiharibu miili yetu na kuwa na vitambi visivyokuwa na sababu na miili ambayo ni goigoi ambayo hata imekua kizingiti kwa kazi ya Mungu. Ni kweli yapo magonjwa lakini si yote ni shetani, mengine ni uzembe wetu tu wenyewe (Hosea 4:6).


Kanisa ambalo kimsingi ni eneo la kuwajenga watu kiimani na kuwasogeza kwa Mungu limesahau na kuiweka nyuma habari ya mafundisho ya mazoezi ya miili kwa washirika wake. Eneo hili likitumika vema, laweza hata kuwa ni eneo la injili ya kuwaleta watu kwa Yesu! Fikiria umeanzisha timu ya mpira iko daraja la kwanza, na slogan au moto wenu unakuwa Yesu Ni Mwokozi kila muingiapo uwanjani, unafikiri ni watu wangapi watakuwa wamefikiwa na ujumbe huu kwa msimu mmoja tu wa ligi? au kanisa likiwa na ukumbi wa kufanyia mazoezi Gymn au likianzisha aerobic fitness centre ni watu wangapi watakuwa wakihudumiwa hapo kwa mazoezi hayo na pia kuipata injili kwani hazitapigwa nyimbo za duniani bali ni nyimbo za kumtukuza Yesu na hata ikibidi kabla na baada ya mazoezi mwaweza weka utaratibu wa kuwa na maombi. Yote haya ni katika kuujenga mwili na ufalme wa Mungu! Yatosha kwa leo!!!!!


Mbarikiwe na Yesu!

Chalukulu John Bilinzozi, Norwegian School Of Sport Science And Physical Education - Oslo, Norway. E-mail: chalu.john@gmail.com

Wednesday, February 27, 2008

ILIWEZEKANAJE YONA KUKAA TUMBONI MWA SAMAKI KWA SIKU TATU?


Yawezekana kabisa ukawa una maswali mengi juu ya uwezekano kwamba Yona yule aliyetumwa kuhubiri Ninawi aliweza wezaje kukaa ndani ya tumbo la samaki pasipo kumeng’enywa kama vyakula vingine kwa siku tatu? Wanasayansi wanajaribu kufafanua namna ambavyo jambo hilo linawezekana na hivyo kuthibitisha kwamba Mungu wetu yu hai na anaweza kufanya mambo makubwa na ya ajabu.

Ukiaacha ya Yona zipo hadithi nyingi za watu waliomezwa na nyangumi na kisha kutoka wakiwa hai. Hizi sio hadithi za yule nondo mla watu wa ziwa Jipe bali ni kweli. Samaki mkubwa aitwaye "Sea Dog" (Carcharodon carcharias), anayepatikana kwenye maji ya bahari yenye mkondo joto huweza fikia urefu wa futi 40. Kunako miaka ya 1758 mvuvi mmoja bahari ya Mediterania aliwahi kuangukia baharini na kumezwa na samaki wa aina hii. Nahodha wa meli hiyo aliamuru bomu lipigwe kumlenga yule samaki. Matokeo yake ni kwamba yule samaki alimtapika mvuvi akiwa hai pasipo madhara yeyote. Maka 1891, James Bartley- mvuvi mwingine nae alimezwa na nyangumi katika visiwa vya Falkland na alikaa ndani ya nyangumi huyo kwa zaidi ya masaa 48 mpaka samaki huyo alipovuliwa na kupasuliwa. Ilimchukua wiki mbili kuweza kurejea katika hali yake ya kawaida lakini alipona. Wako watu wengi tu ambao wanatajwa kumezwa na kisha kutapikwa na nyangumi wakiwa hai.

Wataalamu wa mambo ya kale wanaandika kwamba Babeli ilikuwa na utamaduni wa kuamini Samaki Mtu (Nguva). Wanasema kunako mwanzoni mwa ustaarabu (civilization) Ukaldayo na Babeli uliamini sana maongozi ya mtu ambaye alikuwa nusu mtu nusu samaki aliyetoka majini. Katika siku za Yona, Ninawi nayo pia ilikuwa katika mfumo huo wa kiimani na waliamini katika roho iliyoleta ujumbe kupitia mtu aliyetokea/kuibuka kutoka majini/baharini kama nusu mtu, nusu samaki. Kwa maana hiyo basi hatushangai kuona hata ujumbe wa Yona ulipata kukubaliwa kwa haraka sana na watu wa Ninawi hata kutubu na kuziacha dhambi zao, na pia twasoma katika biblia kwamba Mungu aliusamehe mji wa Ninawi.

Tunaposoma leo katika biblia juu ya habari za Ninawi ni kama hadithi lakini ni mji uliokuwapo na wanasayani wanathibisha masalia yake kama yalivyochimbuliwa huko Babeli yajulikanayo kama "Neby Yunas," . Katika masalia hayo kuna kumbukumbu za jina la YONA (Yunas) jambo linalothibitisha hadithi hiyo ya Yona na pia waliweza kugundua masalia yaliyoharibika ya kasri ya mfalme wa Ninawi.

Imefasiriwa na kufupishwa na:
Chalukulu John Bilinzozi – Oslo
E-mail: chalu.john@gmail.com
(This is not official translated version, the english version remains authentic) -
http://www.grmi.org/renewal/Richard_Riss/evidences/8jonah.html

Kwa ufahamu zaidi juu ya habari za Yona soma kitabu cha Yona katika biblia – Agano la Kale.

Sunday, February 24, 2008

EAGT wafukuza wachungaji 32

Week hii kuna habari kuwa kanisa la Evengelist Assemblisies of God (EAGT) jimbo la kaskazini limewafukuza wachungaji wake 32 kwa kutotii maamuzi ya uongozi wa kanisa hilo ya kuwataka wachungaji wake wote kwenda Bible school wakasomee uchungaji.
Akizingumza kwa masikitiko makubwa mmoja wa wachungaji hao 32 waliofukuzwa kazi hiyo ya kulisha kondoo alisema kuwa anashangaa kuwa baada ya kulitumikia kanisa hilo kwa muda mrefu na kuisimamisha kazi ya Mungu kwa taabu na shida nyingi tangia kipindi cha migororo ya kanisa hilo na TAG, hivi sasa wao wanaonekana hawafai kumtumikia Mungu kwa sababu hawana elimu ya Bible school.
Kanisa la TAG(Tanzania Assembilies of God) lilikuwa na mgogoro wa muda mrefu tangia mwanzoni mwa miaka ya 80 hadi 90 katikati.
Kuanzia kipindi hicho kanisa la EAGT limekuwa likiwatumia wachungaji ambao hawajaenda Bible school huku likionyesha mafanikio makubwa sana kwa kuwa miongoni mwa makanisa yanayokuwa kwa kasi sana.
Hata hivyo uongozi wa juu wa kanisa la EAGT nchini umekuwa ukiwataka wachungaji wake waote wasioenda Bible school wahakikishe wanapata elimu hiyo ya Biblia na kutoa taarifa kuwa wasiokubali uamuzi huo watalazimika wataondolewa kwenye nafasi zao za uchungaji.

Wednesday, February 20, 2008

New World Order (N.W.O)

The financial world is becoming "One". Money (paper currency and coin) is slowly beginning to disappear. What is replacing it is digitized money that will be accepted worldwide. Currency can be automatically "exchanged" in the microchip embedded in your smart card. With your smart money you will be able to pay for everything from a Slurpee to library fines. You will pay your bills (they're never going anywhere!) by transferring funds through your on-line banking. When all of your money is computerized in "the system" (and it will be), Anti-Christ will control it and you. What good will money be hidden under your mattress or in a coffee can in the back yard if no one will take it anymore in its current form? Smart technology will centralize and consolidate everything. For your convenience of course!

mwisho wa yote tutakuwa na kila kitu “smart”.mfano kwa sasa hivi inawezekana kabisa kununua gari from Japan bila kutoka kwenda popote,unaletewa hadi mlangoni.Hivi sasa tuna daftari la kupiga kura ambayo ni database inayoweza kutumia biometry for authentication.Passport za Tanzania kwa sasa zimewekewa special electronics chip ambayo inaweza kusomwa na computer.niseme nini juu ya tembo card ya crdb, posta nao wamezindua uhuru card last week.na kuna project nyingi zinaendelea za kuglobalize hizi atm card zinazofanywa na mabenk mengi sana duniani na hapa nchini.

This will bring the world into the new world order (N.W.O)

New World Order (N.W.O):
"And he causes all, both great and small, rich and poor, free and bond, to receive a mark in their right hand, or in their foreheads: And no man might buy or sell, save he that had the mark" (Rev.13:16-1...and the Bible tells us that he who receives the "mark" will go to Hell (Rev.14:9-11).
The goals of the "Anti-Christ" is "to control" everything: Religion, jobs, economics, politics, education, government, police, military, banks, communications, entertainment... to have a "cashless society" controlled by the Antichrist...
... And all of this at a local level, but aiming at a "New World Order" to control a universal monetary system, a universal government, and a unified religion under the Antichrist.
Freemasonry actually aims to these goals: We have commented mostly the "religious aspect" of Freemasonry... but its goals are much wider, aiming, like any Union, to the betterment of the whole life of the member... and, as modern speculative Freemasonry, "to control" jobs, economics, politics, education, government, police, military, banks, communications, entertainment... to have a "cahsless society" controlled by the government...
... And all of this at a local level, but aiming at a "New World Order" to control a universal monetary system, a universal government, and a unified religion under the doctrines of Masonry.
These goals reminds us the "Anti-Christ" of the Bible: "They worshiped the beast... there was given unto him a mouth speaking great things and blasphemies... and he causes all, both great and small, rich and poor, free and bond, to receive a mark in their right hand, or in their foreheads: And no man might buy or sell, save he that had the mark" (Rev.13:4-5, 16-17)... and the Bible tells us that he who receives the "mark" will go to Hell (Rev.14:9-11).

- Today's technology is controlling the movements of millions of animals using microchips the size of 1/20 of a rice grain, implanted in the skin with a small needle, holding information equivalent to 20,000 pages: Canada has approved it for cattle. The European Community requires all livestock be implanted with micro chips. In Colorado Springs and other cities of America micro chips are replacing dog and cat tags.
- In a world where cash is eliminated and every financial transaction is done electronically, not only the credit cards can be used, but also your micro chip number, retinal readers, voice recognition systems, signature dynamics...
- Freemasonry is in decay today, but it may be one of the agents to do all of this for 42 months... it is coming!, warns us the Bible... but Christ is more powerful than 1,000 Anti-Christs!... don't you ever get the "mark" of the beast... with Jesus in your heart you have to be afraid of nothing, even the cashless society will keep on making you free and happy on earth, and you will eventually end up in eternal Heaven.
So there is great possibility that the anti-christ will use this new technology of smart card and micro chip electronics to make his mark(the Mark of the Beast) which is 666 (asomaye na afahamu).
And he causes all, both great and small, rich and poor, free and bond, to receive a mark in their right hand, or in their foreheads: And no man might buy or sell, save he that had the mark" (Rev.13:16- ).
I don’t mean that you should stop using your bank card(ATM card) since I myself am an expert in this online operations thru internet which is used much with this new technology(i.e. e-commerce, e-banking,e-business,e-government,e-election,e-hospital, etc) but use them with this knowledge that we are approaching the rapture more that we think.
May GOD bless u as u read this article and give it to somebody who can convey this message..!

Friday, February 15, 2008

Waislam waandamana kupinga ziara ya George Bush


Waislam mjini Dar es Salaam leo wameandamana kupinga ujio wa ziara ya kiserikali ya rais wa Marekani George W. Bush.

Maandamano hayo yalianzia baada ya swala ya ijumaa mchana huu na kupitia barabara za bibi titi, ali hassan mwinyi na morogoro hadi viwanja vya jangwani.


Ninapenda kuwaahidi wadau wote wa Sayuni kuwa nitakuwa nawaletea Neno la Mungu kwenye Uwanja huu kadiri ya Neema za Mungu juu yangu.Mbarikiwe.

Thursday, February 14, 2008

Obama Says He's Christian, Not Muslim

Democratic presidential candidate Barack Obama is stepping up his effort to correct the misconception that he's a Muslim.
Obama tried to set the record straight at a rally to kick off a weeklong campaign for the South Carolina primary coming up on Saturday.
Obama says he's been going to the same Christian church for almost 20 years. He says he was sworn into office using the family Bible. He says he repeats the pledge of allegiance to the United States flag in the Senate.
Obama is referring to a chain e-mail that suggests he's hiding his Islamic roots and may be a terrorist. It says he was sworn into the Senate on the Quran and turns his back on the flag during the pledge.
Obama's campaign blanketed South Carolina churches yesterday with literature that touted Obama's Christian faith.
On Sunday, Obama spoke at the Atlanta church where Martin Luther King Junior launched the civil rights movement, Democratic presidential hopeful Barack Obama today called for unity to overcome America's "moral deficit."
In a visit steeped in symbolism -- coming a day before the King holiday -- Obama evoked the civil rights leader's legacy to a packed house of 2,000 mostly black worshippers.
Obama also used the pulpit at the Ebenezer Baptist Church to take blacks to task for failing to embrace gays, immigrants and Jews.
The congregation rose to its feet as Obama harkened back to the civil rights struggle that he said had made his campaign possible.
The Illinois senator offered what has become a familiar campaign message centering on hope. And he drew raucous applause as he referred to his own modest upbringing.
Obama said South Carolina's primary will be absolutely critical to his campaign.
In a radio interview with the Reverend Jesse Jackson, the Illinois senator was quick to point out that he won the majority of Nevada's Democratic delegates. Senator Hillary Rodham Clinton edged him out in the popular vote in Nevada's caucuses.
Obama said immigration, education and the economy will be important issues in South Carolina. The Democratic primary here is Saturday.

Tuesday, February 12, 2008

JK atangaza baraza jipya la mawaziri

KABLA HAJATANGAZA JK KASEMA VIONGOZI WA MUDA MREFU WAMEOMBA KUPUMZIKA AMBAO NI:
1. JOSEPH MUNGAI
2. KINGUNGE NGOMBALE MWIRUBARAZA LENYEWE NI:
1. OFISI YA RAIS (UTAWALA BORA SOFIA) SIMBA
2.OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI YA UMMA) HAWA GHASIA
3. SHUGHULI ZA MUUNGANO MOHAMED SEIF KHATIB
4. UTALII NA MAZINGIRA DK. BATILDA BURIANI
5. WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS (SERA NA URATIBU WA BUNGE) PHILIP MARMO
6. WIZARA YA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA STEVEN WASIRA
7. WIZARA YA FEDHA MH. MKURO NA MANAIBU NI JEREMIH SUMARI NA OMARI YUSUF MZEE
8. WIZARA YA AFYA PROFESA DAVID MWAKYUSA NAIBU NI AISHA KIGODA
9. WIZARA YA ARDHI JOHN CHILIGATI10. ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI PROFESA JUMANNE MAGHEMBE NAIBU GAUDENSIA KABKA
11. SAYANSI SHUKURU KAWAMBA NAIBU NI DK. MAUA DAFTRI
12. MIUNDO MBINU ANDREW CHENGE NA DK. MAKONGORE MAHANGA
14. UTAMADUNI NA MICHEZO GEORGE MKUCHIKA NAIBU JOEL BENDERA
15. KAZI NA AJIRA POFESA JUMA KAPUYA NA HEZEKIEA CHIBULUNJE
16. WIZARA YA MAJI PROFESA MARK MWANDOSYA NAIBU CHIZA17. WIZARA YA KILIMO NA CHAKULA MATHAYO DAVID MATHAYO
18. WIZARA YA MENDELO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MARGARETH SITTA NAIBU NI MAMA NKYA
19. WIZARA YA UVUVI NA MIFUGO POMBE MAGHUFULI NA MANAIBU NI SHASMSA MWANGUGA NA EZEKIEL MAIGE
20. WIZARA YA MAMBO YA NDANI MH. MASHA NAIBU NI HAMISI KAGASHEKI
21. WIZARA YA MAMBO YA NJE MEMBE NAIBU SEIF ALI IDDI22. WILLIAM NGELEJA NAIBU ADAM MALIMA
23. WIZARA YA SHERIA MH. CHIKAWE
24. ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA DK. HUSSEIN MWINYI NA NCHINI
25. WIZARA YA AFRIKA MASHARIKI DK. E. KAMALA
26. WIZARA YA BISHARA DK. MARY NAGU NAIBU CYRIL CHAMI

Monday, February 11, 2008

Mchungaji Getrude Rwakatare akabidhi kanisa TAG?

Habari zilizotufikia zinasema kuwa mch. Getrude Rwakatare amemwandikia barua askofu mkuu wa TAG , Mwenisongole kumjulisha nia yake ya kulikabidhi kanisa hilo kwa TAG kwa kipindi chote ambacho yeye atakuwa mbunge ila kwa sharti kwamba atampendekeza yeye mchungaji atakaye simamia kanisa kwa kipindi hicho chote.
Katiba ya TAG hairuhusu mchungaji yeyote kuwa mwanasiasa hali inayoonekana kuwa ngumu kwa Mch. Rwakatare.

Hata hivyo Jumapili iliyopita Mch. Rwakatare amekaririwa akikanusha vikali habari hizi kuwa amelikabidhi kanisa kwa TAG wakati akihubiri katika ibada ya kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa mbunge iliyofanyika kanisani hapo mikocheni "B" Assemblies of God.

Baadhi wa washirika wa kanisa hilo wamesema kuwa kuna mgawanyiko umeanza kujitokeza miongoni mwa washirika na baraza la wazee hasa kwa wale wanaounga mkono uamuzi wake wa kujiingiza katika siasa na wale wanaompinga.

Sayuni blog itawaletea habari zaidi kadri tutakavyopata habari kutoka katika vyanzo vyetu.

Mizengo Pinda : Waziri mkuu mpya wa Tanzania

Rais Jakaya Kikwete amemtea na kumwapisha mh. Mizengo Pinda kuwa waziri mkuu jumamosi hii kuchukua nafasi ya Edward Lowasa aliyejiuzulu kutokana na kashfa ya Richmond maarufu kwa jina la "richmoduli".

Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Waziri mkuu mpya wa Tanzania mh. Mizengo Pinda aliyeshikilia Biblia Takatifu akila kiapo.
Leo hii rais Kikwete anatarajiwa kutangaza baraza jipya la mawaziri baada ya kulivunja baraza lote lilikuwa chini ya waziri mkuu wa zamani Lowasa.


Waziri mkuu mh. Mizengo Pinda akikumbatiana na Waziri mkuu aliyejiuzulu mh. Edward Lowasa

Friday, February 8, 2008

Kikwete avunja baraza lote la mawaziri

President Jakaya Kikwete has accepted resignation of Prime Minister Edward Lowassa tendered yesterday morning, and has dissolved the cabinet, according to a press statement issued by State House last night from Dodoma.
State House sources said that the President is expected to announce a new cabinet anytime from now.
Political observers are considering front runners for the post of the Prime Minister the current Foreign Minister, Mr Bernard Membe, and the Minister for Local Governments, Mizengo Pinda.
However, they did not rule out President Kikwete picking completely an outsider to oversee the government's affairs

Karamagi na Msabaha nao waachia ngazi







Ibrahim Msabaha








Naziri Karamagi




















Edward Lowasa


Waziri wa nishati na madini ndg Naziri Karamagi na waziri wa uhusiano wa east africa wametangaza kujiuzulu jana jioni wakiungana na uamuzi wa waziri mkuu Edward Lowasa.




Wabunge wengi wa upinzani na CCM wameonyesha kuguswa sana hali ya ufisadi uliojitokeza katika serikali yetu.

Umuhimu wa Mch. Rwakatare waanza kuonekana bungeni

Ile dhana kuwa siasa na dini haviwezi kuchangamana imeanza kuonekana kukosa msingi baada ya suala la richmond na kutuhumiwa kwa waziri mkuu E. Lowasa,waziri wa nishati na madini N. Karamagi na waziri wa east africa I. Msabaha kuingiza hisia za watu kumcha Mungu kwa kiwango kikubwa.Nadhani jana tarehe 7/2/2008 ni siku pekee ambayo Mungu na watu kumwofu Mungu kumetajwa sana bungeni kuliko siku yeyote.
Watu wengi wameanza kuona umuhimu wa mch. Rwakatare bungeni.

Shime watu wa Mungu tunahitaji wacha Mungu wengi sana waingie bungeni ili kuondoa kila aina ya ufisadi katika nchi yetu.

Thursday, February 7, 2008

Waziri mkuu Edward Lowasa atangaza kujiuzulu


Waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowasa ametangaza kujiuzulu asubuhi hii bungeni huko Dodoma.
Hata hivyo speaker wa bunge Samweli Sitta ameharisha kikao cha bunge hadi leo jioni saa 11, tutawapa habari kamili kadri zitakavyotujia.
Naomba kutoa ombi kwa watanzania wote tumwombee Dr. Harison Mwakyembe.

Friday, February 1, 2008

Pentecost bishop murder his pastor?

Police probe into murder of Mwanza clergyman
Mwanza Police in Mwanza Region have launched an investigation against a bishop (name withheld), in connection with the brutal murder of pastor Claude Clevance Ishengoma of Highway Holiness Church at Igoma suburb in the lake side city last Saturday. The bishop who runs a church for born-again Christians is believed to have hired hit men to finish off pastor Ishengoma after they were embroiled in a feud. "We are investigating the bishop along with other suspects following tips-offs from various sources," Mwanza regional police commander Zelothe Stephen said yesterday. He said: "Some people believe that a clergyman in the church had contracted the assailants while others say the two men of the cloth were indulged in a quarrel over their lover they shared. We are investigating the matter." The commander said police are interrogating seven other suspects over the murder of the pastor. Two of the suspects are reported to have been found in possession of a laptop and two wireless microphones belonging to the murdered pastor. The two were arrested at an Internet caf頡t the city centre while testing the laptop. On November 23 at 8.30p.m, unidentified assailants stormed into pastor Ishengoma's residence and hacked him to death.
Source The Citizen.