Thursday, July 16, 2009

DIGITALBRAIN NA SOMO LA UBONGO


**Je, Unajua jinsi ubongo wako unavyofanya kazi?

**Unafahamu kwamba 75% ya ubongo wako ni maji? kwa hiyo mtu akikuita kichwa maji hajakosea?

**Unafahamu jinsi ya kuutumia ubongo wako kwa mafanikio ?

**Unajua kuwa wewe upo hivyo ulivyo kwa sababu ya matumizi ya ubongo wako wewe mwenyewe kwa hiyo huna wa kumlaumu?

**Wewe ni matokeo ya mawazo yako na matumizi ya ubongo wako..


Fuatana na wataalam wa Digitalbrain katika mfululizo wa vipindi vyao radio WAPO FM 98.0 kupitia kataka website yao http://www.digitalbraintz.com/ na ujifunze kwa undani zaidi kutoka kwa Mtaalamu na Ujasiliamali Mr. Mbutho Chibwaye.

Waweza pia kupata cd za mafundisho yake kwa kuwasiliana naye kwa simu namba + 255 713 427857. au kwa email: mbutho@digitalbraintz.com

No comments: