Tuesday, July 21, 2009

Kadhi ni nani?

Ndg mpendwa.

Wakristo tunayo HAKI ya kushiriki kyk kutazama mahakama ya kadhi kabla ya kuiruhusu/kukubali itumike ktk kutoa hukumu hapa nchini Tanzania.
Hii ni kwa sababu itakapoanza kutoa hukumu hapa nchini haitakuwa juu ya waislamu tu bali hata kwa wengine kwa sababu za kizazi.Hii ni kwa maana wapo wapo wakristo waliooa na kuzaa na waislamu pia wapo waislamu waliooa na kuzaa na wakristo hivyo hukumu kupitia vitabu vya dini ya kiislamu haigusi waislamu tu bali hat jamii ya wakristo.
Ni vema tuanze kwa kumtazama huyu mtu aitwae KADHI je ni nani na anabeba sifa zipi ili tuwe huru kumpa madaraka ya kuhukumu.
BIBLIA;LUKA 18;2-6
(Akasema palikuwa na KADHI katika mji fulani hamchi Mungu wala hajali watu.Na katika mji huo palikuwa na mwanamke mjane aliyekuwa akimwendea endea akisema.Nipatie HAKI na adui wangu Nae kwa muda alikataahalafu akasema japokuwa simchi Mungu wala sijali watu lakini kwa kuwa mjane huyu ananiudhi nitampatia haki yake asije akanichosha kwa kunijiadaima.Bwana akasema sikilizeni anayosema yule KADHI dhalimu).
Katika neno hilo tunazipata sifa kuu nne za KADHI nazo ni


1HAMCHI MUNGU.
2.HAJALI WATU.
3HUTOA HAKI PALE ANAPOSUMBULIWA.
4.NI DHALIMU.

Ikiwa kama ameshindwa kumpa HAKI yake mjane ambaye ana HAKI YA KUSAIDIWA, Je ataweza kutoa HAKI ya HUKUMU ya KWELI hapa TANZANIA?

HAPANA KWA SABABU HANA SIFA ZINAZOSTAHILI.

swala jingine la kujifunza ni kuwa waislamu wanalalamika kuwa serikali imewanyima HAKI YA KUABUDU(majira 7/7/2009. je ni haki gani hiyo ya kuabudu wakati kila siku tunasikia AZANA misikitini nao huenda huko kuabudu?
Moja ya mikakati ya serikali yetu hapa tanzania katika kulinda amani na utulivu imetoa UHURU WA KUABUDU KWA WATU WOTE kama ilivyo kwa watu wote je ni uhuru gani wa kuabudu waislamu wamenyimwa?

Ikiwa kama kweli wamenyimwa basi wasiende misikitini lakini ikiwa hawajanyimwa basi watubu kwa watanzania kwa kusema uongo.ikifuatiwa na BAKWATA kutengua kauli hiyo katika gazeti la majira 7/7/2009.



Vilevile waislamu huko UK nao wanalalamika kwa kunyimwa haki(Daily News july 15,2009 pg 25.je unajifunza nini katika hili???


Yafaa kutambua kuwa tuko kwenye nyakati za KUNG'ANG'ANIA ULICHO NACHO KWA KUKISHIKIRIA SANA ILI ASIJE MWOVU ..........................
Mkristo yafaa kutembea huku TAA ikiwaka ili kutazama hatua tunazopita kama tunakanyaga mahali sahihi au la.
Hivyo kwawakristo wote wanaoiamini BIBLIA hapa duniani yafaa kufahamu kuwa KRISTO NI MWISHO WA SHERIA.
RUMI 10;1-4
(Ndugu zangu nitakayo sana moyoni mwangu na dua yangu nimuombayo Mungu ni kwa ajili yao ili waokolewe.Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudikwa ajili ya Mungu lakini si katika MAARIFA.Kwa maana wakiwa hawaijui haki ya Mungu na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe hawakujitia chini ya haki ya Mungu.Kwa maana KRISTO NI MWWA SHERIA ili kila aaminie ahesabiwe HAKI.

NA BARAKA ZA MUNGU MWENYEZI,ZA BABA,ZA MWANA NA ZA ROHO MTAKATIFU ZAWASHUKIE NA KUKAA NANYI DAIMA.
AMEN.


Charles Kabaka

Thursday, July 16, 2009

MBUNGE wa kuteuliwa na mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombale Mwiru ameushambulia waraka wa kichungaji uliotolewa na Kanisa Katoliki nchini, unaoelekeza namna ya kupata kiongozi anayefaa kuchaguliwa katika Uchaguzi Mkuu ujao adai kuwa utaligawa Taifa.
Kingunge alitoa kauli hiyo alipokuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo, ambayo iliwasilishwa na George Mkuchika bungeni mjini Dodoma jana.
Hata hivyo, Kanisa Katoliki kupitia Baraza lake la Maaskofu (TEC), limekuwa na utamaduni wa kutoa mwongozo kama huo wakati Taifa linapoelekea Uchaguzi Mkuu, huku kumbukumbu zikionyesha kuwa pia lilifanya hivyo mwaka 2005.
Katika kikao hicho cha jana kilichokuwa chini ya Mbunge wa Peramiho, Jenister Mhagama aliyekuwa mwenyekiti, Kingunge alizungumza kwa msistizo huku akiwataka wabunge wamsikilize kwa makini na kutahadharisha kwamba asinukuliwe vibaya.
``Na sasa nimalize, nina jambo moja kubwa, naomba mnisikilize kwa makini, lakini msininukuu vibaya. Kanisa Katoliki, viongozi wake rafiki zangu, wale wa juu nawafahamu sana, Kanisa hilo limetoa mwongozo kuelekeza anayefaa kuchaguliwa katika uchaguzi ujao.
“Mimi nikautafuta na kuusoma. Sasa hili Kanisa Katoliki linatoa mwongozo wa kuchagua kiongozi wa kisiasa, kwa maana hiyo huu ni mwongozo wa Wakatoliki. Si utakuwa mwongozo wa Wakatoliki pekee?” alisema Kingunge akihoji.
Aliendelea kusema: “Kwa hiyo KKKT (Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania) nao watoe mwongozo kwa sababu wao hawaongozwi na Kanisa Katoliki, ni Wakristo ndiyo, lakini mantiki tu. KKKT wakitoa, Pentekoste watatoa wakwao na Anglikana bado, nao watatoa wakwao, Waislamu bado na wao watoe wa kwao.”
Kingunge ambaye ni mmoja wa wabunge wa muda mrefu ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu enzi za Mwalimu Nyerere Rais wa Kwanza wa Tanzania aliongeza kuwa anazungumza hayo kwa kuzingatia mantiki ya mwongozo huo.
“Ni mantiki tu, nasema kwa heshima zote nawaomba viongozi wa Kanisa Katoliki, nawapenda sana, nawaomba warudishe ule mwongozo wao, sisi tunataka nchi moja na tuishi pamoja kwa kushikamana, hatutaki kugawanyika kama Lebanon,” alisema Kingunge bila kufafanua zaidi kuwa waurudishe wapi na kwa vipi.
Kauli hiyo ya Kingunge imetolewa wakati waraka huo wa Kanisa Katoliki umezua mjadala miongoni mwa watu wa kada mbalimbali, huku baadhi wakilishutumu kanisa hilo wakidai kuwa linaingilia masuala ya kisiasa.
Hata hivyo, juma lililopita Askofu Msaidizi wa Kanisa hilo Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Methodius Kilaini alisema mafisadi wanauhofia mwongozo huo.
Kwa mujibu wa Kilaini mwongozo huo unaweka vipaumbele vya nchi katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, ndiyo maana wanaupinga.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya misa ya upadrisho iliyofanyika Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph jimboni humo, Kilaini alisema mwongozo huo ulianza kutumika tangu uchaguzi wa mwaka 1995 na kusisitiza kuwa kwa mwaka huu watu wengi wameshtuka kutokana na kugusa masuala ya ufisadi.
Kanisa hilo lilitoa vitabu viwili vya mwongozi na vipaumbele vya nchi kabla ya kuuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2010, mwongozo ambao umekumbana na vipingamizi kutoka kwa baadhi ya wanasiasa kwa madai kuwa dini inaingilia mambo ya siasa.
“Kwanza napenda watu waelewe kuwa mwongozo hauna lolote kuhusu dini kama watu wanavyodhani, kwa sasa jamii imeshituka kuhusu vitendo vya rushwa na ndiyo sababu baadhi ya wanasiasa wanapinga muongozo huo kwa kuwa unalenga kuwafungua watu macho na kukemea vitendo vya ufisadi,” alisema Kilaini na kuongeza.
“Ninachowataka wanasiasa wote washiriki kupiga vita ufisadi. Asiyetaka kupigana na ufisadi tusimchague na ndivyo mwongozo huo unavyosema,” alisema.
Alifafanua kuwa mwongozo huo unazungumzia juu ya serikali na msimamo wake na wala si kumchangua mtu fulani wala chama fulani kwa ajili ya kumpa uongozi.
“Watu wausome mwongozo huo kwa moyo mweupe na ninaamini wataufurahia, utakuza ufahamu juu ya masuala ya kidemokrasia,” alisema Kilaini.
Awali Mbunge wa Kigoma Kusini, Manju Msambya alishutumu mwongozo huo aliouita kuwa ni "Waraka wa Kiaskofu" wakati akichangia hotuba ya makadirio na matumizi ya Wizara ya Sheria na Katiba, akisema unawafundisha waumini wake kuhusu namna ya kuchagua viongozi kwa imani zao na kuonya kuwa nchi inaweza kuingia kwenye vurugu.
Msambya ambaye hakutaja moja kwa moja dhehebu la dini lililotoa waraka huo, alisema unapingana na kanuni inayosema watu wasichanganye dini na siasa.
Lakini Askofu Kilaini alisema mwongozo huo haukutungwa na maaskofu wala mapadri wa Kanisa hilo na kufafanua kuwa umetungwa na Chama cha Wataalam wa Kanisa Katoliki (CPT) na kwamba wao waliupa baraka zote baada ya kuusoma na kuona unafaa.

Source: Mwananchi

DIGITALBRAIN NA SOMO LA UBONGO


**Je, Unajua jinsi ubongo wako unavyofanya kazi?

**Unafahamu kwamba 75% ya ubongo wako ni maji? kwa hiyo mtu akikuita kichwa maji hajakosea?

**Unafahamu jinsi ya kuutumia ubongo wako kwa mafanikio ?

**Unajua kuwa wewe upo hivyo ulivyo kwa sababu ya matumizi ya ubongo wako wewe mwenyewe kwa hiyo huna wa kumlaumu?

**Wewe ni matokeo ya mawazo yako na matumizi ya ubongo wako..


Fuatana na wataalam wa Digitalbrain katika mfululizo wa vipindi vyao radio WAPO FM 98.0 kupitia kataka website yao http://www.digitalbraintz.com/ na ujifunze kwa undani zaidi kutoka kwa Mtaalamu na Ujasiliamali Mr. Mbutho Chibwaye.

Waweza pia kupata cd za mafundisho yake kwa kuwasiliana naye kwa simu namba + 255 713 427857. au kwa email: mbutho@digitalbraintz.com

Wednesday, July 8, 2009

Mufti Simba asisitiza mchakato wa Mahakama ya Kadhi bado unaendelea

SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban bin Simba amesema kuwa hoja ya Mahakama ya Kadhi haijazikwa bali itaendelea kujadiliwa na serikali kwa msaada wa masheikh.
Mufti Simba ametoa kauli hiyo baada ya serikali kutangaza Juni 30 kuwa haitaunda Mahakama ya Kadhi na badala yake itatafsiri sheria za Kiislamu na kuzijumuisha kwenye sheria za nchi ili zitumike kwenye mahakama za kawaida.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) jijini Dar es Salaam jana, Mufti Simba alisema walikutana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam William Lukuvi juzi usiku na kukubaliana baadhi ya mambo ambayo yataharakisha kuundwa kwa mahakama hiyo.
“Tumekubaliana kwamba hoja ya Mahakama ya Kadhi haijazikwa, ila serikali inahitaji msaada wa masheikh katika suala hilo na sisi tumekubali kutoa msaada huo,” alisema Mufti.
"Hivyo jopo la masheikh litaundwa na serikali itaunda jopo lake la wataalamu halafu tutakutana, ili kuratibu mfumo ambao utatumika katika Mahakama ya Kadhi nchini.”
Hatua ya serikali kutangaza kuzika mpango huo wa kuanzisha Mahakama ya Kadhi ilipingwa vikali na Waislamu ambao walidai CCM iliwahadaa wakati wa kampeni za mwaka 2005 na hivyo kusema hawatakiunga mkono chama hicho kwenye uchaguzi ujao na pia kupanga kuandamana Ijumaa ijayo.
Lakini Mufti Simba alisema kikao chao na Waziri Pinda, kilichohudhuriwa na wajumbe zaidi ya 20, likiwemo jopo la masheikh aliloliteua kutoka madhehebu yote ya Kiislamu , wamekubaliana suala hilo liendelee kushughulikiwa.
"Niliandaa jopo la masheikh kutoka madhehebu yote nchini. Nashukuru kwa kuitikia wito wangu. Tulienda kwa Waziri Mkuu tukazungumza kwa mapana zaidi kuhusu Mahakama ya Kadhi na amekubali kuwa mahakama haijafa na mchakato unaendelea,” alisema Mufti Simba.
Alifafanua pia wamekubaliana na Waziri Pinda kwamba atazungumza bungeni kukanusha kauli iliyotolewa na Waziri Chikawe Juni 30 mwaka huu bungeni mjini Dodoma kuhusu uamuzi wa kuzika hoja ya mahakama hiyo.
Mahakama ya Kadhi hushughulikia hasa masuala ya mirathi na ndoa kulingana na misingi ya dini ya Kiislamu.
"Kimsingi serikali haijakataa mahakama ya kadhi, lakini inahitaji msaada wa masheikh na tumekubaliana na Waziri Pinda akafute usemi wa kwamba serikali haitaunda tena mahakama hii na yeye amekubali," alisema Mufti Simba.
"Kitakachoendelea ni kujadili mfumo gani wa mahakama unafaa kutumika.”
"Tunayo matumaini makubwa ya kuipata Mahakama ya Kadhi kwa sababu ni haki yetu na tutaendelea kuidai hadi pumzi yetu ya mwisho (mpaka kufa), mchakato unaendelea.
"Jazba hazifai na tutumie hoja au kwa msemo wa kisasa tutumie nguvu ya hoja.”
Mufti Simba pia alitoa onyo kali kwa Imamu Mkuu wa Msikiti wa Mnyamani uliopo Buguruni, Sheikh Muhammad Idd Muhammad kwa kuzungumza katika vyombo vya habari yale yaliyozungumzwa juzi katika kikao baina ya serikali na jopo la masheikh, kabla ya Mufti kuzungumza.
"Mzungumzaji wa suala la Mahakama ya Kadhi kwa upande wa Waislamu ni mimi tu, hakuna mzungumzaji mwingine. Hivyo namuonya Muhammad Idd kwa kitendo chake cha kutangulia kuzungumzia yaliyojiri katika kikao chetu kabla mimi kuzungumza,” alionya Mufti.
Akizungumza katika kipindi chake cha Arrisala kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Channel Ten juzi usiku, Sheikh Idd alieleza kwa ufupi yale yaliyozungumzwa katika kikao cha masheikh na Waziri Pinda.
Sheikh Idd alikiri kosa na kumuomba radhi Mufti Simba, masheikh wenzake pamoja na Waislamu, lakini aliongeza kuwa hakufanya hivyo kwa nia mbaya.
"Nakiri kosa; lakini pia namuomba radhi Mufti, masheikh na Waislamu licha ya kwamba sikufanya vile kwa nia mbaya. Hata Mufti atajua baadaye kuwa sikufanya kwa nia mbaya,” alisema Sheikh Idd.
Baada ya kumaliza kutoa tamko lake, Mufti Simba alikataa maswali akisema suala hilo la Mahakama ya Kadhi linahitaji umakini wa hali ya juu katika kulizungumza.
"Leo sitaki maswali... sitaki kubabaishwa katika majibu. Nakataa maswali ili haya yakaandikwe kama vile nilivyosema bila ya kupotoshwa,” alisema Mufti.
Kabla ya Mufti kuzungumza na waandishi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum aliwatahadharisha waandishi kuacha kuandika na kunukuu kauli za watu wengine, badala yake wachukue yale ya Mufti Simba tu kwa sababu yeye ndiye msemaji mkuu katika tukio hilo.
"Waandishi waondoke na kauli ya Mufti tu yeye ndiye msemaji mkuu wa Waislamu Tanzania kupitia chombo chao cha Bakwata. Hakuna msemaji mwingine,” alisema Sheikh Salum.
Hoja ya Mahakama ya Kadhi imekuwa ikidaiwa na Waislamu kwa takriban miaka 20 sasa huku serikali ikitoa ahadi ya kulipatia ufumbuzi, lakini awamu zote za serikali zimekuwa zikipiga danadana.
Wakati huohuo, katibu wa Kamati ya Kutetea Haki za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda amesema maandamano ya amani waliyopanga kuyafanya Ijumaa wiki hii, yatafanyika kama yalivyopangwa.
Sheikh Ponda alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na Mwananchi na kwamba maandamano hayo yataanzia Viwanja vya Mnazi Mmoja na kuhitimishwa katika viwanja vya Biafra vilivyo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
“Hakuna kitakachotubadili msimamo wetu. Sisi tunafanya maandamano hayo ya amani kuonyesha hisia zetu na kitu gani ambacho Waislamu tunahitaji,” alisema.
Alisema pamoja na kuwapo na kauli mbalimbali za kuwataka Waislamu wawe na subira, hawatakubali kwa kuwa kauli hizo sio mpya na kwamba wameshazizoea.
“Kauli kama hizo zimekuwa zikitolewa mara kwa mara na viongozi," alisema.
Alieleza kwamba maandamano hayo yataanzia Viwanja vya Mnazi Mmoja na kupitia barabara za Bibi Titi, Morogoro na Kawawa,” alisema.
Naye Katibu wa Kamati Maalum ya Kutetea Mali za Waislamu, Sheikh Khalifa Khamis alisema maandamano hayatakuwa na maana kwa sababu suala hilo limeshazungumzwa na masheikh na serikali.
“Mimi nipo pamoja na Mufti kwa kuwataka Waislamu wawe na subira kwa kuwa hivi sasa anayesubiriwa ni Mufti kuipeleka timu yake kwa waziri wa sheria,” alisema.
“Nina uhakika mahakama hii itapatikana mapema kwa kuwa mazungumzo tumeshamaliza na kinachofuata ni utekelezaji tu,” alisema Sheikh Khamis.
Sheikh Khalifa aliwataka Waislamu kuendelea kuwa na subira kwa kuwa uanzaji wa mahakama hiyo unaweza kuwa kwa awamu na kutoa mfano kwamba inaweza ikaanza Dar es Salaam ama wilaya ya Ilala na mikoa mingine ikafuata.
Alipotafutwa na Mwananchi, Waziri Chikawe alikataa kuzungumza kwa njia ya simu akidai hana uhakika kama anayezungumza naye ni mwandishi kweli wa gazeti hili.
“Nitajuaje kama wewe ni mwandishi, nitajuaje,” alihoji Waziri Chikawe na kuongeza: “Come to my office (njoo ofisini kwangu),” alijibu na kukata simu.
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi, ambaye imedaiwa kuwa alikuwemo kwenye kikao hicho, alisema: “Muulize aliyewaita masheikh hao mimi sijawaita.”

Source: Mwananchi

Askofu adai mafisadi wanauhofia waraka wa Kanisa Katoliki

ASKOFU msaidizi wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Methodius Kilaini amesema mafisadi wanauhofia mwongozo uliotolewa na kanisa hilo ambao unaweka vipaumbele vya nchi katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, ndiyo maana wanaupinga.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya misa ya upadrisho iliyofanyika jana kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam, Kilaini alisema mwongozo huo ulianza kutumika tangu uchaguzi wa mwaka 1995 na kusisitiza kuwa kwa mwaka huu watu wengi wameshtuka kutokana na masuala ya ufisadi.
Kanisa hilo lilitoa vitabu viwili vya mwongozo na vipaumbele vya nchi kabla ya kuuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, mwongozo ambao umekumbana na vipingamizi kutoka kwa baadhi ya wanasiasa kwa madai kuwa dini inaingilia mambo ya siasa.
“Kwanza napenda watu waelewe kuwa mwongozo hauna lolote kuhusu dini kama watu wanavyodhani, kwa sasa jamii imeshtuka kuhusu vitendo vya rushwa na ndiyo sababu baadhi ya wanasiasa wanapinga mwongozo huo kwa kuwa unalenga kuwafungua watu macho na kukemea vitendo vya ufisadi,” alisema Kilaini.
“Ninachowataka wanasiasa wote washiriki ni kupiga vita ufisadi. Asiyetaka kupigana na ufisadi tusimchague, na ndivyo mwongozo huo unavyosema,” alisema.
Alifafanua kuwa mwongozo huo unazungumzia juu ya serikali na msimamo wake na wala si kumchagua mtu fulani wala chama fulani kwa ajili ya kumpa uongozi.
Alisema kama kutakuwa na kiongozi wa dini au mtu yeyote wa dini atakayezungumzia masuala ya kumchagua mtu ama chama fulani cha siasa, atakuwa amepotoka na kwamba huo ndio msimamo uliomo kwenye mwongozo huo.
“Watu wausome mwongozo huo kwa moyo mweupe na ninaamini wataufurahia, utakuza ufahamu juu ya masuala ya kidemokrasia,” alisema Kilaini.
Kauli ya Kilaini imetolewa wakati ambapo baadhi ya wabunge wamejitokeza kuitahadharisha serikali kuhusu mwongozo huo kwenye mkutano unaoendelea wa Bunge la Muungano, wakidai kuwa ukiachwa nchi inaweza kuingia kwenye matatizo ya udini.
Mbunge wa Kigoma Kusini, Manju Msambya aliushutumu mwongozo huo aliouita kuwa ni "waraka wa Kiaskofu" wakati akichangia hotuba ya makadirio na matumizi ya Wizara ya Sheria na Katiba, akisema unawafundisha waumini wake kuhusu namna ya kuchagua viongozi kwa imani zao na kuonya kuwa nchi inaweza kuingia kwenye vurugu.
Msambya ambaye hakutaja moja kwa moja dhehebu la dini lililotoa waraka huo, alisema unapingana na kanuni kwamba watu wasichanganye dini na siasa.
Akizungumza kwa jazba, Msambya, ambaye katika mchango wake alitaka tamko la serikali kuhusu sababu za nchi kutojiunga na Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC) na kutoundwa kwa Mahakama ya Kadhi, alisema alichukizwa na kitendo cha waziri ambaye hakumtaja jina, kwamba alipoulizwa na waandishi wa habari kuhusiana na waraka huo, aliusifu akisema ni mzuri kwa sababu ni moja ya elimu ya kupiga kura.
Lakini Askofu Kilaini alisema mwongozo huo haukutungwa na maaskofu wala mapadri wa kanisa hilo na kufafanua kuwa umetungwa na Chama cha Wataalamu wa Kanisa Katoliki (CPT) na kwamba wao waliupa baraka zote baada ya kuusoma na kuona unafaa.
Kabla ya kuongea na waandishi wa habari, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo aliwapa daraja la upadri, mashemasi watatu.
Mashemasi hao ni pamoja na Joseph Mkonde, Joseph Mapunda ambao watakuwa mapadri wa jimbo, huku Hendrick Mambwe akienda kulitumikia kanisa hilo nchini Ethiopia.

Source: Mwananchi

Thursday, July 2, 2009

Exclusive Interview of Pastor Chris Oyakhilomme about Prophet T.B Joshua

The humility and success of the founder of Christ Embassy is simply phenomenal. In a few years, the ministry has grown from a campus fellowship of a few hundreds to an international ministry making world-wide impact. And in nearly every country of the world, the gospel according to Pastor Chris is spreading fast. Oyakhilome talks about Jesus and the Holy Spirit as though they live together. Handsome and debonair, he delivers the message of the one he said sent him with a passion. In Nigeria his name has become synonymous with miracle healing. And when he talks about prosperity, he really is unapologetic. Hear him “I will never be broke in my life”. Since the debut of its TV programme in 1996, the ministry has remained on the cutting edge, pioneering new ways of doing things in the industry, that has become the envy of long established television stations. It has the largest Christian television network in Africa, and with its recently launched satellite station is reaching out to about a quarter of the world's population. Aside miracle healing, Oyakhilome is also many things to different people. To some, he is controversial and to others, he is mysterious. And the man of God doesn't help matters as he has consistently refused to grant press interviews. He would rather talk about the Christ he seeks to introduce than Pastor Chris. Last week, National Standard in line with our avowed commitment to letting you hear from notable Nigerians got Pastor Chris to talk. He spoke with Editor-in-Chief, Ambrose Isesele. We serve you the first of a two part series. You will be glad to read this.

You are perhaps one of the most recognizable Nigerians of our time. However, due to a seemingly averse attitude to press interviews and media publicity, there is something of a mystery surrounding your person. Who is Pastor Chris?

Firstly, I am not adverse to press interviews or to the media; at least I am talking to you now. That conclusion is erroneous. Most probably, they did not come the right way. After all, I am on television everyday. So I can not be said to be adverse to the media.Secondly, you asked, 'Who is Pastor Chris?' The question is slightly difficult because I do not know what you are expecting me to say. Pastor Chris is just someone called of God to preach the gospel. So, I preach Jesus Christ, the one whom I introduce. Everywhere I go, I have to introduce him rather than myself. So I don't talk about me but about the one who sent me.

So little is known about your organization's activities. Why the media blackout?

It depends on what you are looking for. If you want to know what we preach, it is known around the world. Our materials are out, in books, tapes, on TV and on the internet. So it can not be said that little is known about the ministry, because you can hear the message, and the most important thing in the ministry is the message. If our message is preached and heard, we have succeeded, even if we as individuals are not known and the structures are not known.Jesus preached a message, Paul preached a message. Ask anybody now to describe for you the ministry of Paul. He can only be described with his message. No one can say anything else apart from through his message, his journeys. Do you understand? So that's about it really. It is not because we do not want anyone to know anything; it is just that we are more concerned about our mission than ourselves.

What exactly is the scope of your ministry?

Jesus said to go into the entire world and preach the gospel and I believe our message is going around the world. We are covering many parts of Africa and Europe; we are reaching into America, Asia and now we are going into Australia and New Zealand. So, we are going that far based on our message and instructions.
How do you do that?
By the power of the Spirit. We have a worldwide Television ministry and churches all over the world.

How many churches do you have?

The truth is that we are increasing regularly and far beyond my personal work. I get to hear a new church has been started. Because we are training leaders all the time, so the structure is such that I personally do not have to pursue the growth of these churches. They are springing up from time to time as we preach around the world. So, they are very many. I think that is the best way I can put it.

Your television ministry is quite expansive and must be costing you a fortune; and you have a lot of activities going on around the world. A lot of people would have been satisfied with even a quarter of what you have done and seen it as a life time achievement, but you keep on pushing. What is your motivation; what drives you?
Jesus said, “Go ye into all the world and preach the gospel”. So, the bottom line is preaching the gospel. We are preaching the gospel and we are raising people to do the same. Of course a lot of times people ask me some of the questions you are asking now, how many churches we have and why do we preach like this? But Jesus said to do it. The message is so important; we want the whole world to hear it. It is the message of their salvation; we are not just building a ministry like we are building an organization. No! The reason for all the structures and all of the materials that we are producing is because of the message of salvation. Man needs to hear what God has already done for him in Christ Jesus. And that is why we've got to preach it so they can hear it everywhere. That is the driving force; the importance of the message and this is the only way they can be saved.

How large is your church?

In Nigeria alone we have more than one million members spread across the country.

The name Pastor Chris is synonymous with miracles. Why the emphasis on miracles?

I do not lay emphasis on miracles. There are people who say that I preach miracles, but I do not preach miracles. The truth is that, when Jesus came, He did not lay emphasis on miracles, but more than two-third of his ministry was on healing the sick. Why? Not because he preached healing, but he came to heal. Now, I have a message that certainly heals people. You can not hear that message and remain sick, poor or dejected. It would bring you hope and life. So I do not emphasize miracles. I emphasize the living Christ and when I do that, the divine power of the Holy Ghost follows the message, and of a necessity, there will be healings and miracles. How can you believe in God without having miracles? God is a supernatural being and if he is real, there must be supernatural acts and responses. So the miracles are there to prove his existence, his presence and his message. In fact we do not necessarily heal the sick to prove it. It is his presence that proves it. So I do not preach miracles or emphasize miracles. I emphasize Christ and the miracles have to follow. They are like your credentials. If you preach Jesus Christ and he sent you, he will back up your claims. Now if he doesn't back up your claims, you have to find out whether or not you are called. So those miracles are given by Jesus to confirm that he sent us. So he is the one actually performing these miracles.
Are these miracles real? Skeptics believe that it is either a means of taking advantage of people who are distressed and desperate for solutions, or a means of diverting people's attention from the challenges of living in a real world to the pursuit of a utopia that is really non-existent.
Just because you believe they are not real doesn't mean they are not real. Anybody can believe what he wants to. There was a time people said it was impossible to transmit sound without a material medium, but it happened. There was a day they believed the earth was flat and that if you got to the edge you would fall off, but that did not make it true. So miracles are real. It is like saying 'I do not believe that man can land on the moon”, just because you have not been there. Some people have been there and they have come back with reports and we believe them. And today, we are planning a lot of things on earth based on their findings. There are those who also ask us to prove the miracles. The question is, Do they really believe there was a Jesus at all? Did Jesus perform miracles? Historical accounts show that he did. The bible proves that he did. If these questions were posed by non-Christians, I will not be concerned about it. They do not believe anyway, and that's why we are preaching to them so that they can believe.But when questions like these are posed by Christians, it becomes disturbing. It's a stupid question for a Christian to ask. A Christian asking if miracles are real? No, they don't believe in Jesus. They believe Jesus was raised from the dead and he is in heaven. Where is heaven? If he was raised from the dead, that was a miracle. Ok! If Jesus performed miracles and he was raised from the dead, then what is he today? Has he changed? Does he still have the power? If he doesn't have the power, was he robbed of it? Is he more powerful today than then? Or is he less powerful, or the same? If he is less powerful, then we shouldn't expect miracles. Then he is not Lord. His death was a defeat and there is no reason for all theChristians to believe in him, and there is no need for Christianity. If he is the same, then he must be able to perform the miracles. So the least he could be is to be the same; which means, the miracles he performed then must be real. Now if those miracles can no longer be performed, then it means that he left us worse than when he came and there is no reason for that since he brought us salvation. Salvation is a miracle. So if the miracles are not real, salvation is not real. So anybody who says he is born again is lying to himself because to be born again is a miracle. Many of these folks believe that they have received the Holy Spirit. Where is the Holy Spirit? Can you see the Holy Spirit with your optical eyes? No! Is there such a Spirit? Yes! If the Spirit is true and real, then his acts must be true and real. So, these miracles are true and real. They are as real as the Holy Spirit because He does them. They are as real as the living Christ because he is back of them.



What are miracles and how do they happen?

A miracle is an inexplicable intervention by a supernatural power in the natural affairs of man. A miracle is something beyond the normal course of events. Usually a miracle is a positive event. It is not something that destroys. You cannot say an earthquake is a miracle because it is not positive. Miracles are positive events, happenings; they make you glad, happy and bring fulfillment and joy. They are such interruptions of the normal course of events, of the normal habits of man.If you were running and fell down and got yourself wounded, the natural course is that it should get healed sooner or later, and then if you treat it medically, it may speed up the process. That is the natural course. But when such a wound closes up in an instant or overnight, it is a miracle! It is out of the normal course. Or if someone who was born blind and cannot see naturally, maybe because of the destruction of one or two areas of his optical structure, suddenly begins to see, that is a miracle! So, Jesus opened blind eyes, unstopped deaf ears, made the lame walk; all these were people who naturally could not have had their situations changed. This happened either in a split second or even as a gradual process, yet it was beyond the ordinary. So, it was a miracle.

There is the issue of people falling down when you touch them or blow some air on them. Why do people fall when Pastor Chris touches them?

Why do people fall when Pastor Chris touches them? Wonderful! First it is important for us to realize that the power and the glory of God is more than man can accommodate. When the glory of God overwhelms a man, he cannot stand it. It is a sign from God that proves His presence. I do not have control over it. He gave me that power as a sign to the world.

Are the workings of miracles the exclusive preserve of a chosen few like you?

Yes and No! No, in the sense that miracles can happen when you pray because God has promised to answer prayers. So, if anyone would pray the bible way, God will answer and God's response to man's request is itself a miracle. So anybody could have a miracle. Then yes, in the sense that there are those who are chosen and anointed with special power for healings and miracles and the bible talks about that. If you would read in 1st Corinthians 12 verse 27-30, it tells us about those who are anointed to perform miracles. So there are specific callings in that regards.

Your meetings attract the largest crowds in the country today with estimated crowds of between 1m - 2.5million people. What is the 'catch'? What brings people there?

It's not a catch. I believe we are given different gifts and callings. God uses us in different ways; I just think that is God's grace. You see, God has something to say and I am his mouth piece. So he does three things. Number one is to give me the message that He wants me to communicate; number two is for Him to draw the people that He wants to hear it and number three is to confirm the message with miraculous signs. That is the way I look at it. It is up to him. I am not sure that I have a personal control over that. I think it is just God's grace.
Within the last three years, there has been a lot of controversies surrounding. Pastor Chris: from your association with Prophet T.B. Joshua which led to your split with the mainstream Pentecostal ministers in the country to issues of large donations to the ministry by members who purportedly defrauded their organizations and then the ban on miracle programmes by the National Broadcasting Commission. Your silence at every point gives the impression that you love controversies.
It is not true that I love controversies. Jesus was a controversial figure and his ministry was controversial, not because Jesus loved controversies or that he sparked off controversies but because the people thought and acted differently from God's ways of doing things and so Jesus could never agree with them; and that is where controversies begin - disagreements. So these so called controversies were not things that I sparked off, nor is it that I enjoy controversies. Then why was I silent? Because Jesus did not need to respond to his critics! So, I have found no reason to respond to them. One thing you need to know about your critics is this: no great man ever criticized a lesser man. respond because only lesser men criticize greater men.You can only be criticized by those who are lesser than you. So the response to criticism should always be from that stand point. When you are criticized, you ask yourself, 'Is this a criticism'. If it is, then you do not need to.And that immediately suggests that the one who criticizes you deserves no response. That is the reason why I have not thought of responding to them.

How did your relationship with Prophet T.B Joshua begin? Rev Chris Okotie said then that T.B. Joshua recruited or ordained you into his cult way back 1986.

I remember in 2001 a lot of ministers including Pastor Chris Okotie, Bishop Mike Okonkwo and Pastor Tunde Bakare did say things along that line. The truth is that they were all wrong. They were getting information from the wrong sources, and it is unfortunate that they believed their wrong sources; incidentally none of them asked me intelligent questions. I hope to write a book on the episode someday. I have so much to say about all that transpired, maybe for the future. It was an interesting period, but the truth is that what they said was not true. I was surprised when the fact that I related with Prophet T.B Joshua, sparked off controversies. I was very surprised. You wonder why? Because I related with a lot of folks and nobody said anything, so I wondered why they got so mad about this one.

This was no ordinary person. This was Prophet T.B. Joshua; a man whom most ministers believe is involved in occultic practices.

I was surprised that they all said that. Remember that Jesus visited non-followers, non believers and he was criticized by the religious folks of his day. They said this man eateth and drinketh with sinners. They said Jesus could not be a prophet of God because he ate and drank with sinners. I thought if I related with anybody, it shouldn't be a problem, even if he was a sinner. There was no reason for that. After all everybody needs the gospel. So from that stand point I was surprised at their response. It was the wrong response anyway. I remember that I made a tape then, called 'Truth on Trial' and there I said, “Just because you hate somebody does not mean I have to hate with you”. When Jesus related with sinners, they did not change him. So, no matter what they thought T.B. Joshua was, my relating with him shouldn't have been expected to change me. So, it was very wrong for anyone to have interfered.
They said he was of the devil…
Well, that is between them and God.

How exactly did you meet T.B. Joshua?
It was in 2001 that I met him or spoke with him for the first time, contrary to the assertions of the PFN leaders. He called me on the phone. He had been watching our programme on television with some of his visitors, and there was this episode of a little girl who was born blind, who received her sight at our crusade. He said he was moved by the miracle and decided to call me. That was our first contact. After that, we spoke several other times on telephone. At that time, I had only seen maybe two or three of his programmes on TV. I did not know much about him at all, and so when he spoke with me on the phone, we exchanged pleasantries, and made references to what we were doing. In the process of time, on a particular Wednesday, several weeks after we had been talking on the phone, he called me on the phone and requested that I joined him in ministering to a particular man that was coming from Holland, during a special service that night. I said we'll be having a service and he said his service was going to be all night long. I was going to finish mine about 9 pm and his was going to be all night, so I said 'alright, how long is it going to take me to get to where you are?' He said it's about 30 minutes, half an hour. I said ok, 'if I get out of here around 9 o' clock, I'll be there by 9.30. I'll try to make it'. I went there with several people.We met for the first time, face to face then, and went into the congregation and he introduced me to them and I greeted the people. Of course a lot of them had been seeing me on television and so they were excited to see me come to their church. Shortly after I greeted them, I went with him to the healing section. We got to the healing section; he started out ministering to them while I was waiting because I was only going to join him in ministering to the foreigners based on his earlier request. When we got to the section where the foreigners were, most of whom were from Holland, we both ministered to the man who was sick of multiple sclerosis. I believe his name was Jan Westerhof; that was about it.Now you must realize that before I met with T.B. Joshua, I'd been holding crusades and healing services for years. This was 2001 and by then I had held many crusades with thousands of people and we already had our programme, Atmosphere For Miracles, where we showed testimonies of people who were getting healed in our meetings. So healings and miracles were not new to me. When I met with him, of course I was excited, glad to see someone who was interested in the kind of things that I was doing. When these controversies came up, when these pastors, Pastor Chris Okotie, Bishop Mike Okonkwo and Pastor Tunde Bakare got on television and began to say a lot of things, I actually had to maintain an association of sympathy with the man. There are so many things I have to say like I told you, but these are all leaders in the church and I wouldn't want to say things that would make them unhappy with themselves or even make members of their congregation unhappy with them. I do not think that is my responsibility. So I would not want to go into certain details.

Did you at any moment think that your detractors were right and you wrong? After all you were the only man on your side of the divide.

I knew they were wrong all the time. Maybe I should define something, because the issue was not T.B. Joshua. They tried to make him the issue. He was not the issue. And I can prove that. The reason I said they tried to make him the issue is this; the president of the Pentecostal Fellowship of Nigeria, PFN, became the Vice President of the Christian Association of Nigeria, CAN, of which the Synagogue Church headed by T.B. Joshua is a part, Cherubim and Seraphim is a part, Celestial Church of Christ is a part and many other groups. In fact, he became the de facto Vice President of the Synagogue! And nobody said anything about it. There could be no better endorsement of T.B. Joshua from the PFN than that. If you could fraternize with all these groups as their Vice President, doesn't that say something, if indeed any of them was really of the Devil? Imagine Paul the Apostle as the Vice President of an occultic group? The point is T.B. Joshua was not the problem. They used him as the reason for their actions which were based on their wrong spiritual perceptions.

Rev Okotie claimed that T.B. Joshua laid hands on you and ordained you into ministry. When a newsmagazine asked the Prophet a question along that line, his answer sounded ambiguous lending credence to Okotie's assertion. So did T.B. Joshua lay hands on you?

The answer is No! That did not happen, I was never a part of his ministry as alleged by Chris Okotie and others. I was never a part of Synagogue. I met him for the first time in 2001. I have never been involved in their ministry and he has never had to minister to me. We have related as friends. I have many minister friends, even though we don't all exactly believe the same things.

What about the issue of money? Pastor Tunde Bakare said he saw a vision in which you were collecting money or deposit slips from T.B. Joshua and concluded you must have compromised for the sake of filthy lucre.

The allegations that he gave me money and that he was sponsoring our television programme doesn't make sense, considering our financial status as a ministry. T.B. Joshua must have been flattered to hear that from Pastor Bakare. It was all false.

There is this video tape featuring you and T.B. Joshua, healing a man from Holland in a wheelchair. A voice over referred to you as the Junior Prophet. Have you seen the tape?

(Laughs) Firstly, I have not seen the commercial or consumer version of the tape. But, I have a copy of the original edit that includes my whole visit and activities there. You know that as in several church organizations where they call the helmsman, Senior Pastor or General Overseer, T.B. Joshua is referred to as the Senior Prophet at the Synagogue. It's unfortunate that the commentator was not corrected in his error or assumption that whoever was ministering with the Senior Prophet must therefore be the Junior Prophet. I know some of the foreigners, who were not in the main service when I addressed the congregation, could have thought so, because they were in the emergency section waiting for healing. I remember one of them in his testimony actually made that comment. Even though I was not offended, they should have been corrected.

Your liaison with T.B. Joshua caused a deep friction within Pentecostal circles and sparked off a crisis that many believed was going to destroy your ministry. How did you weather the storm?

You see, what many do not understand is this: the so called crisis period did not lead to anything. They were the ones that had a crisis. I was not in crisis, and this was what they did not understand. We have a firm bible based ministry. If a ministry like this could have been destroyed by things like this, that would have happened a very long time ago. So, I was not in crisis and did not need to weather the storm. I just went on with my business.

Were you not concerned about the status of your detractors? You were pitched against the Who is Who in Nigerian Pentecostal circles; especially considering the fact that men of God like Bishop Mike Okonkwo, and Pastor Adeboye of the Redeemed Church and even Matthew Ashimolowo made certain remarks about you then.
I did not mind. I was never bitter about it. They were all misled by their sources or assumptions. I have never met Pastor Ashimolowo or Pastor Adeboye. They don't know me. Even though Pastor Adeboye granted us the use of the Redeemed Camp facilities twice, several years ago, for which we remain grateful, I've never met him. But, whatever their comments were, I leave it all to God. You see, I have been brought up strong in the word of God. I have walked with the Holy Spirit enough to know, like the Apostle Paul that none of these things move me.And if you are successful, you expect people to come after you. If you amount to anything you should never be surprised when people criticize you. Never be surprised when people rise against you and condemn you. Jesus said we should not be amazed when they say all manner of evil against us and accuse us falsely. Jesus was accused falsely. If I have been accused falsely and criticized by people, it does not mean anything. I am in good company because Jesus and the apostles suffered the same things. But they were successful and so have I been and I'll continue to be because I am walking in the path of light. So I already knew the end from the beginning.

Did you feel a sense of betrayal by those who were supposedly members of your primary constituency?

A sense of betrayal? They were not my primary constituency. That is the problem! I have never focused on them.

But they were also ministers.
That is what I am saying. I did not think about them. You see, God speaking to the children of Israel, said, “When I called Abraham, I called him alone”. You see prophets stand alone. When God calls you, he calls you alone. I only had Jesus in focus and always wanted to make sure that I did that, which would please him. I did not want to condemn them and I still would not say anything against them but that does not mean that what they said was the truth. It is still not true. Some people thought I was defending T.B. Joshua. No! I was defending the truth. All I said was, no matter what you think about him, treat him right. Period! Treat him the way Jesus said to treat people.

Did you ever get disturbed about the prospect of coming to church and finding your congregation has left? Some of the ministers advised them to leave you for the sake of their spiritual sanity.

(Laughs) Well I never even considered what they said. As a matter of fact, anybody can say anything. The question is, who was he speaking for? The bible says in Lamentation 3: 37, “who is it that speaketh and it cometh to pass when the Lord commanded it not”? No matter what anybody says, if God's power is not in their words, the words are empty. So those were empty words, they did not come to pass; they did not work or produce results. I was sent by God and it was important for me to know who sent me, and it was also important for me to know what my mission was.
Your strategies for handling controversies and crisis are rather strange. While others are addressing press conferences and issuing press release, you maintain a stoic silence. Is it on purpose, like a special strategy?

Well, not really. It is not on purpose. It is not planned. I am just doing what I was called to do. I do not think it is my responsibility to respond to issues that are raised by different people. I have a mission, I have a message to preach, and I am on television everyday. I have been given a unique opportunity, a very rare privilege from God. I do not know what more I could ask for. I have the opportunity to talk to millions of people around the world. I have been tremendously blessed and favoured. I can not ask for more. So in terms of having the opportunity or the platform to express myself, I have it more than any newspaper or media organization in this country could grant me. So the truth is: I have enough platform to say what I want to say. I have been tremendously favoured to be able to get on the electronic media on all formats, all around the world, hold crusades and do all the things I want to do! Our books and tapes are everywhere and so I'm just focused, doing the things I am called to do.

The world is all about relationships. As a journalist, I get to relate with other journalists. We hear of corroboration between other ministers as they hold joint programmes and preach in each other's churches. But Pastor Chris doesn't preach anywhere else but Christ Embassy, and he doesn't have minister friends. People think you are proud.
(Laughs) Well, certain people think that until you relate with them particularly, you have not related with anybody. That is wrong. I have thousands of ministers in our ministry and that is more than enough to relate with. I relate with ministers regularly. I do not know what else I should be doing. And remember, the more ministers you relate with, the less time you'll have to relate with God. So I think I have more than enough already, I am now trying to have ministers to relate to other ministers, so I can even relate less. That is it. The ministry is different from other businesses. You gave yourself as an example; as a journalist, you relate with other journalists, but the ministry is different. You need to relate more with the Holy Spirit than with anybody else.

Is that the reason you are not a member of the Pentecostal Fellowship of Nigeria, PFN, or Christian Association of Nigeria, CAN?

PFN or CAN? You know sometimes people make some things seem more serious than they really are. The Christian Association of Nigeria is a great organization started by human beings. God did not say you must be in CAN to be able to function.
I think they are doing their job the best way they know how, but I do not know what their aims and objectives are, and I have a vision that is unique.The Pentecostal Fellowship of Nigeria has its beliefs. I am not a Pentecostal and therefore don't have to be a part of it. It's like they are not Baptists, else, why did they not join the Baptist Fellowship of Nigeria? Why? We all believe in Jesus; why did they not join the Baptist? Because of their beliefs! So they feel they are different from the Baptists and there is nothing wrong with that. I think it depends on beliefs. I do not believe everything from the Pentecostal stand point, because there is nothing Pentecostal in Christianity.

The term Pentecostal denotes all those who believe in being born again, speaking in tongues…

That is wrong; It's a misnomer. I know where it came from. It came from the fact that on the day of Pentecost, the Holy Spirit came upon the believers in the upper room in Acts, chapter two. But the truth is that it came only on those who were not celebrating Pentecost! Those who were celebrating Pentecost where outside and did not receive the Holy Spirit. So, from the biblical point, the Pentecostals were those who did not receive the Holy Spirit the day the Holy Spirit came. Those who received the Holy Spirit were not celebrating Pentecost.

But the term ‘Pentecostal’ is generally accepted…

That is the problem. Many people prefer to do what is generally accepted instead of the truth. I think they have not done enough study on that subject and that is the reason; and of course don't forget people would rather die with their names than change it. So I am not suggesting they change. I am just telling you why I am not a member of PFN, because for the same reason they are not members of the Baptist fellowship or the Anglican or Methodist. These are all Christians but they do not believe everything they do and I do not believe everything they do! Even beginning with their name, but I am not against them at all.

Aside healing, another cardinal aspect of your teaching is prosperity. And of course you cannot talk prosperity without talking about money; the love of which the bible says is the root of all evil. The problem with our nation today stems from the unbridled lust for acquisitions. Shouldn't the church focus on holiness, self denial, and other subjects associated with traditional Christianity.

Well, the church should not focus on any of those things. The church should focus on Jesus and his message and when they do that, they would talk about all these things because they concern man. The true message then will include self denial, holiness and righteousness, not as a pursuit but as a result. In talking about the issue of money, remember that people go to work seven days a week, many five days a week but a lot of them six to seven days a week. They go because of money. And Jesus talked a lot about money. If you do not teach people about money, then they would do the wrong things. The bible doesn't say money is the root of all evil; it is the love of money. What about the stem, the branches of all evil? What about the fruit of all evil? No one is talking about that. After all, the root will not stay by itself. There are other things that are connected to evil; it is not only the love of money that is bad.There are a lot of other things that are bad. Prosperity is important and we preach it, not because we want to talk about it, but because this is in the message of Jesus Christ.
How old is Pastor Chris? There is a mystery surrounding your age; no birthday greetings in the papers carry your age.

Well I would say I am a bit fascinated by the media creation of a mystery because none of us created it. I went to schools, and so must have registered with my age declarations, I have a passport and my date of birth must be there. I have filled so many forms throughout this country. So for anybody to suggest that there is a mystery about my age seems mischievous. So I think I would rather leave it that way.

Will you like to solve the mystery for us?
No. It seems mischievous and ridiculous, but maybe I have enjoyed the mystery created by the media over the issue and would just let it be.

Wanaotumia dawa za kukuza matiti,matako hatarini kupata saratani

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imewatahadharisha wanawake wanaotumia vipodozi vya kuongeza makalio na matiti kwamba wanaweza kupata madhara ya figo, ubongo na kansa ya ngozi.
Mkaguzi wa dawa vipodozi na vifaa vya tiba wa TFDA Kissa Mwamwita alisema kumekuwa na wimbi kubwa la wanawake wanaotumia vipodozi hivyo ambavyo havijasajiliwa na mamlaka hiyo.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Mwamwita alisema vipodozi hivyo vimekuwa vikiingizwa nchini na kuuzwa kwa kificho huku ikidaiwa kuwa wateja wake wakubwa ni wanafunzi wa sekondari na wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu.
Mwamwita aliwataka wanawake wanaotumia vipodozi kuwa makini wakati wanaponunua vipodozi kwa kuangalia kama vimesajiliwa kwani vipo vipodozi vinavyouzwa kwa kificho.
“Matumizi ya vipodozi hivyo vinavyoongeza ukubwa wa makalio na matiti ni hatari kwa afya na pia yanawaweka katika hatari ya kupata magonjwa ya saratani,” alisema Mwamwita.
Alisema watumiaji wa vipodozi wanatakiwa kuwa makini wanapotaka kununua bidhaa hizo ili kuepuka kununua vipodozi vyenye viambata vya sumu.
Hata hivyo TFDA imetoa tahadhari kwa wananchi wanaoendelea kutumia vipodozi vyenye viambata vya sumu zikiwemo ‘losheni’ kuacha kutumia kwa kuwa kiafya vina madhara makubwa.
Mwamwita alitaja baadhi ya vipodozi vyenye viambata kuwa ni Chloqinone,Chloroform na Mercury Compound.

Source: Mwananchi

Mahakama ya Kadhi yakoroga Waislamu, Wanasiasa

SIKU moja baada ya serikali kutoa msimamo wake wa kutounda Mahakama ya Kadhi na badala yake kuzijumuisha Sheria za Kiislamu kwenye sheria za nchi, baadhi ya Waislamu na Wanasiasa wamekuja juu na kudai kuwa imeshindwa (serikali) kutekeleza ahadi iliyotoa wakati wa uchaguzi mkuu wa 2005.
Wadau mbalimbali kutoka taasisi za kidini, wanasiasa na wasomi waliambia gazeti hili jana kwamba, uamuzi huo wa serikali unakwenda kinyume na kilichomo katika ilani ya uchaguzi ya CCM ambayo ina kipengele kinachoruhusu kuanzishwa kwa mahakama hiyo.
Juzi Waziri wa Sheria na Katiba, Mathia Chikawe aliliambia Bunge Tanzania haitaunda Mahakama ya Kadhi badala yake sheria za Kiislamu zitaingizwa katika sheria za nchi ili zitumike katika mahakama ya kawaida.
Katibu wa Kamati ya Kutetea Mali za Waislamu Tanzania, Sheikh Khalifa Khamisi alisema kamati hiyo inatarajia kupinga hatua ya serikali kufuta ombi la kuanzishwa Mahakama ya Kadhi na kutoa tamko lake rasmi Jumapili hii.
Sheikh Khamisi aliliambia gazeti hili jana kuwa, hoja ya serikali kwamba yenyewe haina dini ndiyo maana imeamua kupinga hatua hiyo, siyo sahihi.
"Serikali imesema kuwa haina dini, kwa nini basi iwazuie Waislamu kuanzisha mahakama ambayo wanaitambua kwa mujibu wa imani ya dini yao?"alihoji Sheikh Khamisi na kuongeza:
"Tena mambo haya wanafanyiwa Waislamu tu na sio dini nyingine hasa baada ya maaskofu kutishia kujitoa katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kufutiwa misamaha ya kodi," alisema Khamisi.
Alisema kamati yake inaipinga vikali kauli hiyo ya serikali iliyotolewa juzi bungeni na Waziri wa Sheria wakati akiwasilisha makadirio na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2009/10.
"Serikali inawaogopa sana maaskofu na kuwadidimiza Waislamu hata pale wanapokuwa na haki sawa na wengine na imekuwa ikiwapuuza na kuwasahau," alisema.
Alidai kuwa wameziona taasisi kadhaa za dini ya kikristo zikifanyabiashara kwa kivuli cha kutoa huduma za kiroho, lakini serikali imekaa kimya tena.
“ Tena baadhi ya makanisa yanafanya mambo kinyume na taratibu za nchi, serikali imeshindwa kuyakemea, lakini wanaliona hili la Waislamu ambao wanyonge kuwa halifai," alisema Sheikh.

Alisisitiza kuwa suala la kuwapo kwa Mahakama ya Kadhi ni haki ya Waislamu kama ilivyo katika nchi nyingine ambazo wamepewa uhuru kamili wa kuabudu wanachoamini.
Nalo Baraza kuu la Waislamu Tanzania, (Bakwata) limesema litatoa tamko rasmi kuhusu kauli ya serikali kufuta mpango wa kurudisha mahakama hiyo.
Katibu Mkuu wa Bakwata, Sheikh Suleiman Lolila aliliambia gazeti hili ofisini kwake Kinondoni jijini Dar es Salaam jana kwamba, tamko hilo litatolewa baada ya Mufti Mkuu, Sheikh Issa bin Shaaban Simba kukutana na baraza la Masheikh, ili kujadili suala hilo.
“Tamko rasmi la Bakwata kuhusu kufutwa kwa mpango wa kurudisha Mahakama ya Kadhi litatolewa na Mufti kesho (leo) saa nne asubuhi baada ya kukutana na Baraza la Masheikh,” alisema Sheikh Lolila.
Sheikh Lolila alisema kuwa, Baraza la Masheikh wa mkoa wa Lindi limemteua, Sheikh Mohammed Said Mushangani kuwa kaimu Sheikh wa Mkoa wa Lindi ili kuziba pengo la Marehemu Sheikh Gorogosi aliyefariki kwa ajali ya gari hivi karibuni mkoani humo.
Kwa mujibu wa Sheikh Lolila, Sheikh Mushangani atashika wadhifa huo hadi uchaguzi utakapokamilika mwezi Agosti.
“Kwa sasa tuko kwenye uchaguzi ambao utakamilika mwezi Agosti, hapo ndipo Lindi watakuwa na Sheikh wao rasmi,” alisema Lolila.
Wakati huo huo aliyekuwa Mwenyekiti wa Bakwata, Sheikh Khamis Mataka alisema kauli ya serikali kuizima hoja ya Mahakama ya Kadhi ina mapungufu mengi na kwamba, wanaisubiri katika mkutano ambao iliahidi kukutana na viongozi wa dini ya kiislamu kujadiliana kuhusu jambo hilo.
"Tunafanya busara sana kuisubiri serikali kwa kuwa imeahidi kukutana na viongozi wa dini ya kiislamu. Ndipo sisi wanazuoni tutakapotoa hoja zetu na kuweka wazi mapungufu ya maamuzi hayo ya kuifuta mahakama,"alisema.
Naye Katibu Mkuu wa Baraza Kuu, Jumuiya na Taasisi zote za Kiislamu Tanzania, Ramadhani Sanze alisema wameisikia kauli hiyo ya serikali kupitia kwa waziri wake ya Sheria na katiba, Mathias Chikawe.
Alifahamisha kuwa masheikh wanafanya mkutano wa siku mbili kujadili suala hilo na kwamba, watatoa tamko lao Ijumaa wiki hii.
Alisema hawana haja ya kuyafanya mambo hayo kuwa marefu, isipokuwa serikali itaona ni nini Waislamu wanahitaji kifanyike kwa mujibu wa imani ya dini yao na kuridhika nacho.
Naye Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba alimtaka Rais Jakaya Kikwete kuwaomba radhi Watanzania kutokana na kutotekeleza moja ya vipengele vya Ilani ya CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, ambayo inaeleza kuwa itaruhusu kuwepo na Mahakama ya Kadhi nchini.
Profesa Lipumba aliliambia gazeti hili jana kuwa moja ya vipengele katika Ilani ya CCM ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, ilikuwa ni pamoja na kuruhusu kuwepo kwa mahakama hiyo; hivyo kitendo cha serikali kushindwa kutekeleza ahadi hiyo, rais Kikwete anatakiwa awajibike kwa kuwaomba radhi Watanzania waliompigia kura.
"Ni jambo ambalo lipo wazi kabisa, kwa sababu ilani ya uchaguzi inajadiliwa na kupitishwa na chama, hivyo kutokana na hili serikali imeonyesha ni jinsi gani ilivyowadanganya Watanzania. Huu ni 'usanii' kabisa wanaonyesha kuwa hawako makini katika masuala mazito kama hili," alisema Lipumba na kuongeza:
"Wananchi humchagua mtu kutokana na sera zake, hivyo wapo watu walioichagua CCM kwa sababu tu katika kampeni zao walisema watatekeleza suala la Mahakama ya Kadhi".
Katika hotuba yake juzi Chikawe alisema mchakato wa kufikia hatua ya kuzijumuisha sheria hizo za Kiislamu kwenye sheria za nchi lazima upate maoni kutoka kwa madhehebu yote ya Kiislamu nchini.
Naye Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi, Samwel Ruhuza alilieleza gazeti hili jana kuwa Ilani ya CCM katika uchaguzi wa mwaka 2005, ilisema itashughulikia kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi kama moja ya ajenda kubwa za kuwashawishi wapiga kura.
"Hoja hii ilitumiwa na CCM mwaka 2005 na iliungwa mkono na mmoja wa maaskofu wa Kanisa Katoliki ambaye alitamka kuwa Rais Kikwete ni chaguo la Mungu, hivyo watu wengi walimchagua" alisema Ruhuza na kuongeza:
"Siyo kwamba tunalazimisha kuwepo kwa Kadhi Mkuu, lakini kama suala la Mahakama ya Kadhi lilitumiwa katika ilani ya uchaguzi, basi litekelezwe".
Hoja ya kuwepo kwa mahakama ya kadhi ilianzishwa wakati wa serikali ya awamu ya tatu lakini ilizimwa, baada ya miaka mitatu iliyopita sakata hilo lilifufuliwa tena na kuwagawa wanasiasa na wananchi katika makundi mawili (wanaounga mkono na wanaopinga).
Wako waliounga mkono na wengine waliipinga kwa maelezo kwamba itasababisha vurugu na mgawanyiko katika jamii.
Source: Mwananchi

Wednesday, July 1, 2009

Waraka wa Kanisa, Uchaguzi wahojiwa

MBUNGE wa Kigoma Kusini, Manju Msambya (CCM), ameitaka Serikali kutoa msimamo kuhusu waraka uliotolewa na Kanisa la Kikristo likiwaelekeza Wakristo jinsi ya kuchagua viongozi. Mbunge huyo alitoa kauli hiyo jana bungeni wakati akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria iliyowasilishwa bungeni na Waziri Mathias Chikawe.Alisema waraka huo unaonesha kuwa wananchi wametakiwa kumchagua kiongozi Mkristo na kuhoji kama kila dini ikifanya hivyo nchi itakwenda wapi? “Mheshimiwa Spika hivi hata sisi Sheikh akituita msikiti wa Mnyamani kutufundisha jinsi ya kuchagua itakuwaje?” alihoji Msambya.Kwa mujibu wa mbunge huyo, pia kuna waziri ambaye hakumtaja jina, aliyesema anaunga mkono waraka huo kwa kuwa haoni tatizo lolote. Mbunge huyo pia alisema kuna kiongozi ambaye si wa madhehebu hayo, ambaye alipinga waraka huo na kuelezea kushangaa kwake, kwa kuwa katika madhehebu ya Kikristo, ni kanisa moja tu lililochukua uamuzi huo bila kulitaja. Pia Mbunge huyo alisema Serikali inawapaka Waislamu mafuta kwa mgongo wa chupa katika suala la kuundwa kwa Mahakama ya Kadhi kwa kuogopa makanisa. “Tatizo liko wapi kuunda Mahakama ya Kadhi inayojitegemea, mbona kuna Mahakama ya Ardhi, Mahakama ya Biashara na Mahakama ya Kazi zinazojitegemea ndani ya mfumo wa mahakama?,” alihoji Msambya. “Kwa nini Mahakama ya Kadhi ionekane kikwazo, au ndio lile alilosema Waziri Chikawe katika vyombo vya habari kuwa mpaka upande wa pili ukubali ambao ni makanisa?,” alizidi kuhoji mbunge huyo na kusisitiza kuwa hoja hiyo si yake kama Msambya bali ni ya Waislamu wote. Mbunge huyo pia aliitaka Serikali itoe tamko kuhusu mchakato wa Tanzania kujiunga na Umoja wa Nchi za Kiislamu (OIC) na kuongeza kuwa hata Msumbiji ambayo ina Waislamu na Wakristo, imejiunga na kusisitiza kuwa hataunga mkono hoja hiyo mpaka atakapopata majibu ya hoja zake.
Source: Habari leo

Mahakama ya Kadhi yayeyuka

SERIKALI imetoa kauli ya kusitisha kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi nchini na sasa mfumo mpya wa sheria wa kukidhi haja ya jamii ya Waislamu, utaingizwa katika sheria za nchi katika mwaka huu wa fedha. Sambamba na hilo, imetangaza nia ya kubadilisha mfumo wa kujiunga na Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo (Law School), ambapo si wanafunzi wote waliomaliza shahada ya kwanza ya Sheria watakaoruhusiwa kujiunga nayo, huku ikiweka wazi idadi ya talaka zilizotolewa mwaka jana na mzigo wa kesi ‘unavyoiumiza’ Mahakama nchini. Kauli hiyo ya serikali ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe, wakati alipowasilisha hotuba ya makadirio ya matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka huu wa fedha, yanayofikia Sh bilioni 107.6. Kwa mujibu wa Chikawe, badala ya kuanzisha Mahakama ya Kadhi katika mfumo wa mahakama nchini, sasa serikali itaingiza misingi ya dini ya Kiislamu katika mfumo wa sheria za nchi. Uamuzi huo umefikiwa baada ya kumalizika kwa utafiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria kuhusu uanzishwaji wa mahakama hiyo nchini au la. “Mapendekezo ya Tume ya Kurekebisha Sheria yamepokewa na kufanyiwa kazi na kamati ya wataalamu wa sheria iliyoundwa ambayo pia imetoa mapendekezo yake kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali,” alisema Chikawe. Alifafanua kuwa baada ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupata mapendekezo ya kamati ya wataalamu, imeanzisha mchakato wa kukusanya maoni kutoka kwa viongozi wa madhehebu yote ya dini ya Kiislamu. “Nia ya mchakato wa kukusanya maoni hayo ni kupata orodha ya misingi ya dini ya Kiislamu hususan inayohusu sheria binafsi, kwa madhumuni ya kuihuisha misingi hiyo katika sheria za nchi yetu,” alisema Chikawe. Kwa mujibu wa utaratibu uliotolewa na Chikawe bungeni wa kuihuisha misingi hiyo ya dini ya Kiislamu katika sheria za nchi, viongozi wa dini wakishakubaliana kuhusu misingi hiyo, Waziri wa Sheria atatoa tamko litakalotokana na makubaliano ya viongozi hao. “Baada ya hatua hiyo, tamko hilo la Waziri litakuwa sheria itakayotambuliwa na mahakama zote nchini,” alisema Chikawe. Kwa uamuzi huo, Chikawe alisema haki zote binafsi za Waislamu zitalindwa na kusimamiwa na serikali na kutekelezwa na mahakama. Kuhusu uamuzi huo na misingi ya Katiba, Chikawe alisema utaratibu huo hautaathiri misingi ya Katiba ya nchi na kutoa mfano kwa Afrika Kusini ambayo ina waumini wengi wa Kiislamu na inatumia utaratibu huo. Kuhusu Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo, iliyo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Chikawe alisema mwaka huu wa fedha, wizara inakusudia kufanya mabadiliko katika sheria iliyoanzisha taasisi hiyo. Baada ya mabadiliko hayo, watakaolazimika kudahiliwa nayo watakuwa wahitimu wa Shahada ya Sheria wanaokusudia kuwa mawakili wa kujitegemea tu na si wahitimu wote wa Shahada ya Sheria. Aidha, Serikali imejipanga kuwajengea uwezo mawakili wa serikali, wahasibu, wachumi, wahandisi na watu wa kada mbalimbali katika majadiliano, uandaaji, uandishi na usimamizi wa mikataba. Akizungumzia uendeshaji wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Chikawe alisema wakala huyo ameendelea kuboresha huduma zake na kwa mwaka wa fedha uliopita, alisajili talaka 73, ndoa 15,345, vizazi 938,775, vifo 105,482 na watoto wa kuasili 39. Chikawe hakusita kuonesha mzigo wa kesi uliopo mahakamani ambapo katika Mahakama ya Rufaa, kati ya kesi 2,659 zilizokuwapo, ni kesi 560 tu zilizosikilizwa na kumalizika. Katika Mahakama Kuu, kati ya kesi 18,805 zilizokuwapo kesi 9,590 zilisikilizwa na kumalizwa. Katika mahakama za mikoa 23 na za wilaya 100, kulikuwa na kesi 61,237 na kati ya hizo kesi 42,725 tu ndizo zilizosikilizwa na kumalizika. Katika mahakama za mwanzo, kati ya kesi 213,239, ni 151,200 ndizo zilizosikilizwa na kutolewa uamuzi. Baada ya hotuba hiyo, Msemaji wa Kambi ya Upinzani, Mbunge wa Chakechake, Fatma Maghimbi (CUF), aliitaka Serikali itoe ufafanuzi wa kwa nini mahakama haijatengewa fungu la fedha kama ilivyo mihimili mingine ya Dola, ili kuongeza uhuru wa mhimili huo. Maghimbi alisema hata Rais Jakaya Kikwete katika mkutano wake na watendaji wa mahakama uliofanyika Bagamoyo, aliridhia kuwapo fungu hilo baada ya watendaji hao kumwasilishia ombi hilo rasmi. Hata hivyo, Spika Samuel Sitta, kabla ya kusomwa kwa hotuba za Chikawe na Maghimbi, alipokuwa akimkaribisha Jaji Mkuu Augustino Ramadhani bungeni, alisema bajeti ijayo, mahakama itatengewa fedha zake. Kuhusu Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo, Maghimbi alisema taasisi hiyo ina matatizo makubwa mawili, likiwemo la kukosa wafanyakazi wa kudumu. Lingine kwa mujibu wa Maghimbi ni wanafunzi kukosa mikopo ambapo kumekuwa na hali ya kutupiana mzigo kati ya Wizara ya Katiba na Sheria na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.
source: habari leo

CCM wafanya mkutano kanisani, wampiga kiongozi wa kigango

WAFUASI wa CCM juzi walivamia Kanisa Katoliki, Kigango cha Nyantakara kilicho Kata ya Lusahunga na kufanya mkutano wao, huku wakimshambulia na kumjeruhi katibu wa kanisa hilo baada ya kuwaamuru watoke.
Tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 3:00 asubuhi wakati wafuasi hao wa wanawake wa CCM, wakiongozwa na mtu mmoja aliyejulikana kwa jina moja la John, walipoingia kanisani humo kwa madhumuni ya kuchukua viti kwa ajili ya mkutano wao. Badala ya kuchukua viti, waliamua kutotoka na kufanyia mkutano huo kanisani.
Akizungunza na Mwananchi katekista wa kigango hicho ambacho kipo katika parokia ya Kaniha, jimbo la Kahama, Faustine Damas alisema wafuasi hao wa CCM waliingia kanisani na kuchukua meza ya kuendeshea ibada na kuigeuza kuwa meza ya wageni wao na baadaye kuendesha mkutano wao.
Alieleza kuwa alipofika kanisani alistaajabu kusikia nyimbo wa 'Tieni, tieni' ukiimbwa na baada ya kuingia ndani alikuta wakiwa wanaendelea na mkutano wao huku wakitumia meza kuu ya ibada, jambo ambalo lilimfanya ampigie simu katibu wa kigango hicho, Festus Masumbuko ambaye baada ya kuwaomba waondoke na kuwanyang'anya meza hiyo ya ibada, wafuasi hao wa CCM walianza kumpiga.
"Waliamua kugoma kuondoka na ndipo alipowanyang'anya meza ya ibada, lakini wakamvamia na kumpiga mateke na ngumi. Wamemjeruhi vibaya na pia wamemchania shati," alieleza katekista huyo.
Alisema kutokana na hali hiyo alilazimika kupiga kelele na ndipo wananchi walipofika na kumwokoa. Lakini wakati hali hiyo ikiendelea, mfuasi mmoja wa CCM alipiga simu polisi na kuwaeleza kuwa walikuwa wakifanyiwa vurugu na ndipo polisi walipoenda eneo hilo na kuwakamata wananchi waliokuwa wanataka kumuokoa katibu.
Wananchi hao wanashikiliwa na polisi kwa kufanya vurugu katika mkutano huku wana CCM wakiachiwa huru na kuondoka zao.
Kutokana na hali hiyo paroko wa parokia ya Kaniha, Padri Isaya Bahati ambaye pia ni msaidizi wa askofu wa jimbo la Kahama, alisema muda mfupi baadaye akiwa polisi kuwa amesikitishwa na vurugu hizo na kusisitiza kuwa kanisa kama nyumba ya ibada inapaswa kuheshimika kwa vile si uwanja wala ukumbi wa mikutano.
Alipoulizwa kuhusu suala hilo, naibu katibu mkuu wa CCM, George Mkuchika alisema hana taarifa ya vurugu za wafuasi wake kanisani na kwamba kwa kuwa amepokea taarifa hizo, atazifuatilia kwa kina.
“Ngoja nifuatilie kwa kina kujua ni nini kimetokea,” alieleza Mkuchika.
Kamanda wa polisi mkoa wa Kagera Henry Salewi alisema kuwa hakuwa kwenye eneo la uchaguzi na kumtaka mwandishi awasiliane na kamishina Telesphol Anaclet ambaye ndiye amekuwa akishughulikia masuala hayo. Hata hivyo, kamishna huyo alisema jeshi la polisi linaendelea na masuala yake hivyo lipewe nafasi ya kufanya kazi.
“Naomba mtuache tufanye kazi yetu sina cha kukueleza kwa sasa,” alisema kamishina huyo wa oparesheni maalumu ya uchaguzi na akakata simu.
Waliokamatwa na jeshi hilo la polisi wametajwa kuwa ni Evarist Dotto, Semen Elias, Mosha Makoye, Batista na Timetheo ambao walitambulika kwa jina moja

source: mwananchi