Saturday, August 21, 2010

Mchungaji Mtikila Aenguliwa Katika Uchaguzi Mkuu 2010

Mchungaji Mtikila Aenguliwa Katika Uchaguzi Mkuu 2010
Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP),Mchungaji Christopher Mtikila.


WAKATI kampeni za uchaguzi mkuu zikifunguliwa rasmi leo hii, Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini (NEC) imemuengua aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, kutokana na kutotimiza masharti yaliyowekwa kwa wagombea urais.

Source: Issa Michuzi blog

No comments: