Thursday, June 26, 2008

Mafunuo VS Neno la Mungu

Kumekuwa na mwamko wa huduma nyingi sana na watumishi wengi sana hapa nchini.Nyingi zimekuwa zikifanya vizuri sana kwa kweli.Wengi katika watumishi wa huduma hizo wamekuwa wakijikita zaidi katika matumizi na msisitizo wa kutumika kwa kufuata mafunuo zaidi kuliko Neno la Mungu(Maandiko/Biblia).Hivi watumishi wa Mungu hebu tuelimishane hapa..

4 comments:

Anonymous said...

Ungetoa mifano ya hayo mafunio pengine ingekuwa rahisi kutoa mawazo kuanzia hapo

Anonymous said...

I just added your website on my blogroll. I may come back later on to check out updates. Excellent information!

Anonymous said...

I just added your website on my blogroll. Really enjoyed reading through. Excellent information!

Anonymous said...

Really great article with very interesting information. You might want to follow up to this topic!?! 2011