
Mtade akiwa na padri wa OBSG , Gent,Belgium wakilichambua Neno.Kifungu kilichokuwa kinachunguzwa ni Yahana 3:16.Baada ya mjadala mkali ikalazimika kuletwa Biblia kubwa kabisa yenye uzito wa kilo 8 ili kuweza kupata ufasaha wa maandiko. Kazi ya kushuhudia Neno hapa Belgium ni ngumu sana.Maana wazee ndio wanaenda kanisani na watoto wadogo sana.
No comments:
Post a Comment