Sheria za Gent, haziruhusu kabisa kuhubiri hadharani na watu hawapendi kusikia habari za YESU japo Belgium ni taifa la Kikristo kimakatarasi but kivitendo ni kinyemu kabisa.
Tukio hili ni mara moja tu kutokea kila mwaka wakati wa festival za yuropu.
Makanisa yote ya Gent yalikutanika hapa kuunganisha nguvu katika kuhubiri injili.Ilikuwa ni siku ya ajabu na tukio la kipekee kabisa.
Wakristo huwa wanatumia mwanye huu wa festival hizi kuhubiri injili kwa kutumia upenyo wa muziki wa injili ambao unaonyesha kuwa na nguvu sana kuwavuta watu kwa YESU kwa maeneo haya.
No comments:
Post a Comment