Sunday, February 17, 2013

Amani Amani Amani Tanzania

Mungu tunaomba amani Tanzania,Mungu tunaomba upendo utawale miongoni mwa watanzania.Mungu iepushe nchi yetu na uvunjivu wa amani,chokochoko za kidini,kisiasa,kikabila na kiitikadi.
Tunaomba haya kwa jina la YESU ....amen

No comments: