Sunday, February 17, 2013

Breaking news...Padri pigwa risasi zanzibar na kuuwawa

Padri Mushi, ambaye ni paroko wa parokia ya Minara Miwili - Zanzibar amepigwa risasi na watu wasiojulikana leo mida ya saa moja asubuhi akielekea kanisani kuongoza ibada.

Source: Radio Wapo kipindi cha patapata...

No comments: