Thursday, March 27, 2008

AHSANTE YESU KWANI ZAMA ZA NUHU HAZITARUDI KAMWE!!!

Jana Dar Es Salaam palikuwa ni hekaheka baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mitaa kadhaa kujawa na maji na baadhi ya barabara kufungwa kwa muda. Wako waliochelewa kufika majumbani kwa takribani masaa manne hadi matano kisa ni mafuriko yaliyosababishwa na mvua hizo. Ashukuriwe Mungu kwamba mpaka sasa hakuna taarifa za vifo wala majeruhi kutokana na mvua hizo japo wakazi wa mabondeni ndo wahanga wakubwa wa mvua hizo!!!!! '

Picha hapa chini zinajieleza zenyewe!!




Picha hizi ni kutoka mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es salaam!

No comments: