Wednesday, March 12, 2008

Mtoto umleavyo...!

Biblia inasema mfundishe mtoto katika njia impasayo, naye hataicha hata atakapokuwa mkubwa.

Ni jukumu letu wazazi kuwafundisha watoto maadili mema.

Mtu huwa hazaliwi na tabia mbaya ila tabia ( characters) huumbwa.Hakuna mtu anayekuja duniani akiwa mtenda dhambi ila mtu huwa anafanywa vile alivyo.

No comments: