Friday, July 18, 2008

Bwana asifiwe...

Tangu tutangaze maombezi kupitia mlima huu wa sayuni watu wengi wamekuwa wakituma maombi yao na wengi wamekuwa wakipokea mahitaji yao kupitia mlima huu.
Wadau wengi wamekuwa wakiniomba wawe wananipigia simu direct katika namba yangu badala ya utaratibu uliokuwepo wa kunitumia sms tu.Kwa hivi sasa ninaomba wadau muwe huru kunipigia tu katika namba yangu ya +255-713-427857 .
Pia kwa wale wanaopenda kuchat na mimi au watumishi wengine wa sayuni waweza kutuadd na katika yahoo messenger yako kwa kutumia email zetu hapa chini kama ifuatavyo.
Mtade : miwlc@yahoo.com
Maranatha: chalujohn@yahoo.com
SavedLema: savedlema@yahoo.com

Tumeamua kutumia utaratibu huu wa kuchat ili kupunguza gharama za simu hasa zile za nje ya nchi na zile ambazo si za line ya tigo ambayo ni rahisi zaidi kupiga kwa hapa Tanzania.

Mungu awabariki sana.

No comments: