Thursday, July 10, 2008

Pambio ya leo

Kiongozi wa sifa:......"Wote waliompokea aliwapa uwezo kuwa wanaaa......"
Wote:"Wote waliompokea aliwapa uwezo kuwa wanaaa........."
Kiongozi wa sifa:...."Wote waliompokea aliwapa uwezo kuwa wanaaa.........."
Wote:"Wote waliompokea aliwapa uwezo kuwa wanaaa......
Kiongozi wa sifa:.."Aliwapa uwezooo...."
Wote:"Kuwa wanaaaa...."
Kiongozi wa sifa:...."Walitupa uwezooooo....."
Wote:"Kuwa wanaaaaa....."
Kiongozi wa sifa:......"Wote waliompokea aliwapa uwezo kuwa wanaaa......" Wote:"Wote waliompokea aliwapa uwezo kuwa wanaaa........."
Rudia rudia mara nyingi pambio hiyo hadi uone upako umeshuka ndo uache...anza kuimba basi hapo ulipo......

Mbarikiwe...

1 comment:

Anonymous said...

Barikiweni sana wana sayuni! pambio hii naipenda sana.