Tuesday, July 15, 2008

Nyimbo za Injili

Jina la wimbo: Mbele ninaendelea...


Mbele ninaendeleaa...
Ninazidi kuteembeaa..
Maombi uuuyasikieeeee...
EeBwanaa uunipaandisheeee... (eeBwanaaa...)


(Korus..)


EeBwanaa uuuniiinueeeee.....
Kwa imaniii...nisimameee...
Nipande miiiilimaa yoteee...
EeBwana uuunipanisheeeee....


Nisikaeee duniaaniiii...
Ni mahaliii pa sheetaniiii..
Natazamiiiiaaaa mbinguniiiiii...
Nitafika kwaa iiiimanii.... (eeBwanaaa...)


(Rudia Korus..)


Nataka niiipanishweee juuu...
Zaidi ya yaleee maaawinguuuuu...
Nitaombaaa nifikishweee....
EeBwanaaa uuunipanisheeee... (eeBwanaa....)


(Rudia Korus..)


Sina tamaaa nikaeeee...
Mahali paaaa shakaaaa kamweee....
Hapo wengiiii wanakaaaa....
kuendeleeeaaa naaaombaaaa...(eeBwanaaa...)

(Rudia Korus..)

Rudia rudia kuimba hadi upako ushuke ...ukiona unaanza kububujika ingia kwenye maombi na ikibidi anza kunena kwa lugha kama umejazwa na Roho Mtakatifu na mwambie Bwana akutane na mahitaji yako yote kwamba mwezi huu usipite kabla hujapokea majibu yako....

No comments: