Friday, July 18, 2008

Wimbo wa kuabudu wa leo

Kiongozi wa sifa:Nigusee tenaaa...X 2
Ninaombaaa Babaa....uniguseeee tenaaa...
Niguseeee......
Wote:Nigusee tenaaa...X 2
Ninaombaaa Babaa....uniguseeee tenaaa...
Niguseeee......


Rudia rudia pambio hilo la kuabudu ukisikia upako umeshuka anza kububujika katika Roho na Bwana atakutana na mahitaji yako

No comments: